PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI

  Рет қаралды 154,276

Msomi News

Msomi News

Жыл бұрын

PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI
Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...

Пікірлер: 261
@upendofredrick8988
@upendofredrick8988 10 ай бұрын
Uko sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu, walio katika mwili hawataelewa ila walio katika Roho nadhani wamekuelewa Sana, Mungu azidi kukutunza na uendelee kuyanena maneno ya Mungu kwa ujasili
@LuciaSimeo-yc7hc
@LuciaSimeo-yc7hc 7 ай бұрын
Wewe nimtumishi, uyo Dev sio mtumishi wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, uyu mtumishi ni wakara wa sheitani.
@LuciaSimeo-yc7hc
@LuciaSimeo-yc7hc 7 ай бұрын
Watumishi jitaidi kuwajua manabii wa uwongo na wakweli, utamuitaji wakara wa sheitani kusema ni mtumishi wa Mungu
@LivingstoneOdimba-qv5cm
@LivingstoneOdimba-qv5cm 7 ай бұрын
That's true pastor.
@user-zf9ou8gb8t
@user-zf9ou8gb8t 7 ай бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏 umesema ukweli mtubu kwa sababu ukiangalia hizo video mwanadada atembea mbele akiwa uji nusu
@labanmwamburi498
@labanmwamburi498 6 ай бұрын
Roho ipi
@wendynkya1309
@wendynkya1309 6 ай бұрын
Uko vizuri Pastor shida watumishi wengine wako kimwili zaidi kuliko kiroho,huwezi kuchanganya mambo ya Mungu na ya dunia,huwezi kufanya hekalu la Mungu km soko au mahali pa michanganyo,sasa hapo anahubiri Yesu au anaubiri muziki wa kidunia?Mungu amrehemu
@LucyRobi-iu5rr
@LucyRobi-iu5rr 6 ай бұрын
Napenda pst ezekiel vile unavyo hubiri God bless you ❤
@sophianabintu6666
@sophianabintu6666 7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishe Ezekeli
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 ай бұрын
Nabarikiwa nawew pastor wangu mungu akutunze maelfu ya miaka
@FortunataMrgwowe-fh2rx
@FortunataMrgwowe-fh2rx 7 ай бұрын
Pastor Ezekiel Watumishi wote wa Mungu wakusikie na wawe kama wewe, uko vizuri sana pastor Mungu akutunze
@praisehappiness8312
@praisehappiness8312 6 ай бұрын
MaPastor wote hawwezi kuwa kama ezekiel kila mtu ana mwito wake.kwa mfano ezekiel anavyouza maji na vitamba,Mchungaji mwingie hawezi
@HabilyTech
@HabilyTech 6 ай бұрын
​@@praisehappiness8312Hilo neno analoongea wasikie na wazingatie
@luckyngumbi4243
@luckyngumbi4243 6 ай бұрын
Hakika mungu unibariki sikuzote hunipa uzima Asante mungu piya naomba unibariki zaidi sikumoja niweze Toka Tanzania nifike Kenya katika nyumba Yako mungu inayotumiwa na huyu mtumishi wako Ezekiel ni imani yangu🙏 Amina🙏
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 6 ай бұрын
Madhabahu ya Goege David haimuhubiru Yesu Kristo wanazareti definitely So, yanayoendelea hapo nisawa tu
@Solomonkarurek
@Solomonkarurek 7 ай бұрын
God bless you pastor 🙏
@naylukumay3393
@naylukumay3393 7 ай бұрын
uko rohoni sana mchungaji kutoka Kenya umejibu vizuri 🎉🎉🎉🎉❤
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 6 ай бұрын
Hiyo siyo kanisa ni sinagogi la shetani ,Wala usimumunye maneno.Amen
@nyimbozakuabudu2650
@nyimbozakuabudu2650 6 ай бұрын
​@@magretomondi8312haitaji kutumia akili sana , Yesu alisema utawajua kwa matendo Yao kama ni washetani au wana wa Mungu
@elishabsimkokp8321
@elishabsimkokp8321 7 ай бұрын
Huyu Pastor Mungu ampe siku nyingi za kuishi na zenye furaha chini ya jua akizihubiri habarii za Bwana
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 6 ай бұрын
Pastor Ezekiel Mungu Akubariki sana.nitakuja Kenya.
