MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO

  Рет қаралды 990,175

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 496
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Ushammaliza Sasa roho yako imetulia, nakama kweli we utatapa Sana, namwisho utakuja kuongea ukweli, mwanaume mmbaya we, halafu hata chembe ya aibu huna, tulia Sasa utachokitaka utakipata, nakama wekweli vile vile machozi wa baadhi ya watanzania hayatakuacha salama
@andersonmwenda6390
@andersonmwenda6390 2 жыл бұрын
Dua la kuku lisilompata mwewe
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 2 жыл бұрын
@@andersonmwenda6390 atakufa tu mbona kwani kuna atakaye dumu ety 🖕
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Ogopa sn na nidhambi kubwa SN kumnenea mtu kitu sicho MUNGU YUPO YEYE NDO ANAJUA NANI
@abdallahmtale4060
@abdallahmtale4060 Жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 wewe ndio hutokufa?
@laiserkuyan6075
@laiserkuyan6075 3 жыл бұрын
Kila siku maneno ya shetani Nitamu Sana kuliko ya mungu kifo cha Rais wetu Tunakuchuku Sana lakin mungu ndiyo ujibu yote hakuna Atakae ichi milele duniani
@francismaanga2242
@francismaanga2242 2 жыл бұрын
Nm
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 Жыл бұрын
Kabisa hujakosea
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 2 жыл бұрын
Nakumbuka ulimpenda Sana membe awe raisi nasiyo JPM mungu akasema huwasipangiwi Mambo nataka JPM awe raisi chini kwachini mtaftano ukaaza nidhambi Sana lakini tunahasira mioyoni mwetu
@lovenesstweve8499
@lovenesstweve8499 Жыл бұрын
Can u imagine hii nchi bwana tuna jificha uso ila moyo ni siri
@bizimunguadolphe1973
@bizimunguadolphe1973 3 жыл бұрын
Kwa kweli Mimi ni murwanda lkini Nilipenda sana raisi magufuri
@hindukassimu8401
@hindukassimu8401 Жыл бұрын
Yn inaniuma cn Kipind cha lais wet makufuli wat walikuwa wanaaman sana biashala kokote unafanya lakin sasaiv wat wanafukuzwa ovyoo amani akuna km kweli mlikuwa pamoja na lais wet makufuli faten alokuwa anafanya yy mbona kufa kwake km nifulah kwa watu kaliakooo wat wanafukuzwa Biashala azifanyik km kweli mnauchungu bc wachen watu wawe hulu katika mambo alotaka lais wet makufuli mungu amlaze mahali pema lais wet makufuli uko alip inaniuma cn asante laisi wetu Mstaafu jakaya km kweli mungu anakuon asant
@mikenjoro8197
@mikenjoro8197 3 жыл бұрын
Hotuba faridi, pevu na yenye uchanganuzi mwafaka. Kongole Rais Mstaafu JK. Buriani Rais JPM...lala salama Jembe
@jacquelinemwakapola7959
@jacquelinemwakapola7959 3 жыл бұрын
Wakati mwingine hata shetani hugeuka kua malaika😷
@mercykileo7987
@mercykileo7987 3 жыл бұрын
JPM NI THE BEST PRESIDENT IN TANZANIA. Hakuwa mnafiki na hakuwa mwizi kama waliomtangulia. kuondoka kwake dunia mlilazimisha,,...am sure you are very jealous of his achivement you guys who killed him. we know our enermies. He ashamed the enermies of Tanzania. I love Magufuli and hate the killers.
@paulmusa2378
@paulmusa2378 3 жыл бұрын
Labda ni kweli sasa make hata sielewi chochote, mmmh labda!
