EXCLUSIVE: MUHUBIRI DR. GEORDAVIE AFUNGUKA YOTE, KUTEMBEA NA WALINZI, KUPANGA KIWANGO CHA SADAKA N.K

  Рет қаралды 372,583

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 1 300
@OLE8894
@OLE8894 2 жыл бұрын
Milad is super genius he's so confident .
@chumusamuel80
@chumusamuel80 Жыл бұрын
Mtumishi hongera kwa maelezo mazuri na huduma njema ila kumbuka usipasahau madugike p/school kuweka alama yako kwa namna Mungu alivyokuinua
@AndrewGerayo
@AndrewGerayo 3 ай бұрын
Ubarikiwe nabii mkuu kwa huduma yako tuombee na sisi atuinue katika huduma zetu changa mchungaj andrew gerayo mwanza
@prophetsayitv1541
@prophetsayitv1541 2 жыл бұрын
Ahsante Sana Mirlad Ayo, ubarikiwe Sana, kwa kutuhabarisha Habari za ukweli, Nimefurahi kusikia na kuona Upo kwa Nabii Mkuu, Nabii Mkuu Geodav ndiye Nabii anayetumiwa Sana na Mungu kuwainua Watumishi wadogo, Nabii Mkuu Geodav Ni Nabii ambaye hana wivu. Anatamani Watumishi wengine pia wainuliwe Nabii mwenye Upendo na UKARIMU wa kimungu.
@edwardzakayo3140
@edwardzakayo3140 2 жыл бұрын
Daaah., Mungu atabaki kuwa Mungu ,yoote aliyoongea mtu wa Mungu ni kweli kabisa ,Mwaka wa 1994 nilikuwa kiongozi wa vijana nyumban kwake sebuleni na nilikuwa nikipiga naye story ya Neno la Mungu kila baada ya Ibada ,alikuwa akifundisha Sana kuhusu kuwa na Maono makubwa Sana!!!!!Mungu ni mwema...ni Mimi Edward Zakayo!
@Wamimedia
@Wamimedia 2 жыл бұрын
Hatarii aisee
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 Жыл бұрын
Hamna kitu huyu nabii wa mchongo
@catherineramadhani33
@catherineramadhani33 Жыл бұрын
Hilo sio tatizo yawezekan alianza vzr na Bwana ila kwa sasa hpn kashakua wa mchongo
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@catherineramadhani33 ww ndio wa mchongo halafu acha kushambulia manabii wa Mungu
@catherineramadhani33
@catherineramadhani33 Жыл бұрын
@@madetetv6576 kakojoe ulale😏
@shedracksimbeye8460
@shedracksimbeye8460 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥 So excellent interview ya kibabe Sana big up my brother Millard Ayo ufalme wa Mungu umewafikia wengi Heshima kwako Baba Mh Nabii Mkuu
@isakamangola1617
@isakamangola1617 2 жыл бұрын
Very smart in all angles man of God ......I real appreciated you though I never come
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Ni sihukumu ili nami nisije hukumiwa, Ee Bwana Yesu niombee pia niongoze imani yangu iongezeke kiroho 🙏🏽🙏🏽
@hancevalence4936
@hancevalence4936 2 жыл бұрын
omba lolote kwa jina lak nawe utapata,sio akuombee,akuombee wapi
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
@@hancevalence4936 Unanitaka nn ndg yangu? Labd nikupe ili usinighabishe na kwann uparamie comment isio kuhusu? Sitaki kkujibu vibaya sawa
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 2 жыл бұрын
@@hancevalence4936 “Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye MWOMBEZI kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, ” - 1 Yohana 2:1 (Biblia Takatifu)
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 Жыл бұрын
Amina docras umenena vyema
@ibrahimsokoine
@ibrahimsokoine Жыл бұрын
⌚️NASUBILI MAJIRA YA MUNGU KWAKWELI NIMEKUELEWA
@Alex_Anania
@Alex_Anania 2 жыл бұрын
Asante Sana Prophet na Millard.
