HAWA HAPA WAALIMU WA DINI YA KIISLAMU, USTADHI MATHAYO NA SAUTI YA ZEGE WAKICHAMBUA HOJA ZA MWALIMU NDACHA NA DANIEL MWANKEMWA KUHUSU QURAN TUKUFU NA KUJIBU HOJA ZAO
Пікірлер: 191
@wazirisaid83265 күн бұрын
Huyu sheikh Mwanzo nilikuwa namchukulia poa na kikofia chake Kumbe dad!! Ni bonge la Mwana wa zuoni Mashallah.
@paulmushi24285 күн бұрын
Mwanazuoni 😂😂😂😂😂😂
@cetriclugonyi44525 күн бұрын
Hiyo aya ya yohana 16 yesu anatuma msaidizi pengine tutoe roho tueke Mohamad na mwenye ruhusa ya kutoa ama kutuma nabii ni mungu basi yesu ndiye aliye mtuma mohamad so yesu anakua allah,though Shaikh atapinga kama kawaida yao
@joezeno84 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@graduationtv30723 күн бұрын
@@cetriclugonyi4452 hawa hawana lolote bhana ukisoma 2:97 inatosha kabisa kuamini hawa Mungu wao ni Shetani
@moshajexplore3 күн бұрын
@@cetriclugonyi4452 Yaani, Yesu ndiye alituma Muhammad Sasa yesu ni Allah. Asante sana
@malebtv19915 күн бұрын
Mashallah
@badirunuhu83635 күн бұрын
Mashaallh
@abdinyangassa45475 күн бұрын
Kijina mashaallah!! Unaupiga mwingi sana, nahuyo anayewahoji ni mgalatia mbaneni mpaka asilimu huyo.
@rejim22315 күн бұрын
Bora mgalatia kuliko ww mwanaharamu unaehukumu ilihali msikitini hupajui
@DesderiusHaule4 күн бұрын
Pastor Ndacha ametufunua macho juu ya uongo wa Muhammad ❤❤
@anwarabdallah70955 күн бұрын
Maasha Allah shk uko vizuri kabisa kumjibu huyo kikafiri simulizi
@ronaldmatimbo96915 күн бұрын
Mungu yuko Kila mahali kwa hiyo ni sawa kusema huyu,hiki,hawa.......
@abdinyangassa45475 күн бұрын
Shekhe Mathayo unazo hoja za msingi mashaallah.
@graduationtv30725 күн бұрын
Kumbe shetani siyo adui wa Mungu kwa hoja ya 2:97 . Na binadamu anaweza kuwa adui wa Jibril kivipi hapa. Hapa tumepigwa hiyo aya inathibitisha tu kuwa mohamad awaambie uma wake kuwa aliye teremsha hiyo qurani ni adui wa Mungu ambaye ni shetani.
@AntonyManeno5 күн бұрын
So Mnajua Kua Bibilia Ni Ya Ukweli Maneno Yaliyomo Bililiani Muliyachukua Mkayaandika Kwa Qorowan Na Muna Muamini YESU❤ Sasa Ubishi Ni Wa Nini Wakati Mtume Wenu Mhamad Alihadtiwa Ndio Aka Andika Qorowan😢 Sasa Basi Sisi Tunacho Kataa Ni Kujionge Zee Maneno Yake Mwenyewe Hapo Dio Alikosea😢
@graduationtv30725 күн бұрын
@@AntonyManeno 10:94 qurani inawasuta kabisa ili wapate kujua lazima warud kwetu tuwafundishe lakni hawatak tuwafundishe
@wazirisaid83265 күн бұрын
Hatahivyo Rohomtakatifu sio msaidizi wa Yesu Bali Yesu Ni msaidizi (Nabii) wa Mungu
@jacksonmwafongo19175 күн бұрын
Nashukulu Allah Kwa kuzidi kutuletea Wana zuoni wachanga Allah muzidishie zaidi na zaidi elimu kijana wetu Allah akubaliki
@user-ek7bx6sk6f5 күн бұрын
MaashaAllah ALLAH Akuzidiye nguvu sheikh wetu uzidi kuwaelimisha
@aasatt785 күн бұрын
MashaaAllah mashekhe zetu Allah awalipe kila la kheri. Amiin
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
Simuliz pia Mungu hajawahi ongea na Yesu,
@mwesi5275 күн бұрын
Na tumfanye MTU kwa mfano wetu, hapo Mungu alikua anaongea na mwanae ambae ni Yesu.
