Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile

  Рет қаралды 138,715

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

"HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI"
.
.
"Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?"
"Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa"
"Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.”
“Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo.
"Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates

Пікірлер: 129
@meshackkamduli8507
@meshackkamduli8507 Жыл бұрын
Walio kupeleka bungeni mungu awabariki
@petrojohn8250
@petrojohn8250 3 жыл бұрын
Kuwa na mbunge kama Kishimba ni bahati sana,kahama mmepata mbunge,huyu ni zaidi ya profesor
@habibndyeshobora6848
@habibndyeshobora6848 2 жыл бұрын
Were Mzee were in Genius sana M/Mungu akutunze!!!! Amiin.
@gallibmhammed8971
@gallibmhammed8971 3 жыл бұрын
Huyu mzee anaongea point sana ukikaa ukiskiliza bunge mara nying utaskia katika mipango yao tufanye hv kama nchi flani walivyofanya wakapata maendeleo hii inamaana nchi itaendeshwa kwa kucopy ya wengne. Hakuna nchi katika hizo walizotaja itakaa waseme tuige Tanzania. Hii inamaana elimu tunacopy kwa wazungu na maisha vilevile tunacopy. Ifikie hatua viongozi wakubwa kama wabunge watunge sheria kutokana na asili yao na maisha halisi ya mtanzania si kucopy kila kitu. Nchi kama China, iran,korea zimepiga hatua baada ya kuacha kucopy 100% yanayotoka nje. Lazma nchi ijiamulie kulingana na watu inao waongoza si kucopy
@philemonaminiel
@philemonaminiel 3 жыл бұрын
Huu ni mfano wa kuigwa Wa huyu mbunge mwenye busara na hekima za kuona mbali mdadisi ,lakini cha kushangaza kwenye hili serikali za vijiji bado zunauza mashamba kwenye mapori yenye misitu minene na ulime lazima ukate MTU ndipo upunguze kivuli mmea update kukua vizuri ,au MTU achome miti yote bila faida au apewe Elimu ya kuibadilisha miti kuwa pesa mfano uchomaji wa mkaa serikali ipate ushuru au ichomwe biila faida kipi boraa? Maana vinavyoendelea mshambani nu vitu vya kusitisha sana miti inachomwa bila faida inaonekana tumelizika Sana'a mi mi naungana na mbunge serikali ilasimishe hayo mazao ya misitu kuweka katika magulio ili kuondokana na usumbufu hongera sana mheshimiwa j4 kishimba kwa mawazo endelevu ya kulijenga taifa Katika amani
@nestorymwezimpya4077
@nestorymwezimpya4077 2 жыл бұрын
Kuiga sio tatizo Ila hata biblia inasema ndugu zangu igeni mema musiige mabaya hii yote inasababisha na watawala wetu kutokusima sela na mipango inde haraka
@erickmasunga9939
@erickmasunga9939 2 жыл бұрын
Hawa viogoz hawana huruma na wananch wake hayupo aneumiza akil kuhusu wananch
@mcgabby
@mcgabby Жыл бұрын
Huyu mzeee anakitu atafika mbalii anahojaaa asikilizweeee jamani
@Expedito2512
@Expedito2512 2 жыл бұрын
Huyu mzee aliumbiwa busara sana
@wilsonnzowa3620
@wilsonnzowa3620 2 жыл бұрын
"hatutaki wasomi kuwa polisi"tunataka wasomi wanaotatua matatizo ya wananchi sio wanaogeuka kuwa miungu watu
@sememakolo9360
@sememakolo9360 Жыл бұрын
Sehem zingine wamekamatwa wamepigwa faini 50000 Kila ng'ombe Moja.
@nrecords7222
@nrecords7222 3 жыл бұрын
Da! Ila hyu mbunge anajiamini Sana,ety kwasababu kasomea London 😂😂😂
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын
Uyu jaa ikitokaea Ni Raisi tutatajirika wote. Uiangalia Nyumbu Ni wengi kuliko ng'ombe na mazingira hayana shida. Alafu wanadanganywa na wazungu hawana hata mbuzi.