@ramadhanimasudi6904
@ramadhanimasudi6904 2 жыл бұрын
Kuna watu wanaweza kuponda watumishi ama watu wanaolitangaza neno la Mungu. Ila ukweli unabaki kua, ni heri hawa wanalifundisha neno la Mungu kuliko wewe unaeponda usie kua na mchango ama faida yoyote katika neno la Mungu.
@issamwakapiki5858
@issamwakapiki5858 2 жыл бұрын
It to
@ejelanta7829
@ejelanta7829 2 жыл бұрын
Umeongea kama wazee 20,hata mimi huwa nawaza hivyo hivyo.Hua najisemea bora yeye kuliko mimi hata kufanya usafi kanisani sifanyi
@castrokassoga7271
@castrokassoga7271 2 жыл бұрын
Heri asiyemjua Mungu kuliko wanaomposha na kuhubiri uongo hao Mungu anawaita mbwa.soma yohana 8:44 ufunuo 21:6:ufunuo 22:15
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Жыл бұрын
Siku hiyo Yesu atasema ondokeni kwangu Mimi (Yeye) siwajui mlio laaniwa, wao watasema tuliponja kwa jina lako nakufufua kwa jina lako tafakari hayo yakusaidie
@user-ni7ke3hp1q
@user-ni7ke3hp1q 5 ай бұрын
Lovely interview God bless you both
@joycesalvatory7768
@joycesalvatory7768 2 жыл бұрын
Amina Tutumike kama Bomba la Maji Mungu akubariki, utoaji Kwa wahitaji ndio Siri ya kupokea thawabu kutoka Kwa Mungu, wanaokuhukumu wanajitengenezea vitanzi maishani mwao na vizazi vyao, ACHA injili isonge mbele
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
Millard jasiri kwel kumhoji nabii mkuu nadhan haikua kazi rahisi.congratulation millard.Mungu akubariki Nabii wa Bwana Mh.Geordavie.
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 2 жыл бұрын
Huo Ukuu wa Unabii wake aliuidhinisha nani? Akina Isaya, Ezekieli na manabii wengine mbona hawakujiita wao wenyewe majina ya kujitutumua kama hawa?
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
@@ericstephenm.844 Sahihi
@goodluckjustin8579
@goodluckjustin8579 2 жыл бұрын
Tunaishi kwenye dunia yenye dhambi ,Ambayo kwasasa hali ya dhambi mtaani imechukuliwa kua ya kawaida sana.Sitaki kuhukumu lolote ila ni kheri huyu anaeishi kwa neno la Mungu na kuiishi nalo kuliko wengi wetu tunaoishi kwenye dhambi ambayo tumezoea na kuona ni kawaida . Tuombe Mungu atupe neema na hekima ya kujua neno lake ili tuishi tukimtegemea yeye.🙏🏽
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 2 жыл бұрын
Kweli kweli tupu.
@ejelanta7829
@ejelanta7829 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu
@WillyMetta
@WillyMetta 2 жыл бұрын
Kweli
@djejjjejeje2825
@djejjjejeje2825 2 жыл бұрын
Amen
@Platnumz11
@Platnumz11 2 жыл бұрын
Jama huyu mwongo sana daha shetani anaweza kukujiya kwa njiya nyingi sana na alijuwa imani ya huyu jama
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
Huyu prophet ni mtoaji Sana namkubali ana moyo we kijitolea
@mwanahamisbwanga1184
@mwanahamisbwanga1184 2 жыл бұрын
Sanaaa mtoaj sanaa uyu baba
@nangatv9218
@nangatv9218 2 жыл бұрын
Anatoa nini na ss tuje
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
@@nangatv9218 mfatilie utajua anatoa nini..
@josephinemaendaenda3259
@josephinemaendaenda3259 Жыл бұрын
Asante miradi hayo.naomba mwambie nabii mkuu dr jodev.mimi mwenyekiti wa mtaa janga mlandizi.mwambie nabii anisaidie mabat niezeke ofisi ya ser ya kitongoji.tunaitaji bat 80
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 Жыл бұрын
Nimeipenda hii interview imeondoa maswali yangu na sasa namuamini nabii mkuu.Naomba rehema kwa kwa kuwaza tofauti.
