Asante sana Baba Askofu minde kwa mafundisho yako najisikia nikiwa msimbazi vile Mungu akubariki sana Baba Askofu
@fridaupendomushi10814 күн бұрын
Asante sana radio Maria kwa kutuwezesha kupata mafundisho haya ambao hatujaweza kufika Msimbazi Center 🎉
@ConfusedDarts-yv4pr5 күн бұрын
Asante Baba Askofu Minde kwa mafundisho mazuri, ulifanya mengi jimboni kwetu kahama, Mungu akupe maisha marefu na mwisho mwema.
@agathakisstv87455 күн бұрын
Hakika napata ninachostahili kama niko Msimbazi vile. Asante Radio Maria online ❤❤
@radiomariatanzania5 күн бұрын
Karibu sana mpendwa
@linahurassa77505 күн бұрын
Asante sana Baba Askofu Minde kwa mafundisho haya mazuri ya kutuimarisha katika Imani
@franciscoe.zacharia42664 күн бұрын
Asante sana baba Minde👏👏👏👏👏👏👏🌹🌹🌹
@mungholomakalanga89584 күн бұрын
Tunashukuru Kwa Nondo zako Baba ❤
@FelisterBazilКүн бұрын
Baba mungu akubariki
@theclamarealle60525 күн бұрын
Amina Baba tunajifunza na kujua mengi kuhusu Ukubwa huu na Ukuu wa Mungu kwetu sisi waamni Mungu atuwezeshe na Roho Mtakatifu atuongoze tulichuchumie Fumbo hili Takatifu Asante sana Radio Maria Mama Maria Mama wa wote❤❤❤❤
@radiomariatanzania5 күн бұрын
Mama wa wote
@AnnaMeli-pv8up3 күн бұрын
Asante sana baba minde
@linahurassa77505 күн бұрын
Asanteni sana Radio Maria
@lilianmusia15845 күн бұрын
Shukran sana RM TZ kwa kupeperusha matangazo haya... nafuatilia pia baada ya shughuli za siku.
@radiomariatanzania5 күн бұрын
Amina
@fortunatamango84415 күн бұрын
Asante Yesu sifa kwa YESU!❤
@anthonywilliam65105 күн бұрын
Amina baba nimejifuza mengi kutoka kwako
@venancemiyeji68045 күн бұрын
Amina- Ekaristi
@neemamassawe62535 күн бұрын
Hakika Ekaristi takatifu ni fumbo linatufanya kuwa ndugu na muungano na Mungu ni upendo wa Yesu ❤❤
@radiomariatanzania5 күн бұрын
Amina
@davidjoseph64505 күн бұрын
🙏🙏
@josephlorri4315 күн бұрын
Ahsante sana,nafuatilia jioni hii..baada ya pilika za mchana.