@dorothykalikamo
@dorothykalikamo 6 ай бұрын
Very true, man of God
@wakulampekazadi2987
@wakulampekazadi2987 7 ай бұрын
Merci excellence pasteur pour tes conseils afin d'hériter la vie éternelle depuis DRC( Lubumbashi)
@endrewmwasomola6506
@endrewmwasomola6506 7 ай бұрын
Mungu akutunze pastor kwa kusema ukweli
@MatiasMandi
@MatiasMandi 7 ай бұрын
ubalikiwe pastor ezekiel kwakusema ukweli Mungu akuongezee nguvu zaidi
@user-ny5we4kj3u
@user-ny5we4kj3u 7 ай бұрын
Truly said man of God. Educative.
@placidkomba9701
@placidkomba9701 7 ай бұрын
it's very true man of God
@fridaminja7191
@fridaminja7191 7 ай бұрын
Dah Mungu atusaidie mkewake anapitia changamoto sana basi tuu anashindwa afanyaje. Mchungaj G hapana kwakwel
@user-sk9zr4bn2k
@user-sk9zr4bn2k 6 ай бұрын
Naitwa james anton nipo tz mchungaji ukweli mungu akuongezee baraka ktk huduma zako zote zaibada nk,ubarikiwe pamoja na sis amen
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 ай бұрын
Aminaaaa
@helenayamwaka211
@helenayamwaka211 7 ай бұрын
Geo dave aombewe rehema. Kamuacha Mungu zamani
@user-do2wb3rb7h
@user-do2wb3rb7h 7 ай бұрын
Nabii WA uongo aliwahi Kua WA ukweli. Geordavie ashakengeuka
@user-tj3wu4jw2p
@user-tj3wu4jw2p 9 ай бұрын
Nihatari, heshima ya Mungu imepewa mwanadamu
@ChescoMartin-ni3ql
@ChescoMartin-ni3ql 5 ай бұрын
Amen sana mtumishi Bwana aizidishe hekima ya utakatifu ulionao
@charlesmbunda6759
@charlesmbunda6759 7 ай бұрын
Waana wa ULIMWENGU huu, watakubeza!! Ila tunaoipenda Mbingu, tunakubaliana 100% na wewe!
@johnsimbeye7692
@johnsimbeye7692 6 ай бұрын
Amen watching you from Zambia Lusaka 🇿🇲
@shirimaanthoni95
@shirimaanthoni95 10 ай бұрын
I got you pastor
@ConfusedChicken-ze9fz
@ConfusedChicken-ze9fz 6 ай бұрын
Me too isay may God bless you so much man of God
@apostlesammymutachicfc.3744
@apostlesammymutachicfc.3744 7 ай бұрын
Kwa dalili nyingi, zinaonyesha Geordavie amepoteza mwelekeo.
@OMEGATVTANZANIA
@OMEGATVTANZANIA 7 ай бұрын
Sema ukweli pasta napenda nije kuimba kwako mwimbaji naitwa Obadiah Jackson toka tanzania
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 6 ай бұрын
Kweli Amezidi sana anapiga bongo flavor kanisani😱😱😱 Ni hatari sana
@peterodera5685
@peterodera5685 6 ай бұрын
God bless you pastor.
@habililailo271
@habililailo271 7 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi Mungu akubariki sana
@DominaPatrick-ri8sc
@DominaPatrick-ri8sc 6 ай бұрын
Ameen pastor ubarikiwe sana mungu azid kukueka zaid na zaid ameeeen naiwe ivyooooo kwa jina la yesu
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 7 ай бұрын
Wenye macho wanajua kuwa hii ni agenda ya shetani,tatizo sisi binadamu hatujui majira na nyakati, haya lazima yatokee ili kuyatimiza mandiko maana kila kitu lazima kitokee ili YESU KRISTO arudi ila ole wao.
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr 7 ай бұрын
Kabisa
@amanimakombe7141
@amanimakombe7141 6 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe sanaa baba
@magrethtenga9217
@magrethtenga9217 6 ай бұрын
Ubarikiwe Mt...
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 ай бұрын
Hakika mtumishi wa Bwana Yesu sisi ndo wa kuigwa na kufatwa na sio sisi wana wa Mungu kuwafuata wao
@user-sw8fo7wz8i
@user-sw8fo7wz8i 6 ай бұрын
Sawa Kabisa Mtumishi wa Mungu, huo ndiyo Ukweli Kabisa, Kabisa.!
@mcfinee7469
@mcfinee7469 9 ай бұрын
Emen barikiwa Baba
@bensonndigori
@bensonndigori 6 ай бұрын
God bless you man of God
@mst1studio270
@mst1studio270 6 ай бұрын
Asante Prophet Ezekiel
@hamismabula9934
@hamismabula9934 8 ай бұрын
Ev. Ezekiel ubarikiwe sana!