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Жыл бұрын
Unaomba rehema kwa Nani?
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Жыл бұрын
Mwamini Mungu pekee kupitia kwa Yesu, Mwanadamu atakutenda Nini?
@benjaminmachange6239
@benjaminmachange6239 2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi umetoka mbali na miladi yupo vzr kwa mahijiano safi sana milad
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 2 жыл бұрын
Hongera sn kwa kazi ya Mungu Nabii
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 3 ай бұрын
Baba napenda sana huduma Yako naipenda mno mungu akulinde akupe maisha marefu akulinde nakila kitu kibaya
@shaluamagandi2184
@shaluamagandi2184 2 жыл бұрын
Interview nzuri sana. Ubarikiwe na MUNGU Dr Davies. Mungu akuinue zaidi na kufanyika baraka kwa watu wote.AMEN 🙏 🙏 🙏
@joycemalima2790
@joycemalima2790 Жыл бұрын
Nabii mkuu, umesahau kutaja kiti chako cha ushuhuda, kiti Cha machozi Cha kuombea maono yako ya kazi, miaka 30 iliyopita. Ubarikiwe na mama Anna na watoto wenu
@mahubiritv
@mahubiritv Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qYDLpXuBhpt2mMU
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 жыл бұрын
Huyu baba ni mchungaji smart since day one tatizo watu wamezoea kuona watumishi wa Mungu wakiwa wamepauka..
@florahemmanuel8323
@florahemmanuel8323 2 жыл бұрын
Ndio tunapofail hapo yani Mitazamo haijabadikishwa
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Umepotea dada!! Kumbe hujui.
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 жыл бұрын
@@micamathew2595 hongera wewe unaejua Geordavie namfahamu tokea 2005 wewe ambaye umemuona sasa hivi mtandaoni ndo unashangaa na amekuwa role model wa wachungaji wengi.
@giuseppemanaos75
@giuseppemanaos75 2 жыл бұрын
Mimi naswali... Mwanzo alikuwa anasali wapi... Nini kimefanya afungue kanisa lake..? Why asingefanya ndani ya hilo.. Kanisa ambalo alikuwa anasali...?
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 2 жыл бұрын
Very smart ndani mpaka nje
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 2 жыл бұрын
Nabii Mungu aendelee kukutumia vema kutimiza agano lake kwako. Hongera sana. Milad God bless you man, unapambana mno , una bidii na ni jasiri pia
@kulwamigo9127
@kulwamigo9127 Жыл бұрын
Bonge la interview,nimeridhika. Hongeren, tuzidi kumtafuta Mungu..Mungu awabariki🙏
@evasonlushaka767
@evasonlushaka767 2 жыл бұрын
Millard uko vizuri. Nimesikitika swali lakoulilotakakuuliza ukalisahau kutokanana maelezo " neno ngurumo lilikujaje" Othrwiseam proud you since day one. Stay blessed
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Huyu alikuwa akijulikana kwa jina la George David Kasambala, enzi hizo anaimba sana nyimbo za Mungu. Anajua kuimba sana.
@solangesola1952
@solangesola1952 2 жыл бұрын
Nakupenda past
@abedkirway9020
@abedkirway9020 2 жыл бұрын
Nimesikiliz kwa umakin Mwenyez Mungu awabrik Mh nabii mkuu Geardav n milad ayo kwa kaz ya kutumikia jamii asanten san
@comradeambrocedaviemalai5871
@comradeambrocedaviemalai5871 2 жыл бұрын
Kongole sanaa Comrade Doctor Geordavie, interview nzuri sana.watumishi wakubwa Wanyeyekevu wa MUNGU kama wewe ndiyo tunawahitaji katika Taifa Letu...Dumu kuiombea Taifa Letu na Chama Chetu CCM.