@annakimaro7125
@annakimaro7125 3 жыл бұрын
Mungu anakuona ila hiyo safari ujue yakila mmoja sasa tunamwachia mungu atatenda kwawakati wake namajira yake Sisi Kama watanzania tumemkabidhi Mungu Kama kweli we...... Mungu akubariki Sana
@giztony2009
@giztony2009 8 ай бұрын
Acha ujinga usiongelee vitu bila data
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
Aliyatimiza aliyoyakusudia. Sasa alifariki tarehe 15/03 au alifariki tarehe 17/03. Ulijua nini kilichokuwa kinaendelea
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 жыл бұрын
Allah azidi kukupa umri mrefu wenye manufaa Mh. RAIS WETU MSTAAFU, JAKAYA KIKWETE, AAMIIN.
@modrikedward1779
@modrikedward1779 3 жыл бұрын
Amiina
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 3 жыл бұрын
Kikwete vumilia maneno ya wachache ambayo wanakuzushia bila wewe kuwajibu.. na Mkapa nani kamuua? Nyerere nani kamuua? Imani imekwisha na watu wamebakia na dhana tu
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 Жыл бұрын
Yeye turn.
@allyshija2613
@allyshija2613 Жыл бұрын
R I P JPM, mungu ibariki Tanzania hongera J m k kwa hotuba nzuri usia wangu Kwa wenye maneno yasio na ushahidi tumuogopeni mungu,
@MwanaheryBudi
@MwanaheryBudi 4 ай бұрын
Uyu mzee huwa akurupuki kijibu.
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Unajikosha kwenye hiyo public...unajiuma umaa tu but damu hiyo ipo juu yenu..gonna payed but GOD
@ntegrity277
@ntegrity277 2 жыл бұрын
Kauli hiyo ya Kikwete kuwa hakujua Hadi akaona kwenye TV Ni uongo!
@azizamvungi6203
@azizamvungi6203 2 жыл бұрын
toka huko..mnafiki wewe sana .unataka mwanao ridhiwani aendee kuuza madawa ya kulevia?kesho utaulizwa na Allah
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 жыл бұрын
Acha dhana
@MwanaheryBudi
@MwanaheryBudi 4 ай бұрын
Una uhakika Utakuja kuulizwa kwa maneno yako ulete uthibitisho
@khamikhan4805
@khamikhan4805 3 жыл бұрын
Nimejisahau muda wote najua namsikiliza Mr president JK daah huyu ana busara maneno yake huchoki kumsikiliza
@georgebenard3923
@georgebenard3923 3 жыл бұрын
Kweli siunajua mipango yote, ujumbe ulikuwa nao tangu tarehe 9 yaani mnatufanya sisi wajinga,
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
🙄🙄🙄Yani dah
@aminaaliyaliy1905
@aminaaliyaliy1905 3 жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 sio poa
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 2 жыл бұрын
Hatari sana.tunawachola tu
@athumanyusuph1099
@athumanyusuph1099 2 жыл бұрын
Mtu mkubwa kama wew huwez kutuambia hukuwa na habari juu ya kifo cha mdogo wako...mim nnachojua akiondoka duniani taarifa zinapelekwa kwanza kwa watu wakubwa then ndo zinasambazwa kwa ndugu na majiran
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 3 жыл бұрын
Tatizo ukweli ulitakiwa kuhusema wakati akiwa Hai.kinacho tupa mashaka,JPM aliongea hivi,wewe lazima umpinge.mpaka JPM aliwambia wazee wastaafu,kaeni kimya.wakati mnatawala hakuna aliye waingilia.mikataba iliyo sainiwa kwenye ndege,......TUTAMKUMBUKA JPM DAIMA.
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Mama janet kama hakuskilizi hivi anakuona kabisa sio mtu mwema kwake
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 3 жыл бұрын
.....mm na magufuli wangu tuuu...pumzika magu wetu....
