Hongera Rais kwa usikivu na kumsikiliza Mwl. wa kujitolea. Mungu ampe maisha mrefu huyo Mama mwl. wa kujitolea kwa miaka 26. Sharing is caring! A shared love is a maximized love.
@KabwikaIbrahim-ld8vf2 ай бұрын
Inafurahisha sana!Asante Mh.Rais Samia S.Hassan,asante Professor Kabudi!Kazi iendelee
@nsiamasawe45782 ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa kumtambua mwalimu aliyejitolea miaka 26.
@judicateurassa78172 ай бұрын
Kazi ya huyu kusifu tiu mtukufu mungu alimwita magufuli
@yahayaramadhani64182 ай бұрын
Prof. Kabudi Wewe Jembe sana.
@jonathanakhabuhaya16932 ай бұрын
udhaifu wa Prof. Kabudi ni kusifu ovyoovyo.Anaogopa kusema ukweli.
@kasimkassam95652 ай бұрын
ni ubaya gani kwa kabudi kurithika na kazi ya kiongozi wake jamani
@rayisadesigns26462 ай бұрын
Jona hivi wewe bosi wako unaweza ukamkashifu hata kama hajakukosea?! au wajifanya kichwa maji?!
@renatusblandes11312 ай бұрын
Ubaya gani kwani huoni huyu mama yetu aliyefundisha miaka 26 bila hajira we kuweza?hata miaka hiyo sijui kama umefikisha kama umefikisha heshimu na hilo la huyu Mwalimu kutambulika
@josephlorri4312 ай бұрын
Busara za uongozi sio sawa kumkosoa kiongozi mbele wananchi mnaowaongoza,kuna vikao vya ndani..lakini Prof ni mbunge,kwenye vya bunge ndo sehemu sahihi kukosoa/kupeleka matatizo ya watu wako.. hapo ni Mafanikio yailtopatikana ili kujenga imani ya wananchi kwa serikali yao.. uongozi wa pamoja.
@matipukamatipuka96542 ай бұрын
We huoni hayo maendeleo, unajichanganya sana mjomba
@ezehabari9472 ай бұрын
Mh Mama samia Mitano tena inakuhusu
@hantiayman39942 ай бұрын
Wala hajakosa Kabudi kumwita huyo mama, hii nchi ni yetu sote na Rais ni mwajiriwa wa wananchi. huyo mama angemwona wapi bila kuitwa apo. tofauti tu ni kwamba angekuwa Magufuli angetoa maagizo apo apo.
@HamadaZubeirTahir2 ай бұрын
Mama atayapeleka wapi mazawadi yoote hayo
@MeckitilidaTushabe-or9hu2 ай бұрын
Asee wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia kabisa ilo ndo najua
@festommakoti61512 ай бұрын
Kijana wa makuzani nimekuona uko juu
@evelynmwaimu-vd9jo2 ай бұрын
Professor rudi college tthere is where you trully belong
@SelijusMalambo2 ай бұрын
Mama mpe maua yake huyo mama cheti sio sababu
@noelnoel49162 ай бұрын
Mama Mary masudi Sanya 🎉
@mubarakatwaha77762 ай бұрын
MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KAMA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NAKUOMBA KAMA RAIA WAKO KIPENZI UJUE KUWA KUNA WATU WENGI SANA HAWANA ELIMU LKN WANA MAONO MAKUBWA KWA MAENDELEO MBALIMBALI YA NCHI HII LKN HAWAONEKA KAMA HUYO MAMA ALIYE HUDUMU KWA KUJITOLEA KUFUNDISHA LKN KWA SABABU HANA VYETI LKN IKIFIKIA SHULE ZINAKAMILIKA ANAKOSA NAFASI SASA KWA JASHO KUBWA ALIPOJITOLEA KWA MIAKA 26 NATAMANI KWAMBIA JAPO KAMA RAIS UNAEJALI WANYONGE HUYO MAMA KWA JINSI ALIVYOJITOLEA JAPO UMJENGEE NYUMBA YA KISASA JAPO KAMTAJI KAMSAIDIE KUDUMISHA MAISHA YAKE
@emmanueltillya20172 ай бұрын
Professor arudi chuo kikuu akafundishe.siasa aweke kushoto.
@stevensosipita2 ай бұрын
WEWE HUJITAMBUI KABUDI JEMBE KAMA MAGUFULI HAYA KARAMBA UWAZIRI WA KATIBA NA SHERIA UNALO??NADHANI LIMEKUSHUKA SHUUU
Duuuuu jamani Huyu mama hana budi kukumbukwa, ana upendo wa ajabu
@MrutaJusto2 ай бұрын
Mmmmh WANAWAKE
@hatiagk44472 ай бұрын
Chuma.cha pua safi kabisa. Kichwaa hicho.
