SUBSCRIBE NOW KWA KUPATA HABARI PAMOJA NA MAKALA BONYEZA LINK HII bit.ly/3waxCzh KARIBUNI SANA KWA HABARI ZA BURUDANI NJE NA NDANI YA TANZANIA PAMOJA NA KUJUA HISTORIA MBALI MBALI ZA WATU MAARUFU DUNIANI #@FutureMediatz
Пікірлер: 199
@MohamedMadambo2 күн бұрын
Mungu awalipe kher kwa ukumbusho huu hakika mwenye iman ya hofu na Allah hayaish kwake machoz kila anaposikiliza qaswaida hii
@nuriatyhamiss72012 ай бұрын
shukran sana kwa ukumbusho wako Allah akulipe kila lenye kher inshallah 🙏
@amingsutarno69772 жыл бұрын
Masyaa Allah tiada pernah bosan" mendengar kan syair" yg di lantun kan berikan lah Negara kami dan Negara ini Rahmat mu yaa Allah engkau lah yg maha segala - Sega nya.
@nambraknambrak6125 жыл бұрын
Mashallah ujumbe mzuri mungu atuongozee sote isilama kwani duniani tunapita inshallah tuwe wenye kufata mema mabaya tuyaepuke
@shebychazy35894 жыл бұрын
Yallah tujaghalie mwisho mwema tu nawapongeza pia kwa qaswida nzr san umauti siri ajuae Allah ujumbe mzr inshallah
@ffed1876 Жыл бұрын
MaashaAllah Shukran kwa ukumbusho Mola atujaalie tuyakumbuke kila mara ili tujizuie na maovu kuyasogelea Amin
@maryamhamad51583 жыл бұрын
Vigogo wamekutana. 💘Mashaallah
@habibahamiss7075 жыл бұрын
maa shaaa Allah qaswida nzuri sana hakika sisi ni wa Allah na kwake tutalejea
@FatumaAthuman-bm2fmАй бұрын
Mashaallah mungu awajarie kaswida zuri sana
@naimasaid40735 жыл бұрын
Uhakikaaaa ...unanikumbusha marehemu baba angu ..mungu akurehemu baba angu kwa rehma njema na mi nipo nyuma yako
@asiaa51965 жыл бұрын
Mashaallah ujumbe ni mzito ila mlivyokaa kaa tu hata hamjaweka majonz majonzi ndo kwanza mnacheka mmeikosea sana hio kaswida
@aminaali88363 жыл бұрын
Mashaallah umauti siri yake allah allah awabariki sana kwa ukumbusho ,,
@guyogalora27367 ай бұрын
ya rabbi utujalie mwisho mwema
@didaa70092 жыл бұрын
alihamdhulilah kaka ak nikisikiliza uu wasiya ak naona machozi yanindondoka ak bt nikikumbuka wazi wag alihamdhulilah
@hamisiramadhan30102 жыл бұрын
Barallah lakum
@omarsuleiman22082 жыл бұрын
Mashallah Allah hongereni sana vigogo
@ConfusedCoastalBeach-bk7gc5 ай бұрын
Mashallh kaswida nzur sn ❤
@suhajuma31534 жыл бұрын
Best voice ,,, hongereni sana wasomaji kwa nyote zaid na zaidi,,, asanten sana,,,
@TeamKRX4 жыл бұрын
awa vijana ni wadogo noma wanastahili kuenziwa masahalah sauti zao zanisisimua walah mashalah duu sasa mwataka walie au wagaregare ujumbe utafika na umefika hata wakicheza
@ZainaHalifa9 ай бұрын
Maashaallah maashaallah maashaallah ❤❤❤❤❤
@wangshuai14085 жыл бұрын
Mashaalaha kaswida nzuri sana imenikosha sana tu ila tu mmekosea kucheza juma fakk nakuaminia tutawakaribisha kwetu kondoa asateni
@benimkojani34345 жыл бұрын
Juma untembea sana Allah Akuongzee in shaa allah
@bichechehassaniiddisilva36405 жыл бұрын
Mko vizuri kadiria hongereni ujumbe mzuri
@khadijahasani99002 жыл бұрын
Mashaa Alpha kwakutukumbusha
@naimasaid40735 жыл бұрын
Mungu akuzishiee fakiyy akupe pumzi utuzidishia kutupa ujumbe wa manufaaa kwetu
@FatmaFatma-jr6li Жыл бұрын
Ujumbe mzuri Masha Allah Ya Allah tujalie Mwisho
@aliomari52544 жыл бұрын
Hii nimeikbali mashalla
@aliarkam14135 жыл бұрын
Masha Allah hongeren sana Qaswida mzur yenye ukumbusho .