@user-kt8xh9nj5v
@user-kt8xh9nj5v Ай бұрын
Amina pastor Ezekiel Amen 🙏🙏🙏
@AbrahamMjema-di1li
@AbrahamMjema-di1li 6 ай бұрын
You speak the truth
@user-og2sz9wp2i
@user-og2sz9wp2i 5 ай бұрын
Mungu anipe piya nafasi nimtumikie kwa roho na kwa kweli kama wewe BABA YANGU EZEKIEL
@user-cx6bn6kq5u
@user-cx6bn6kq5u 5 ай бұрын
Amen barikiwa Sana Pastor huko sahihi kabisa YESU Azidi kukutunza
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 ай бұрын
God bless pastor 🙏
@user-db5nx3uc7d
@user-db5nx3uc7d 7 ай бұрын
Amina
@johnmushi5836
@johnmushi5836 5 ай бұрын
God bless u .. Big Postor
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 6 ай бұрын
Hii kitu sio sawa jmn,wenye dhambi waingie kanisani abadilishwe sio kuishi na dhambi zake ndani ya kanisa
@germamassawe6968
@germamassawe6968 6 ай бұрын
Amen Pastor Ezekiel
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 7 ай бұрын
amen pastor
@mlewamlewa976
@mlewamlewa976 8 ай бұрын
Huyo godevi mpuuzi tu , hajitambuwi siku zote Giza na Nuru havifungaman, hyo ,ama abudi miungu sio mungu, mungu ampe mocho yarohon,
@user-zz4qc2ww2x
@user-zz4qc2ww2x 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor umeeleza sahihi kabisa uje na tanzania
@user-zl3wg1xm2e
@user-zl3wg1xm2e 6 ай бұрын
God bless you pastor
@user-ii6oe7df2k
@user-ii6oe7df2k 7 ай бұрын
Amina baba umeogea vizuri sana pasta ezekili
@mamybaraka8115
@mamybaraka8115 6 ай бұрын
Asante sana baba yangu.Mungu aendeleye kukutulindiya
@marklyanga3969
@marklyanga3969 5 ай бұрын
Pasta Ezekiel, asante kwa mwongozo mzuri ktk jambo hili. Swali; ikiwa yuko msichana katika kanisa na anatumia uchawi ili aweze kuzini na mvulana wa kanisani nini kifanyike
@user-ty2lu6ip1m
@user-ty2lu6ip1m 6 ай бұрын
Uko vizuri mchungaji,Mungu akutunze
@uwimanadady6563
@uwimanadady6563 7 ай бұрын
Mungu akutunze
@babahilimollel5254
@babahilimollel5254 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Ezekiel
@user-xb3kc1lz9p
@user-xb3kc1lz9p 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakuombea mema kama ww uniombeavyo mema Ichi za ugaibuni Aki ww Mungu alikutuma Kwa makusidi yake Be blessed dady
@ramadhanwetoto8329
@ramadhanwetoto8329 7 ай бұрын
Mungu akubariki Ezekiel
@user-jm4sx9du9b
@user-jm4sx9du9b 9 ай бұрын
Amen 🙏
@ShakuruFreeman
@ShakuruFreeman 6 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-ys3rf6ch8z
@user-ys3rf6ch8z 7 ай бұрын
Mungu wangu tuhurumie
@NdolozKathele
@NdolozKathele 7 ай бұрын
Mungu azidi kukuongezea hekima mtumishi
@salomondjumajoshua972
@salomondjumajoshua972 6 ай бұрын
Daaaah shida sana...Kanisa limevamiwa .
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 7 ай бұрын
Asante pastor Ezekiel sema baba
@furahamwambola1517
@furahamwambola1517 7 ай бұрын
Neno sana Barikiwa Pastor
@racheluwda6552
@racheluwda6552 7 ай бұрын
Uko saa ii man of God🙏🙏
@aliasha804
@aliasha804 6 ай бұрын
Kweli kabisa pastor wangu
@janetkalu3870
@janetkalu3870 6 ай бұрын
Mungu akumbariki sana pastor
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 ай бұрын
Dunia ni dunia na ufalme ni ufalme wa Mungu kwanini tufanane na wadunia ndani ya kanisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana
@chrissmichaelmashouda1726
@chrissmichaelmashouda1726 6 ай бұрын
Neno zuri mchungaji, hello from Dar es Salaam
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Ila jmn tuwe wakweli mtumishi unaweza weka mambo umiss madhabahuni?