@andersonchongoma17232 ай бұрын
Agwe mzengetumbi ara mwaluko KOLE BAHO ! Na wewe mbunge wetu kabudi HATKDAI ..
@BenardSadani2 ай бұрын
Kazi kusifia sifia 2 morogoro balabal mbovu mabasi mabovu yayoenda uk
@rehemarwanda60392 ай бұрын
Mungu atmpa inshani yake jmn 26 years....Moyo wa kizalendo
@mjemamjema96952 ай бұрын
MZEE ALIYEOKOTWA JALALANI HAAAA
@stevenmrama31232 ай бұрын
Ongera sana mhe professor kabudi,huyo mama ni mzalendo ,tunakumbuka waalimu wa upe wakati huo walikua na uwezo mkubwa sana.naamini hata huyo mama anastahili kupewa tuzo.kwa heshima na taadhima mhe Raisi analolakufanya juu ya huyo mama mzalendo .ongera sana mhe Raisi
@meshacknyandongo5772 ай бұрын
Kabudi hauna utulivu kabisa mimi naona muwe mnakubali kuwaachia vijana nafasi ili wachape kazi
@faidhamyovela1792 ай бұрын
😂😂uy mwalim yup wap😂😂
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Muheshimiwa kabud kipindi unafundisha chuo kikuu ulikuwa unatema madin kuhusu muungano ulivyoteuliwa tu kuwa waziri mh kama vile so ww sasa umegeuka kuwa chawa kutuelimisha kuhusu muungano Aaaaaaaa
@shedrackngaila3832 ай бұрын
Chuma tupu
@nikundiweamosi50872 ай бұрын
Wanasiasa waovu sana yaani prof unachumia tumbo unadanganya kuwa kilosa hawana tabu tena uongo mtupu na wajinga wanashangilia ukidhania shida zao zimeisha
@SaleheMkomwa2 ай бұрын
KABUDI HATUFAI WANA KILOSA YAANI TUNA KERO YA WAFUGAJI KUTULISHIA MAZAO YETU LEO ANASEMA HAKUNA SHIDA RAIS HADAIWI HIVI NI KWELI AMETUHUDHI SANNA WANA KILOSA
@am2323Diaspora2 ай бұрын
Hatari sana. Hawajali afya ya rais.
@kuchimillionaire66832 ай бұрын
Yaani uheshimu hata huyo mama alichikifanya kwa miaka 26. Wote hawa ni wanaddmu
@am2323Diaspora2 ай бұрын
@@kuchimillionaire6683 the second time I heard that Prof Kabudi introduced this woman. If not last year the year before. The same story under the tree
@am2323Diaspora2 ай бұрын
Mimi namuheshimu huyo mama lakini huyo ni rais. Sio kila mtu amkaribie. Kuna taratibu zake
@am2323Diaspora2 ай бұрын
@@kuchimillionaire6683 do you know TUBERCULOSIS?
@SelijusMalambo2 ай бұрын
Ww acha ujinga umemuona huyo mama anaumwa nini
@nkwazigatsha2 ай бұрын
Adui wa mwanamke ni mwanamke. Rahis ameshindwa hata kumpa mkono au kumhag! Kweli tuna tatizo waswahili. Angekuwa mtasha hapa wangekumbatiana na kuongea utadhani wanajuana. Ulimbukeni sijui kama ni huu au kutokujua kwangu
@ssekabiradauda71272 ай бұрын
presidential security, what if the fingers have poison?,shaking hands is to some extent a risky job.
@nkwazigatsha2 ай бұрын
@@ssekabiradauda7127 Total hogwash. Why is it not dangerous when she is campaigning? This self-indulgence and holier than thou whatever you call and massage it
@waziribakari64262 ай бұрын
Rais au kiongozi yyt mkubwa hatakiwi kumkumbatia au kupeana mikono na kila mtu bila ya tahadhari na watu wa usalama hawaruhusu jambo hilo labda huyo mtu awe ameshakaguliwa na watu wa usalama na wamejiridhisha kufanya hivyo
@philemonmagesa55482 ай бұрын
Unadhani urais ni kazi rahisi usalama wake lazima hauzingatie
@chinashao46792 ай бұрын
Wewe unakumbatiaga wangapi
@MatikoMarwa-g6m2 ай бұрын
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN TUNAKUPENDA SANA KWA KAZI NZURI UNAZOFANYA
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Zipi
@osodowilberforce23212 ай бұрын
Huyu Profesa/Waziri is a "psycophant"hana muelekeo,mdomo kubwa tu.
@am2323Diaspora2 ай бұрын
@@osodowilberforce2321 propaganda nyingi na kuongeza chumvi