Baada ya chama kulikuwa na wanyama tena wakal😅😅😅😅😅
@skinarugiga60766 күн бұрын
Tunamtakia kila kheri.wacha aendee simba ameikura na ataiacha.cc ndio simba wala hatuna shida ya kuendeshwa na mchezaji.good job viongozi wa simba
@martinanney61926 күн бұрын
Tatizo boss wetu kajanja chama mwamba kilalaheri ntakupenda daima huna baya brow
@CostarcostarcostarCostar-tx4yk6 күн бұрын
Mm costa magombo nipo msumbiji Wana Simba wenzagu kuweni watulivu kama munauelewa mpila
@amanilupembe97886 күн бұрын
Mayele mlifurahi sana zam
@lukiaanatory45986 күн бұрын
Kwani misimu mitatu chama alikuwa amefichwa mkunduni kwaufupi tu tumemchokaa
@Jeremiamakongo6 күн бұрын
Simba wamefanya vzr sana huyo chama kama tungemchukua Simba,angejivuna sana acha aende ila hakuna kitu atafanya MTA ikumbuka kauli yangu
@izackwiliblod14726 күн бұрын
Wana Simba wanzanga tusifazaike sana Simba ilianza kabra ya chama warikuwepo wakina okwi waliondoka kwani chama nani
@user-vs8fu1yn3f6 күн бұрын
Kwenda kabisa misimu 3 ulikuwa wap
@user-wk2bg8zf3l6 күн бұрын
acha aende tu
@kitosmayunga87226 күн бұрын
Viongoz wakovzur
@AdnaneisufomomadeMomade6 күн бұрын
Mimi ni simba damu. Kwa hili nawapongeza sana viongozi wa simba kwa uamuzi huu. Kwani simba ni kubwa sana kuliko mchezaji yeyote.
@adrophinamwanguse15106 күн бұрын
Aendeeeee siyo yeye peke yake ndo alizaliwa kucheza simba mi nimefurahi kikifika kipindi cha usajili bosi roho juu pia alikuwa anacheza kama hataki mbio hana yupo yupo tu safi sana bossi huko ndo anaenda kuzeeka kabisaaaa kweeeeedraaaa
@SalumuKidile6 күн бұрын
Cham matako mwache aendee mla lushwaa uyo tuna pigwa 5 yey si alikuwepo kasaidia nn
@ramadhanichubi91396 күн бұрын
Kwani Chama ni nani na hakuikuta Simba?au yeye ndiyo mwanzilishi wa Simba? Kuweni Wanamichezo aliletwa na Simba Utopolo wajue huyo alikuwa mamluki aende tu.
@subiralema6 күн бұрын
Sasaivi watatufunga kumi
@Jeremiamakongo6 күн бұрын
Ww unayesema,tutafungwa 10 ni ww TU na mawazo yako