MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

  Рет қаралды 273,724

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 294
@simonkanyungu7760
@simonkanyungu7760 4 жыл бұрын
The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa
@alexmbembela4571
@alexmbembela4571 4 жыл бұрын
Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa
@binurusm8886
@binurusm8886 4 жыл бұрын
Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.
@godfreynkama6098
@godfreynkama6098 4 жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.
@mohamedmohamedimnyilila6631
@mohamedmohamedimnyilila6631 4 жыл бұрын
Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa
@madukurumwanileles7909
@madukurumwanileles7909 4 жыл бұрын
Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.
@chinamichael3340
@chinamichael3340 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!
@ameniameni617
@ameniameni617 4 жыл бұрын
Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda
@mussajacob8346
@mussajacob8346 4 жыл бұрын
Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu
@kijangapeter5135
@kijangapeter5135 4 жыл бұрын
Hili maza jinga kabisaa
@pastor_mashimo
@pastor_mashimo 4 жыл бұрын
Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 3 жыл бұрын
Mashine hio.. Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli
@jiajoel2346
@jiajoel2346 4 жыл бұрын
Msigwa keep it up...nakubali hoja zako
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
Uko Sahihi Hon.Msigwa
@zicomgravity4897
@zicomgravity4897 4 жыл бұрын
This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏
@abtwalibuhussein4877
@abtwalibuhussein4877 4 жыл бұрын
Mchungaji Uko vizuri sana.
@alikhalfan9551
@alikhalfan9551 4 жыл бұрын
Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni
@amirisemaye1567
@amirisemaye1567 4 жыл бұрын
Kaongea pumba tu
@sehemunzuri
@sehemunzuri 4 жыл бұрын
Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana
@aggyparty2990
@aggyparty2990 4 жыл бұрын
Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌
@dlmedial9417
@dlmedial9417 4 жыл бұрын
Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala
@fredylucas2484
@fredylucas2484 4 жыл бұрын
Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
Point 😄😄😄
@wilsonmcs3369
@wilsonmcs3369 4 жыл бұрын
WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏
@gabrielpott3325
@gabrielpott3325 4 жыл бұрын
Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.
@angelmaganga9482
@angelmaganga9482 4 жыл бұрын
Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia
@leonardgalila3032
@leonardgalila3032 4 жыл бұрын
Leo speaker nimekuelewa
@freckkihundo4349
@freckkihundo4349 4 жыл бұрын
Pamoja sana mh msigwa
@adamally8791
@adamally8791 4 жыл бұрын
God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu
@robben8736
@robben8736 4 жыл бұрын
unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo
@janelukololo9919
@janelukololo9919 3 жыл бұрын
Safi
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 4 жыл бұрын
Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True
@nassorseluma2920
@nassorseluma2920 4 жыл бұрын
Safi sana mchungaji
@salasaidi1888
@salasaidi1888 4 жыл бұрын
Uko sawa
@philipomofuga3511
@philipomofuga3511 4 жыл бұрын
Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.
@fettamidu2503
@fettamidu2503 4 жыл бұрын
Msingwa kichwa saaaana big up
@fadhilalemba7857
@fadhilalemba7857 4 жыл бұрын
very true
@kavassay8899
@kavassay8899 4 жыл бұрын
Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan
@veilamariki3000
@veilamariki3000 4 жыл бұрын
Point Msigwa
@mkonojr2779
@mkonojr2779 4 жыл бұрын
Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa
@israelpwele5535
@israelpwele5535 4 жыл бұрын
Pasua kichwaa, mchungajiiiii
@calvinkitaly9376
@calvinkitaly9376 4 жыл бұрын
Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.
@suleykilindi5117
@suleykilindi5117 3 жыл бұрын
Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG
@willyngailo4549
@willyngailo4549 4 жыл бұрын
Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako
@seljasele
@seljasele 4 жыл бұрын
Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄
@silasnnko4384
@silasnnko4384 4 жыл бұрын
Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao
@mohamedisarafi5308
@mohamedisarafi5308 4 жыл бұрын
Msigwa🙌🙌🙌🙌
@jeremiahdibogo2910
@jeremiahdibogo2910 4 жыл бұрын
Mbona hapa kuna taarifa nyingi
@evethaasey1791
@evethaasey1791 4 жыл бұрын
OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 4 жыл бұрын
ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Kweli hawapendagi points za msingi zisikike
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Pumba tu!!!!
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Kweli kabsa
@petroerinest2744
@petroerinest2744 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor
@adiliharold1172
@adiliharold1172 4 жыл бұрын
Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali
@jamessanga7120
@jamessanga7120 3 жыл бұрын
Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana
@feisalissa3009
@feisalissa3009 4 жыл бұрын
Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 4 жыл бұрын
kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja
@serianjamal8254
@serianjamal8254 4 жыл бұрын
Nawewe umeligundua hilo yaani ni kero
@jacobmgumiro156
@jacobmgumiro156 4 жыл бұрын
Majinga sana magoga meza haya maccm
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Kabisa wanapunguza muda
@leonardawamu2275
@leonardawamu2275 4 жыл бұрын
safi sana MCHUNGAJI
@jacobmgumiro156
@jacobmgumiro156 4 жыл бұрын
Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Yuko LIKIZOO
@nilamlenga3581
@nilamlenga3581 4 жыл бұрын
Upinzani ni vichwa
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 4 жыл бұрын
Umenichekesha wewe...loh
@biaysha8553
@biaysha8553 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😂
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 4 жыл бұрын
Yes
@yassinudd4422
@yassinudd4422 4 жыл бұрын
Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake
@daytonmsuku8419
@daytonmsuku8419 5 ай бұрын
Fact
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 3 жыл бұрын
Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi
@robertthomas7769
@robertthomas7769 4 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.