@Anonymous232165 күн бұрын
We kaa zako kimia kwa sababu hujui maandiko.
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
@@Anonymous23216 tafuta mdahalo na mimi
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
@@Anonymous23216 tafuta dini yako ndio tuongee
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
@@Anonymous23216 tafuta dini yako ndio tuongee: maana huna dini 1Timotheo 6:20 , kama huna dini 64:2 Quran na (yuda 1:4 .. ndio kwako)
@navokisembo2 күн бұрын
Uislamu bila uongo hauwezi chochote poleni saana. Ndacha na mwenzako mbarikiww
🤲..Kwa Elimu mlioitoa ni faida kwa wanaoskiza na kuelewa na kuijua Haki ☝️anaepinga Quran naapinge tu lkin ajue kiame atapata Hasara tu kama Allah swt ☝️ alipotutarifu na Mapema.
@samxx4114 күн бұрын
Walimu wa kiislamu wanafundisha lkn walimu wa kikristo wapo kupinga na kulalamika
@LucaWanzuki5 күн бұрын
Jameni nimeona moja wetu katoa comments yake katukana sio vivuri ivo haturuhusiwi kutukana waisilamu bali kuwalingania wala sio kutukana pongeza au toa hoja mmi nimuisilamu bt cjapenda ivo ulivyo fanya
@mahsneermohammed21075 күн бұрын
Sijawahi kuona mashekhe wakiingia kwenye ukristo lakini nimewahi kuona mapasta wakislim wengi, Kuna watu wanaangalia lakini hawaoni na kuna wengine wanaskia lakini hawaelewi Subhana Allah
@robertmwangiotieno61835 күн бұрын
@@mahsneermohammed2107 wata uwawa dio mahana
@robertmwangiotieno61835 күн бұрын
Wata uwawa dio mahana
@alzawahirabdallah22995 күн бұрын
Kwa sababu ukristo sio dini na hakuna andiko ukristo dini
@aishahazary4097Күн бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya Uislam.Yaan hakuna muislam mwenye akili timam anaeriadi zaid ya kina Paulona Yohana mzer mzima kaona amalizie uzee wake kwa ukristo.Kidume huyu ALLAH kamtoa kwenye ukafir anamtangaza kiukweli kweli
@SebastianKisokola4 күн бұрын
Nyie waongo tu wadanganyeni waislam wenzenu mungu hana haijui dini yenu
@user-mb7on7tu3r4 күн бұрын
Biblia tu njo kitabu Cha mwenyenzi Mungu kweli kweli 🙏🙏, Quorun Si kitabu cha Mungu, ila wanaibia nusu ya maneno katika biblia kitabu Cha Mungu ili Quorun nayo ionekane kuwa ni ya Mungu. Kwasababu kama katika Quorn hamunge patikana maneno mtakatifu ya biblia, watu wasinge amini kwasababu watu wote wanaamini kwamba biblia Ni kitabu Cha Mungu ❤❤🙏🙏🙏,::: Mbali tu na maneno yenye kupatikana kwenye biblia izo zingine ni ushirikina, uchawi , fundisho la majini
@mwesi5275 күн бұрын
Kitu nimejifunza kwa hao mashehe ni kwamba wana roho ya mpinga kristo inayofanya kazi ndani yao
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Hakuna mwislam anayempinga kristo.
@aliroro93445 күн бұрын
Wewe kasome...Sisi yesu ni wetu kama manabii na Mitume yote waliotumwa na Mungu (Allah swt ☝️)
@petergoyandi56995 күн бұрын
Yaani hao mashee hawawezi hata kidogo kwa ndacha mana simulizi mwenyew kujibu ni shida
@GeraldMswazi-bp2kw5 күн бұрын
Mjomba naona unajikakamua ili utoke kupitia ndacha,kupitia ndacha utajulikana.
@SebastianKisokola4 күн бұрын
Mungu wenu amewambia mtumie uwongo ili mwapate wakristo na sisi tumewajua ninyi waongo tu na kitabu na mungu wenu ambae hata yeye ataenda motoni
@GeraldMswazi-bp2kw5 күн бұрын
Waislam Hanna elimu YA kuwa funza wakristo,nyie Dini Yamuna.
@bakarimakomola5 күн бұрын
We mwenye elimu ndo unaandika kiswahili cha namna hii😂😂😂
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
@@bakarimakomola😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@GeraldMswazi-bp2kw5 күн бұрын
@@bakarimakomola ,boss nilikua Na haraka ndio maana sikuandika vyema ,kama Ni fasii Na ifahamu vizuri.
@EmilianoVelasquez-ft4ie5 күн бұрын
Mwalimu Francis ndacha ni firun ndogo wa zama hizi hana lolote achojua ila anapinga tu , ukisiliza unajua huyu hana achojua
@MWALIMUCHAKATV5 күн бұрын
Wapi Yesu kasema injili isiandikwe?
@SirikwaMollel-y3k5 күн бұрын
Lakini mbna Quria imebeba biblia? Na biblia haijui Qurani
@SebastianKisokola4 күн бұрын
We said umechanganyikiwa mashehe watupeke mbingini sisi kwa kitabu gani cha majini kitabu ambacho hakina roho mtakatifu hicho sawa na gazeti tu wawapeleke ninyi sio wakristo
@josephmusagasa4 күн бұрын
Uislamu ni ubabaishaji tu,huwezi kutetea uislamu kwa Biblia
@ronaldmatimbo96915 күн бұрын
Hata shetani ana mitume ,sijui kama tunaelewana😂😂😂
@paulmushi24285 күн бұрын
Maamuma Mathayo, Kwa Mujibu Wa Qur'an yenyewe mwandishi wake anasema imeletwa na ADUI WA JIBRI Qur'an Surat Baqurah 2: 97 - Sema: aliyekuwa ADUI wa Jibri basi huyo ndiye aliyeiteremsha Qur'an Moyoni mwako! (Tafsiri ya Baruan) (Swali huyo ADUI wa Jibri malaika wa Mungu) ni nani?
@graduationtv30725 күн бұрын
Nimejifunza kitu kumbe adui wa Mungu ni wayaudi siyo Shetani. 😂😂😂😂😂😂
@aasatt785 күн бұрын
@@graduationtv3072 Mayahudi ni maadui kwa kuwakataa manabiii na kuwauwa na kumsingizia Maryam mama wa Yesu mambo machafu kuwa amezaa mtt wa zinaa ni jambo kubwa hilo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa sababu kuzaliwa kwa Yesu ni muujiza na shetani amelaaniwa na Mwnyezi Mungu na yeye uadui wake ni kupotosha wanaadamu apate wafuasi wakwenda nao jahannam
@OmariShuli3 күн бұрын
Hebu kaisome vizuri hiyo aya, utulize akili na ujue vizuri lugha ya qurani.
@graduationtv30723 күн бұрын
@@OmariShuli una chakusema bhana tumesoma mpk wanazuoni wenu wanasema walikaa mezani wakakubaliana kuwa adui wa jibri ni binadamu kutoka Israeli ambao ni wayaudi sasa tangia lini adui wa malaika na Mungu akawa binadamu na siyo shetani?. Au kwasababu shetani alisilimu akawa Muislamu hvyo akageuka kuwa rafiki wa Mungu.