@tanzanitemusicacademy
@tanzanitemusicacademy 4 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/gZSbpYalbp6eqrcsi=Cwfv6clpoQEZMEHb Cheki anavyo pondea
@Ezeakutelevision
@Ezeakutelevision 3 жыл бұрын
Huyu kweli professa
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 Жыл бұрын
Unapochangia sipendi umalize bunge lingekuongezea muda namaoni yako wayafanyie kazi
@elimenson3150
@elimenson3150 Жыл бұрын
Kishimba ww ni mashine ya serikali na ccm yote. Sijamuona msomi zaidi yako kishimba mbwa zingine zote ndani ya bunge nikuwaletea matatizo wananchi badla ya kuwatatulia matatizo
@MuyaMndiga-pq2gn
@MuyaMndiga-pq2gn 18 күн бұрын
Huyu mbunge namkubali sana Tena nimzalendo wa nchi hii
@bockerbocker8495
@bockerbocker8495 Жыл бұрын
Ni heri nimsikilize Mbunge mwenye elimu ya chini kuliko hawa wasomi wakubwa,hawa wanaojiona ni wasomi ndiyo hola kabisa yaa ni hovyo kabisa
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 3 жыл бұрын
Daaa Asee huyu Ni Mtu muhimu saana ktk uchangiaji hoja bungeni.
@masoudrashid5480
@masoudrashid5480 2 жыл бұрын
Kwa kweli ikiwa tutapata wabunge wenye maona kama huyu mzee wananchi tutanufaika sana na rasilimali za nchi
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 Жыл бұрын
Hongera sana MHs MBUNGE KISHIMBA UKO Na mawazo muhimu yakipata wasikilizaji wTaokubali kufanyiwa kazi nchi itaamini askari Wa pori
@jacksonmwakasege6210
@jacksonmwakasege6210 Жыл бұрын
Haingii akilini=stupid? huyu kweli ni profesa
@mcgabby
@mcgabby Жыл бұрын
Huyu apewe hata umakamu wa uRahisi ikishindindikana saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kuwa rahisi wa Nchi😂😂😂
@isayayohana6341
@isayayohana6341 3 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana mzee una akili sana babangu
@mshamumohamed8305
@mshamumohamed8305 3 жыл бұрын
Huyu mbunge ana akili sana kwa kweli nakupenda sana
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq 10 ай бұрын
Kwanini mutu abae ajasoma anakuwa navita sana nakwanni serikari mirebe wanatumia Kuni kwanini wasitumie nges kama kwenye maoteri
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 3 жыл бұрын
Big up xana msukuma. Huwa unaongea point kuwazd had hao wanaojiita wasomi
@kasililamecksatano7302
@kasililamecksatano7302 3 жыл бұрын
Pf kishimba namuelewa sana huyu mzeee
@dazk7861
@dazk7861 3 жыл бұрын
Kishimba shikamoo
@jacksonmwakasege6210
@jacksonmwakasege6210 Жыл бұрын
Wauza mkaa.wakigoma je hali itakuwaje?sema wewe!
@franklawrence5452
@franklawrence5452 2 жыл бұрын
huyu mzee inabidi serikali ifanyie kazi mawazo yake
@LydiaIsangi
@LydiaIsangi 4 ай бұрын
Siku zote anaongeaga vitu vya msingi
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 2 жыл бұрын
Suluhu ya kukatwa miti ni serikali kupunguza gharama za umeme mafuta ya taa na gesi, zamani majiko ya mafuta taa yaliokoa miti, mkaa haukuwa dili ilikuwa biashara ya aibu.
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Huyu mzee huwa napenda kumsikiliza ana hoja nzuri sana
@andrewsam364
@andrewsam364 2 жыл бұрын
Huyu angekua speaker Tanzania tungeendelea maana anafikiria nje ya box
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Hawampi hyu maanq huyu anqhuruma nq anaogopa dhambi
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 2 жыл бұрын
Sio uspika apewe urais. Anaweza rekebesha Mambo mengi kama Jpm(RIP)
@chistinaboa645
@chistinaboa645 2 жыл бұрын
Mungu ambariki Sana huyu mbunge nimemwelewa Sana.
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 жыл бұрын
Hamna kitu hapo, gesi yenyewe imepanda ukizuia mkaa mbadala wake itakuwa nin,
@wechemoshy4305
@wechemoshy4305 Жыл бұрын
Huyu Mh kumwita Professor ni kumkosea adabu Mamlaka za vyuo vikuu vijitafakari watu wa aina hii ndio wanaostahili kutunukiwa Udaktari waHeshima watu wenye mawazo mbadala Xante xana Mh Kishimba
@majidukalugendo4738
@majidukalugendo4738 2 жыл бұрын
Natamani sana kuendelea kumsikiliza huyu mzee wetu mhe. Kishimba kuliko kuwasikiza Maprofesa wetu ambao hawaeleweki Elimu zao zinasaidia Nini vizazi vyetu. Our elites must use their education to solve the locally existing challenges. But that is the case wanatuharibia upepo tu. Mzee huyu anaongelea masuala yaliyo ndani mwetu na anatoa suluhisho lakini hakuna aliye tayari kutumia mawazo yake kutatua matatizo kwa sababu hajasoma. MASIKINI TANZANIA, MASIKINI AFRIKA!!!!
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Ni zaidi ya Uprofesa kama Elimu ni vyeti
@idysimba881
@idysimba881 4 ай бұрын
Mkaa ni endelevu
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Safi sana Prof. Kishimba.
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Nasema huyu jamaa mpeni uraisi hakika
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 2 жыл бұрын
Hamjui tu kwamba issue ni wauza gesi wanahitaji soko lao likue kama ilivyo kwenye yard za magari hawauzi now inapigwa marufuku ya kuningiza magari chini ya 2010. Kesi ya uhujumu kukata mti ili wauze gesi ??? Hii nchi jamani
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Nyundo hiyo
@veronicanangale4700
@veronicanangale4700 Жыл бұрын
Kahama mtuludishie tena bungeni mhe. Kishimba.😁😄😁😄
@kulwahdeusdedith2780
@kulwahdeusdedith2780 Жыл бұрын
Kishimba Mimi nakupa udoctor michango yako ni bungeni yote inawahusu wananchi hongera sana
@essauchaula5436
@essauchaula5436 2 жыл бұрын
Mzee kwakweli wewe kishimba hivi vijama vya misitu vyenyewe ni vihujumu uchumi hata iringa pale kituo Cha tfs acha majumba wanajenga rushw na kupiga watu faini zisizo na ukeli tfs kwakweli wengine nimashetani
@deusdeditkapenegele8919
@deusdeditkapenegele8919 2 жыл бұрын
Mzee Kishimba KONGOLE unaeleza maisha halisi ya Mwananchi wa kawaida kabisa,wabunge wengine tuige mfano huo,sio kushindana kuonyesha Elimu zenu Bali Uwakilishi wenu Bungeni. ASANTE SANA MZEE MUNGU AKUBARIKI.
@mwalumogomsigwa856
@mwalumogomsigwa856 2 жыл бұрын
Sheria za TFF afu mtu alisomea London
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 Жыл бұрын
Yaani kwa kweli kuhuusu mkaa kweli waangalie namna maana wananyanyasika Sana" duhu wanakera saana"na maliasili wanakamata raia wanawanyanganya na wao wanauza 🤔🤔
@bakuzasimon6193
@bakuzasimon6193 2 жыл бұрын
Unaakir nyingi Mh badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanaiongeza
@jumakivuma581
@jumakivuma581 3 жыл бұрын
So intelligent
@essauchaula5436
@essauchaula5436 2 жыл бұрын
Namkubali Sana kishimba anaongea vitu halisi
@chamwilambomusa4447
@chamwilambomusa4447 3 жыл бұрын
Anaupigaga mwingii saaaana kishimbaaa
@joelmosses9395
@joelmosses9395 Жыл бұрын
Huyu mzee amebalikiwa xaana anaogea point tupu na kwa busala mnooooo,
@babumtarajiwa5892
@babumtarajiwa5892 Жыл бұрын
Nawaomba kahama mtunzeni huyu Mzee nitunu kwataifa
@machilijuma8203
@machilijuma8203 2 жыл бұрын
Tulia jbu hoja tumia akr znguka vjjn usisetiwe ;!