@mohamediazizi3658
@mohamediazizi3658 3 жыл бұрын
Ila mzee wetu rais wetu mstaaf JK pls tunaombatu utaratibu aloweka huyu mdogo wako alotangulia mbele ya haki ungeni mkono utimizwe sio kafa na alivyotengeneza vife naomba zingatieni hilo napia muogopeni mungu wetu. Mungu mpumzishe pema aamen 😭😭😭😭
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 3 жыл бұрын
Wameshabadilika ndugu
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 жыл бұрын
Unaongea najizi hilo
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 2 жыл бұрын
Nahasira sqna
@bakarimkwizu4335
@bakarimkwizu4335 Жыл бұрын
JK Mwenyezi MUNGU Akubarik sana ni watu wajinga wakiwango Cha juu Ambao hawakuelewi ,Mwamba sana JK
@kasililamecksatano7302
@kasililamecksatano7302 3 жыл бұрын
Huyu mzee safi sana
@aishaharuna4118
@aishaharuna4118 3 жыл бұрын
Mh kumbe mmependa kufa magufuli mungu atawaona
@saimonsimon9446
@saimonsimon9446 2 жыл бұрын
Kukaa na rafiki asiye na faida Ni sawa na kukaa na adui asiye kudhuru
@muhimbesingh4468
@muhimbesingh4468 3 жыл бұрын
Congratulations my former President Hon.Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.💟💟💟👍👍👍
@jumachristopher1399
@jumachristopher1399 3 жыл бұрын
Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwete ubarikiwe kwa busara na hekima zako 🙏🏼🙏🏼😥
@mariambmganga8674
@mariambmganga8674 2 жыл бұрын
Kwani makamu atavaze msiba bika kukujuza wewe jama rais msitafu ivi unasemaje wewe? Mbona sikuerewi?
@mariambmganga8674
@mariambmganga8674 2 жыл бұрын
Alitangaza msiba bila kujua wewe? Kwa nini?
@AliMohamed-gv7nw
@AliMohamed-gv7nw 3 жыл бұрын
Hv mpaka makamo warais anatangaza msiba wamagu ww hunahabari jamani
@respiciusjoseph2293
@respiciusjoseph2293 2 жыл бұрын
unachoongea na kilichokuwa kinaendelea havina ushirikiano nadhan umeshindwa mamna nzuri ya kupangilia nn cha kusema Mungu n mwema kakunyima maneno ya kuongea.. so everything was being put clear kwa hiyo siku... RIP JPM tutaonana baadae......
@jshshhhsywuuw6047
@jshshhhsywuuw6047 3 жыл бұрын
Mungu ibariki Africa mungu ibariki tanzania mungu wabariki watanzania wote mungu ibariki familia ya mzee kikwete'
@richardcharles6632
@richardcharles6632 2 жыл бұрын
Mungu ndio anajua
@missmrs829
@missmrs829 3 жыл бұрын
Mmmmh et nasikia wewe ndo chanzo cha kifo cha magufuli??? yaan ktk viongozi wa Tanzania nilimpenda sana magufuli sanaaaaah tu ila nyinyi wapiga pesa tu
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Tutamkumbuka alisema namkumbuka na Nina muombea am week pena pepon mungu wewe ndiio kimbilio
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 жыл бұрын
yaani mtu unajifanya ujui kitu heti nasikia nasikia tu duuh aisee wewe mtu mbaya sana
@mamayohana9461
@mamayohana9461 2 жыл бұрын
Mzoefu kweli ulichokifanya tunakiona nchi nzm na dunia yoote asante kikwete Mungu anakuina
@hassanjuma2688
@hassanjuma2688 3 жыл бұрын
ALIKUWA JEMBE LAKO ILA MLIPOTAKA AWE PUPPET WENU ALIKATAA NDIPO UADUI UKAANZA...WAARIBIFU WA NCHI NI WALE WALIOZOEA KUIBA NA KUTAKA RAISI ALIEMADARAKANI WAMTUMIE KWA MASLAHI YAO YA LEO NA KESHO..RAFIKI WA KARIBU NI ADUI MBAYA SANA
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 3 жыл бұрын
Ongea vitu kwa evidence
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 3 жыл бұрын
Waganga njaa wengine hawa hapa kumbe
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 2 жыл бұрын
Taarifa ya kifo mama alitoa taarifa ile usiku Wewe nahoa wazee wenzio mlikuwa mnafanya kaka mkuu
@issazakaria863
@issazakaria863 3 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana Mzee Jakaya Kikwete tuendelee kushikamana ndugu zangu Watanzania
@michaeljuma9050
@michaeljuma9050 3 жыл бұрын
Oh good be with us
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Mh! Imani yangu naamini watu wenye uchungu na NCHI hii niwatu wa KANDA ya ZIWA. NI NYERERE NA MAGUFULI TU. Wengine niwatoto wa mjini waliozoea kula mkate na maziwa japo kwa kugawa walivyonavyo.