@latfadaud44444 жыл бұрын
mashallillah mashallillah jmn me napenda xn
@aliy33034 жыл бұрын
Wallah tulipokua enzi za zamani hapo tumeshinda koz kaswida imesimama lakini Leo nimekua naona hakki haipaswi kucheza hivo hassa huo ni ujumbe mzito
@kassimaliyy61135 жыл бұрын
Juma kasida nzurii sana ila mumekharibu Kucheza tu
@rehemaabduli69763 жыл бұрын
Hongeren Sana kwaukumbusho Allah awajalie Afya njema
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Kwakweli juma faki ilikuwa huku kwetu hukubaliki hata kidogo ila ss hiv kila kona unatajwa hongera sna, kiongozi fakk hongera sna naww
@haydarhamad65323 жыл бұрын
Masha'Allah!wakali mmekutana
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Maa sha Allah hii Qasida ingependeza zaidi kama mungeitoa vile vile maigizo yake ya kifo kama munaekti hayo mauti kuliko kucheza lkn ujumbe umefika vzuri maa sha Allah
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
In sha Allah
@mahamuduirumba9934 жыл бұрын
mashallah ujumbe mzito kwa tunayojfanya dunian tumefka xo tumche Allah ndugu zangu
@aishahusen1613 жыл бұрын
Kwakweli. Mm naipenda kadiria dam dam😍😍😍😍😍
@ameenaalameena49683 жыл бұрын
mashaallah nawapenda
@khairunnanji5994 жыл бұрын
Masha Allah unatishaaa sanaaa
@AhmedAli-jj2dp2 жыл бұрын
Hakika MashaAllah
@ashamrutu72175 жыл бұрын
Mashaallah ujumbe mzuri sana
@hatibuhassani98543 жыл бұрын
Mashaallah nawakubal sana
@abdallakhamis16448 ай бұрын
Hapana kiukweli hilo ni dufu kucheza lazima hata kama ujumbe ni mzito, hebu kumbukeni dufu asilimia kubwa sana Qaswida zao ni ujumbe je hawachezi
@aliy33034 жыл бұрын
Vp brothers hapo hakutaki kucheza fujo
@jayratumaulid5825 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah #AQAZ
@ghabdulyfatah62015 жыл бұрын
Mashaallah hakika nawapenda maustadh wang
@omarkhamis88485 жыл бұрын
Qaswida mzur ila kitu kimoja mulikuwa mueke huzun
@naimamohammed32435 жыл бұрын
Mashaallah aqaz qaswida nzuri, but mmejaribu kucheza. Walio swafu ya nyuma, huo ndio utaratibu wa qaswida huo.
@brother_asam73234 жыл бұрын
ujumbe umefika kw jamii 😢😢
@hameedkilala12995 жыл бұрын
nawapenda mpk bc nzuri sanaa
@shabanihussen74494 жыл бұрын
Mashallah sheikh wng
@user-ed4ct4nq8n3 ай бұрын
❤
@munfatchichi28745 жыл бұрын
Mashaalkah kaka napend kaswida zako ni nzyr san
@aminahalifa8275 жыл бұрын
Safi sana
@hamadsuleimaan82325 жыл бұрын
NAAMINI HAPO NI MPENDAE KTK MAULID YA AHIMT, PAMOJA SANA AQAZ
@zawijiaomary10574 жыл бұрын
Mashallwah💞💞
@mamuhamad29594 жыл бұрын
Safi kabisa .huwa nakaa naskiliza hii qasda
@wadmohd72315 жыл бұрын
Ujumbe ni sahihi kabisa hongereni sana
@AbdulHakim-fd5ui5 жыл бұрын
Safi aqaz
@zulekhanassor80635 жыл бұрын
Mashaaallah baraka allah
@mazinyodeluca13735 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii kasda yenu
@tauhidaalikhamis8714 жыл бұрын
Mashaallah kheryy
@hajiwakil21385 жыл бұрын
Wapo sawa namaanisha mahodari sana juu ya kazi wanayoifanya ya kufikisha ujumbe
@rizikisuleima29295 жыл бұрын
ahlu madina
@hamisibahati78402 жыл бұрын
HAMISI. BAHATi
@AbdulHakim-fd5ui5 жыл бұрын
Masha Allah Aqaz
@fatimakassimkasifa92654 жыл бұрын
Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarengea
@bintichausa47445 жыл бұрын
InshaaAllah Allah atujalie mwisho mwema.
@shamsaalrahbi55734 жыл бұрын
Good job
@yahayaomar5855 жыл бұрын
Mlitakiwa kuonesha huzunika na sio kucheza.. hongereni ujumbe umefuka
@shakilaseif35105 жыл бұрын
Masha Allah mmeipangilia vizur kwa saut ya huzun Juma and fak nice
@samiaramadhan70094 жыл бұрын
Mashaallha
@mrlaiza80823 жыл бұрын
Nice
@jumaking83853 жыл бұрын
Mashaallah
@Shasha12345-Xu5 жыл бұрын
asante kwa qaswida nzuri hongereni kwa hilo
@hajiwakil21385 жыл бұрын
Mashallah hongereni kwa ukumbusho tuko pamoja
@omarameir29662 жыл бұрын
Mashallah
@ismailselemani32394 жыл бұрын
Qaswaida na mwonekano haviendani
@mwanaidabdala7484 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah taqbiiiiiiirr nimeipend sana hiii qaswida