The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa
@alexmbembela45714 жыл бұрын
Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa
@binurusm88864 жыл бұрын
Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.
@godfreynkama60984 жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.
@mohamedmohamedimnyilila66314 жыл бұрын
Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa
@madukurumwanileles79094 жыл бұрын
Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.
@chinamichael33404 жыл бұрын
Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!
@ameniameni6174 жыл бұрын
Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda
@mussajacob83464 жыл бұрын
Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu
@kijangapeter51354 жыл бұрын
Hili maza jinga kabisaa
@pastor_mashimo4 жыл бұрын
Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point
@stevehiraly91273 жыл бұрын
Mashine hio.. Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭
@kellyroselwinga79994 жыл бұрын
Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli
@jiajoel23464 жыл бұрын
Msigwa keep it up...nakubali hoja zako
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Uko Sahihi Hon.Msigwa
@zicomgravity48974 жыл бұрын
This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏
@abtwalibuhussein48774 жыл бұрын
Mchungaji Uko vizuri sana.
@alikhalfan95514 жыл бұрын
Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni
@amirisemaye15674 жыл бұрын
Kaongea pumba tu
@sehemunzuri4 жыл бұрын
Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana
@aggyparty29904 жыл бұрын
Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌
@dlmedial94174 жыл бұрын
Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala
@fredylucas24844 жыл бұрын
Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji
@daniellyimo6364 жыл бұрын
Point 😄😄😄
@wilsonmcs33694 жыл бұрын
WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏
@gabrielpott33254 жыл бұрын
Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.
@angelmaganga94824 жыл бұрын
Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia
@leonardgalila30324 жыл бұрын
Leo speaker nimekuelewa
@freckkihundo43494 жыл бұрын
Pamoja sana mh msigwa
@adamally87914 жыл бұрын
God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu
@robben87364 жыл бұрын
unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo
@janelukololo99193 жыл бұрын
Safi
@loner_wolf4 жыл бұрын
Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .
@pichunakichuna21114 жыл бұрын
Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True
@nassorseluma29204 жыл бұрын
Safi sana mchungaji
@salasaidi18884 жыл бұрын
Uko sawa
@philipomofuga35114 жыл бұрын
Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.
@fettamidu25034 жыл бұрын
Msingwa kichwa saaaana big up
@fadhilalemba78574 жыл бұрын
very true
@kavassay88994 жыл бұрын
Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan
@veilamariki30004 жыл бұрын
Point Msigwa
@mkonojr27794 жыл бұрын
Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba
@happyfiverickaldo46624 жыл бұрын
Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa
@israelpwele55354 жыл бұрын
Pasua kichwaa, mchungajiiiii
@calvinkitaly93764 жыл бұрын
Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.
@suleykilindi51173 жыл бұрын
Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG
@willyngailo45494 жыл бұрын
Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana
@kellyroselwinga79994 жыл бұрын
Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako
@seljasele4 жыл бұрын
Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.
@daniellyimo6364 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄
@silasnnko43844 жыл бұрын
Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao
@mohamedisarafi53084 жыл бұрын
Msigwa🙌🙌🙌🙌
@jeremiahdibogo29104 жыл бұрын
Mbona hapa kuna taarifa nyingi
@evethaasey17914 жыл бұрын
OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good
@errydeo88654 жыл бұрын
true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.
@nicolauswandao89884 жыл бұрын
ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka
@paulebby15524 жыл бұрын
Kweli hawapendagi points za msingi zisikike
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Pumba tu!!!!
@Directorhernrypro4 жыл бұрын
Kweli kabsa
@petroerinest27444 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor
@adiliharold11724 жыл бұрын
Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!
@valentinemtei29274 жыл бұрын
Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali
@jamessanga71203 жыл бұрын
Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana
@feisalissa30094 жыл бұрын
Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯
@nicolauswandao89884 жыл бұрын
kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja
Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake
@daytonmsuku84195 ай бұрын
Fact
@salomemchewa51873 жыл бұрын
Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi
@robertthomas77694 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.
@smarty10644 жыл бұрын
Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa
@evelynmon94234 жыл бұрын
Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao
@bilalimziray4484 жыл бұрын
Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁
@galussskale87013 жыл бұрын
Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021
@jessydaktari52094 жыл бұрын
Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see
@mussajacob83464 жыл бұрын
Jamani izi taarifa zanini kwanini musikae kimya mumwache mtu atoe yamoyoni ayo mataarifa yanamshusha moli mchangiaji
@Directorhernrypro4 жыл бұрын
Point 👍🏼
@feyzalyusuph144 жыл бұрын
Sema baba
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....
@priscusaugust72512 жыл бұрын
🙏🙏
@sayibahati73162 жыл бұрын
intelligent
@filbertnashon71604 жыл бұрын
Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁 TAARIFA imekua Nyingi, I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!
@festoasanga55723 жыл бұрын
Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena
@mtatiromgeka72704 жыл бұрын
Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..
@ameniameni6174 жыл бұрын
Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa
@mwabayachacha35574 жыл бұрын
spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana
@adventureguidertanzania23314 жыл бұрын
Msigwa Ni Moto jamani
@salehehassan36654 жыл бұрын
Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi
@kavishevicky18164 жыл бұрын
Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn
@ulomistephen76794 жыл бұрын
Akili.kubwa
@leonardsimon21484 жыл бұрын
Kweli wadau wa utalii tunafanya juhudi kubwa sana sisi travellers agent kuutanfazia ulimwengu kile tulichonacho kuliko hiyo board ya utalii
@ibrahimrajab17024 жыл бұрын
Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo
Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?
@kasolekasole49814 жыл бұрын
Factor
@leoniaedward94354 жыл бұрын
Msigwa hayo ndo mambo poa
@valentinemtei29274 жыл бұрын
Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya
@kibwanaMAlly4 жыл бұрын
Good job mh Msigwa
@saidikhalifa47344 жыл бұрын
uko vizuri msigwa
@sekuludevid52394 жыл бұрын
Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂
@masanjangololo62044 жыл бұрын
KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO
@warrenwilliams88884 жыл бұрын
Ni kweli waziri abaki waziri mbunge abaki mbunge
@lonyorilaizer85074 жыл бұрын
Wape somoooooo
@jacksonpeter38404 жыл бұрын
Hapo msigwa umefeli lete point nn kifanyike usibwabwaje bwabwaje tu
@boniphacetabu29034 жыл бұрын
Mmmh nimemuona POYOYO aliitwa na SUGU
@lulanjamd38864 жыл бұрын
Kila wakati tarifa why
@daniellyimo6364 жыл бұрын
Hawa Wabunge Wapinzani Wana Takiwa na Wao wateuliwe Uwaziri Maana tunacho taka Maendeleo sio Vyama 😭😭😭😭😭
@trophywilson72113 жыл бұрын
Mpaka Mkuu awapende hautamwamrisha
@sethkivuyo33424 жыл бұрын
Kweli ndugai unajizalilisha sana kama mkuu wa muhimili wa bunge.. kwani miongozo yakipuuzi kama hii usingeruhu kama ni mbunge wa nyinyim anazungumza.. tena Mambo yenye tija kwa Taifa kama ya Mh MSIGWA
@relaxationalmoments70294 жыл бұрын
Kwani sera hazihusiki na kutatua kero za wananchi ndugu? Na oparayionals hazihusiki kutatua kero? Kwani Mawaziri na Raisi hawatakiwi kutatua moja kwa moja kero?