@issaibony3474
@issaibony3474 3 жыл бұрын
Hapa hukumumunya maneno mstaaf kikwete hengera Sana kwa hutuba nzur
@kcgangfamily001
@kcgangfamily001 3 жыл бұрын
Poleni watanzania kwa msiba wenu ila Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@bizijustin9201
@bizijustin9201 3 жыл бұрын
Poleni ndugu zetu watanzania. Tumepoteza kiongozi asiye was kawaida. Tulimupenda JPM ijapo sisi so watanzania. Nafurahia sana Tanzania kuwa na viongozi wenye nia nzuri.
@gastontimiza3899
@gastontimiza3899 3 ай бұрын
Maisha marefu kwako mzee kikwete Endelea KUPUMZIKA KWA AMANI chuma chetu JPM tutakukumbuka daima
@gabrielpott3325
@gabrielpott3325 3 жыл бұрын
Ukweli ktk watu ambao huwa siwapndi kuwaona wala kuskia saut zao ktk taifa hili la tz we kikwete ni number1 hakika huwa staki hata iona sula yako yani sjui nikwanini japo skujui 😡😡
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 жыл бұрын
Hata mimi
@meaa2262
@meaa2262 3 жыл бұрын
Rais Kikwete is very articulate 👌 RIP Rais magafuli ✝️🕊️🕊️🕊️till we meet again God willing
@deogratiustweve2611
@deogratiustweve2611 Жыл бұрын
Mbonaweweunatosha namamayetu Samia tunawaombea muishi miaka mingi
@majaliwacosmas3322
@majaliwacosmas3322 3 жыл бұрын
Waliopita walipita ktk kuongoza nchi hii ni safi sasa kama wataruhusiwa hawa watu tutarudi shidani hatupendi kurudi nyuma mambo mengi yalizorota yamewekwa sawa,sitegemei myachafue.
@liberatusmassawe5601
@liberatusmassawe5601 3 жыл бұрын
Wananyemelea
@gilbertjoseph5539
@gilbertjoseph5539 3 жыл бұрын
Wisdom man I currently understand
@Katabapictures
@Katabapictures 2 жыл бұрын
Mlianza na mkapa ili mmutoe jpm innalillah wainnalillah lajun
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 3 жыл бұрын
Huyu jamaa kwenye hotuba amebarikiwa! Na anaonekana ni mtu mnyenyekevu.
@ruthyohana23
@ruthyohana23 2 жыл бұрын
Mkutano was saa sita usiku acha uongo
@mussatete2618
@mussatete2618 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@mussatete2618
@mussatete2618 Жыл бұрын
Make hapo ncheke kwanza
@kulwamussa3612
@kulwamussa3612 2 жыл бұрын
Sasaivi unatambatu kunakuishi nakunakufa iyolazima namalipo mtakutahuko
@amaniabdi9755
@amaniabdi9755 2 жыл бұрын
Acha upumbavu wenu,Huyo tarehe yake ilifika Mungu kamchukua.acha maneno yenu ya kishetani.