@jamesobedy3687
@jamesobedy3687 2 жыл бұрын
bora udang'anywe na anaye tumia neno la Mungukuliko udang'anywe na mganga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🇧🇮🇧🇮
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 жыл бұрын
Umewasahau wanasiasa
@preciousgrayson2021
@preciousgrayson2021 2 жыл бұрын
Mbona wanganga ndo wengi makanisani sema wanajiita manabii na wachungaji sio wote wa ukweli
@ibrahkazoba3678
@ibrahkazoba3678 Жыл бұрын
Unamaanisha Kuna Dhambi Njema? 😁
@hindisaid2413
@hindisaid2413 Жыл бұрын
Mwizi ni mwizi hata awe mzungu
@kyagaribabamwongera5271
@kyagaribabamwongera5271 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Millard kwa kutufikishia HUYU baba I feel blessed
@anethmichael3893
@anethmichael3893 2 жыл бұрын
Sanaaaa barikiwa millard
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 жыл бұрын
Wow nice karibu tena mombasa tunakupenda sana
@danielladavid2251
@danielladavid2251 2 жыл бұрын
Wow Nabii Hongera sana sana ilikuwa one of the powerful Anointing Nabii mkuu
@yusterbmwaipungu929
@yusterbmwaipungu929 2 жыл бұрын
Ubarikiwe nabii wa Mungu nimekuelewa sana majibu yako
@edwinmaruchu5566
@edwinmaruchu5566 2 жыл бұрын
Hongera Miladi Ayo kwa kutuletea mahojiano na Nabii huyu ambae ni adimu sana kuonekana. Napenda sana mahubiri yake sababu hufundisha watu namna ya kuishi ,pia namna ya kufanikiwa. Namnukuu "Usipochosha akili ukiwa kijana utauchosha mwili ukiwa mzee" "Time the time before time time's you" Namkubali sana.
@frankmasabo4460
@frankmasabo4460 Жыл бұрын
Mh
@jamesmpiluka4041
@jamesmpiluka4041 Жыл бұрын
🤣
@mahubiritv
@mahubiritv Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qYDLpXuBhpt2mMU
@glorythomas7650
@glorythomas7650 2 жыл бұрын
Love u Daddy 😘 am greatful God gave u to us 🤗
@sweetbertbichumu528
@sweetbertbichumu528 2 жыл бұрын
Doctar Nabii anazungumza Vizur Sana pia hongera Sana Milad Ayo,, kwa kuweza kumfikia mtumishi wa MUNGU,, HAKIKA MUNGU FUNDI
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 жыл бұрын
Nakumbuka 2006 nikiwa form two viwanja vya MRINGA Secondary ulikuwa unafundisha somo la imani.ilikuwa nzuri sana..
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 2 жыл бұрын
Huwa najiuliza mbona watu wakiona manabii wanafanya miujiza wanasema ni freemason,, kwani kwa Mungu Hakuna vitu vizuri!? Mpaka nabii awe anatumia nguvu za giza?, Mbona mtu akiambiwa kuna mganga kiboko na anataka pesa ya maana tu Ndo akuhudumiae asilalamike, lakini watumishi watu wanasema wanataka tu sadaka, Hakuna huduma inayoenda bila pesa
@oscarnyakunga3113
@oscarnyakunga3113 2 жыл бұрын
Wajinga mtu akiwa tajiri wachawi
@massawegod5942
@massawegod5942 2 жыл бұрын
True sema kwa wengi masikini huwaga wanawaza kuhusu sadaka sio huduma
@aikashayo4305
@aikashayo4305 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Millard kwa kutuletea Nabii Dr.Geodavie
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 2 жыл бұрын
Ukikutana na Nabii mkuu Geordavie, lazma maisha yako ya yabadilike. Kama ilivo kwangu.
@shekinahrevivalinternation6614
@shekinahrevivalinternation6614 2 жыл бұрын
Nimekukubati Baba ,nimesikia habari zako kwa ubaya miaka mingi sikukufuatilia Mungu Leo amenipa neema kupitia mahojiano haya kwa kweli nimemtukiza Mungu ,kwa hazina hii Tanzania .Mimi ni Askofu mkuu wa Shekinah Revival International mission Church [SRIMC] nitakutafuta Baba nimependa majibu yako .
