UNYAMAAA SANA NAONA SAIV MCHEZO NI KUCHAFUANAA TYUUU WABONGOO WAMEKOSA KAZI SI BORA WAKALIME.MATIKITI TU WAPATE MTAJI WA KULIPA DENI TULILO KOPA KOREA
@LaureenGodwin18 күн бұрын
Jamani amelawiti wangapi? Ni fedhea kwa familia,ameisha toa
@ProsperUlungiАй бұрын
Mwanafunzi wa chuo kikuu analawatiwa kweli mbona wanafunzi wa udom ndio wanaojiuza kwenye madangulo
@user-uo8xw9kr4bАй бұрын
Yote kher amshukuru Mungu hilo nalo litapita alikua anaishi kabla ya ukuu wa mkoa.
@user-cv4jb1bm6iАй бұрын
Doooh
@user-hh5ew8wb7dАй бұрын
Wa bongo hivyo ndio vitendo vyenu vya kawaida
@Zenny89Ай бұрын
Uchaguzi unakaribia mambo ni moto!!!
@geraldgogadi7054Ай бұрын
Its very sad! usiombe yakukute
@davidntowanga7717Ай бұрын
exactly?
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
Isije ikawa jealous kuhalibiana
@ShukranMwakyamboАй бұрын
Hili linawezekqnq
@HamisMghuna-fj3vz23 күн бұрын
Mwachuo c mtoto,haw w s/msingi wanazalishw istoshe huyo alikua mpenz wk je ana bkir tujue,kama hana bkr basi kamchafua RC boda boda hua waanakula bure bora yy kapewa million 10
@HamisMghuna-fj3vz23 күн бұрын
Mwanafunzi,w chuo c mwanake n mke alfu alikua mkewe,half bodaboda hua waanakula bure hizo vtu lkn mama yk anaijua dunia ndiomaana hataki kesi
@lisawilliam2491Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@FredMramba-hx3glАй бұрын
Huyo alitumwa na mganga wake afanye hicho kitendo cha kishetani
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
Hakufanya hizo ni fitina my friend. Maisha ya sasa kufitishiana
@josephatjordan2150Ай бұрын
@@user-vy2bc6xg3inakuunga mkono
@Agath45Ай бұрын
Wamemtengenezea kesii
@user-zq1hy1ec5nАй бұрын
Pesa na cheo hakuna kinacho shindikana Wana Sh eria wetu mko wapi jamani
@josephineokama220025 күн бұрын
@@Agath45acha ushamba CCTV camera hazikoseagi wewe