RAIS EMBALO ATINGA TRENI YA SGR ALICHOKIKUTA HIKI HAPA

  Рет қаралды 18,421

Daily News Digital

Daily News Digital

17 күн бұрын

DAR ES SALAAM: Rais wa Guinea-Bissau Umbaro Sissoco amesema yapo mengi ya kujifunza nchini Tanzania haswa katika suala la maendeleo ya Miundombinu.
Sissoco ameyasema hayo wakati akitembelea Reli ya Kisasa SGR ambayo imemfikisha Pugu kutokea Stesheni jijini DSM.
Akiwa ndani ya Treni hiyo ambayo imempeleka hadi kituo cha Pugu na kurejea amemweleza mwenyeji wake umuhimu wa kutembelea nchi ya Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya ziara hiyo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amewataka watanzania kujivunia mazuri yanayotekelezwa na viongozi wao, huku Mkurugenzi Mkuu wa TRC Masanja Kadogosa akieleza namna Reli hiyo inaumuhimu kwa mataifa hayo mawili katika kukuza uchumi.

Пікірлер: 50
@geraldgogadi7054
@geraldgogadi7054 14 күн бұрын
Gone but never be forgotten, Keep on sleeping True son of Mama Africa JJPM
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 14 күн бұрын
Magufuli alibezwa wakati anaazisha ujenzi.
@yayananajota5838
@yayananajota5838 14 күн бұрын
One men must be remembered, king JPM, well done rest in peace,,
@ellamsakafu60
@ellamsakafu60 14 күн бұрын
Kazi mzuri mama Tanzania. Kwanza namsifu JPM kwa maono yake mazuri. Hadi alipotuacha alikuwa ameacha reli ya SGR katika vipande (lots) tatu; Dar - Moro, Moro - Dom na Mwanza - Isaka (stage ya mwanzo). Lakini SSH alipoingia madarakani siyo tu alisinzia bali kasi ya ujenzi iliongezeka ktk lots hizo. Lkn pia alianzisha lots zingine kama; Dom - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma na Kigoma (Uvinza) - Msongati (Burundi). Ukiangalia utaona SSH amepiga kazi zaidi. Viongozi wote wanastahili pongezi. Big Up.
@ibrahimobedi4498
@ibrahimobedi4498 14 күн бұрын
Wachumi kupamba watu sijui mradi ulianza mbali no tunaemjue siye Ni Dr John Pombe Magufuri yeye ndiye muhasisi wa mradi mpeni mtu kongore zake
@tinayotham9035
@tinayotham9035 14 күн бұрын
Hakika umeongea, JPM atabaki kuwa Muasisi wa SGR hamna na wala hatatokea mwingine. Rest In Peace Papa.
@user-sp6sv3cg9d
@user-sp6sv3cg9d 14 күн бұрын
JPM Mungu akulaze Mahalo panapokustahili kwa maono yako nitakukumbuka maisha yangu yote natamani ungekuwepo na mengine ungeyaanzisha hongera piano mama kwa kuyaendeleza
@bekabakari7394
@bekabakari7394 15 күн бұрын
Gone but not forgotten Rest easy jpm Ulikua na maono Hatukusahau kwa alama hi Mama samia kazi iendelee
@marwajoseph8060
@marwajoseph8060 14 күн бұрын
Magufuri aliona mbali vizuri huwa havidumu
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 14 күн бұрын
RIP JPM 😭😭😭
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 14 күн бұрын
Magufuli alisema mpaka wazungu waje kungalia kazi anayo fanya
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 14 күн бұрын
Hongera sana Mama SAmia kwa kuendeleza maono ya JPM na kuyafikisha mahali pake. You are supper woman! Tunakupenda sana. Endelea kuwasweka ndani wala rushwa na wanaotaka kuturudisha nyuma. TRC mkiongozwa na mchapa kazi ndugu Masanja Kadogosa mnafanya kazi nzuri sana. I feel proud of my country. Keep it up
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 14 күн бұрын
wasukuma wachapakazi we siunaona jpm miaka 6 tuu tanzania 🇹🇿 imeshafunguka AWAMU zingine miaka 10 hakuna lolote nilirudi bongo 2015 barabara zilikuwa kama ulimi wa nyoka hicho kilikuwa kipindi cha jakaya kikwete ilikuwa noma, Home boy we kaa nje ya Tanzania kwa miaka mingi kid0go harafu rudi bongo kabla ya kipindi cha jpm huwezi amini jinsi utakavyoiona bongo utafikiri haina viongozi bongo tupo nyuma kimaendeleo " jpm humfananishi na kiongozi yoyote waliopita hapo Tanzania labda Nyerere tuuu rais mwenye uthubutu, kikwete anasema yeye ndiyo alitoa wazo la kujenga reli ya treni ya umeme lakini hakujenga so ni alikuwa anafurahi nafsi yake lakini chuma toka chato akajenga na hskuna stori
@Mpakauseme
@Mpakauseme 15 күн бұрын
Muendeleze sio wanakujakuwatembelea arafu baadae hao hao wanakuja kuwapita kimaendeleo kwani yametokea hayo , fanyeni kwa vitendo zaidi ya hapo, manake wabongo maneno mengi vitendo sifuri
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 14 күн бұрын
RIP JPM
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 14 күн бұрын
Mbeba maono ni Magufuli,
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 13 күн бұрын
Mbeba maono ni Kikwete na Jpm msisahau, halafu mtekelezaji ni Magufuli
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 15 күн бұрын
R.I.P.JPM
@HansChuma
@HansChuma 14 күн бұрын
Rip mzee wangu Magufuli😢😢😢
@emmanuelkahangamabula6527
@emmanuelkahangamabula6527 14 күн бұрын
Magufuli apewe maua yake huko aliko❤
@kwisa4899
@kwisa4899 14 күн бұрын
Huyu kiongozi nilijua ziro siku alipo sema system za malipo zina sumbua na kashindwa kusimamia foleni nikajua tu huu mradi kutoboa ni ngumu
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 14 күн бұрын
Arusha To Nairobi,Dodoma Arusha Dododoma Mbeya to Tabora mikoa yote ingunanishwe na pia viwanja vya ndege vyote vikubwa itapendeza sana .
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 15 күн бұрын
Hongereni saana shirika la Reli
@gilbertwerema9870
@gilbertwerema9870 15 күн бұрын
Kadogosa anachanganya Guinea Bissau (Afrika magharibi karibu na Senegal) na Equitorial Guinea (Afrika ya kati karibu na Cameroon)
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 14 күн бұрын
😭😂😂😂😂😂😂 kiongozi mkubwa hajui Guinea Bissau ipo upande gan wa Afrika et Central Africa 😂😂😂😂😂 maskin Kodi zetu
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 14 күн бұрын
Inatokea hiyo wala sio tatizo hata wao watu magharibi hawana mpango na sisi hawajui tu Tanzania ipo wapi, nilishakutana na wa cameroon zaidi ya watatu kwa wakati tofauti wananiuliza Tanzania iko wapi, mmoja alisema tumepakana na south Afrika mwengine alithubutu kusema majirani zetu ni algeria sababu accent ya lugha yetu inakaribia kama kiarabu au kifaransa mwengine aliniuliza kama tupo karibu na ethiopia at least nowadays Nigeria huitambua Tanzania ipo karibu na Kenya tena hasa sababu ya kipindi cha covid tulijulikana sana kimataifa sababu mjomba Magu, dunia iliweka brake down yeye alifungua na Kenya wakafuata hivyo wengi wakaanza kuifuatilia Tz na hasa raisi magufuli na misimamo yake, ndio maana nchi kama Jamaika wenye asili ya Afrika ila wapo bara la America waliomboleza msiba wa magufuli tena kitaifa.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 14 күн бұрын
@@nassercurtis9579 Lakini huyo n Msomi amesoma iweje ashindwe kutambua kitu ambacho hata Mdg Wang wa darasa la tatu anakijua 😂😂😂😂😂😂😂
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba 13 күн бұрын
Magufuli - alikuwa na maono makubwa. Mungu amlaze mahali pema peponi.
@tanzaniakwanza1699
@tanzaniakwanza1699 13 күн бұрын
Wapuuzi. Ni MAAMUZI YA MAGUFULI KUIJENGA RELI, UMEME, FLYOVERS ETC. VIVA MAGU VIVA
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 14 күн бұрын
Guinea Bissau IPO mbali sana mheshimiwa
@nicholausnyello1577
@nicholausnyello1577 13 күн бұрын
R.I.P JPM
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 15 күн бұрын
Kadogosa ndugu, Guinea Bissau iko Senegal bro. Wacha usijizongeshe chungulia map kidogo
@valerianrwebandiza754
@valerianrwebandiza754 14 күн бұрын
Guinea Bisau iko Senegal???? Kweli??
@alimuse6980
@alimuse6980 14 күн бұрын
Sio iko karibu Burundi
@User255tv
@User255tv 14 күн бұрын
Na wewe umechemsha!
@kwisa4899
@kwisa4899 14 күн бұрын
Train aiendi mwanza tena ni kigoma😂😂😂
@marcomathew8439
@marcomathew8439 15 күн бұрын
Viva JPM
@arafamoshi1197
@arafamoshi1197 14 күн бұрын
Tz to guinea Bissau mbali Sana
@johnabery-vn7eb
@johnabery-vn7eb 13 күн бұрын
Kichwa siyo kile kilichokua kinatangazwa mtandaon ap tumepigwa
@DaudiMede
@DaudiMede 15 күн бұрын
June 2024 but still
@lucaskoisha2681
@lucaskoisha2681 14 күн бұрын
Safi sana
@KamiliKapeta-yr3uc
@KamiliKapeta-yr3uc 12 күн бұрын
Magufuli mamboyalikua bilakwenda nnchi Za nnje wala mikopo
@apolnaryandrew4271
@apolnaryandrew4271 14 күн бұрын
Kwahiyo reli haiendi tena mwanza,? ni Tabora, kigoma hadi isaka?
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 14 күн бұрын
Pesa zitaliwa na wafanyakazi.
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 11 күн бұрын
Aliyebuni huu mradi ni nani?Wanaomsema na waseme mi mtanzania namkubali kulikoni sitaki nimtaje jina najua alipo ana amami Tena kubwa aliiheshimisha nchi atakaekubali akubalianaekataa shauri yake
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 4 күн бұрын
Msipo mtaja Magufuli nawaona ote kafala tu
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 14 күн бұрын
Jina lake mbona linawakosewa ni lipi sasa? EMBARO au EMBALO??
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 14 күн бұрын
Embalo
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 14 күн бұрын
Yote sawa tu.
@user-tc2ul3uk5o
@user-tc2ul3uk5o 15 күн бұрын
Genius
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 107 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 51 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 19 М.
Kim Jong un drives Putin during state visit to North Korea
1:39
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 6 МЛН
Electric Trains HERE WE GO!!! TANZANIA 🇹🇿
21:12
Malango Travels 🇹🇿
Рет қаралды 13 М.
HII HAPA  SAFARI SGR  DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR
10:07
TRC RELI TV
Рет қаралды 35 М.
Freight train composition, Pugu Station, Tanzania.
3:19
Mauricio GONZALEZ
Рет қаралды 16 М.
I Almost Crushed The Poor Cockroach😵🥲🥺
0:20
Giggle Jiggle
Рет қаралды 12 МЛН
谁能救救小宇宙?#火影忍者 #佐助 #家庭
0:43
火影忍者一家
Рет қаралды 3 МЛН
🤣МАЛО КУПИТЬ ЛОШАДЬ
0:18
Бутылочка
Рет қаралды 1,7 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 1,9 МЛН
Magician turns his Hair into Animal 😳
0:37
Xavier Mortimer
Рет қаралды 22 МЛН