MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE

  Рет қаралды 206,722

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 314
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 жыл бұрын
Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
@Locker6996
@Locker6996 3 жыл бұрын
Professor Kishimba... very smart😄
@novathpanga8216
@novathpanga8216 3 жыл бұрын
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mariammwenda9719
@mariammwenda9719 3 жыл бұрын
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
@fredricksteven2063
@fredricksteven2063 3 жыл бұрын
Huyu mbunge ni great thinker!!!
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 жыл бұрын
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza
@itNeza 3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn886
@gracejohn886 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
@emmanuelfwillo6721
@emmanuelfwillo6721 3 жыл бұрын
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule2092
@fredymteule2092 3 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee3345
@patrickzlee3345 3 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu142
@enockmwakyelu142 3 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu142
@enockmwakyelu142 3 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana6288
@godwindiana6288 3 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
@jorammpore9628
@jorammpore9628 3 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota8945
@issamagota8945 3 жыл бұрын
Safisana mzee
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
@msafitv8663
@msafitv8663 3 жыл бұрын
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 3 жыл бұрын
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta6577
@avyalimanaathanassambuta6577 3 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 3 жыл бұрын
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
@henryxavery1713
@henryxavery1713 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
@boniphacemihayo1591
@boniphacemihayo1591 3 жыл бұрын
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
@josehaule9425
@josehaule9425 3 жыл бұрын
Very wiser man, God bless you Mp
@yovithaobed5574
@yovithaobed5574 3 жыл бұрын
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
@godlovemlinge2220
@godlovemlinge2220 3 жыл бұрын
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
@danielkyando6726
@danielkyando6726 3 жыл бұрын
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
@jjborn8728
@jjborn8728 3 жыл бұрын
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey3143
@janegofrey3143 3 жыл бұрын
Asante
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
@M7-Band
@M7-Band 3 жыл бұрын
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 3 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene847
@marwakenene847 3 жыл бұрын
Fine
@kassimmurji2872
@kassimmurji2872 3 жыл бұрын
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
@felicianholle3010
@felicianholle3010 3 жыл бұрын
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 3 жыл бұрын
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
@magorimagori9264
@magorimagori9264 3 жыл бұрын
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
@fadhiliignusy3790
@fadhiliignusy3790 3 жыл бұрын
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin5306
@junioryasin5306 3 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios
@KalimaxStudios 3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias1666
@yohanamathias1666 3 жыл бұрын
Ukwel
@prosperkillas2398
@prosperkillas2398 3 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
@eliasmtaki8518
@eliasmtaki8518 3 жыл бұрын
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 3 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince8267
@rayprince8267 3 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 3 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
@henryxavery1713
@henryxavery1713 3 жыл бұрын
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
@amanmwakyoma2263
@amanmwakyoma2263 3 жыл бұрын
Hakika huyasemayo keep it up
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 3 жыл бұрын
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
@hawwahawwa9590
@hawwahawwa9590 3 жыл бұрын
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️
@opportunities2767
@opportunities2767 3 жыл бұрын
My best MP of all time... big up
@bahatinzingula4309
@bahatinzingula4309 3 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 3 жыл бұрын
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
@gipsonmwankobela2825
@gipsonmwankobela2825 2 жыл бұрын
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
@trickyjosia4326
@trickyjosia4326 3 жыл бұрын
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
@mbarikiahamadjuma6824
@mbarikiahamadjuma6824 3 жыл бұрын
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
@monicakalinga8258
@monicakalinga8258 3 жыл бұрын
Shikamoo baba unajuua sana Professor
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
@sebamgalula2632
@sebamgalula2632 3 жыл бұрын
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
@emmanuelmuhando1052
@emmanuelmuhando1052 3 жыл бұрын
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
@magongwematinde5773
@magongwematinde5773 3 жыл бұрын
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
@emmanuelmanga3478
@emmanuelmanga3478 3 жыл бұрын
Good Kashimba
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi574
@stephanomwashilindi574 3 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard5709
@michaelmedard5709 3 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios
@KalimaxStudios 3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
@gasperswai6963
@gasperswai6963 3 жыл бұрын
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
@saxannjo6173
@saxannjo6173 3 жыл бұрын
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
@MrMandevu21
@MrMandevu21 3 жыл бұрын
Respect mzee wangu
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
@bakarikissiga6288
@bakarikissiga6288 3 жыл бұрын
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
@vannyemmanuel5866
@vannyemmanuel5866 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 we mzee una jua kumaliza MB zetu yani toka nimeanza kuku sikiliza hauchoshi
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
@neemasalema1546
@neemasalema1546 3 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
@godfreygeofrey7804
@godfreygeofrey7804 3 жыл бұрын
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
@theophilmalaba4048
@theophilmalaba4048 3 жыл бұрын
Excellent
@msafitv8663
@msafitv8663 3 жыл бұрын
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
@chumanondochuma8012
@chumanondochuma8012 3 жыл бұрын
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
@plasidodavid1487
@plasidodavid1487 3 жыл бұрын
Genius 👏👏
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 3 жыл бұрын
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 жыл бұрын
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Huyu Mzee ni kama kaletwa kwa neema ya mungu ana mchango mkubwa kwa taifa.
