KUANZA SAFARI ZA SGR DAR - DOM, WAZIRI MBARAWA AKAGUA NJIA, JENGO LA STESHENI DODOMA "TUKO TAYARI"

  Рет қаралды 6,371

TRC RELI TV

TRC RELI TV

11 күн бұрын

KUANZA SAFARI ZA SGR DAR - DOM, WAZIRI MBARAWA AKAGUA NJIA, JENGO LA STESHENI DODOMA "TUKO TAYARI"

Пікірлер: 22
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 9 күн бұрын
Baba Baba nakuita mala tatu na ya mwisho babaaaaa kwann uliwahi kuondoka mapema hivi daaa😭😭 pumzika kwa amani JPM 😭😭
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 8 күн бұрын
Acha kukosoa kazi ya Mungu
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 7 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke nimemtaja Mungu hapo acha kunichonganisha na Muumba basi
@user-fp9uu1xb7z
@user-fp9uu1xb7z 9 күн бұрын
Dah! Hii kitu Magufuli ilibidi aione na hata huko aliko Mungu amsaidie na ampunguzie adhabu ya kaburi
@vinny.morales
@vinny.morales 9 күн бұрын
Tunamshukuru sana Hayati John Joseph Pombe Magufuli kwa maono yake na uthubutu katika mradi huu. Aendelee kupumzika kwa amani🙏🏿
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 9 күн бұрын
wanakuchukiaa ss tunawajuaa haooo pigaa kazi tena hatutarudiii tenaa enziii ya mwariiiim😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 күн бұрын
uko huru mshukuru tu, ila nakushauri uzidi kumuombea marehem, ila wengine tunamshukuru saana Mama SSH kwa kuendeleza miradi yote ya maendeleo, kwa hakika mitano tena, amethubutu na ameweza, je una swali lingine? yule aliyekuwa anamwabudu Magufuli sasa hatunae tena , ila anaemuabudu Mungu , Mungu yupo na hana sifa za kufa, Tanzania kwanza Mengine baadae, kama una chuki hama Nchi
@khamissaleh921
@khamissaleh921 6 күн бұрын
Maono ya Marais wa EAC , Museveni,Kikwete na Uhuru kenyatta hio Reli iko katika manifesto ya Africa Mashariki na ilandaliwa na Mhe Rais kikwete na kwa upended wa Kenya Ni Uhuru Kenyatta ,kazi imeanza baada ya kuweka Mataruma na Mhe Samuel Sitta na ikaendelea kujengwa wakati wa Mhe Jemadari Magufuli na yeye akapendekeza iwekwe ya umeme badala ya dizeli ilio buniwa na Mh Kilwete .
@tulibakomwafula9079
@tulibakomwafula9079 7 күн бұрын
Asante Yesu kwa kazi njema. 🙏💃💃💃
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 9 күн бұрын
Hongera Sana Tanzania, Hongera Sana Raisi Wetu Mama Yetu Samia Suruhu Hassan, Hongera TRC..2025 tupo Na Mama tupo Na CCM.
@florianruttahindurwa1189
@florianruttahindurwa1189 8 күн бұрын
@trc mi nina swali, roof kwenye platform zenu hazijacover platform nzima,je nyakati za mvua ni utaratibu gani utafanyika ili watu wasiloe? pia stesheni ya dodoma inabidi kuwe na lane mbili ndani ya stesheni na ndo sababu ya kujengwa platform mbili, je itajengwa lini?
@zawadix9574
@zawadix9574 9 күн бұрын
Jamani mbona ata sija skia mtu ana shukuru yapi merkezi.... contractor shames kweli
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 8 күн бұрын
Analipwa ni wajibu wake
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 күн бұрын
Magufuli ndo uti wa mgongo wa hii leli, japo samia pia kaimalizia na kaweka bei nzuri pia
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 күн бұрын
Mhe SSH amethubutu na ameweza saaana, yaani ana uwezo wa kushika kikombe cha kahawa na Kuongoza vizuri tu, sio kutumia mabavu na manguvu, Kuongoza Nchi ni coordination tu na ameimudu mno, kuunganisha Viongozi wakawa na lugha moja, tukiendelea hivi tutafika mbali mno. Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik SSH
@ahmadbawazir8639
@ahmadbawazir8639 8 күн бұрын
Tunaomba Kwneye booking pawe na sehem ya kuchagua seat number na sio.changanyikeni
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 8 күн бұрын
Hastaili kushukuliwa mm anaestahli ni hyt jpm nac hyo mnaempamba
@samkratos1
@samkratos1 9 күн бұрын
why don’t you give use updates of lot 4 and 5?
@DaudiMede
@DaudiMede 9 күн бұрын
Good question, and Lot 3 too
@samirsaid2087
@samirsaid2087 9 күн бұрын
Kumbe nyie amna mlichofanya mana kila kitu kafanya mwenyewe mama.mama oyeeeee
@hakarim786
@hakarim786 9 күн бұрын
Mizigo mnaanza lini?
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 9 күн бұрын
Bebeni abiria mda ndio huu.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 54 МЛН
SAFARI ZA SGR DAR - MORO KUONGEZEKA KUANZIA JULAI 5
5:35
TRC RELI TV
Рет қаралды 4,3 М.
HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”
3:36
TRC RELI TV
Рет қаралды 27 М.
Dar Es Salaam Tanzania has changed! BRT Phase 3 is taking shape
16:31
Explore with Bertin
Рет қаралды 5 М.