@josephmusagasa4 күн бұрын
Kwani Quran haiwezi kujitetea hadi mtumie Biblia? Hebu tumieni Quran pekee ijitetee. Naamini haiwezekani. Quran haiwezi kujitetea yenyewe.
Jameni tuseme ukweli na utuweke huru.Hawa waliilimu sijui mashehe hoja zao dhaifu sana ,finyu sana
@Utulivu4442 күн бұрын
Simulizi na sauti naomba ongeza swali hili mimi kila napo sikiliza midahalo sijawahi kusikia swali hili na linanitatiza 🧭1.Kwann Muhamad ajisemee yeye ni nabii wa mwishoo kuwako...?? Uthibitisho huo tunaupataje kwa kusoma tu kitabu alicho andika yeye..??? BIBLIA Ina Muunganiko wa utabiri na manabii kutoka AGANO LA KALE Mpaka ujio wa YESU..... Swali ni je kwann ujio wa MUHAMAD haujatabiliwa kwenye biblia ikiwa wanaitumia INJILI na ikiwa Quran inakili kuwa injili ilikuwako na inakili habari ya YESU/ISSA
@samxx4114 күн бұрын
Simulizi akifika kwa mkristo anatetea ukristo akifika kwa muislam anachallenge ok ndio unasoma ila ktk uislamu utasoma sana ila figisu na kona utapata kwa wagala
@cetriclugonyi44525 күн бұрын
Je,quran aliyo acha Mohamad je ndo hiyo ya sahii,wapi aya ya kupiga mawe sura iliyo liwa na mbuzi iliongelea nini
@samxx4114 күн бұрын
Simulizi hayo maswali yake unajibiwa lkn akirudi kwa ndacha atakuja uliza hilohilo
@rejim22315 күн бұрын
Quran ni kitabu kilichoandikwa sio kushushwa baada BIBLIA TAKATIFU. Mtume hakujua kusoma wala kuandika ivyo hakuandika yeye. Alieandika quran alianza kuisoma Biblia yooote, then akachagua ya kusadiki na akachagua ya kuyapinga ili quran ipate njia ya kupita tuiamini. JESUS CHRIST
@MbanoMrage4 күн бұрын
@@rejim2231 Hata yesu alikua hajui kusoma wala kuandika sio tatizo
@user-mb7on7tu3r4 күн бұрын
@@MbanoMrageusi mlinganishe yesu Na Muhammad nimbalisaaana ,,,,,,,Na hata katika mitume walio tumwa na Mungu Muhammad ayumo, kwasababu hakuna nabii ao mtume waMungu aliye kuja kuipinga biblia na kusema Kama imearibiwa hakuna , yeye tu peke yake katika mitume wote 🤔🤔🤔🤔🤔😱😱😱😱
@joachimluhamo30424 күн бұрын
Du mwezi ni sayali du waislam elimu ya dini hamna na elimu dunia hamna mmekalia ubishi tu
@mwinzilavincent377420 сағат бұрын
HUO UONGO WA MWEZI PIA UKO KWA UISLAM.. HAKUNA MTU HAJAWAI FIKA MWEZINI... THEN UNADANGANYA MWEZI SIO SAYARI..
@Milanova4604 күн бұрын
.. Quran haikuteremshwa.....iliandikwa tu na waadhiri...
