PROPHET MALISSA amvua NGUO MKE wake, aanika uchafu wake nje, UKWELI WOTE HUU HAPA, TALAKA ILITOLEWA

  Рет қаралды 13,671

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Пікірлер: 31
@jonathanbbenardkazenga2085
@jonathanbbenardkazenga2085 Жыл бұрын
Damu ya Yesu itasimama kama ukweli au uongo Mungu simama mwenyewe juu ya maneno haya yote
@emmykundy4273
@emmykundy4273 10 ай бұрын
28:40 Nabii Malisa anazaa na mwanamke mwingine na wanafuata taratibu za kimira (sio za dini) alafu mnasema ninyi ni wakristo
@emmykundy4273
@emmykundy4273 10 ай бұрын
29:00 kumbe Malisa anaweza kuoa mke mwingine kimira, na bado mke wake (Lisa) akiwa na mwanaume, inakuwa ni tatizo sio… wewe unayetoa hii taharifa huna uelewa na unachokiongea…
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 Жыл бұрын
Mwijaku na Dr.Kumbuka mnatuharibia maisha
@emmykundy4273
@emmykundy4273 10 ай бұрын
Alafu hao wachungaji ndio wanaombea ndoa za watu wengine… na hatabkumfufua mama yake mara tatu… Endelea kuwaamini hawa manabii wa uongo.
@jacklinemahinya2488
@jacklinemahinya2488 Жыл бұрын
😂😂😂 😂 nicheke mie
@amiribakari2528
@amiribakari2528 Жыл бұрын
Wewe ni mnafiki unamtetea malisa unamchafua huyo bint kwamba kaiba pafym wewe umedhitisha kwamba ni mwizi tyr..kwa nn..mbona huzungumzii swaala la malisa kuzaa na mtumishi
@OnlyRuky
@OnlyRuky Жыл бұрын
Why asiongee muhusika? Unajuaje ya ndani ya ndoa yao?Ahahahahahw CHAWA WA MCHUNGAJI..... Wanayopitia? Umetumwa kumsafisha Mixxx👇Haya wanakondooo nawasubiri km mlivyo jipanga😊 Ushahidi lisanadhara,amedharau serekali, issue ya uwizi ya walisa imeingiaje? Yanahusianaje??? Hao makamanda walihusika na kesi niwalarushwa hakuna anayewaamini😮
@YothamBraiton
@YothamBraiton Жыл бұрын
Hao ndo aliwaongelea mange😅😅😅
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Wewe baba acha uongo umelipwa wewe kwani Mwamposa anasemwa mangapi mbona hajawai jibu mtu apo ulipo yako yamekushinda
@YothamBraiton
@YothamBraiton Жыл бұрын
Sasa wewe ufanye mchakato wa taraka wewe ndo ulimuowa huyo binti😅 kwani hii kisheria imekaaje kuowa haowe mwingine na taraka atafute mwingine😅nchi ya ajabu hii halafu linaongea bila aibu ili litakuwa tapeli lilobobea ona iyo ooo yake😅😅😅
@bakarially253
@bakarially253 Жыл бұрын
huo ndio ukiristo nas
@BigBrain23
@BigBrain23 Жыл бұрын
Huku mtandaoni kuna ujinga sana, wewe ni chawa wa mchungaji au msemaji wa ndoa za watu? Naona umeita na waandishi wa habari kizungumzia ndoa ya mchungaji
@YothamBraiton
@YothamBraiton Жыл бұрын
Dume Zima linaongelea maisha ya watu jamani utumishi wa miaka hii ni hatari
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Kwanza mi nashindwa kuelewa, na sikutegemea mambo ya ndani ya mtu na mkewe ,watu wanaojuwana nyu hi zao huyu anashadadia hivi anajitambua kweli???
@judyngowi391
@judyngowi391 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu anaoa kwa kufuata taratibu za kimila?😢😂😅😊
@CharlesMakasi-jp2hs
@CharlesMakasi-jp2hs Ай бұрын
Hii ni mitandaon acha wakongwe wawezavyo but siamin hayo yote
@jonathanbbenardkazenga2085
@jonathanbbenardkazenga2085 Жыл бұрын
Nguo gani andikeni title yenye ukweli
@hastatz
@hastatz Жыл бұрын
Ndoa ngumu kwel yani
@neemamushi4476
@neemamushi4476 Жыл бұрын
Acheni kuichafua dini
@YothamBraiton
@YothamBraiton Жыл бұрын
Kwaiyo huyu ndo nani sasa,kwanini hasiongee mwenyewe kaka mzima na ubonge wake anaonge pumba tu, halfu unasema uliendankuchukua form3 walipikuwa Wanakaa wanzo je walipikuwa na kaa sasa waliwakatalia iyo form namba 3 kwa ushauri wangu mdongo hamkutakiwa kuja kuongea hayo Mambo badala yake mngempati huyo Binti anachotaka,kwa lugha nyingine amtakai kumaptia halafu mnajiita watumishi KWELI dini imeiingiliwa jamani😢
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 Жыл бұрын
Umeumia kwani
@imanmodern
@imanmodern Жыл бұрын
Anamvueje nguoa tena jamani 😅
@jonathanbbenardkazenga2085
@jonathanbbenardkazenga2085 Жыл бұрын
Na umuomeshe huyo mtu anaedai hayo yote
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Жыл бұрын
Mh...nishakua na mashaka na nyie mtakua kakumbaaaa
@YothamBraiton
@YothamBraiton Жыл бұрын
Hawa watu wanajitetea sasa siwampatie haki zake hayo yaishe kelele za Nini sasa et ooh mh nitamtaja😅😅jamani maisha haya yanaenda mbio sana,wanatete matonge Yao,anavyoongea aibu naona Mimi huyu kibonge sio mzima kabisa kabisa😅😅
@bakarially253
@bakarially253 Жыл бұрын
ukiristo ni biasgara ya zungu
@isaacdavid3997
@isaacdavid3997 10 ай бұрын
Acha upumbavu wako. Kamchungulie kwanza mama Yako halafu uje usimulie ulichokichungulia.
@bakarially253
@bakarially253 10 ай бұрын
@@isaacdavid3997 ndio maana nasema kuna tofauti yetu na nyinyi muslam popote alipo ni nuru siwezi kujibu kama ulivyoandika inatofasiri wewe ni mtu wa aina gani. Wewe wala hauna mama. Mungu akuongoze uijui ukweli
@veronicangailo7644
@veronicangailo7644 Жыл бұрын
Kwani sheria za ndoa kikristo zinaruhusiwa kuvujwa ubabaishaji wa wawatumishi wa siku hizi
@ezraedwini5098
@ezraedwini5098 Жыл бұрын
Kumvua nguoo😂😂
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 38 МЛН
Try Not To Laugh 😅 the Best of BoxtoxTv 👌
00:18
boxtoxtv
Рет қаралды 4,9 МЛН
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
GEORDAVIE - "NABII B.G. MALISA ATHIBITISHA!" (AUDIO) - GeorDavie TV
30:58
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
MkasiTV
Рет қаралды 1,3 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 38 МЛН