@bakuzasimon6193
@bakuzasimon6193 2 жыл бұрын
Badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanazidi kuichochea
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 2 жыл бұрын
Waambie hao wahusika wapunguze Bei ya gesi na waongeze usambazaji gesi kupunguza matumizi ya mkaa.
@selemaniselemani7014
@selemaniselemani7014 2 жыл бұрын
Ukifika chuo unafundishwa wizi sasa hapo akisimama mwenye digree hapo angesapot ujinga wakati wanajua kabisa asilimia kubwa watanzania wanategemea mkaa!
@davidmwita3008
@davidmwita3008 2 жыл бұрын
Viongozi wetu wanasikitisha, wanajisahulisha waliko Toka, upuuzi kweli EFD na mkaa gunia moja
@oblemongi4195
@oblemongi4195 Жыл бұрын
Yupo mbunge yuleeeee daaa cjui nawaza nn
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Daaah ukiongea mpk nàmkumbuka rais magufur
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 2 жыл бұрын
Kishimba michango yako yooote ni mizuri, Sina uhakika kama mamlaka husika huzifanyia kazi.. Au huishia kucheka
@machilijuma8203
@machilijuma8203 2 жыл бұрын
Jamani iv mmesomea nn mawzili@ mnaongeatu tumieni akr jaman
@loitushulyamat2738
@loitushulyamat2738 Жыл бұрын
Kweli kishimba ni kiboko cha maisha halisi ya watanzania
@yesayamwambu4431
@yesayamwambu4431 2 жыл бұрын
Mheshimiwa mbunge unasema vitu vya msingi hongera
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Baba ukosahihi wafunguke nawengine
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 2 жыл бұрын
Maproffesa nchi hii wapo wachache sana kama sio Mh. Kishimba peke yake.
@frankedwardmhoza6613
@frankedwardmhoza6613 2 жыл бұрын
Jamaan maarifa aliyonayo mzee kishimba inatakiwa ya fanyiwe kazi na wasomi wetu
@raufurajabu
@raufurajabu Жыл бұрын
Nakuelewa sanaaa mzee wangu hawa watalam ni vilaza 2
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 3 жыл бұрын
Ndio. Namwelewa.
@abdonsamson8182
@abdonsamson8182 2 жыл бұрын
Nitakupigia kura mzeee KISHIMBA.
@crissinkala3110
@crissinkala3110 2 жыл бұрын
Hii nchi kwa upande wa wasomi hatuna kabisa wengi polojo nyingi lkn uharisia wa elimu ni 0+0
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 2 жыл бұрын
Hilo bunge darasa la 7 ndoi wenye mawazo .
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 3 жыл бұрын
safi sana mh kishimba sema watu chache ndo wanakuelewa
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Nani hamuerewi kishimba
@shamteamiry6326
@shamteamiry6326 2 жыл бұрын
Bahati mbaya viongozi hawanamaono
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 3 жыл бұрын
Safi
@ezekielmahogwa2602
@ezekielmahogwa2602 2 жыл бұрын
Chukua fom ya uraisi baba nakukubali
@selemsigala4771
@selemsigala4771 2 жыл бұрын
Hakika kishimba hujawai kosea Mungu akubariki🙏
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Asante sana kishimba nakukubali
@iddihussein526
@iddihussein526 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@kilonzokallage6159
@kilonzokallage6159 2 жыл бұрын
Waambie hao mzee maana wanatungia sheria zao kwenye magora yenye viyoyozi Utalikuta lijitu limezaliwa na kukulia kijijini lakini leo limejisahau
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
Aliyekulia kijijini wala hawezi kutunga sheria ya kijinga hivi. Tunasumbuliwa na vilaza waliokulia kwenye viyoyozi hawajui adha ya watu wa chini. Tuna wasomi ambao hata hawajutambui.
