No video

Wabunge Wavunja Mbavu/Orodha ya Vifaa vya Shule ni Utapeli Mtupu/Wizara ya Elimu Ije na Mawazo Mapya

  Рет қаралды 52,960

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba amewaacha hoi Wabunge baada ya kutoa mchango wake hasa upande wa Elimu....tazama hapa...

Пікірлер: 51
@munastephano1238
@munastephano1238 3 жыл бұрын
Hakika huyu ndiye mbunge pekee ccm mwenye kuelewa maisha ya watz, Mungu akuongoze ktk kutoa mchango wako
@thomasmapigi7555
@thomasmapigi7555 2 жыл бұрын
Hatumtaki kua mbunge huyu,, huyu naomba awe Mlidhi wa rais wetu mpendwa alie pendwa zaid na mungu, (MAGU)
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 жыл бұрын
Dahh huyu mbunge anauelewa mzuri sana kwa kweli. Hawa ndio wanafaa kuwa washauri wa awali katika wizara.
@williamlazaro5523
@williamlazaro5523 3 жыл бұрын
Duuh Wewe kweli ni Professor Safi sanaaa Sana Professor.
@derickkahabwa3391
@derickkahabwa3391 3 жыл бұрын
Mzee Wangu hapo kwenye elimu umenena vizuri sana. Hii ndio aina ya Mawazo mapya tunayohitaji jamii yetu ya Kitanzania.
@nusukibaba4581
@nusukibaba4581 3 жыл бұрын
Anachokuongelea mara nying kinakuwa kiko vijijini Sana. Kwa bahat mbaya anaojaribu kuwashirikisha hawajui maana yake. Amakweli alie juu mngoje chini. Je Kama hatoshuka????? Inatia huruma😭
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 жыл бұрын
Good idea professor. Apo nakukubali sana. Ila elimu kutolewa muhimu
@samwelsengati1369
@samwelsengati1369 3 жыл бұрын
Aisee ni noma sana sana sana. Kahama ndio jimbo pekee lenye mbunge.
@nusukibaba4581
@nusukibaba4581 3 жыл бұрын
Ukweli huu unaendana kabisa na nchi yetu Ila bado tunajarib kutenga baadhi ya jamii huo ndo ukwel!
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 3 жыл бұрын
Hii michango ndo tunataka... academy za michezo watoto wafundishwe wakuwa wadogo lakini kilimo hapana.... elimu ni nini ni karatasi ama kuelewa jambo lina fanyika je..? 👏👏👏👏👏👏👏
@jamesshao538
@jamesshao538 3 жыл бұрын
Jamaa kishimba yupo vizuri sanaa
@zawadimariembe7238
@zawadimariembe7238 3 жыл бұрын
Saizi wanalazimisha tuwe tunachanga 10000 ili mwanafunzi awe anakula shulen nawakat hiyo hela ukipiga kwa mwaka ni 120000
@masanjamalugwaja9972
@masanjamalugwaja9972 2 жыл бұрын
Wazur kuongea lakn utekelezaji hamna.halafu maana ya elimu ni kupata maarifa ya kudadafua mambo sio kula chipsi na mayai
@mwitawakimara3649
@mwitawakimara3649 3 жыл бұрын
Uyu mzeee kichwa
@najumooxcar2678
@najumooxcar2678 3 жыл бұрын
Waliokupa ubunge hawakukosea!!!utafika mbinguni
@tumainimango9244
@tumainimango9244 3 жыл бұрын
Kabisa
@josephkabelege1622
@josephkabelege1622 18 күн бұрын
Kwa nini usipewe wizara, hongera waliokuchagua.
@dullahluhamba9105
@dullahluhamba9105 3 жыл бұрын
Safi kweli mheshimiwa
@najumooxcar2678
@najumooxcar2678 3 жыл бұрын
Dah baba utafika mbinguni
@colinmhema530
@colinmhema530 3 жыл бұрын
Nikweli Mimi nimetumia laki tatu na sitini kukamilisha vifaa vyote
@dastanigodfrey5947
@dastanigodfrey5947 Жыл бұрын