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 6 ай бұрын
Daaah roman catholic hatunaga huu usenge 🙌🙌🙌🙌
@user-zz4qc2ww2x
@user-zz4qc2ww2x 7 ай бұрын
Barikiwa saaana
@geitandelwa299
@geitandelwa299 7 ай бұрын
Mmmmh ni wakati wa kumutafuta MUNGU kuliko chochote shetani anadanganya watu na manabii wa uongo ni wengi mno
@baybeshayo18
@baybeshayo18 6 ай бұрын
Jamani mathabahuni mamisi ni wa nini jamani. tutawatambua kwa matendo
@DominicKimutai-te7md
@DominicKimutai-te7md 6 ай бұрын
Educative talk.
@paulmully3706
@paulmully3706 6 ай бұрын
Mafunzo unayofunza yako sawa mtumishi wa Mungu Ezekiel. Mungu akutie nguvu zaidi.
@user-pg1li2sq7y
@user-pg1li2sq7y 6 ай бұрын
Uko sahihi mtumsh wa mungu
@user-xb5ll1we8s
@user-xb5ll1we8s 6 ай бұрын
Uko sahihi baba yangu Mungu akuweke
@EnockButiko
@EnockButiko 6 ай бұрын
Great projection....
@domitilarwakunda807
@domitilarwakunda807 5 ай бұрын
Mungu akubariki baba yangu ukweli utabaki kuwa kweli sio kupaka fatuta mauvu hekalu la bwana sio ibada ya byashara tuone mbali jamani ata kama ni baba yako uanapo kosea nilazima umupokeye kisha kweli na watu wana aza kuimba nyimbo za kidunia kani sani na wa misses kani sani kweli kisha watu wana sema Ezekiel ni frima kweli anaye ona iyo vituko Mungu atusaidie kwakweli
@williammwakipesile1111
@williammwakipesile1111 7 ай бұрын
Mtumishi upo sawa kabisa tulitoka wapi na tuenda wapi
@user-zk2px8sm6f
@user-zk2px8sm6f 6 ай бұрын
❤❤barikiwa sana mtumwa wayesu🎉🎉
@HMOZ872
@HMOZ872 7 ай бұрын
Kweli kabisa pastor 🙏🙏🙏
@RoseMapunda-pd6vg
@RoseMapunda-pd6vg 4 ай бұрын
Yani huyu nabii mungu amsaidie
@lucyngwale4365
@lucyngwale4365 6 ай бұрын
Mungu akutunze nakuelewa sana
@Rockyline7386
@Rockyline7386 6 ай бұрын
Hatariiii.
@user-eb7yr5bj8l
@user-eb7yr5bj8l 7 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema kweli kbsaaa wote mnaopinga nivipofu wa rohoni
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 6 ай бұрын
Ukristo ni Shiddah😮😮
@rukiaabubakali5886
@rukiaabubakali5886 6 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-gn4ww9sx6v
@user-gn4ww9sx6v 7 ай бұрын
True
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 7 ай бұрын
Jamani Sikuja kuwaita watu wema Bali wenye dhambi ili wapate kutubu..❤❤
@mwalukochimwaga3303
@mwalukochimwaga3303 7 ай бұрын
Muelewe Mchungaji anacho sema, hajakataa wasiomjua kristo wasiingie kanisani, bali ni ajabu sana mtu asiyemjua kristo kuhudumia kanisa.
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 7 ай бұрын
Msikilize pastor vizuri! Hawa wasanii hawakuja kuchukua cha Mungu , wao wameleta vya kwao tena juu ya madhabahu, meaning watu wapokee walichonacho, wao hawakuja kwa habari eti wajue huyo Kristo, bali vyao vipate kibali! Na nabii karuhusu hilo, meaning ndo madhabahu ya hapo ilichokibeba, kuna vitu viko wazi sana! Soma matendo ya mitume 10 yote
@bukurupierre7902
@bukurupierre7902 7 ай бұрын
Inaoneka auja muelewa mbele uongeye musikilize vizuri pastor
@teresanyoero5566
@teresanyoero5566 6 ай бұрын
I support you pas
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 ай бұрын
Nakupenda sana pastor
@shabanilugi5858
@shabanilugi5858 7 ай бұрын
Amen
@SaraphinaPhisoo
@SaraphinaPhisoo 6 ай бұрын
Truee baba
UTHIBITISHO WA UNABII KWA NCHI YA BURUNDI - GeorDavie TV
14:45
GeorDavie TV
Рет қаралды 35 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 7 МЛН
NEWLIFE CHARITY PROGRAM .
41:28
New Life TV KENYA
Рет қаралды 186 М.
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 167 М.
MAMA B: NAJUTA KWANINI SIKUWAHI KUMJUA NABII MKUU - GeorDavie TV
8:30
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН