PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...
Пікірлер: 261
@upendofredrick898810 ай бұрын
Uko sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu, walio katika mwili hawataelewa ila walio katika Roho nadhani wamekuelewa Sana, Mungu azidi kukutunza na uendelee kuyanena maneno ya Mungu kwa ujasili
@LuciaSimeo-yc7hc7 ай бұрын
Wewe nimtumishi, uyo Dev sio mtumishi wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, uyu mtumishi ni wakara wa sheitani.
@LuciaSimeo-yc7hc7 ай бұрын
Watumishi jitaidi kuwajua manabii wa uwongo na wakweli, utamuitaji wakara wa sheitani kusema ni mtumishi wa Mungu
@LivingstoneOdimba-qv5cm7 ай бұрын
That's true pastor.
@user-zf9ou8gb8t7 ай бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏 umesema ukweli mtubu kwa sababu ukiangalia hizo video mwanadada atembea mbele akiwa uji nusu
@labanmwamburi4986 ай бұрын
Roho ipi
@wendynkya13096 ай бұрын
Uko vizuri Pastor shida watumishi wengine wako kimwili zaidi kuliko kiroho,huwezi kuchanganya mambo ya Mungu na ya dunia,huwezi kufanya hekalu la Mungu km soko au mahali pa michanganyo,sasa hapo anahubiri Yesu au anaubiri muziki wa kidunia?Mungu amrehemu
@LucyRobi-iu5rr6 ай бұрын
Napenda pst ezekiel vile unavyo hubiri God bless you ❤
@sophianabintu66667 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishe Ezekeli
@SelinaMalikula6 ай бұрын
Nabarikiwa nawew pastor wangu mungu akutunze maelfu ya miaka
@FortunataMrgwowe-fh2rx7 ай бұрын
Pastor Ezekiel Watumishi wote wa Mungu wakusikie na wawe kama wewe, uko vizuri sana pastor Mungu akutunze
@praisehappiness83126 ай бұрын
MaPastor wote hawwezi kuwa kama ezekiel kila mtu ana mwito wake.kwa mfano ezekiel anavyouza maji na vitamba,Mchungaji mwingie hawezi
@HabilyTech6 ай бұрын
@@praisehappiness8312Hilo neno analoongea wasikie na wazingatie
@luckyngumbi42436 ай бұрын
Hakika mungu unibariki sikuzote hunipa uzima Asante mungu piya naomba unibariki zaidi sikumoja niweze Toka Tanzania nifike Kenya katika nyumba Yako mungu inayotumiwa na huyu mtumishi wako Ezekiel ni imani yangu🙏 Amina🙏
@dadamuebrania15396 ай бұрын
Madhabahu ya Goege David haimuhubiru Yesu Kristo wanazareti definitely So, yanayoendelea hapo nisawa tu
@Solomonkarurek7 ай бұрын
God bless you pastor 🙏
@naylukumay33937 ай бұрын
uko rohoni sana mchungaji kutoka Kenya umejibu vizuri 🎉🎉🎉🎉❤
@user-do1ut4gb1e6 ай бұрын
Hiyo siyo kanisa ni sinagogi la shetani ,Wala usimumunye maneno.Amen
@nyimbozakuabudu26506 ай бұрын
@@magretomondi8312haitaji kutumia akili sana , Yesu alisema utawajua kwa matendo Yao kama ni washetani au wana wa Mungu
@elishabsimkokp83217 ай бұрын
Huyu Pastor Mungu ampe siku nyingi za kuishi na zenye furaha chini ya jua akizihubiri habarii za Bwana
@humphreybilly74376 ай бұрын
Pastor Ezekiel Mungu Akubariki sana.nitakuja Kenya.
@dorothykalikamo6 ай бұрын
Very true, man of God
@wakulampekazadi29877 ай бұрын
Merci excellence pasteur pour tes conseils afin d'hériter la vie éternelle depuis DRC( Lubumbashi)
@endrewmwasomola65067 ай бұрын
Mungu akutunze pastor kwa kusema ukweli
@MatiasMandi7 ай бұрын
ubalikiwe pastor ezekiel kwakusema ukweli Mungu akuongezee nguvu zaidi
@user-ny5we4kj3u7 ай бұрын
Truly said man of God. Educative.
@placidkomba97017 ай бұрын
it's very true man of God
@fridaminja71917 ай бұрын
Dah Mungu atusaidie mkewake anapitia changamoto sana basi tuu anashindwa afanyaje. Mchungaj G hapana kwakwel
@user-sk9zr4bn2k6 ай бұрын
Naitwa james anton nipo tz mchungaji ukweli mungu akuongezee baraka ktk huduma zako zote zaibada nk,ubarikiwe pamoja na sis amen
@SelinaMalikula6 ай бұрын
Aminaaaa
@helenayamwaka2117 ай бұрын
Geo dave aombewe rehema. Kamuacha Mungu zamani
@user-do2wb3rb7h7 ай бұрын
Nabii WA uongo aliwahi Kua WA ukweli. Geordavie ashakengeuka
@user-tj3wu4jw2p9 ай бұрын
Nihatari, heshima ya Mungu imepewa mwanadamu
@ChescoMartin-ni3ql5 ай бұрын
Amen sana mtumishi Bwana aizidishe hekima ya utakatifu ulionao
@charlesmbunda67597 ай бұрын
Waana wa ULIMWENGU huu, watakubeza!! Ila tunaoipenda Mbingu, tunakubaliana 100% na wewe!
@johnsimbeye76926 ай бұрын
Amen watching you from Zambia Lusaka 🇿🇲
@shirimaanthoni9510 ай бұрын
I got you pastor
@ConfusedChicken-ze9fz6 ай бұрын
Me too isay may God bless you so much man of God
@apostlesammymutachicfc.37447 ай бұрын
Kwa dalili nyingi, zinaonyesha Geordavie amepoteza mwelekeo.
@OMEGATVTANZANIA7 ай бұрын
Sema ukweli pasta napenda nije kuimba kwako mwimbaji naitwa Obadiah Jackson toka tanzania
@SifaelMpagike-gt1gz6 ай бұрын
Kweli Amezidi sana anapiga bongo flavor kanisani😱😱😱 Ni hatari sana
@peterodera56856 ай бұрын
God bless you pastor.
@habililailo2717 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi Mungu akubariki sana
@DominaPatrick-ri8sc6 ай бұрын
Ameen pastor ubarikiwe sana mungu azid kukueka zaid na zaid ameeeen naiwe ivyooooo kwa jina la yesu
@Rashid-vm1fk7 ай бұрын
Wenye macho wanajua kuwa hii ni agenda ya shetani,tatizo sisi binadamu hatujui majira na nyakati, haya lazima yatokee ili kuyatimiza mandiko maana kila kitu lazima kitokee ili YESU KRISTO arudi ila ole wao.
@NATACIARAPHAEL-iz8kr7 ай бұрын
Kabisa
@amanimakombe71416 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe sanaa baba
@magrethtenga92176 ай бұрын
Ubarikiwe Mt...
@JemaMbwilo4 ай бұрын
Hakika mtumishi wa Bwana Yesu sisi ndo wa kuigwa na kufatwa na sio sisi wana wa Mungu kuwafuata wao
@user-sw8fo7wz8i6 ай бұрын
Sawa Kabisa Mtumishi wa Mungu, huo ndiyo Ukweli Kabisa, Kabisa.!
@mcfinee74699 ай бұрын
Emen barikiwa Baba
@bensonndigori6 ай бұрын
God bless you man of God
@mst1studio2706 ай бұрын
Asante Prophet Ezekiel
@hamismabula99348 ай бұрын
Ev. Ezekiel ubarikiwe sana!
@user-kt8xh9nj5vАй бұрын
Amina pastor Ezekiel Amen 🙏🙏🙏
@AbrahamMjema-di1li6 ай бұрын
You speak the truth
@user-og2sz9wp2i5 ай бұрын
Mungu anipe piya nafasi nimtumikie kwa roho na kwa kweli kama wewe BABA YANGU EZEKIEL
@user-cx6bn6kq5u5 ай бұрын
Amen barikiwa Sana Pastor huko sahihi kabisa YESU Azidi kukutunza
@shukranjulius95266 ай бұрын
God bless pastor 🙏
@user-db5nx3uc7d7 ай бұрын
Amina
@johnmushi58365 ай бұрын
God bless u .. Big Postor
@user-eb3hf1lm9e6 ай бұрын
Hii kitu sio sawa jmn,wenye dhambi waingie kanisani abadilishwe sio kuishi na dhambi zake ndani ya kanisa
@germamassawe69686 ай бұрын
Amen Pastor Ezekiel
@luckymsomba48187 ай бұрын
amen pastor
@mlewamlewa9768 ай бұрын
Huyo godevi mpuuzi tu , hajitambuwi siku zote Giza na Nuru havifungaman, hyo ,ama abudi miungu sio mungu, mungu ampe mocho yarohon,
@user-zz4qc2ww2x7 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor umeeleza sahihi kabisa uje na tanzania
@user-zl3wg1xm2e6 ай бұрын
God bless you pastor
@user-ii6oe7df2k7 ай бұрын
Amina baba umeogea vizuri sana pasta ezekili
@mamybaraka81156 ай бұрын
Asante sana baba yangu.Mungu aendeleye kukutulindiya
@marklyanga39695 ай бұрын
Pasta Ezekiel, asante kwa mwongozo mzuri ktk jambo hili. Swali; ikiwa yuko msichana katika kanisa na anatumia uchawi ili aweze kuzini na mvulana wa kanisani nini kifanyike
@user-ty2lu6ip1m6 ай бұрын
Uko vizuri mchungaji,Mungu akutunze
@uwimanadady65637 ай бұрын
Mungu akutunze
@babahilimollel52546 ай бұрын
Ubarikiwe sana Ezekiel
@user-xb3kc1lz9p6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakuombea mema kama ww uniombeavyo mema Ichi za ugaibuni Aki ww Mungu alikutuma Kwa makusidi yake Be blessed dady
@ramadhanwetoto83297 ай бұрын
Mungu akubariki Ezekiel
@user-jm4sx9du9b9 ай бұрын
Amen 🙏
@ShakuruFreeman6 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-ys3rf6ch8z7 ай бұрын
Mungu wangu tuhurumie
@NdolozKathele7 ай бұрын
Mungu azidi kukuongezea hekima mtumishi
@salomondjumajoshua9726 ай бұрын
Daaaah shida sana...Kanisa limevamiwa .
@emmiemmi38617 ай бұрын
Asante pastor Ezekiel sema baba
@furahamwambola15177 ай бұрын
Neno sana Barikiwa Pastor
@racheluwda65527 ай бұрын
Uko saa ii man of God🙏🙏
@aliasha8046 ай бұрын
Kweli kabisa pastor wangu
@janetkalu38706 ай бұрын
Mungu akumbariki sana pastor
@JemaMbwilo4 ай бұрын
Dunia ni dunia na ufalme ni ufalme wa Mungu kwanini tufanane na wadunia ndani ya kanisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana
@chrissmichaelmashouda17266 ай бұрын
Neno zuri mchungaji, hello from Dar es Salaam
@christinewomanoffaith54796 ай бұрын
Ila jmn tuwe wakweli mtumishi unaweza weka mambo umiss madhabahuni?
@user-br4tl7jv9j6 ай бұрын
Daaah roman catholic hatunaga huu usenge 🙌🙌🙌🙌
@user-zz4qc2ww2x7 ай бұрын
Barikiwa saaana
@geitandelwa2997 ай бұрын
Mmmmh ni wakati wa kumutafuta MUNGU kuliko chochote shetani anadanganya watu na manabii wa uongo ni wengi mno
@baybeshayo186 ай бұрын
Jamani mathabahuni mamisi ni wa nini jamani. tutawatambua kwa matendo
@DominicKimutai-te7md6 ай бұрын
Educative talk.
@paulmully37066 ай бұрын
Mafunzo unayofunza yako sawa mtumishi wa Mungu Ezekiel. Mungu akutie nguvu zaidi.
@user-pg1li2sq7y6 ай бұрын
Uko sahihi mtumsh wa mungu
@user-xb5ll1we8s6 ай бұрын
Uko sahihi baba yangu Mungu akuweke
@EnockButiko6 ай бұрын
Great projection....
@domitilarwakunda8075 ай бұрын
Mungu akubariki baba yangu ukweli utabaki kuwa kweli sio kupaka fatuta mauvu hekalu la bwana sio ibada ya byashara tuone mbali jamani ata kama ni baba yako uanapo kosea nilazima umupokeye kisha kweli na watu wana aza kuimba nyimbo za kidunia kani sani na wa misses kani sani kweli kisha watu wana sema Ezekiel ni frima kweli anaye ona iyo vituko Mungu atusaidie kwakweli
@williammwakipesile11117 ай бұрын
Mtumishi upo sawa kabisa tulitoka wapi na tuenda wapi
@user-zk2px8sm6f6 ай бұрын
❤❤barikiwa sana mtumwa wayesu🎉🎉
@HMOZ8727 ай бұрын
Kweli kabisa pastor 🙏🙏🙏
@RoseMapunda-pd6vg4 ай бұрын
Yani huyu nabii mungu amsaidie
@lucyngwale43656 ай бұрын
Mungu akutunze nakuelewa sana
@Rockyline73866 ай бұрын
Hatariiii.
@user-eb7yr5bj8l7 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema kweli kbsaaa wote mnaopinga nivipofu wa rohoni
@sokakilumbi92936 ай бұрын
Ukristo ni Shiddah😮😮
@rukiaabubakali58866 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-gn4ww9sx6v7 ай бұрын
True
@octavinaalphonce68987 ай бұрын
Jamani Sikuja kuwaita watu wema Bali wenye dhambi ili wapate kutubu..❤❤
@mwalukochimwaga33037 ай бұрын
Muelewe Mchungaji anacho sema, hajakataa wasiomjua kristo wasiingie kanisani, bali ni ajabu sana mtu asiyemjua kristo kuhudumia kanisa.
@valeriamtenga33847 ай бұрын
Msikilize pastor vizuri! Hawa wasanii hawakuja kuchukua cha Mungu , wao wameleta vya kwao tena juu ya madhabahu, meaning watu wapokee walichonacho, wao hawakuja kwa habari eti wajue huyo Kristo, bali vyao vipate kibali! Na nabii karuhusu hilo, meaning ndo madhabahu ya hapo ilichokibeba, kuna vitu viko wazi sana! Soma matendo ya mitume 10 yote
@bukurupierre79027 ай бұрын
Inaoneka auja muelewa mbele uongeye musikilize vizuri pastor