@awesomevibes5847
@awesomevibes5847 3 жыл бұрын
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
@salumukimanzchana987
@salumukimanzchana987 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
@munampinda1888
@munampinda1888 3 жыл бұрын
The Best Kishimba
@boazisanga746
@boazisanga746 3 жыл бұрын
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
@sebamgalula2632
@sebamgalula2632 3 жыл бұрын
Genious, 😊😊😊
@denisbuchard3718
@denisbuchard3718 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni kichwa sana pamoja kuwa na std v kichwani..huyu mzee ndo tajiri wa kwanza Tz kufungua Supermarkets ziliitwa imaleseko Dar & Mwz
@anthonynetto4503
@anthonynetto4503 3 жыл бұрын
Waooo!!!
@saimonmakoye5009
@saimonmakoye5009 3 жыл бұрын
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
@ibrahimkitela8233
@ibrahimkitela8233 3 жыл бұрын
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
@mediacare6744
@mediacare6744 2 жыл бұрын
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 3 жыл бұрын
Uyu Mzee jembe jamani anatakiwa apewe nafasi ya juuu
@KalimaxStudios
@KalimaxStudios 3 жыл бұрын
na ulinzi
@davidmagundu2285
@davidmagundu2285 3 жыл бұрын
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 3 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
@mrmhenipm
@mrmhenipm 3 жыл бұрын
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben4914
@lucaseben4914 3 жыл бұрын
Mh aisee?
@rashidkipingu7358
@rashidkipingu7358 3 жыл бұрын
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
@titus_maridhia
@titus_maridhia 3 жыл бұрын
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
@thekingcr7365
@thekingcr7365 3 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana. Anazungumza kwa lugha inayoeleweka na kila mmoja.
@Bikhafija
@Bikhafija Жыл бұрын
Uyu baba ajawahi kukukea anaonge maisha ya mwananchi wa chini Walhalla sisi Wanamake tusio na wanaume tunapata shida sana
@lujenjejr3628
@lujenjejr3628 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mwamba ni Muafrika kamili
@ahmedyusuphkasili2115
@ahmedyusuphkasili2115 2 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@dr_godfrey
@dr_godfrey 3 жыл бұрын
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
@fridahmark5930
@fridahmark5930 3 жыл бұрын
We really need ppl lyk you ❤️
@ajuayesanga522
@ajuayesanga522 3 жыл бұрын
Magufuli
@marcohamisi2418
@marcohamisi2418 8 ай бұрын
Uko vzr
@salehsaid4095
@salehsaid4095 2 жыл бұрын
Awa watu ni jamii ya Hayati dr.magu ni adimu sana .inafaa awe ata waziri wa sector mama serekalini
@evaristbamfu7149
@evaristbamfu7149 3 жыл бұрын
Huyu ni hazina sana kwa Taifa letu. Alindwe sana
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Uyu mzee na suzan lyimo james mbatia wanajua sana mambo ya elimu
@yonakatoto4067
@yonakatoto4067 3 жыл бұрын
Daah namkubari sana
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 3 жыл бұрын
Ngoja Nile kwanza 😅😅😅
@rajabhussein7794
@rajabhussein7794 3 жыл бұрын
Hahahahahaha
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Where hapo Sasa track soti,😄😄
@bahatijohn3222
@bahatijohn3222 3 жыл бұрын
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
@kenedykihaga5416
@kenedykihaga5416 3 жыл бұрын
Ulongite hilooo myaaaa
@kingcharlz2965
@kingcharlz2965 3 жыл бұрын
Alongite unofu myaa
@rajaburamadhani2986
@rajaburamadhani2986 2 жыл бұрын
sawakabisa👏👏👏💪💪
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 2 жыл бұрын
Atusaidie juu ya machinga
@hemedshalua2002
@hemedshalua2002 3 жыл бұрын
Genius
@imchristian323
@imchristian323 3 жыл бұрын
Daah mzee anajua struggle za mtaa
@mutasingwajosephat52
@mutasingwajosephat52 3 жыл бұрын
Hakuna chuo kikuu Cha kumtunuku Cheti cha uelewa wa juu kabisa ktk Mambo mbalimbali nauliza hkipo kweli!!!!!!!!
@yohanamathias1666
@yohanamathias1666 3 жыл бұрын
Daaah hyu mzee htrriiii
@mujwahuzikyabwishukuru2917
@mujwahuzikyabwishukuru2917 2 жыл бұрын
PROFESSOR KAMILI.
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Kuna wabunge wengine humo bungeni ni madudu hawana msaada wowote.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 7 МЛН
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 27 М.
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 259 М.
Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
10:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 31 М.
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 732 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН