Naishia tu kusema Mungu Asante kwa kumleta Makonda
@SaidaGadaf3 күн бұрын
Well done Makonda Mwenyezi Mungu akuongoze, na akulinde uweze kusimamia majukumu yako.kwa weledi na haki!!!
@geofreymalekana8000Күн бұрын
Makonda unafaa kuwa rais wa nchi yetu on future
@danielmwaikoono89282 күн бұрын
Rc Makonda piga kazi mtetezi wa wanyonge ninakiombea sana
@user-sn2bg9mq7d4 күн бұрын
Makonda ondoa watu wazembe km hawa wanaotesa haki za wanyonge, mungu ibariki Tanzania yetu ya amani tunakupenda makonda
@mohamedkimbwembwe-oi1rm3 күн бұрын
Hivi wakiosema makonda hajasoma ni wachawi au maana anatalent kubwa kuliko kawaida!!!!!!au amechomekwa likomputa ili awe otomatical kama hivi duh Mungu ambarikie sana
@elizalutiga6287Күн бұрын
Daaaaaaaaah
@nshimiyimanahussein1045Күн бұрын
Mungu amulinde amupe afia njema ❤
@emmanuelzwallo39334 күн бұрын
Mh Makonda,Mungu akusimamie asee.kuna watu wa ovyo sana hii nchi.imagine mtu amejenga shule harafu anazungushwa zungushwa tu ndo mambo gani sasa.
@user-lucas474 күн бұрын
We kamada kwelii tembea kwa hakii baba we n jembe kama magufulii hayatii baba
@LeahMuganyizi2 күн бұрын
HONGERA SANA MKUU WA MKOA KWA KAZI KUBWA UNAYOIFANYA HAKIKA MAOMBI YA WANYONGE MUNGU ANAYASIKIA
@angelinamwakilufi88812 күн бұрын
Makonda Hongera sana! Big up!😊
@augustinomsuya93104 күн бұрын
Makonda wewe ni kamanda kweli, Mungu aendelee kukulinda uendelee kupigania haki za wanyonge
@MashakaMagesa3 күн бұрын
Miaka kadhaa ijayo huyu ni Rais makonda
@luganduthan2598Күн бұрын
Kazi unazofanya Makonda ni za Kitume, hakika kama viongozi wote wenye majukum ya wananchi wangeiga kwako,nTaifa hili lingekuwa mbari Sana, Watanzania wanaumizwa Sana na watendaji wabovu, migogoro mingi inazalishwa na watendaji wasijari wanaowaongoza, simama imala na wengine waige kwako,Mungu atakusimamia.
@stefanomasolwa89793 күн бұрын
Makonda Mungu akubariki baba Yani watu kama hao ukiwakuta kwenye ofici yani wana Jeuri kweli kweli Mzee Makoda wafajiye wote ni uchafu ti wanajiskiya sana
@bekabakari73944 күн бұрын
God bless you wise man Unatoa ufafanuzi hata mweye elimu Ndogo anakuelewa
@SaidaGadaf3 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde na akuongoze
@shikuhata14 сағат бұрын
Mungu akusimamie Makonda
@adonismuganyizi2262 күн бұрын
Kwakweli MH. Mungu awe nawe ktk shughuli hii ngumu unayo ifanya Bwana Yesu atakuripa, wewe na family yako
@charlesmwambinga4355Күн бұрын
Hii Ni Arusha Tu...Je Mikoa mingine hakuna kero ? Watendajia wa Serikali tokeni Nendeni kwa Wananchi Mtatue kero.Safi Makondaa Safi Jeri Silaa..Asante Mama Yetu Samia kutuletea hawa watu.
@RASHIDMPUMU16 сағат бұрын
Ona sasa anarithi madeni ya miaka mingi nyuma, chapa kazi RC Mungu anajua malipo yako kwako
@user-jd8fn3nh2k4 күн бұрын
Makonda akubariki sana
@elishad20923 сағат бұрын
Asante makonda
@afraeliazaelayo3 күн бұрын
Asante Mungu wetu. Mungu tunakushukuru kwa kutuinulia Uongozi wa Nchi yetu kwa kipindi hiki,Uongozi ambao umejipanga kwa Makusudi yako Mungu,kusimamia na kutenda haki,kuondoa dhuluma na uonevu katika Jamii ya Wa- Tanzania. Siyo kwamba Awamu zilizopita hazikufanya kazi nzuri,ila kwa sasa Awamu hii Imejikita zaidi kufuta dhuluma na uonevu uliopitiliza nchini kwetu. Mungu Muongoze Rais Wetu Mama Samia Suluhu Hassan, muinulie Timu nzuri yenye kibali chako Mungu Wetu,kuirudishia heshima yake Nchi yetu,kwa Kumpatia Wasaidizi wake kama hawa wachache ambao jamii inawashuhudia utendaji wao. Kunao wengine pia wanaofanya mazuri kwenye maeneo yao kimyakimya. Matumaini ni makubwa sana kwa WaTanzania kuona Nchi yetu inayo Serikali inayotenda haki, na Mungu Ibariki Tanzania Milele na Milele. Amen.
@wazinzatv31527 сағат бұрын
Samia tena? Sio makonda?
@wazinzatv31527 сағат бұрын
Samia tena? Sio makonda?
@irenembura80453 күн бұрын
Acheni kuleta old news kupitia media nyingine! Be professional!
@kapayaJohnКүн бұрын
Tukifika mbinguni sehemu ya watanzania tutakuta sanamu ya makonda
@MashakaMagesa3 күн бұрын
Makonda wewe ni JPM hajae mungu akulinde
@chesconkwera20052 күн бұрын
Mkurugenzi Acha roho mbaya mkataba unajieleza
@khamishussein35024 күн бұрын
Mungu mbaliki makonda
@AmaniLukumay-wk6zm2 күн бұрын
Hizo ni swaga wamlipe hela zake kwani hawajaona shule walifikiria nani kajenga kwani kuna mwingine amekuja kudai ?
@philemonmagesa55484 күн бұрын
Huyu mama mkurugenzi kabanwa anaona mambo yamemfika shingoni
@MatronaThomas-wz5si2 күн бұрын
Wampe CAG naye nafasi ya kuwabana wabadhirifu wote
@user-sj3wf5vz7lКүн бұрын
Yani kuisaidia serikali ni kwenda kufilisika
@andersonsamuel92143 күн бұрын
boss i like your IQ. Mungu akubariki sana.
@LawrenciaKiseguКүн бұрын
A very good challenge
@josephlorri431Күн бұрын
Deni zaidi ya milioni 200 la 2007.. miaka 17 ilopita... vifaa vya ujenzi,usafiri,maji ya ujenzi alisafirisha kwa gari nk leo hii ina thamani hiyo? Hata sasa hakuna uelekeo wa Kulipa..
@MagrethMallya-we8ui3 күн бұрын
Hivi hayo mapato makubwa hivyo yanaendaga wapi? Kwani mnavyopata Hela kwanini msilipe? Yaani Wala rushwa wakubwa ni wa maofisini.😮😮😮
@ShakillaSaid2 күн бұрын
Jembe
@mariakibwana37002 күн бұрын
Siku moja ningekuwa siko makini ningefanya duble payment. Ninaimani mkurugenzi huyo hakuwepo kipindi anajenga.Ukikurupuka kujibu maswali haraka unaweza kulia. Nashauri mkuu najua unajua mambo mengi lkn mpe muda mkurugenzi.
@elizalutiga6287Күн бұрын
Ki ukweli hayo ndo mambo ya ajabu yanayoendelea huku mitaani Watendaji hawajali kabisaaaaa. wanaturudisha nyuma sana sana sana
@mohamedkimbwembwe-oi1rm3 күн бұрын
Mama samia huyu umpe uwaziri anastahiki
@RobertGwelela-zq2fr3 күн бұрын
Umeongea point kubwa sana.Sawa hana nyaraka lakini je aliyejenga shule hiyo ni nani? Je huyo aliyejenga alishalipwa? Maswali haya hayajajibiwa hiyo inaonyesha kuna ujanja ujanja.