@chiringakandoro43915 күн бұрын
KWELI WALIKOPI KUTOKA KWA BIBILIA KABISA
@paulmushi24286 күн бұрын
Na Kwa Mujibu Wa Qur'an na Khadith Muhammad siyo mtume wa Mwenyezi Mungu!! Sitaki makasiliko Wala matusi twendeni Kwa hoja
@zaidiissa37145 күн бұрын
Ndugu zetu wakristo msiwe na chuki wala jaziba sikilizeni kwaumakini na kujifunza msijaji kwa ushabiki balisomene naskilezeni mpate elimu na maarifa ili muijue haki nadini yakweli ilimpate kufaulu hapa Duniani na kesho mbele za mungu someni koroan na bibilia kwa umakini sana
@ZayyanaBamuni5 күн бұрын
Sijui uletewe hoja gani ndio uelewe
@halidimgonza59455 күн бұрын
hkn KAFIRI ukiwemo ww ambaye ataweza kui-challenge Quran, kabla hujaigusa Quran, kasome kwnza biblia , 1 WAKORINTHO 15:9, huyo wajina wako Paulo alowaingiza ktk ukafiri na kujiita wakristo, asema hastahiki kuitwa mtume jadili hilo kwnza
@halidimgonza59455 күн бұрын
et wataka hoja kwa elimu gn ulokua nayo ww mwenyew bd ni mjinga soma kwnza uitambue dini y kwel
@paulmushi24285 күн бұрын
@@halidimgonza5945 😅😅 Paulo ni mtume Muhammad hakusimuliwa Khabari zake Qur'an Surat An-Nisaa 4: 164
@GeraldMswazi-bp2kw5 күн бұрын
Quran ilicopy Kwa biblia,kwasababu biblia iliandikwa mbele Quran ikafuata.
@kibaikiramadhani14755 күн бұрын
@@GeraldMswazi-bp2kw ww ni zwazwa kabisa qu,ran inaipinga bible sio vitab vingine
@bakarimakomola5 күн бұрын
Na biblia ilicopi injili, torati, zaburi na mkaongeza maandiko yenu umo ndani
@rejim22315 күн бұрын
WAISLAM BHANA, YESU WANAMPINGA, ILA WANASADIKI MAANDIKO YAKE. YESU WANAMKATAA SIO MWANA WA MUNGU NA SIKU WANAKUAMBIA YESU NI MKRISTO! 😂 😂 Hawajiamini hawajitambui
Ustadh mathayo ni moto wa kuotea mbali wapi muhadhara yeyeote alifanya na makafiri.
@cetriclugonyi44525 күн бұрын
Alafu simulizi zamahani hawa waislamu husema bibilia iliharibiwa mara ilichomwa je mbona huinukuu hiyo bibilia kujenga hoja zao
@francisjoseph10745 күн бұрын
Mtume alitabiri nini? Kiama kilishatabiliwa na biblia yeye kachungulia maandiko yaliotangulia then anawalisha matango pori eti katabili
@allychengula35115 күн бұрын
Wambie mashehe ukwel jaman uislam ulianza miaka 600 AD baada ya kristo
@alzawahirabdallah22995 күн бұрын
Wagalatia 2:7 bali, kinyume cha hayo walipoona ya kuwa nimekabidhiwa lnjili ya wasiotahiriwa, kama vile Petro alivyokabidhiwa ya waliotahiriwa Nawakumbusha tu kuna injili ya magovi pia km una govi basi ijue injili yako ipi
@POVELSPORTS16 сағат бұрын
Elimu ndogo Sana
@hamisikeneth23325 күн бұрын
Wsomome maandiko yote ya musa kwenye qiruan kama ilivyokua kama kwenye bibilia
Kama we shehe si muongo kitabu gani kisemacho ellen g write alisikia adhana akiwa mwezin na akasilim huko misiri
@JoviniFaida-uj5qb4 күн бұрын
sasa mbona injili Na zaburi torati havipatikani kwenye qoroani?
@moshajexplore3 күн бұрын
Kumbe Yesu ndiye alituma Muhammad kisha yesu akawa Allah 😂😂😂
@paulmushi24286 күн бұрын
Qur'an haijashushwa Bali iliandikwa na watu na siyo ya Mwenyezi Mungu MUUMBA MBINGU NA ARDHI Waislamu someni historia ya dini yenu
@ZayyanaBamuni5 күн бұрын
Lbd utusomeshe ww,maana tuliposoma ndio tumejua Muhammad S.A.W nimtume
@favoritebrayo5 күн бұрын
@@ZayyanaBamuni atakuwa mtume wa nani kafiri kama yeye mbakaji
@paulmushi24285 күн бұрын
@@ZayyanaBamuni Qur'an iliyopo ya kitabu Cha karatasi Kwa Mujibu Wa Qur'an haikuandikwa na Muhammad Surat Ankabut 29: 48
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Wewe unaijuwa dini? Kwanza wewe ni dini gani?
@ZayyanaBamuni5 күн бұрын
@@favoritebrayo mnaleta kejeli i kwa mtume wa mlmungu then mkijibiwa mnasema waislamu wanatukana
@josephmusagasa4 күн бұрын
Je,kuvuka kwa Wana wa Israel ktk bahari ni utabiri au ni tukio lililotokea? Huo siyo utabiri. Utabiri ni jambo linalokusudiwa kutokea siyo lililiotokea. Nyie vipi? Huo siyo utabiri,au shule ndogo?
@zuberkasim71504 күн бұрын
Nando maana huwezi kusikia mkristo anampa mwanae jina la ismaili kwasababu yachuki 😂
@SebastianKisokola4 күн бұрын
Waislam kumbukeni shetani nae ni mwislam mwenzenu kwhy ni ya shetan hiyo na alislimishwa na mtume wenu
@moshajexplore3 күн бұрын
Huyu ni copy ya Mazinge sikiliza anaongea kwa mapua kama yeye
@SebastianKisokola4 күн бұрын
Huo uislam umekuja miaka mia sita baada ya ukristo kuwepo inamaana mungu hakuwepo kwa hiyo mungu amekuja na kuruan? Msijipendekeze kwa yesu kwana mnamwita isa hy ni wenu na muhamed na waraabu
@ronaldmatimbo96915 күн бұрын
Kumbe Biblia ni ya kwanza kwa quran? Logically sheikh has said that Christianity is older than Islamic religion 😂😂
@TheAlman21 сағат бұрын
So what. Christianity was never religion in first place This kind of argument is for stupid people it's like you say Jesus was fraud because Moses was the first before Jesus 😂😂😂😂😂😂😂😂 Allahu akbar
@edwardkarithi23475 күн бұрын
Sio hellen g white hajai kuwa muislamu wala hakawai kwenda kwa sayari.helimu ya wapi iii.may be he is talking about Armstrong
@hamisikeneth23325 күн бұрын
Injili haikushuswa Bali imehubiriwa
@anwarabdallah70955 күн бұрын
Simulizi wewe Ni mbishi isilimu tu wacha viji swali za kikafiri Allah Akbar
@MWALIMUCHAKATV5 күн бұрын
Huyoo mzee ana nongwa kweli. Kwanza ameanza kuitikia salamu zako kwa kusema WAALEINA SALAAMU. huo ni ufidhuli wa kiwahabbi.
@TheAlman20 сағат бұрын
Kosa lipo wapi
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
Toa no simuliz
@paulmushi24285 күн бұрын
Acha porojo Qur'an iliandikwa na Zayd Ibn Thabit mwaka 632BK kwa amri ya Omar na Ab bakri
@RashMash-l1b5 күн бұрын
wewe unaye sema kur,ani xi kitabu cha allah wewe unasema ni cha nani!? acha mambo yasio eleweka ,uisilamu ni kitabu cha allah bila shaka wala ubishi,ispokuwa wakristo only ndio watapiga hilo,kur,ani amesema kur,ani yeye ndie aneiteremsha na yeye ndio atakaye ihifdhi,ndio mana hawawezi kuibadilisha viumbe kwambinu zao zote wanazo fanya,wakijaribu mbinu zinagundulika swadaka llahul adhwiim.
@chrispinkagaruki41705 күн бұрын
Hiyo haya ya 2:97,98 umezibananga kukimbia hoja. Haya hizoo ziko wazi kabisa kwamba hizo haya ziliteremshwa na adui wa Jibril na Mwenyezi Mungu, na malaika zake, na mitume wake. Na qur'ani inasema mkishindwa kuelewa vizuri uliza watu wa kitabu kilichotangulia. Sasa soma hizo haya za qur'an harafu uulize katika Matayo 13:24-39.
@Milanova4604 күн бұрын
Ukiskiliza muizilamu unaskia kisunzi....ahahah
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
Ndio maana inamakosa mengi sasa
@muliamadi8595 күн бұрын
Wachristo mtaishia ku bweka tuu,mashoga nyie
@stephanojoseph43574 күн бұрын
Quran wamecopy maneno ya kwenye biblia
@JohnKirema-fc6sn5 күн бұрын
Wewe tafuta mwalim ndacha akufunze plz
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Ndacha hajuwi kitu
@TheAlman20 сағат бұрын
Atufundishe kuwa makondoo😂😂😂😂😂😂😂
@user-mb7on7tu3r4 күн бұрын
😂😂😂😂 niajaaaaabuu ya uyu shehe, anasema manabii wote walikuwa na Roho mtakatifu hata na Yesu alikuwa naroho, muhulize Sasa Muhammad alikuwa na Roho mtakatifu 0?¿????🤪🤪🤪🤪🤪
@SirikwaMollel-y3k5 күн бұрын
Kwanini mohamand aliofia ili ni mtume wa mungu asijue inachoendelea mbele
@salimchimwaga83845 күн бұрын
kwani kila mtume anajua kitakachotokea mbele??? wakristo sijui kawaroga nani
@SirikwaMollel-y3k5 күн бұрын
@@salimchimwaga8384WWE toka uko Maan uko kwnye Giza okoka ufuate yesu akufikishe kwa Mungu maan ako hai Mohamed analindwa mifupa ya kule maca akigoja haukumiwe Na yesu
@JohnOuya-w7j5 күн бұрын
Kwani ni nisiri apana sio siri qurani siii kitabu cha mungu foolstop
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Bibilia si kitabu cha mungu period
@ZukhelRwegoshora5 күн бұрын
We unausibitisho gan kuwa biblia ndo kitab Cha mungu
@martinmkoba3615 күн бұрын
Quran hiyohiyo ndio ilosema Issa alizaliwa nakuongea siku hiyohiyo😂😂😂
@favoritebrayo5 күн бұрын
waislam mnapotea bure
@paulmushi24285 күн бұрын
Muhammad hakujua kusoma wala kuandika!! Wapi aya ndani Qur'an inayoonyesha Muhammad aliagiza Qur'an ya kitabu Cha karatasi kama mnayosoma iandikwe?
@zaidiissa37145 күн бұрын
Ndugu zetu wakristo msiwe na chuki kikibwa ni kujifunza ukiona haki basi ifuate wala usisikileza na kujaji kwa hasira au ushabiki maana ushabiki hautakisaidia Chocho kumbuka nikwaajili ya manufaa yako hapa Dunia nakesho mbele ya muumba wako nautakua manuufa kwako milele na milele usilisahau Hilo ukapoteza mdawako hapa Duniani soma vizuri koroan na bibilia vizuri usifuatetu unacho hubiliwa bali tumia vizuri akilazo maana ndio kitukikubwa mungu amekupa itumie vizuri iliupate kufaulu na kumjua muumba wako iliusijeukajuta siku ya kiama
@paulmushi24286 күн бұрын
Sasa hapo unazungumzia Qur'an ipi naya nani? Ya Ab bakri? Au ya Uthuman? au ya wahay wa Muhamad isiyokuwa ya kitabu Cha karatasi?
@hemedbamja31976 күн бұрын
Unaropoka ukiwa wapi; toa Quran ya uthman ina sura ngapi,juzuu ngapi; na ya abubakar inazo ngapi?usiropoke ropoke tu.Quran siyo biblia ambapo iliyopo kanisa moja si iliyopo kanisa lingine
@paulmushi24286 күн бұрын
@@hemedbamja3197 sawa nasubiri comments za watu kama wewe ili ni wape Darsa Kwa pamoja!!
@paulmushi24285 күн бұрын
@@hemedbamja3197 karibuni hapa niwape Darsa! Iko wapi ya Qur'an ya Muhammad Ile ya wahay isiyo ya kitabu Cha karatasi, Iko wapi Qur'an ya ya Ab bakri iliyochomwa moto na Uthuman swahaba nakharifa wa pili wa Muhamad? Iko wapi Qur'an ya Uthuman? Iko wapi Qur'an ya Hafsa? Je ni hiyo mnayoisoma?
@hemedbamja31975 күн бұрын
@@paulmushi2428 : nilijua labda utakuja na empirical evidence kwa kutupatia rejea kumbe umekuja na ngano!hoja huambatana na ushahidi:mfano biblia ya KJV,au implimato ;hivyo mtu unakwenda direct kuzitizama.
@aliroro93445 күн бұрын
😂😂😂..Unaoogea Sanaa ata sjui kipi ujuacho hao unao wataja wawajua 😂 wewe
@josephshume76195 күн бұрын
Wewe hauna elimu ata ya quaran😂
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Wewe hata kuandika kiswahili vizuri hujuwi
@gibsonmomanyi26925 күн бұрын
Kama ni walimu wa kweli basi wafanye mdhahalo na ndacha tubaini ukweli
@TheAlman20 сағат бұрын
Skia ndugu yangu tatizo sio mdaharo ipo zahiri kabisa kwamba ndacha anakata maandiko Ili kutengeneza uongo Ukiisoma nusu mstari huwezi kuelewa maana ya andiko husika❤
@GODFREYSABAYO-yz4qx5 күн бұрын
Acha kujificha kwenye bibilia muhamadi alimpinga yesu simwana wamungu Sasa anakuwaje yesu amtabili
@Catherine-mh8sw5 күн бұрын
Yesu si mwana wa mungu
@opujejoshmahjoshmah14326 күн бұрын
Huyu Sheikh mathayo atafuta tu mAARUFU MIKIKI TU AMEJAA TU MANENO ILA HANA NENO
@paulmushi24285 күн бұрын
😂😂 huyo ni mpiga ngonjera porojo hamna kitu hapo
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
Wewe unajua nini
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
Wewe ndio hujui kitu
@paulmushi24285 күн бұрын
@@AlhajiAhmadi-nz9ms Najua Biblia, Qur'an, Khadith Niulize Niulize Swali ndiyo utajua sijui au najua
@AlhajiAhmadi-nz9ms5 күн бұрын
@@paulmushi2428 wap bible ipi unaijua ok swali Yesu anasema yeye ndie njia na kweli na uzima mtu haji kwa baba Ila kwa njia ya Mimi .swali ili Yesu awe njia wapi andiko Yesu anabatiza ili tumfuate nasi tubatize
@favoritebrayo5 күн бұрын
mmbakaji mohammed hawezi kuwa mtume wa MUNGU huyo ni mtume wa uongo
@IMRANITV15 күн бұрын
Mungu akulaani wallahi
@anwarabdallah70955 күн бұрын
Mbakaji Ni wewe utafedheka siku ya Kiama InshaAllah Ameen
@favoritebrayo5 күн бұрын
@@anwarabdallah7095 nifadhaike kwani naabudu shetani kama nyinyi
@favoritebrayo5 күн бұрын
@@IMRANITV1 anilaani kwani unafikiri yeye ni baba yako
@badirunuhu83635 күн бұрын
Mashaallh
@stephanojoseph43574 күн бұрын
Kwann anaulzwa swali kwenye quran ajitetee na biblia asiyoiamini?