we mzee muache aseme mAneno yake pekee akee saa una msukumia vikaratasi vya kazi gan
@LalariNgakenya-sf7cu3 ай бұрын
Hayo hukuyaona ulipokuwa unagombea uenyekiti wa Kanda?kwa Nini umeyaona tu baada ya kushindwa?
@YusuphJaha3 ай бұрын
Nimefuatilia KADI ya ccm Toka September 2023 mpaka Leo nazungushwa TU. Msigwa Leo Leo amepatiwa KADI ya chama.😢😢
@TrustElbashil3 ай бұрын
Msigwa,msigwa jaribu kufunga limdomo chunga ulimi ccm nikama panya lakini haina shida c sisi tupo
@allyaboud72243 ай бұрын
ata uko ukikosa madarak utahama tena hahahahah
@gloryharold80223 ай бұрын
njaa tuuu , ungekua umeshinda ungeongea huo ujinga, mpuuzi tu kama wapuuzi wengine
@hassanzuber2 ай бұрын
Ukiwa kiongozi unatakuwa uwe na ujasiri lkn baba hakimbii nyumba yake na kutupa silaha zake hata ndani ya chama Cha mapinduzi wengi wanaojua uongozi ni pamoja na uvumilivu hawatakuelewa ila hongera unapoteza mvuto ndani ya ccm na chadema hata kwa wananchi nakupongezaaaa
Mimi nakubaliana sasa chama kingenda Kwa mitindo wa wanasiasa wa mitindo wako
@DavidKagulu2 ай бұрын
Watamtumia kwa muda watamdampo Kama wanajiamini wamsimamishe ubunge iringa mjini'tuwaonyeahe
@Fesary3 ай бұрын
Maajabu
@OmaryallyAbdallah3 ай бұрын
Sawa umeeleweka
@mozesjoseph76302 ай бұрын
Hivi msigwa. Umezidiwa. Akiri na. Mtu ambye hajasoma. Umefanya Nini kuhamia ssm. Maana hata mtu ambye hajasoma hawezi kufnya hivo. Kiukweri. Kiukweri. Umeisha. Kisiasa. Mbona. Hukujifunza. Kwa zito. Kabwe. Yani. Umekwisha. Hovyoo. Kwerikweri.
@LovelyOmbreSky-pu4jt3 ай бұрын
Wakati wa kupiga pesa sasa msingwa
@Kanyawela2 ай бұрын
Hakuna demokrasia ccm iliyosema nileteee uyu hata kwetu ccm tulionewa nadhani demokrasia bado kwa vyama vyote tujipambanue uyo msigwa ni muongo mbona hukuja kabla ya kushindwa ?
@cloudjulius-sf6nw2 ай бұрын
Huyo msigwa hana lolote nimrafi wa madalaka na mwenzake upendo peneza