@smarty1064
@smarty1064 4 жыл бұрын
Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa
@evelynmon9423
@evelynmon9423 4 жыл бұрын
Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao
@bilalimziray448
@bilalimziray448 4 жыл бұрын
Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁
@galussskale8701
@galussskale8701 3 жыл бұрын
Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see
@mussajacob8346
@mussajacob8346 4 жыл бұрын
Jamani izi taarifa zanini kwanini musikae kimya mumwache mtu atoe yamoyoni ayo mataarifa yanamshusha moli mchangiaji
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Point 👍🏼
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
Sema baba
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 жыл бұрын
🙏🙏
@sayibahati7316
@sayibahati7316 2 жыл бұрын
intelligent
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 жыл бұрын
Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁 TAARIFA imekua Nyingi, I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!
@festoasanga5572
@festoasanga5572 3 жыл бұрын
Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena
@mtatiromgeka7270
@mtatiromgeka7270 4 жыл бұрын
Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..
@ameniameni617
@ameniameni617 4 жыл бұрын
Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa
@mwabayachacha3557
@mwabayachacha3557 4 жыл бұрын
spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 4 жыл бұрын
Msigwa Ni Moto jamani
@salehehassan3665
@salehehassan3665 4 жыл бұрын
Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi
@kavishevicky1816
@kavishevicky1816 4 жыл бұрын
Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn
@ulomistephen7679
@ulomistephen7679 4 жыл бұрын
Akili.kubwa
@leonardsimon2148
@leonardsimon2148 4 жыл бұрын
Kweli wadau wa utalii tunafanya juhudi kubwa sana sisi travellers agent kuutanfazia ulimwengu kile tulichonacho kuliko hiyo board ya utalii
@ibrahimrajab1702
@ibrahimrajab1702 4 жыл бұрын
Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo
@mrsramadhani2400
@mrsramadhani2400 4 жыл бұрын
Nimekuelewa.boc.kubwa Lakn.maccm Cjui2.wakoje Chukuen.mawazohayo Myafanyiekaz
@sasumaadsaihmayombya8145
@sasumaadsaihmayombya8145 4 жыл бұрын
Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?
@kasolekasole4981
@kasolekasole4981 4 жыл бұрын
Factor
@leoniaedward9435
@leoniaedward9435 4 жыл бұрын
Msigwa hayo ndo mambo poa
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya
@kibwanaMAlly
@kibwanaMAlly 4 жыл бұрын
Good job mh Msigwa
@saidikhalifa4734
@saidikhalifa4734 4 жыл бұрын
uko vizuri msigwa
@sekuludevid5239
@sekuludevid5239 4 жыл бұрын
Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂
@masanjangololo6204
@masanjangololo6204 4 жыл бұрын
KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO
@warrenwilliams8888
@warrenwilliams8888 4 жыл бұрын
Ni kweli waziri abaki waziri mbunge abaki mbunge
@lonyorilaizer8507
@lonyorilaizer8507 4 жыл бұрын
Wape somoooooo
@jacksonpeter3840
@jacksonpeter3840 4 жыл бұрын
Hapo msigwa umefeli lete point nn kifanyike usibwabwaje bwabwaje tu
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Mmmh nimemuona POYOYO aliitwa na SUGU
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 4 жыл бұрын
Kila wakati tarifa why
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
Hawa Wabunge Wapinzani Wana Takiwa na Wao wateuliwe Uwaziri Maana tunacho taka Maendeleo sio Vyama 😭😭😭😭😭
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Mpaka Mkuu awapende hautamwamrisha
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 4 жыл бұрын
Kweli ndugai unajizalilisha sana kama mkuu wa muhimili wa bunge.. kwani miongozo yakipuuzi kama hii usingeruhu kama ni mbunge wa nyinyim anazungumza.. tena Mambo yenye tija kwa Taifa kama ya Mh MSIGWA
@relaxationalmoments7029
@relaxationalmoments7029 4 жыл бұрын
Kwani sera hazihusiki na kutatua kero za wananchi ndugu? Na oparayionals hazihusiki kutatua kero? Kwani Mawaziri na Raisi hawatakiwi kutatua moja kwa moja kero?
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 89 М.
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
Chapitosiki
Рет қаралды 3,4 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 107 МЛН
Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
15:02
STEVE NYERERE AMLIPUA MSIGWA - "NIMEKUCHUKULIA MKE , HUNA MATUNZO"
25:44
Global TV Online
Рет қаралды 83 М.
MSIGWA TENA BUNGENI, AWASHUKIA WANAOISIFIA SERIKALI, JENISTA AMBANA
7:41
Mwananchi Digital
Рет қаралды 19 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 378 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 555 М.
"Maprofesa Wengi Wemefeli, Hii Ndio Changamoto" - SILINDE
12:10
Global TV Online
Рет қаралды 94 М.