Diamond big up for putting us kenyan on the world map
@HeriRamadan-qx2hk3 күн бұрын
Mi ni mtanzania lakini kusema ukweli Daimond plutnum anapendwa sana 254.
@Pemba6803 күн бұрын
Musimfananishe Simba na vitu vya ajabu ajabu
@othinielkamyola36973 күн бұрын
HUYU MWAMBAA NOMAAA 🎉🎉ASIMBAAA
@emmanuelnyakunga83203 күн бұрын
Diamond ft Pogba coming Soon.😂
@NoName-pp4lo3 күн бұрын
Simba na wanawe
@majariwabarasokoroza97013 күн бұрын
😂
@channyanjen90473 күн бұрын
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
@user-pk1yl7zt8p3 күн бұрын
We mmakonde haujui me Simba la masimba dangote
@titoamani-e8b3 күн бұрын
Majini ya Harmonize hawatoshi kwa Simba la Masimba😅😅😅😅😅
@DjsmokyUrban3 күн бұрын
Haikua uvue nguo sahio....😮ni swala la baadae...
@hamedmohammed89123 күн бұрын
Amewahi ila bdae atamaliza mwenyewe.
@stanslausjohn87913 күн бұрын
Diamond ni jitu la mafanikio tu Wakat yule Mlapanya harmonize ni jitu la majungu
@user-hk2oz2eg4j3 күн бұрын
Mwenye roho mbaya hapati mafanikio.
@ianbryse14173 күн бұрын
😂😂😂😂 ulishaona wap mmakonde kafika ulaya 😂
@muwezahasani40172 күн бұрын
Simba much respect 🔥🔥
@SandreAlhlwah-bv1cx3 күн бұрын
❤❤❤❤
@bingobilaly78083 күн бұрын
Internet iko bzy na kenya sisi tunakomboa inch tuko busy
@wartv7303 күн бұрын
Ommy dimpoz na wanyama , ommy dimpoz na Ronaldo ommy dimpoz na wayne Rooney
@CristianiMamboleo-j8d3 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@saleemsuleiman22203 күн бұрын
Acha Shobo we mkenya diamond ni Mtanzania 😅
@rosemahenge90713 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220Kama wanamtaka bora wawe wanasema anaiwakilisha vyema EAST AFRICA hapo tutawaelewa😂😂
@saleemsuleiman22203 күн бұрын
@@rosemahenge9071 wajinga sana hawajui hata kujificha kwenye kichaka 🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemahenge90713 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 🤣🤣tuwazoee tu majirani zetu vizuri vyote vya kwao
@makamekhalfan59683 күн бұрын
wa kwanz npw lik
@hamidamussa-sy4fm2 күн бұрын
Bgp simba diamond platnumz
@avitrujweka21133 күн бұрын
👑🤴🦁🔥🌎🔥
@paizinhosaide-cv9pm3 күн бұрын
Simbaa
@omarkatesh32993 күн бұрын
Sio makonde ana hangaika na wanawake wenye matako tanzania kuwa valisha pete daily.
@RoyaltyFamily-nk2km3 күн бұрын
Sio wanawake tu bali ni wanawake wenye matako makubwa😂😂😂
@clementrobert-s5s2 күн бұрын
Simba🙌🙌
@user-ix1zs6gm1b3 күн бұрын
Numba moja
@richkaja33173 күн бұрын
Big 👆 sanaa mond usije bongo zarau
@IbrahStaneliy3 күн бұрын
Simba❤❤❤❤❤❤
@SaidTsuma-je8dv3 күн бұрын
simbaa 🔥🔥🔥
@Stevekapugi3 күн бұрын
Balaaaa
@JemimaNyange-si8cr3 күн бұрын
Simba for life
@adambakari92763 күн бұрын
Kukutana na mtu sio kwamba ndo kuunga urafiki😂 mnaweza kukutana mkapiga story kisha kila mtu akala 50 zake ommy dimpo alienda had OT akakutana na wachezaji kibao wa man u na akampa de gea jez ya taifa mbona hamku liongelea saaaama
@godluckgmanartist-ju7jp3 күн бұрын
Simba ni simba tu wacha waongee endelea kupasua mawingu mwamba wa Tanzanian🎉
@yusufsong79933 күн бұрын
Atafuta kiki uyoo kalipa pesa ili mradi atume video kakutana na pogba 😂😂😂
@elidiustudoy26402 күн бұрын
😂😂😂 kwauo mtepesho.