Huyu Mzee binafsi namkubali sana maana huwa anaongea mambo halisi yaliopo yanayo tugusa sana kila siku sizani kama ukiwa na masikio na una akili alafu usimuelewe Mzee huyu
@samwelmillinga7578
@samwelmillinga7578 Жыл бұрын
Anaongea point sana ila zinachekesha sana halafu mwenyewe yupo serious😁😁🤣
@mgedzirpm1541
@mgedzirpm1541 3 жыл бұрын
Safi kabisa mkuu
@nipolive..2745
@nipolive..2745 3 жыл бұрын
Du kweli
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv 3 ай бұрын
Semababa
@judithmshana937
@judithmshana937 3 жыл бұрын
Je wanae amewapeleka shule au la
@sadickrajabu4131
@sadickrajabu4131 3 жыл бұрын
Uyu mbunge bonge la mbunge tunaeelewa Tu ndo tunaelewa apo
@alhajjuma1670
@alhajjuma1670 3 жыл бұрын
Kbc jamn kama kuna shule moja hp Dom mjn daaa ni hatar
@shangwehalisi7659
@shangwehalisi7659 3 жыл бұрын
Prof Kishimba katika ubora wake
@danielkembo2177
@danielkembo2177 3 жыл бұрын
Duh... Huyu mwamba anaakili balaa katoa idea Kama tano hivi
@abisahdamuyao1647
@abisahdamuyao1647 3 жыл бұрын
Jamaa anaakili sana huyuu
@hamisizetz8942
@hamisizetz8942 2 жыл бұрын
Elimu ya bongo ni ya mchongo
@johnsonfrodianus6237
@johnsonfrodianus6237 3 жыл бұрын
Unafaa kuitwa professor
@daudhenry6212
@daudhenry6212 3 жыл бұрын
Kahama mna mbunge saaafi
@emmanuelzao
@emmanuelzao 3 жыл бұрын
😎
@mtanzaniahalisi1213
@mtanzaniahalisi1213 2 жыл бұрын
Mzee huyu ndo mbunge pekee mwenye Utu na akili za kujitosheleza tena mbunge timamu. Wengine hao njaa tu
@khamisali5978
@khamisali5978 9 ай бұрын
😂😂😂
@salmamwanyiro8348
@salmamwanyiro8348 3 жыл бұрын
Kweli huyu ni professor
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 3 жыл бұрын
Huyu mbunge nondo kweli kweli.
@nivardkomba216
@nivardkomba216 3 жыл бұрын
Huyu ndo ilibidi awe waziri wa elimu!
@user-cu5zc3uw6q
@user-cu5zc3uw6q 5 ай бұрын
Baba mi naona serikali inapaswa walau ikufikirie hata uwaziri wa elimu uwe mikononi mwako maana unayo macho pevu kubaina ya watanzania waishio mazingira magumu
@alexaugustino4644
@alexaugustino4644 3 жыл бұрын
Mbuge wetu
@edgarelikana9761
@edgarelikana9761 3 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha
@hazjay4671
@hazjay4671 3 жыл бұрын
Definition Ya Elimu Ni Nini Ni Karatasi Ama Uelewa?
@livingstonemichael42
@livingstonemichael42 3 жыл бұрын
Watoto wakiona viaz wanajua mabomu
@khamisali5978
@khamisali5978 9 ай бұрын
😂😂
@hasanisaidi516
@hasanisaidi516 3 жыл бұрын
Bunge limekuwa kijiwe cha stori..maneno kishimba unayatupa tupa hayo,
@jumamnyambwa3490
@jumamnyambwa3490 3 жыл бұрын
K
@lenardluoga3313
@lenardluoga3313 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,3 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 37 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 32 МЛН
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 154 М.
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 260 М.
Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
10:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 32 М.
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,3 МЛН