@andersonmwenda6390
@andersonmwenda6390 2 жыл бұрын
Kabisaaaa
@esteredward6980
@esteredward6980 3 жыл бұрын
Hunalolote umrfurahi iliuendelee kutawalatena usimtaje jpmwetu mnafikiwewe barabara nyeupo kufanya mamboyenu
@andersonmwenda6390
@andersonmwenda6390 2 жыл бұрын
Mfuate aliko
@MwanaheryBudi
@MwanaheryBudi 4 ай бұрын
Mambo gani hayo
@tusaangulile1400
@tusaangulile1400 2 жыл бұрын
Mtu mbaya anaonekana kwenye msiba unacheka ama umefulahi ufaidike
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 3 жыл бұрын
Wezi anzeni kuiba maana tumesikia wizi umetokea, mzuka wa magufuli na machozi ya watanzania yatawatesa mno
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Yaeh ndio mpaka Sasa tunaona mengi na bado
@kilalaurio9922
@kilalaurio9922 3 жыл бұрын
Mungu ashambulie wote wasemao uongo.
@lovenesstweve8499
@lovenesstweve8499 Жыл бұрын
Hasa
@kulwamussa3612
@kulwamussa3612 2 жыл бұрын
wewe ni mnafiki nanimshenzi wanchihii tushakujua kilakiti apoloho yako imelizika sana kwani huu ulikua nimpo kifochamagur kime tengenezwa nawananchi tushawajua maadui watafuna nchii nawashenzi leobilahaya mbele zamungu unajitoa kimasomaso lakini mkumbuke baada yakuondoka kunahukum yahaki kabulini nakesho kiama kwasasa hakuna mtanzani mtakae mdanganya tunafatili mpaka mavi tunayapekua hata uficheje tutajuatu leo watotowenu unawadi wanasoma shule zakingeleza sawa elim simmeihalibu wenyewe kimakusudi ili mtoto wafukala asipate ulaisi nandivyo ilivyo wewe hatuna imani nawewe mpaka kizazi choko hatuna imani nacho mtoto wanyoka ninyokatu
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 2 жыл бұрын
Usafi wa moyo wako utawazeesha wote wenye chuki na husda na wewe watakuona kijana siku zote
@andersonmwenda6390
@andersonmwenda6390 2 жыл бұрын
Hakika
@ksnjos001
@ksnjos001 3 жыл бұрын
Kama angekuwa hamtaki asingeweza kukaa uwaziri muda wa miaka kumi... wadangaji njaa wengi sana duniani Kweli mzee wangu JK
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 жыл бұрын
Kweli kaka
@joycemosha1898
@joycemosha1898 5 ай бұрын
Jamhuri ya muungano wa africa duniani kote hela za walipakodi mnajengeana nyumba nuts kwa marafiki maraisis kwa hela za wold ba ki ya mab araba ndiyo maanaa aarabu you know what's going to football today's issued to yourselves towardss mwendazake died hess not speak specially for in stoo yatoke ajiuzulu uongozi ameshindwa uongozi kwanza zile zawadi za africans zitoke akaatoe mshegelwa mshengelwa ndiyo are kuhutubia mawaziri waliokuwa hawapendwi wabadilifu anaowaongoza kuwaongoza endeleza za mwendazake alikataa bandari kupewa wachina bagamoyo alisema ni kichaa aliyefanya haya miaka 99 kumilikizia kufilisi nchi yetu ya utajiri wetu duniani simu huzipati tenancy nimelalaaaa jasusi kutangaza kifo chake chase makamu hayuko tanganyika
@richardmichael1965
@richardmichael1965 2 жыл бұрын
Baaada ya kifo cha jpm na mienendo ya maneno yalivyo endelea inanipa mashaka saana uhai huuu tunaootumia ni wa mungu namachozi ya watanzania wengi mungu anayaona sizani Kama wanashiba yuda daada ya kumsaliti yesu kwa pesa aliona amefaulu kilichomfanya akajinyonga nn tena no comment
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 3 жыл бұрын
Napenda hotuba zako bure
@gabrielpott3325
@gabrielpott3325 3 жыл бұрын
Ukweli ktk watu ambao huwa siwapndi kuwaona wala kuskia saut zao ktk taifa hili la tz we kikwete ni number1 hakika huwa staki hata iona sula yako yani sjui nikwanini japo skujui 😡😡
@andersonmwenda6390
@andersonmwenda6390 2 жыл бұрын
Ni kwa ajili ya ujinga ulionao tu,hakuna kingine
@MwanaheryBudi
@MwanaheryBudi 4 ай бұрын
Kama humjui unaanzaje kumchukia kama si ujinga wako wa kusikiliza maneno ya mtaani
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 ай бұрын
Samahani jamani mhe daktari Rais Kikwete Rais mstaafu wa awamu ya nne. Nakuombea nikiwa na akili zangu timamu nilimchumbia Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani nakuomba uniombee kusudi aharakishe hiyo Ndoa yetu tukufu yaTanzania Bara na Visiwani salama salimini na haraka itakavyowekana mkuu.