@bestkimali216
@bestkimali216 2 жыл бұрын
Nmeheshimu kila kitu ulichokiongea mtumishi naku~respect sana na nmejifunza sana na ntasogea hatua moja katka huduma nuliyopewa na Mungu🙏🙏
@gracekirway8720
@gracekirway8720 9 ай бұрын
Shalom. ..Dad! I miss you so much also i miss NYU,nawapenda sana.,.mtumishi mwanafunzi Grace
@janesiwingwa3142
@janesiwingwa3142 2 жыл бұрын
He's very smart... I love him so much.... Nabii mkuu
@coolzeddy_official9216
@coolzeddy_official9216 2 жыл бұрын
Baba muheshimiwa Nabii Mkuu Geordavie, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu🙏
@atukuzwelameck4324
@atukuzwelameck4324 2 жыл бұрын
Eheheeeeee😂💔🙌 Make apo kwanza ncheke😂 yesu angaliaga na watu wa kuwapa ufunguo basi😂
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 2 жыл бұрын
KAKA MILAD SIJAWAH KUKOMENTI KWAKO HAKIKA UMETISHA SANA.... UR SUPer super super zaidi... kunywa soda nitalipa
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutuza Nabii wetu. Asiokuelewa basi sisi tunakuelewa
@prophetsayitv1541
@prophetsayitv1541 2 жыл бұрын
Nabii Mkuu, Kweli Mungu anakutumia Sana kwa miujiza mikubwa Sana, Nakumbuka ulifanya mkutano mkubwa Jijini mwanza vilema walitembea, vipofu waliona Lakini hata baada ya mkutano, Wagonjwa walipokanyaga eneo ulipokuwa mkutano waliponywa.
@oliversambala5999
@oliversambala5999 2 жыл бұрын
Namuomba Mungu atupe kibali na watoto wangu tufike Ngulumo ya upako tufunguliwe.Amen.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Ufunguliwe nini sasa?
@yuzotv458
@yuzotv458 6 ай бұрын
​@@noelbryson7840anataka akamuone mtu aliemuona yesu bro😂😂😂😂.
@janethnkembo9194
@janethnkembo9194 2 жыл бұрын
Nakukubali sana nabii.mungu azidi kukupa mema
@LatiphaMayemba
@LatiphaMayemba 2 ай бұрын
Nabaii .mkuu mungu akupe miaka Mingi Ili uweze kusaidia wenye uitaji Mimi nina changamoto sana ya maisha Ninaumwa tumbo Nina madeni ata Sina Raha ya maisha ata Leo Nina daiwa sielewi naipata wapi!! Nisaidie baba nabii mkuu na mungu akubariki sana 51:15
@jameskenny1808
@jameskenny1808 2 жыл бұрын
Starehe za duniani ni nyingi sawa na hali yenu ila vyote vina mwisho wao. Don’t forget about anything but remember that you have to pay back after everything you are doing
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo 2 жыл бұрын
Interview nzuri Sana. Mm nikianzia career ya kutangaza kwenye Radio ya Dr Geordavie 2009
@sanyajuutv2679
@sanyajuutv2679 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 2 жыл бұрын
Miradi Ayo...wewe Ni super kjana 💪 kazi safi Sana aiseee una kpaji
@farihiamass8739
@farihiamass8739 2 жыл бұрын
Mallard u rock it maaaaan!!
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 2 жыл бұрын
Atawadanganya wale ambao hawamjui Mungu na wale wasiomjua shetani
@williamraphael2881
@williamraphael2881 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana , nimekuelewa mno
@kelvinnassary6165
@kelvinnassary6165 2 жыл бұрын
Asante Millard Ayo kwa kunikutanish na nabii kupitia interview
@goodluck373
@goodluck373 2 жыл бұрын
Interview bora sana kutokea. Asante sana Millard kwa unyenyekevu wako mbele ya Mtumishi wa Mungu. Una nidhamu mno na ustadi wa kutosha katika kazi yako. Hakika umetusaidia sana kufahamu mengi juu ya Nabii Mkuu, Mheshimiwa Dr. Geordavie. Hakika tumebarikiwa
@abelakabalimu4135
@abelakabalimu4135 2 жыл бұрын
Tuombee na as milad tutoke kama wewe. Nakukumbka sana milad mung akutie ngv
@emmdotsea
@emmdotsea 2 жыл бұрын
Ni kiongozi wa manabii wa uongo.
@victoriajulius5072
@victoriajulius5072 2 жыл бұрын
@@emmdotsea usihukumu kabla hujaukumiwa lkn kama unauhakik ubarikiwe
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 2 жыл бұрын
@@emmdotsea Wewe muumini wa Zumaridi mfate sentro ondoka hapa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 2 жыл бұрын
@@emmdotsea Zumaridi campany!
@nessa4899
@nessa4899 2 жыл бұрын
Baba Geo Davie siku zote nakupenda, Mungu akuweke, akutunze na akubariki.
@felistertsere2011
@felistertsere2011 Жыл бұрын
Mungu tupe macho ya rohoni siwezi kuongea mengi ila mwenyezi mungu ndo anayejua ila maandiko yameandikwa jihadharini mtu asikudanganye wengi watakuja kwa jina langu wakisema Mimi ndiye nao watawadanganya wengi lakini msitishwe haya hayana budi kutokea
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 2 жыл бұрын
Millard yuko vizuri Jaman Mungu Akuzidishie
@janetngui487
@janetngui487 2 жыл бұрын
Much blessed watching this,be blessed servant of God,from Kenya wish one day nitafika kanisani,am happy coz I was given the key ambazo amedescribe,I hope God atatenda kwangu pia,
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 жыл бұрын
Duh!
@nassibabdallah566
@nassibabdallah566 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atuokoe kwa watu kama hawa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 2 жыл бұрын
Akuokoe ww uwe na upeo wa kumjua Mungu zaidi.
@milickenock9275
@milickenock9275 2 жыл бұрын
Wajinga ndiyo waliwao
@milickenock9275
@milickenock9275 2 жыл бұрын
Katokewa na yesu 😀😀😀
@highthemetv7857
@highthemetv7857 2 жыл бұрын
Akuokoe wewe ngurue
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 Жыл бұрын
Wenye majini yao
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba good interview
@tracyyusuph5466
@tracyyusuph5466 Жыл бұрын
Napenda huduma zako baba mbarikiwa GeoDev naomba Sana unikumbuke siku zote mm na familia yangu ktk maombi yako baba mtukufu.Kiukweli nabarikiwa mno na huduma zako mtumishi.
@irenesaigilu4214
@irenesaigilu4214 2 жыл бұрын
Best interview ever love you Daddy
@florianakhweso5749
@florianakhweso5749 2 жыл бұрын
Thank you daddy, I proud you as my spiritual father,Your story is totally healing me. Glory to Jesus Christ who gave you.
@johnsonulomi993
@johnsonulomi993 2 жыл бұрын
Mwiz mijitu aina akil inaibiwa sana
@DBrownstain
@DBrownstain Жыл бұрын
Millard Ayo, nimesikiliza mahojiano haya na yamenibariki sana, hongera kwa kuhoji vizuri kwa ufundi na kwa nidhamu safi. Nimejifunza vingi juu ya hekima ya mtumishi huyu. MUNGU AWABARIKI NYOTE
@meshacklekie4002
@meshacklekie4002 Жыл бұрын
Karibu Europe baba 🙏🙏
@mazoenyongo1479
@mazoenyongo1479 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu mm ninashida sana nilikuwa nakuomba unisaidie laki mbili nijisaidie ninunue chakula mtumishi wa Mungu,
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 2 жыл бұрын
Ameen
@gesha4759
@gesha4759 2 жыл бұрын
Only God knows
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 жыл бұрын
Milad sautiii Jana iko powa sana
@sarawinnerexaud4510
@sarawinnerexaud4510 2 жыл бұрын
millard kazi nzuri👏
@sarawinnerexaud4510
@sarawinnerexaud4510 2 жыл бұрын
I love u my spiritual dad God bless you forever through you we are being energetic
@mahubiritv
@mahubiritv Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qYDLpXuBhpt2mMU
@christineneema3008
@christineneema3008 2 жыл бұрын
This interview is very perfect
@joshuamolleli3471
@joshuamolleli3471 2 жыл бұрын
Congratulations Father
@msafirimfilinge4308
@msafirimfilinge4308 Жыл бұрын
I fill blessed jesus
@petermollel1471
@petermollel1471 2 жыл бұрын
Wonderful man of God. Amina
@ab3ab313
@ab3ab313 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefuuuuu
@emmdotsea
@emmdotsea 2 жыл бұрын
Soma Mathayo 7:21-23 na Mathayo 23:25-28
@mamertarweyemamu3438
@mamertarweyemamu3438 Жыл бұрын
Wewe ni mpinzani was kristu.
@mahubiritv
@mahubiritv Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qYDLpXuBhpt2mMU
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Ila Hapo pa kumwona yesu live umetupiga na kitu kizito kichwani. Ila hongera na ubarikiwe kwa kazi yako.
@isiakamfugale3621
@isiakamfugale3621 2 жыл бұрын
Hapo tumepigwa na likitu lizito bhana
@jamesgasper731
@jamesgasper731 2 жыл бұрын
Inawezekana ata Mimi alinitokea
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 2 жыл бұрын
😂😂😂😂hata Musa hakumuonaaa Ila yy anadai alimuona 🤸🤸🤸
@talhiyaibrahim1074
@talhiyaibrahim1074 Жыл бұрын
Sikweli unadanganya kwa kweli muogp mungu funguo Jesu labda za nymbn kwako
@makambakogottalent7969
@makambakogottalent7969 Жыл бұрын
Nimeipenda psychological answering kweli ni nabii na msomi mungu akubariki
@noelgodson691
@noelgodson691 2 жыл бұрын
Nabii mtu wa mungu namshukuru sana mungu wako kwa maisha yako ..asante sana baba umebadilisha sana maisha yangu
@leahchalresi5632
@leahchalresi5632 2 жыл бұрын
Jamani ndungu naomba msipende kuwaziak watumishi sisi jukumu retu nikusikiliza tu ukiona umuerewi nibola uwache kumsikiliza kuliko kumuukumu
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 2 жыл бұрын
Kweli nakupongeza ndugu yangu kwa kusema ivyo ivii unawezaje kumuongelea vibaya Mtumishi wa Mungu haki Mungu atusameehee
@djwise1887
@djwise1887 2 жыл бұрын
@@vailethkinabo7961 kwani yeye ni mkamilifu?? Yeye ni mtu kama watu wengine Hata yesu alikosolewa akiwa ni Mungu. Je yeye ni nani?? Kinachotakiwa sisi sote tuwe wa unyenyekevu kwa Mungu na sio kuwapatia utukufu watumishi wa Mungu kama watu wengi wanavyowapatia heshima kubwa manabii kuliko Mungu. Na manabii hawa wengi hawana unyenyekevu kwa Mungu.
@jonathankyando2698
@jonathankyando2698 2 жыл бұрын
@@vailethkinabo7961 acha uoga wa kijinga😂
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 Жыл бұрын
Yesssssssss ,,mh Jokate Mwegelo schools
@gigxjr9754
@gigxjr9754 Жыл бұрын
Unajiunuwa sana na kujitukuza sana,kuliko Yesu kristo !
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 жыл бұрын
Poor people made this man extremely rich!
@anicetusmbuligwe8121
@anicetusmbuligwe8121 2 жыл бұрын
Iq
@hiacinthanjau641
@hiacinthanjau641 Жыл бұрын
They make Rich OFFCOURSE. PHD!! Mh
@timetravellor5367
@timetravellor5367 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa kunijaaliya kuwa muislam maana .....