@user-fz1ph3cn4sКүн бұрын
Exactly
@PamelaKasambala5 минут бұрын
Hizi ajira watu wanapeana kienyeji
@user-zu3yr4if3z3 күн бұрын
Mze ungekuwa ungeishi Burundi na si tumeteseka
@DicksonMwandala2 күн бұрын
Makonda Nakuomba Uje Uchukue Fomu Huku kwetu Jimbo La Ukonga Hakuna Wakukushinda Huku Kwetu Barabara Mbovu Banana kwwnda Kitunda, Kwenda Magore Kwenda Kibebru And Mwanagati Mbunge Yupo Karibu Kiongozi Mchapa Kazi Kura Zako Zipo Zinakusubili Hakuna Mtanzania Asie Ona Kazi Yako Kiongozi Wamasikini
@afratrad721421 сағат бұрын
DED hastahili kuwepo ofisini, na inaonekana akili hana
@khamishussein35024 күн бұрын
Mkulugenzi funguka basi
@mariakibwana37002 күн бұрын
Kweli shule za kata zilikua zinajengwa kwa utaratibu anaosema mkurugenzi. Sasa mkurugenzi atazipata wapi,wakati pesa zinaletwa kwa utaratibu na maelekezo maalumu.
@samsonbaraka31452 күн бұрын
Je maelekezo ya RAS ni feki?
@shamtenyambega2944Күн бұрын
natamani sana siku moja ningefanya kazi na MH MAKONDA, wananchi wangepata wanachostahili
@florencemeza654046 минут бұрын
Wakurugenzi wanajifanya Mungu mtu
@user-kn3vy1qy6j9 сағат бұрын
Hii inchi hii
@AmaniLukumay-wk6zm2 күн бұрын
Mlipeni pesa zake
@AmaniLukumay-wk6zm2 күн бұрын
Kwa vile umekutana na mtetezi wa wanyonge umesaidika nani kama Makonda Mungu akubariki
@msaharadavid7422Күн бұрын
Hivi nyie waandishi hampitii kazi zenu kabla ya kuziachia? "Mia mbili" inakuwaje "miyambili" jamani?
@dingadinga667420 сағат бұрын
Pwent kuu mh makonda
@LovelyOmbreSky-pu4jt3 күн бұрын
Kiongozi makini ujarii shida zawatuwake
@kissjoe95302 күн бұрын
Sasa unapost Leo
@angelanaftael79652 күн бұрын
Hazarani ndio nini
@user-im7vi2yf2d2 күн бұрын
Mkuu wa mkoa fika na huku nako
@iddiramadhani511111 сағат бұрын
Tatizo ni kwamba hizi kazi wanapeana tu huyu anaonekana hajui kazi yake.
@iddiramadhani511111 сағат бұрын
wakurugenzi hawa ni tatizo kwa taifa.
@user-nf1tg3kt3y3 күн бұрын
Mimi nasimama na mkurugenzi amesema ukweli mtupu nimempenda sana huwezi kulazimisha kulipa wakati huna hela
@liverpoolfootballclub99854 күн бұрын
Huyo mama mkurugenzi natami kumla yuko vizuri kweli
@emmadominic96013 күн бұрын
Achabkitamani kula wanawake majangili wewe, huyo mwanamke ni dhulumati hata wewe akakidhulumu tu ukimtamani ukaingia ndani ya 18
@epifaniamilinga28484 күн бұрын
MPE nafasi mkurugenzi.Tumsikie.usimtolee majibu
@charlesjohnjohn79533 күн бұрын
Sasa barua ya RAS ya mwaka 2020 ilishawaelekeza kumlipa lkn mpaka leo bado huyo Mkurugenzi unafikiri atakuwa na majibu gani?