No video

Pt1_YESU NI MUNGU•Usipotoshwe na hao wazushi•Wanajua ukweli huu wapo tu kwenye mkakati wao|BspMpemba

  Рет қаралды 2,111

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 29
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 2 ай бұрын
Yesu ni Mungu,akiketi kwenye kiti cha enzi anakuwa Jehovah,anakuwa adonai,alipokuja duniani kumwokoa mwanadamu anakuwa mwokozi wa ulimwengu,yesu Kristo,anapokuwa katika huduma ya kufanya miujiza,kuponya wagonjwa,kuwaombea watoto wake anaitwa roho mtakatifu,haya yote ni Kristo yesu ni Mungu.
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 2 ай бұрын
Ameni umechambua vyema sanaaa umeleweka
@swahilimagnet
@swahilimagnet 2 ай бұрын
MODALISM
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 ай бұрын
Shkamo baba upo juu km YESUKRISTO bwana na mwokozi wetu😊
@elishaalexander-ky1vf
@elishaalexander-ky1vf Ай бұрын
Yesu ni Mungu mkuu ni Baba wa milele ni mfalme wa amani alikuja kama mwana ilikukomboa ulimwengu ndiye imanueli ndiye atakayekuja kulichukua kanisa.❤
@nelsonsape2809
@nelsonsape2809 2 ай бұрын
YESU NI MUNGU ITABAKI HIVYO... SHUKRAN MCH.. KUWAELEWESHA WANAO BISHA TUENDELEE KUWAOMBEA BWANA YESU AWAFUNGUE UFAHAM WAO....
@marybukuku1494
@marybukuku1494 2 ай бұрын
Ameen na Pia Asante sana mtumishi wa Mungu Mzee fumbua macho kakaangu umenene maneno mazuri sana huko ndiko kuitetea injili ya imani yetu Asante sana nami naandi kutoka ughaibuni Texas Frisco
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 2 ай бұрын
Asante saaana mtumishi wa MUNGU alie juu saana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 ай бұрын
Yesu ni Mungu hata kama dunia itapinga lakini Yesu atabaki kuwa Mungu maana ndiyo alivyo.
@user-xb4qj5pd7x
@user-xb4qj5pd7x 2 ай бұрын
Utukufu kwa BWANA!
@fidemikaeli8145
@fidemikaeli8145 2 ай бұрын
Amen, Yesu wetu ni Mungu mkuuu sana
@issachege5606
@issachege5606 2 ай бұрын
It's true only Muslims can deny Jesus is not Lord,bt I declare Jesus is God 😢
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 2 ай бұрын
Kama umemkataa YESU ktk fikra zako kamwe usije kutarajia kama utaweza kumwelewa YESU KRISTO kama Mungu. Mambo ya Roho yanajulikana kwa jinsi ya Roho. Mkubali kwanza YESU aliye uzima wako na ndipo akili zako hizo changa zitakapopata Uelewa wa mambo haya yote. Asante sana Mtumishi wa KRISTO YESU BWANA kwa ajili ya fundisho hili la Thamani mno!! Roho wa KRISTO azidi kuwafungua watu wake kupitia mfululizo wa mafundisho haya
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 2 ай бұрын
YESU ni MUNGU yohana 1:1-3
@annaamadeo-ge2dd
@annaamadeo-ge2dd 2 ай бұрын
YESU NI MUNGU
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 ай бұрын
uitaji ni mkubwa sana
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 2 ай бұрын
Baba Mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa sana.
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 ай бұрын
Binafsi naamini Yesu ni Mungu, swali langu kwanini alikataa kuitwa mwema
@hellen9056
@hellen9056 2 ай бұрын
Wapi alikataa alisema hakuna aliye mwema ila Mungu Nani kweli hakuna Mwema ila Mungu siuna amini Yesu ni Mungu ndo hivyo hakuna mjadala
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l 2 ай бұрын
Watu wanapotosha sana simu hizi lkn tunashukuru kwa sababu ya kuletea maarifa team ya promover pia wakristo tujitahidi kusoma neno la Mungu.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 2 ай бұрын
Mimi sina maswali kwasababu Yesu Kristo ni Mungu mkuu!! Tito 2:13, amwaminiye hahukumiwi, asiyemwamini amekwishakuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la mwana pekee wa Mungu. Yohana3:17-18. Kwahiyo yeyote chini ya hii jua asipomwamini Yesu bac ujue amekwisha kuhukumiwa. Afu Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao, 2Wakorintho 5:18-19. Yaani vyote vyatokana na Mungu. Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa ni Mungu, neno akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake, yaani Yesu Kristo, Yohana1:1-14. Aliyemwona Yesu amemwona Mungu Yohana 14:8-9. Bila kusahau Yesu ni njia ya kwenda Mbinguni Yohana 14:6, 13-14. Amen. Haleluyaaaa!! Bwana Yesu Kristo ni Mungu!!
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 ай бұрын
somo liwe hadi part 10
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 ай бұрын
njia ya tano ya kumpata mwanadamu ni Roho kuvaa mwili ilitokea kwa Ibrahim
@dolvinshao6956
@dolvinshao6956 2 ай бұрын
Hii ni Kwa wale wanaotaka kujifunza tu ukitukana utakuwa na kichaa Cha nyoka
@fidemikaeli8145
@fidemikaeli8145 2 ай бұрын
Amen, mtumishi
@user-xb4qj5pd7x
@user-xb4qj5pd7x 2 ай бұрын
Asante sana Bishop!
@user-xb4qj5pd7x
@user-xb4qj5pd7x 2 ай бұрын
Tatizo ni kwamba baadhi ya watu wanatafuta kulielewa Neno la Mungu kwa akili badala ya kwa ROHO. YESU ni Mungu!
@Anonymous-w9v-i1p
@Anonymous-w9v-i1p 2 ай бұрын
Hapana. Unafikiri hawajui? Shida hawa baadhi ya watumishi (kama mzee wa upako) wanapenda misifa..wanajua vizuri ukweli juu ya Uungu wa Yesu ila wanapendaga tu kuropoka ili watrend..Kazi kutuharibia dini tu.
@swahilimagnet
@swahilimagnet 2 ай бұрын
YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. MSIONGEZE WALA KUPUNGUZA. MNAHANGAIKIA NINI?
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 77 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 52 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 14 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
UKWELI KUHUSU MAJI,MAFUTA YA #UPAKO HUU KAPA !!
17:19
Issack Mzava
Рет қаралды 4,6 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 77 МЛН