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Жыл бұрын
Namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye uislamu laiti watu wangejua dhamani na neema ya uislamu wasingekubali kupotezwa kama wanavyopotezwa inasikitisha sana sana
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Namshukuru Mungu kuniteua niwe mwanafunzi wa Yesu.Siambiliki kutangatanga kwa sababu yanayotokea yalitabiriwa.
@patrickacapel5494
@patrickacapel5494 2 жыл бұрын
Nabii wa Mungu,tumwombe Mungu atuzidishie hekima zaidi....nimebarikiwa sana
@enizemwayingatv5196
@enizemwayingatv5196 2 жыл бұрын
Asante sana Baba yetu
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 жыл бұрын
Dahh Geordavie acha kutupanga mkuu! Wanaokufahamu ndani wanajua mishe ulikuwa unapiga sema umekana kabisa kwamba haukuwa na mambo mengi. Sema kula maisha tu umezichanga vyema.
@jonathankyando2698
@jonathankyando2698 2 жыл бұрын
Kaupiga mwingi 😂😂😂
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 жыл бұрын
@@jonathankyando2698 Sana yaani!
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 жыл бұрын
@@georgematola2447 Acha upumbavu kijana ndio kwanza naona Matola bwege kama wewe. Wewe endelea kupalilia kizazi cha majizi yanayosafisha hela sema sababu wewe ni mtoto kiakili basi ukikua utashangaa ulivyo na watoto mashoga na wasagaji. Hiyo laana ni suala la muda tu sababu unakosa maarifa. By the way sikujua kati ya wale mnaomwona huyu jamaa ni Mungu mpo huku pia! Wajinga ndio waliwao.
@emmdotsea
@emmdotsea 2 жыл бұрын
Ni msaka tonge ila kwa kupotosha🤓🤓🤑🤑
@georgematola2447
@georgematola2447 2 жыл бұрын
Unaejiita kijana wa kitanzania yaonekana hujitambui nani mpumbavu sana, wewe umeshamwita Mkuu na unamtambuwa kama Nabii mkuu huoni hujui ulisemalo ni bora unyamaze tu, Ningekutana na wewe ana kwa ana ingependeza zaidi huwezi ukanena maneno machafu kama wewe mwenyewe ulivyo mchafu hadi kwenye kinywa huenda kinanuka
@johnuswege3979
@johnuswege3979 2 жыл бұрын
Nimesikiliza mahojiano haya vizuri sana na nimeona hekima ya mtumishi huyu, nimejifunza mengi na nimependa majibu yake yote.
@isackmichael9315
@isackmichael9315 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana ndugu yangu
@msafirimfilinge4308
@msafirimfilinge4308 Жыл бұрын
Ubarikiwe nabii mkuu prophet geor
@dynamicpreschoolschool434
@dynamicpreschoolschool434 2 жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu...real u are a man of God...I wish one day to attend your church...be blessed my prophetic man of God
@neemakombe67
@neemakombe67 2 жыл бұрын
Unaenda kupotea
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
@@neemakombe67 jmn Ney acha bhna tunaokolewa kwa NEEMA ya MUNGU pkeeee
@neemakombe67
@neemakombe67 2 жыл бұрын
@@maryandason1815 yani mm hawa manabii hawa siwaamini mm ila imani yako inavyokutuma fanya vile upendavyo
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
@@neemakombe67 kwa kweli MUNGU 🙏 atusaidieee mmaaaaaa
@magrethjohn8638
@magrethjohn8638 2 жыл бұрын
Karibu Sana tunakukaribisha
@filomenabarongo693
@filomenabarongo693 2 жыл бұрын
Kwa miaka 10 nyuma nimemfahamu,I appreciate him and his services Mtumishi wa Mungu.
@josephakure6743
@josephakure6743 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..................................................
@mussamc641
@mussamc641 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 hatar kwa kweli .. allah akbar. ALLAH NI MMOJA TU . NA HANA MSHIRIKA .
@laurakisasa3162
@laurakisasa3162 2 жыл бұрын
Jamani Sijaona Hekima iliotumika kujibu maswali ya Interview kama hii.... He is Real a Man Of God.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 21 МЛН
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 65 М.