@yohanamlowe704
@yohanamlowe704 Жыл бұрын
Daaaa safi sana
@faraimangoro9510
@faraimangoro9510 Жыл бұрын
Shikamoo Profesa.
@stephanijeremia330
@stephanijeremia330 2 жыл бұрын
Da huyu Mzee apewe urais tu
@kalla4alex146
@kalla4alex146 2 жыл бұрын
Wasukuma waanakili kweli kwli vichwa
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 3 жыл бұрын
Shikamo Mh prop
@godwinmongi5242
@godwinmongi5242 2 жыл бұрын
Mzee Juma haya mawazo Hadi nafurahi kuyasikiliza
@festomlowegypsum8214
@festomlowegypsum8214 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@odilompilipili7381
@odilompilipili7381 Жыл бұрын
Huyu kweli ni msomi
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Huyu baba 10000
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 2 жыл бұрын
Akili kubwa huyu mzee
@musamusahshafi1496
@musamusahshafi1496 3 жыл бұрын
Kishimba nakuunha mkono uposawa kabisa
@egidiusthadeo5573
@egidiusthadeo5573 2 жыл бұрын
Hivi kila hoja zinafanyiwa kazi
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 2 жыл бұрын
DR KUMBUKA
@moseskibozi1329
@moseskibozi1329 2 жыл бұрын
Baba naomba nikuone.....
@kiharasadikiluca9377
@kiharasadikiluca9377 2 жыл бұрын
Sawa mzee uko vizuri ukomakini
@jumaabdalah1836
@jumaabdalah1836 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙆🙆🏃🏃🏃👎
@shamteamiry6326
@shamteamiry6326 2 жыл бұрын
Wasomihovyoooooooo
@immamwandolela6851
@immamwandolela6851 2 жыл бұрын
Unatisha mzee
@machilijuma8203
@machilijuma8203 2 жыл бұрын
Tunakuamin
@gallibmhammed8971
@gallibmhammed8971 3 жыл бұрын
Nchi kama china imeamua kuipa hata tiba za asili thamani na leo wanasifika lakin sisi wasomi wetu wa kwanza kupuuza tiba asili na mambo mengi ukipoboresha chako ulichonacho ukataman cha mwingne ni mwanzo wa kukosa maendeleo. Kuna mambo mengi na elim nying ya kiasili kama mtanzania anazikosa kwa kuaminishwa imepitwa na wakat ndo maana inafikia hatua mbunge anasema mashine iondolewe hospital kwa kuona taifa lake linaitiwa aib, hawa ndo wasomi tunapeleka bungeni na vyeti lukuki.
@bayonsileo2155
@bayonsileo2155 2 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Tiba asri nitam kuriko vidonge nisum Huyu baba namkumbuka makufuri Huyu baba apemaisha marefu
@lazarochihoma2663
@lazarochihoma2663 2 жыл бұрын
9
@mtagaiwakarungula3547
@mtagaiwakarungula3547 2 жыл бұрын
Uko vizuri mkuu
@LambertNandi-kf3ww
@LambertNandi-kf3ww Жыл бұрын
Very smart
@renatusaugustine3410
@renatusaugustine3410 2 жыл бұрын
Safiiii
@aminitu3766
@aminitu3766 2 жыл бұрын
Dah hatar
@jacksonluzwiro9374
@jacksonluzwiro9374 2 жыл бұрын
safi sana kishimba
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 28 М.
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 155 М.
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 102 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 16 МЛН
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 207 М.
Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
17:33
Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
10:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 33 М.
MBUNGE KISHIMBA AOMBA SERIKALI IANZISHE CHUO CHA WIZI
6:33
Millard Ayo
Рет қаралды 20 М.
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 102 МЛН