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 3 жыл бұрын
Duh! Usilolijua ni usiku wa giza.... Nimekuelewa JK nimechagua kuyaamini maneno ya kinywa chako kuliko kuyaamini maneno yasiyo yako....REST IN PEACE JPM
@jackgorshowusa5943
@jackgorshowusa5943 7 ай бұрын
Rais akifariki vipi itangazwe kabla ya Marais wastaafu kuelezwa. Makosa makubwa Tanzania.
@linaryugen6400
@linaryugen6400 3 жыл бұрын
Yaani. Nakuprndaga sana msaafu wetu
@andersonyshauri9220
@andersonyshauri9220 3 жыл бұрын
Yani kuongea kwako msitaafu huwa sichoki kukusilia umejariwa sana hekima na busara mungu akuweke na pole sana na kuumia
@emmanuelmsalika1444
@emmanuelmsalika1444 3 жыл бұрын
Hata chizi anaweza akaelew kinachoendelea
@BakuzaSimon
@BakuzaSimon 8 ай бұрын
Machonyetu akili zetu ufahamu wetu unauwezo wa kuchambua meme na mabaya nani MZURI na nani siyo tutakutana Kwa Mungu Kwa kuwa SS sote ni wajabwa Mungu Kila nafasi itaonja mauti
@jfineisaac6219
@jfineisaac6219 3 жыл бұрын
Watoto wenu wanasoma shule za kingereza ulaya wakati watoto wa watanzania hata shule za kata hawakuenda ila magufuli ndio aliyeona umuhimu wa watanzania wanyonge hamna kama magufuli wengine maneno laini kumbe wapigaji2
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@saidyomary1671
@saidyomary1671 2 жыл бұрын
Kama kweli umemua makufuli kwa ajiri ya kusaini mikataba yako kihuni mungu atajibu
@gaspersimoni6622
@gaspersimoni6622 2 жыл бұрын
Msoga Kama msoga ,🤔🤔🤔😩😩😩
@hamsodadyhamso
@hamsodadyhamso Жыл бұрын
Daha kwa kweli imeniuma sana
@robertigohe9338
@robertigohe9338 3 жыл бұрын
Wape pole wafiwa tu, mengine siyo sehemu na wakati wake
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Kweli
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 8 ай бұрын
Mmmmmhhh JPM vichaa wamemuondoa mzalendo waingie mikataba ya ovyo mtaona hata miaka 3 haitafika atatukomesha.
@salilamsigwa4323
@salilamsigwa4323 3 жыл бұрын
Ila huyu baba nampenda sana mzee wa hekima na tabasam tu
@swaleheally9814
@swaleheally9814 3 жыл бұрын
HATA MM NAMPENDA SANAA
@yohananyamaruri9105
@yohananyamaruri9105 3 жыл бұрын
me nakuchukia sana kikwete nakuchukia sana,haiwezekani baada ya kifo cha mpendwa wetu jpm maneno yanazagaa mitandaoni kwamba ww ndo unahusika asilimia 100,lisemwalo lipo kwa nini asisemwe mwinyi,ujue kama unahusika basi umetengeneza vita na MUNGU machozi y watanzania masikini yatakulilia daima.
