Rais John Magufuli, pamoja na kelele zinazopigwa na baadhi watu kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yeye hashughuliki nazo kwakuwa anachoangalia ni namna kiongozi huyo anavyopambana na dawa za kulevya.
Пікірлер: 14
@user-it7ih1it3m5 күн бұрын
Tutakukumbk daima
@amismuhitira5073 жыл бұрын
Tutakuku mbuKA JPM SANA MUZEE WETU
@georgepoka74466 жыл бұрын
Je walimu na watumishi wengine hawakuwa wazalendo!!!!!!!!!
@YamunguYb6 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde Rais wetu
@isayakayombo3717 Жыл бұрын
Rip
@nimrodsigulu6249 Жыл бұрын
Kazi ilikuwepo...
@stn4873 Жыл бұрын
Tena sio ndogo.
@laurencemilanzi3553 Жыл бұрын
44
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Sasshv hawatak kufanya Kaz wanasema pesa hakuna
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
Magufuli oyee!!
@ustawiwetu3 ай бұрын
Dunia ya leo tunahitaji wasomi, tuache ujanja ujanja