Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba amewaacha hoi Wabunge baada ya kutoa mchango wake hasa upande wa Elimu....tazama hapa...
Пікірлер: 51
@munastephano12383 жыл бұрын
Hakika huyu ndiye mbunge pekee ccm mwenye kuelewa maisha ya watz, Mungu akuongoze ktk kutoa mchango wako
@thomasmapigi75552 жыл бұрын
Hatumtaki kua mbunge huyu,, huyu naomba awe Mlidhi wa rais wetu mpendwa alie pendwa zaid na mungu, (MAGU)
@Kijana-wa-Tanzania3 жыл бұрын
Dahh huyu mbunge anauelewa mzuri sana kwa kweli. Hawa ndio wanafaa kuwa washauri wa awali katika wizara.
@williamlazaro55233 жыл бұрын
Duuh Wewe kweli ni Professor Safi sanaaa Sana Professor.
@derickkahabwa33913 жыл бұрын
Mzee Wangu hapo kwenye elimu umenena vizuri sana. Hii ndio aina ya Mawazo mapya tunayohitaji jamii yetu ya Kitanzania.
@nusukibaba45813 жыл бұрын
Anachokuongelea mara nying kinakuwa kiko vijijini Sana. Kwa bahat mbaya anaojaribu kuwashirikisha hawajui maana yake. Amakweli alie juu mngoje chini. Je Kama hatoshuka????? Inatia huruma😭
@jumaothman94493 жыл бұрын
Good idea professor. Apo nakukubali sana. Ila elimu kutolewa muhimu
@samwelsengati13693 жыл бұрын
Aisee ni noma sana sana sana. Kahama ndio jimbo pekee lenye mbunge.
@nusukibaba45813 жыл бұрын
Ukweli huu unaendana kabisa na nchi yetu Ila bado tunajarib kutenga baadhi ya jamii huo ndo ukwel!
@edsonleonci51133 жыл бұрын
Hii michango ndo tunataka... academy za michezo watoto wafundishwe wakuwa wadogo lakini kilimo hapana.... elimu ni nini ni karatasi ama kuelewa jambo lina fanyika je..? 👏👏👏👏👏👏👏
@jamesshao5383 жыл бұрын
Jamaa kishimba yupo vizuri sanaa
@zawadimariembe72383 жыл бұрын
Saizi wanalazimisha tuwe tunachanga 10000 ili mwanafunzi awe anakula shulen nawakat hiyo hela ukipiga kwa mwaka ni 120000
@masanjamalugwaja99722 жыл бұрын
Wazur kuongea lakn utekelezaji hamna.halafu maana ya elimu ni kupata maarifa ya kudadafua mambo sio kula chipsi na mayai
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Uyu mzeee kichwa
@najumooxcar26783 жыл бұрын
Waliokupa ubunge hawakukosea!!!utafika mbinguni
@tumainimango92443 жыл бұрын
Kabisa
@josephkabelege162218 күн бұрын
Kwa nini usipewe wizara, hongera waliokuchagua.
@dullahluhamba91053 жыл бұрын
Safi kweli mheshimiwa
@najumooxcar26783 жыл бұрын
Dah baba utafika mbinguni
@colinmhema5303 жыл бұрын
Nikweli Mimi nimetumia laki tatu na sitini kukamilisha vifaa vyote
@dastanigodfrey5947 Жыл бұрын
Huyu Mzee binafsi namkubali sana maana huwa anaongea mambo halisi yaliopo yanayo tugusa sana kila siku sizani kama ukiwa na masikio na una akili alafu usimuelewe Mzee huyu
@samwelmillinga7578 Жыл бұрын
Anaongea point sana ila zinachekesha sana halafu mwenyewe yupo serious😁😁🤣
@mgedzirpm15413 жыл бұрын
Safi kabisa mkuu
@nipolive..27453 жыл бұрын
Du kweli
@emanuelsamson-hq2jv3 ай бұрын
Semababa
@judithmshana9373 жыл бұрын
Je wanae amewapeleka shule au la
@sadickrajabu41313 жыл бұрын
Uyu mbunge bonge la mbunge tunaeelewa Tu ndo tunaelewa apo
@alhajjuma16703 жыл бұрын
Kbc jamn kama kuna shule moja hp Dom mjn daaa ni hatar
@shangwehalisi76593 жыл бұрын
Prof Kishimba katika ubora wake
@danielkembo21773 жыл бұрын
Duh... Huyu mwamba anaakili balaa katoa idea Kama tano hivi
@abisahdamuyao16473 жыл бұрын
Jamaa anaakili sana huyuu
@hamisizetz89422 жыл бұрын
Elimu ya bongo ni ya mchongo
@johnsonfrodianus62373 жыл бұрын
Unafaa kuitwa professor
@daudhenry62123 жыл бұрын
Kahama mna mbunge saaafi
@emmanuelzao3 жыл бұрын
😎
@mtanzaniahalisi12132 жыл бұрын
Mzee huyu ndo mbunge pekee mwenye Utu na akili za kujitosheleza tena mbunge timamu. Wengine hao njaa tu
@khamisali59789 ай бұрын
😂😂😂
@salmamwanyiro83483 жыл бұрын
Kweli huyu ni professor
@selemanimasatu24213 жыл бұрын
Huyu mbunge nondo kweli kweli.
@nivardkomba2163 жыл бұрын
Huyu ndo ilibidi awe waziri wa elimu!
@user-cu5zc3uw6q5 ай бұрын
Baba mi naona serikali inapaswa walau ikufikirie hata uwaziri wa elimu uwe mikononi mwako maana unayo macho pevu kubaina ya watanzania waishio mazingira magumu
@alexaugustino46443 жыл бұрын
Mbuge wetu
@edgarelikana97613 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha
@hazjay46713 жыл бұрын
Definition Ya Elimu Ni Nini Ni Karatasi Ama Uelewa?
@livingstonemichael423 жыл бұрын
Watoto wakiona viaz wanajua mabomu
@khamisali59789 ай бұрын
😂😂
@hasanisaidi5163 жыл бұрын
Bunge limekuwa kijiwe cha stori..maneno kishimba unayatupa tupa hayo,