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Namie nasema kama kweli, kwakweli amelia watu nawengine kupoteza ndugu zao wakati wakiaga mwili wa magu, kwahyo kama kweli ameuwa mpaka was na hatua huyu baba da acha 😭😭
@zulfakassim7050
@zulfakassim7050 3 жыл бұрын
MH. JAKAYA MWENYEZI MUNGU Aendelee kukupa maisha marefu
@ezekieltairo1086
@ezekieltairo1086 Ай бұрын
Ogopa sana kitu cha kusoma kilichoandikwa ndo ukiongee kiufupi tunabaki na maswali kichwani je akiongea kutoa kichwani atajikuta anakosea ama kuna vitu baadhi vya muhim atavisahau ama atachanganya mafaili sikosi maswali
@khadeejaalmahri6217
@khadeejaalmahri6217 3 жыл бұрын
Wallah watanzania tunakuamini asilima Mia shujaa wetu wanaosema hukua unampenda magufuli wajiulize ulipokua Rais kwani Kuna ambae alikua Ana uwezo wa kukulazimisha umteue kuwa WA,ziri kwa kipindi chako chote?
@MwalimuFikirini
@MwalimuFikirini 5 ай бұрын
Hotuba yake ni kama riwaya fulani niliwahi kusoma nilipokuwa shule ya upili.
@IssackMaingu-ng5lk
@IssackMaingu-ng5lk 10 ай бұрын
Rais aliyejawa na unyenyekevu, uvumilivu, busara, hekima na utashi na kupendwa kwa makumi, mamia, maelfu na mamilioni ya watu
@oneclick2023
@oneclick2023 3 жыл бұрын
mzee kwa speech ,huwa nakaa kwa kusikiliza sana busara zako since ukiwa Rais.
@godfreykitebo7382
@godfreykitebo7382 2 жыл бұрын
Kumbe taarifa ilikuwa nayo mapema ulipokuwa na wazee siku Ile tena Samia anatangaza taarifa unayo
@danielmollel5538
@danielmollel5538 Жыл бұрын
wee ni mzooefu wa kuuwa. tunakujua usizani atujui. nyinyi ndio amtaki kuona watanzania wakifaidi matunda ya inchi Yao. mama mshamueka kidedea aezi fanya kitu kama amjui. maana mshazoea kunyonya Mali ya wa Tanzania. MTU asie kujua akisikia ukiongea anaeza akasema wee ni kiumbe kizu Sana kumbe wee ni mnyama kupita kawaida. mtoto wako aliona kitu ndio maana alikuliza hivyo.
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 7 ай бұрын
Wakati huo ulitengana naye, Hotuba ya sasa ina nn.usitafute umaarufu kupitia marehemu.
@beaugosseadam6831
@beaugosseadam6831 3 жыл бұрын
Mnakinyongo na JPM, afu maneno yako kuna uwalakini. JPM Kafanya makubwa sanaaa. Nyinyi ni kujitapa na mipasho lakini vitendo empty!!
@esmahnguzo8448
@esmahnguzo8448 3 жыл бұрын
Mmh
@liberatusmassawe5601
@liberatusmassawe5601 3 жыл бұрын
Kumbe alijenga barabara zote, duu!!!!
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 3 жыл бұрын
Inaonekana unapenda sanah mipasho.. uwe unatembelea page za kina khadija kopa.. zitakupendeza zaidi
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
😊
@mzalendohuru...4967
@mzalendohuru...4967 2 жыл бұрын
Acha unafiki mrisho u know what u did 😏
@wazirisaidi5116
@wazirisaidi5116 3 жыл бұрын
Namkubali sana Kikwete.