@kachabisnea8815Күн бұрын
Sasa Popobawa sasa hivi ana ustar gani bhana
@IbniAbbas-yz3kt3 күн бұрын
Wabongo bana bado sana😂 kupiga picha tuu ishakuwa trending
@exaverysimon10643 күн бұрын
na w kapige kama n rahis
@IbniAbbas-yz3kt3 күн бұрын
@@exaverysimon1064 sina ushamba huo!na ningekuwa nao ningesha jaza cm mana kazi yangu nakutana kila mtu maarufu
@ericnzaro91383 күн бұрын
Asante sana diamond kwa kuipeperusha bendera yetu ya kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yusufsong79933 күн бұрын
Ommy dimpoz ndio baba yao
@justnice81563 күн бұрын
Kumbee walikuwa club
@user-jh9yv1zp1l3 күн бұрын
Harm majung t vichek vy bange
@japhetsilungwe47193 күн бұрын
Mvuta unga mwenzake
@adamsengo18693 күн бұрын
Pogba aside akamuahalibu kijana wetu kwa madawa😂
@humbleshoal3 күн бұрын
Jamani kwan diamond anavuta unga?
@Abby_Shawn_KE3 күн бұрын
😂😂msichokijuwa Brotherhood inamaanisha undugu na umoja ambayo jina jinginie ni Freemason, sio ajabu kumuona mchoma mkaa hapa kwetu amekaa na Rick Ross,
@BraveMajaliwa-gf7ru3 күн бұрын
Paul pogba kwasasa ni kama chokora hana chochote 😅😅😅
@DjsmokyUrban3 күн бұрын
Kamshike kalio😮
@BraveMajaliwa-gf7ru3 күн бұрын
@@DjsmokyUrban hahaha 😆 😂 🤣 kama mashabiki tukimuona diamond platnumz ba Paul pogba tunaona wanatengeneza team ya umalaya tu ila kwa brand ya maana never 😆 😂 🤣
@leeheyon3 күн бұрын
no way Pogba juju 😂
@kidatokassim76163 күн бұрын
Sasa iyo duza ya nini mondi nae mkurugenzi wa ovyo sana huyu 😂😂
@user-wi2sk8uj5s3 күн бұрын
Diamond is a Kenyan artist big up bro endelea kutuwakilisha sisi
@KhamisOmar-kt4kz3 күн бұрын
Nynyi wakenya akili zenu mbovu
@KhamisOmar-kt4kz3 күн бұрын
Diamond ni mkenya sio matako yako
@user-qz8gn6bn6r3 күн бұрын
Nmambo ykawaida acheniii ujing mtu wenu Yuko na sifaa
@JeanMalilo3 күн бұрын
Wana huziana dawa za kulevya
@awadhally10523 күн бұрын
😂😂
@user-pk1yl7zt8p3 күн бұрын
Inaubaya gan we masikini
@JeanMalilo3 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8p mimi sio maskini we mbuzi 😀😀😀
@vibetz99913 күн бұрын
Washirikina wamekutana
@awadhally10523 күн бұрын
😂😂😂
@ramayonline22813 күн бұрын
Umejuaje kama ni washitikina….!!!!!?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pk1yl7zt8p3 күн бұрын
Kama ww ulivokutana masikini wenzako 😂😂😂😂
@RichardRutembesa-ns1kn3 күн бұрын
Maskini unatia huruma!!! 😢
@mossyahmada2188Күн бұрын
😅😅
@espoiraklonda86643 күн бұрын
watanzania mnapenda kutia kakitu kadogo mkalete kama vile ni vitu vikubwa hakuna mtu ambaye anaongea na watu vizuri hapa ufaransa kama huyo jamaa pogba na anaingia mara nyingi sana tu ni vitu vya kawaida hakuna kitu cha ajabu hapo
@AcksunBonifas-mj2sw3 күн бұрын
mondi mkariiiiiiiiiiii❤❤❤😂
@user-pk1yl7zt8p3 күн бұрын
Kama n rahisi kaongee naye na wewe 😂😂😂au kistuli mwenzio akaongee naye#lamasimba forever
@hirizonetz95583 күн бұрын
Mpeleke baba Yako akaongee nae Kama ni kawaida tu
@ramayonline22813 күн бұрын
Nasubiria kuona video yko ukiongea na Pogba kama ni rahic 😂😂😂
@its_khalidy_463 күн бұрын
Sasa na hii ni habari!?? Pogba mwenyewe jobless apo majobless wamekutana!😂
@prudentjm30393 күн бұрын
We mwenye kaz hebu nenda Dubai kale bata uwafundishe maisha hao jobless 😂😂
@user-pk1yl7zt8p3 күн бұрын
Mbn masikini huwaga mnachuk sana 😂😂😂
@CristianiMamboleo-j8d3 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@Rodgers_013 күн бұрын
???????????
@CristianiMamboleo-j8d3 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@alibinali_3 күн бұрын
🗑 🚮
@CristianiMamboleo-j8d3 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi