KUANZA SAFARI ZA SGR DAR - DOM, WAZIRI MBARAWA AKAGUA NJIA, JENGO LA STESHENI DODOMA "TUKO TAYARI"
Пікірлер: 22
@user-fp9uu1xb7z14 күн бұрын
Dah! Hii kitu Magufuli ilibidi aione na hata huko aliko Mungu amsaidie na ampunguzie adhabu ya kaburi
@vinny.morales14 күн бұрын
Tunamshukuru sana Hayati John Joseph Pombe Magufuli kwa maono yake na uthubutu katika mradi huu. Aendelee kupumzika kwa amani🙏🏿
@hemedrashid292114 күн бұрын
wanakuchukiaa ss tunawajuaa haooo pigaa kazi tena hatutarudiii tenaa enziii ya mwariiiim😂😂😂
@ndukulusudikucho_12 күн бұрын
uko huru mshukuru tu, ila nakushauri uzidi kumuombea marehem, ila wengine tunamshukuru saana Mama SSH kwa kuendeleza miradi yote ya maendeleo, kwa hakika mitano tena, amethubutu na ameweza, je una swali lingine? yule aliyekuwa anamwabudu Magufuli sasa hatunae tena , ila anaemuabudu Mungu , Mungu yupo na hana sifa za kufa, Tanzania kwanza Mengine baadae, kama una chuki hama Nchi
@khamissaleh92111 күн бұрын
Maono ya Marais wa EAC , Museveni,Kikwete na Uhuru kenyatta hio Reli iko katika manifesto ya Africa Mashariki na ilandaliwa na Mhe Rais kikwete na kwa upended wa Kenya Ni Uhuru Kenyatta ,kazi imeanza baada ya kuweka Mataruma na Mhe Samuel Sitta na ikaendelea kujengwa wakati wa Mhe Jemadari Magufuli na yeye akapendekeza iwekwe ya umeme badala ya dizeli ilio buniwa na Mh Kilwete .
@yustomwaisomania258714 күн бұрын
Baba Baba nakuita mala tatu na ya mwisho babaaaaa kwann uliwahi kuondoka mapema hivi daaa😭😭 pumzika kwa amani JPM 😭😭
@MohamedAhmada-ie7ke13 күн бұрын
Acha kukosoa kazi ya Mungu
@yustomwaisomania258712 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke nimemtaja Mungu hapo acha kunichonganisha na Muumba basi
@tulibakomwafula907912 күн бұрын
Asante Yesu kwa kazi njema. 🙏💃💃💃
@charlesmwambinga435513 күн бұрын
Hongera Sana Tanzania, Hongera Sana Raisi Wetu Mama Yetu Samia Suruhu Hassan, Hongera TRC..2025 tupo Na Mama tupo Na CCM.
@florianruttahindurwa118913 күн бұрын
@trc mi nina swali, roof kwenye platform zenu hazijacover platform nzima,je nyakati za mvua ni utaratibu gani utafanyika ili watu wasiloe? pia stesheni ya dodoma inabidi kuwe na lane mbili ndani ya stesheni na ndo sababu ya kujengwa platform mbili, je itajengwa lini?
@ndukulusudikucho_12 күн бұрын
Mhe SSH amethubutu na ameweza saaana, yaani ana uwezo wa kushika kikombe cha kahawa na Kuongoza vizuri tu, sio kutumia mabavu na manguvu, Kuongoza Nchi ni coordination tu na ameimudu mno, kuunganisha Viongozi wakawa na lugha moja, tukiendelea hivi tutafika mbali mno. Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik SSH
@zawadix957414 күн бұрын
Jamani mbona ata sija skia mtu ana shukuru yapi merkezi.... contractor shames kweli
@UnitedAfrica-uw9ct13 күн бұрын
Analipwa ni wajibu wake
@lifeonearth9411 күн бұрын
Magufuli ndo uti wa mgongo wa hii leli, japo samia pia kaimalizia na kaweka bei nzuri pia
@ahmadbawazir863913 күн бұрын
Tunaomba Kwneye booking pawe na sehem ya kuchagua seat number na sio.changanyikeni
@yasiniSwedi-qg5oc13 күн бұрын
Hastaili kushukuliwa mm anaestahli ni hyt jpm nac hyo mnaempamba
@samkratos114 күн бұрын
why don’t you give use updates of lot 4 and 5?
@DaudiMede14 күн бұрын
Good question, and Lot 3 too
@samirsaid208714 күн бұрын
Kumbe nyie amna mlichofanya mana kila kitu kafanya mwenyewe mama.mama oyeeeee