@johnmfutakamba4837
@johnmfutakamba4837 Ай бұрын
Kila nafsi itaonja umauti;muhimu katika maisha yetu tumefanya nini katika maisha ya wenzetu hapa Duniani!
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 3 жыл бұрын
Kikwete i love you sooo much my dear father my x president.. busara zako nazipenda sanah Mwenyezi mungu akupe umri mrefy wenye afya njema Amin
@bfox3549
@bfox3549 7 ай бұрын
Who’s here after Lowassa’s death? Wale waliosoma Cuba wataelewa
@bintmailiga8184
@bintmailiga8184 3 жыл бұрын
Da inauzunisha kwa kweli mungu akuzidishie umri mrefu raisi wetu mstaafu mh kikwete il uendelee kuungana na rais wetu mh Samia tukiwa na watanzania tusiyumbe tusiiyumbishe Tanzania yetu Mana nyinyi ndio tegemezi letu na mungu yu pamoja nasi na mungu ilaze roho ya mpendwa wetu ,jembe letu ,mkombozi wetu J.P.Magufuli mahali pema pepon amii ama kweli ili pigo kwa watanzania
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
Haya sasa ndo washaungana na samia kinaendelea nn
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 3 жыл бұрын
Allah saidia Tanzania yetu
@deodatusbernad9323
@deodatusbernad9323 2 жыл бұрын
Kweli baba we we ni mzalendo wa kweli
@esteredward6980
@esteredward6980 3 жыл бұрын
Nendazako uongotu kajipongezeni na shetan wenu
@samsonsebastian3585
@samsonsebastian3585 3 жыл бұрын
Mnafiki tu kaz kujisafisha misiban duuu maisha magumu jisafishe alipokuwepo sio mtu kafa ndo porojo znaanzaaa
@amosjacksoni9620
@amosjacksoni9620 3 жыл бұрын
Magufuri kasema aliambiwa na mkapa achukue fom , sasa watu wanajisafisha tu!!!
@byamukamawilliam760
@byamukamawilliam760 3 жыл бұрын
Rest in internal peace magufuli
@praizematagi7818
@praizematagi7818 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka dady jpm!!!!!!
@maryamibrahim4039
@maryamibrahim4039 3 жыл бұрын
Big up! Ww ni raisi, hotuba zako kwa kweli huchoki kuzisikiliza.
@seducerkapero7306
@seducerkapero7306 3 жыл бұрын
kuna nyimbo naitafuta naoma anaye ufahamu aniaandikie jina lake hapa ni bolingo ya hapahapa bongo kuna sehemu wanaimba "yuda alimuuza bwana yesu...kuna maneno yanendelea mbele ila siyakumbuki.
@amrikibazo9429
@amrikibazo9429 3 жыл бұрын
Inamalizikia akafia msalabani na kufufuka siku ya tatu
@seducerkapero7306
@seducerkapero7306 3 жыл бұрын
@@amrikibazo9429 izo sasa fujo mi niko serious labda sikutakiwa kuuliza umu,nimejaribu ulizia wanaonizunguka pia hawajua.ni bolingo sio ya dini
@munguanaishitv
@munguanaishitv 3 жыл бұрын
Akudo impact
@calabash4221
@calabash4221 3 жыл бұрын
Kaini alimuua Abel....FM academia..wimbo unaitwa ACHA TAMAA
@evansmtambo3394
@evansmtambo3394 3 жыл бұрын
nadhani ni ile Yesu alivyomjibu Yuda "wamsaliti mwana wa Adam kwa kumbusu"
@mohdmohammed9238
@mohdmohammed9238 3 жыл бұрын
Pole Sana mstaafu, Mungu akupe siha njema na umri mrefu.Napenda Sana hikma zako.
@gemmamwajombe3169
@gemmamwajombe3169 7 ай бұрын
Fisadi nmwenzio katangulia bado wewe wezi wakubwa
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 17 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,7 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,4 МЛН
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 71 МЛН
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 17 МЛН