Rais Magufuli kafuta machozi ya Mama asiyeona, DC chupuchupu atumbuliwe

  Рет қаралды 1,262,829

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea Tarime Mara akajitokeza Mama asiyeona ambaye amelishiwa mazao yake kwa muda mrefu bila malipo.

Пікірлер: 898
@munyaonormankioko1426
@munyaonormankioko1426 5 жыл бұрын
Wow thats Fantastic Your Excellency Doctor pombe Magufuli ,My Name is Norman kioko from Kenya I have been following you all through , and for sure , you are a leader of less fortunate , how I wish we can get leaders like you not only in Kenya but the entire Africa ,,Long live My president
@laughingclub9660
@laughingclub9660 4 жыл бұрын
C we go to live in Tz... I'm planning to do so.. I'm a Kenyan too
@josephkalume2603
@josephkalume2603 6 жыл бұрын
From Kenya we appreciate JPM gonga like Kama unakubaliana
@Micpiu
@Micpiu 6 жыл бұрын
Hongera sana Rais kwa kazi unazoendelea kuzitenda.
@andikimanasebadonavine9490
@andikimanasebadonavine9490 5 жыл бұрын
U're the best President that I have ever seen in this World
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 6 жыл бұрын
Khaaa kizaa zaaa hicho! Mwenyezi Mungu pamoja na Mheshimiwa Rais amsaidie huyo Mama.
@kichomimedia9582
@kichomimedia9582 6 жыл бұрын
Endelea kupiga Kazi mh.
@sativa17-h1t
@sativa17-h1t 6 жыл бұрын
oooohhhh very emotional... 😢😢😢 hakka raisii tunaee munguu tulindiee raisii huyuuu... 😢 kma upo pamoja namii gonga like
@faridasaid8724
@faridasaid8724 6 жыл бұрын
kazi nzuri sana rais ,hongera sana inabidi ukae madarakani hadi kifo kitakapokuchukua,
@abuunasri3628
@abuunasri3628 6 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
Kabisaa
@shanimohamed6315
@shanimohamed6315 5 жыл бұрын
Farida Said nimelia kwa kweli jaman
@johnbosco2024
@johnbosco2024 4 жыл бұрын
namimi nawaza hivovo
@penelopestanley7021
@penelopestanley7021 3 жыл бұрын
Hatimae yametimia Leo hii
@japhetdaud3889
@japhetdaud3889 6 жыл бұрын
MUNGU mulinde Rais wetu na uendelee kumtumia na kumpa ufunuo mpya kila iitwapo leo-Hapa kazi tuu 💪💪💪💪💪👍
@akimmbwego797
@akimmbwego797 6 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaa me nauzunika wasaidiz wa JPM wengi ni mzigo mkubwa sanaaaaa......pia nafuraji Jpm kila kukicha anavyo watumbua......GOD BLESS YOU
@josephsimioni3062
@josephsimioni3062 6 жыл бұрын
hakuna kama.magufuli tengeneza kanda yaziwa baba tumeachwa sana
@josephsimioni3062
@josephsimioni3062 6 жыл бұрын
kula Yangu haikuhalibika Ila kwambunge ilihalibike nilimpigia afu hakushinda ila nimapenzi yamungu
@issajohn5670
@issajohn5670 6 жыл бұрын
Nani kama J P M?
@lisanide6339
@lisanide6339 5 жыл бұрын
hakuna yan
@xxxtxandaniel699
@xxxtxandaniel699 5 жыл бұрын
Akim Mbwego MAmbo
@realremih
@realremih 5 жыл бұрын
From Kenya . Sijawai kuona rais mwenye upendo na kujali wanyonge kama uyu
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
💔💔💔😭😭😭
@joachimhancemwakoba8283
@joachimhancemwakoba8283 6 жыл бұрын
Sikuwahi kukupenda.. naomba nikiri mbele ya mungu na mbele ya Watanzania NINAKUPENDA SASA BABA, rais wangu
@michaelmhenga280
@michaelmhenga280 6 жыл бұрын
kuazia Leo nitakupenda paka mwisho nimejua nia yako Kwa wtzn
@beatricekamengekamenge5543
@beatricekamengekamenge5543 6 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Jamani mkuu wa mkoa ametinganya mambo
@DrSanai
@DrSanai 6 жыл бұрын
Ubarikiwe ndugu
@shungushula4340
@shungushula4340 6 жыл бұрын
Joachim Hance Mwakoba amina kaka uyu ndie raisi wetu mkuu
@princeibro7809
@princeibro7809 6 жыл бұрын
Leo nimekuelew JP
@selemanimkonga8150
@selemanimkonga8150 6 жыл бұрын
Ukiwa na Rais kama huyu hata uwe umepanga unajihisi umejenga vyumba 5na ukumbi sijutii kukupigia kura
@yusuphsimon4656
@yusuphsimon4656 6 жыл бұрын
Selemani Mkonga 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@djjantakiwango3311
@djjantakiwango3311 5 жыл бұрын
hahaaaaaaaa saluts
@joyiddris1069
@joyiddris1069 4 жыл бұрын
Selemani Mkonga nimecheka Sana et vyumba vitano
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 жыл бұрын
Unajuwa tunaposema Magufuli Niraisi Wawanyonge Watu Wanashindwa Kuelewa Coz Wanavichwa Vigumu
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 6 жыл бұрын
Joseph Materu sio vichwa vigumu wengi wao ni criminal mambo yao yamezuiliwa au bangi na viloba huoni majizi yote yako huko
@glorycharles1382
@glorycharles1382 6 жыл бұрын
Joseph Materu fact
@shaibumahanda6501
@shaibumahanda6501 6 жыл бұрын
Washaelewa now coz hata mm nilikuwa mgumu kuelewa ila now nimeelewa na waliobakii wamelewa ila n wakaidii daima
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 6 жыл бұрын
Aisee uyu jamaa anatakiwa kutuongoza miaka yote watanzania coz hakuna kama jpm
@mdasad2148
@mdasad2148 5 жыл бұрын
Makufuri njitajidi kusaindoa wanyonge
@kihanda2554
@kihanda2554 6 жыл бұрын
Bora Raisi wangu Usiende Nje. Wa Tz wengi tunakutizama. Mungu akubariki sanasana.. Nimesisimka sana. Nazidi kufurahia matunda ya Kura yangu Kwako. Sijutii kukuchakua Raisi wangu.
@rehemasumulei6237
@rehemasumulei6237 6 жыл бұрын
kweli unawafuta wamama machozi lakini umetusahau wajane tuliokuwa tunakusanya uchafu Mererani ili tujipatie kipato Kwa sasa tunalia tuu hatuna msaada wowote
@magigezabron3770
@magigezabron3770 5 жыл бұрын
Kura yangu yaijapotea kumbe
@jasminiomary7774
@jasminiomary7774 5 жыл бұрын
Magufuri mungu akuximamie mxaidie uyo mama
@mtanitz9582
@mtanitz9582 6 жыл бұрын
Pongez kwa Mr. President
@japhetmanumbu4595
@japhetmanumbu4595 5 жыл бұрын
Mr predident nakupenda sana
@winnesakara6957
@winnesakara6957 6 жыл бұрын
Kweli nimeamin rais wetu hachagui huyu mama namfaham anaitwa nyabura mtongori
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
Basi fiatilia asije akaporwa hiyo pesa
@agnesteacher7036
@agnesteacher7036 6 жыл бұрын
Jamaani kaniliza huyu mama
@audifaxkabura6197
@audifaxkabura6197 6 жыл бұрын
uyu anaweza bwana magufuri sisi warundi tunamukubari kabisa
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
@@agnesteacher7036 yaani matajili sehemu yao ni moto wa jehanam huna huruma hata na mama kipofu yaani hana macho
@richardmanoni3483
@richardmanoni3483 6 жыл бұрын
Winne Sakara p
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON 6 жыл бұрын
Asante rais Mtu wa munguu
@robertsimba5081
@robertsimba5081 4 жыл бұрын
What a humble human being??? So down to earth God bless you...am a Kenyan but I appreciate his job alot
@peternasarinasari9700
@peternasarinasari9700 6 жыл бұрын
Kwakwel kwa miaka yang michache niliyo nayo cjasikia wala kuona Rais kama huyu wa kwetu,,mcha Mungu na kujitahid kujal maskin na walioonewa..Mungu ilinde sana hii hazina yetu zaidi ufalme wa Mungu uwe sehemu yake pamoja na watakatifu wengine siku ya mwisho.we love you our PRESIDENT.
@josephmackdonald3122
@josephmackdonald3122 6 жыл бұрын
Peter Nasari Nasari
@abuunasri3628
@abuunasri3628 6 жыл бұрын
Uchamungu unaupima kwa kitu ganii? Huna vipimo vya uchamungu ndugu
@lightnessmsuya3914
@lightnessmsuya3914 5 жыл бұрын
mungu akubariki shemeji yangu magufuli upewe miaka zaidi yabuku amina
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 жыл бұрын
Huyu mama kanitoa machozi kwa kweli,watu hawana huruma kbs
@dominicemanuel3610
@dominicemanuel3610 6 жыл бұрын
jamani machozi yananitoka baada ya kuangalia rais wangu mpendwa john pombe magufuli akimsaidia huyu mama kipofu
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 жыл бұрын
@GAME BOYS 12345678910 binadamu hatuna utu wa huruma,tu najua kujineemesha wenyewe bila kujari wengine,km huyu mama hakupaswa kufanyiwa hayo mambo kabisa Mungu anamuona muhusika atajuta
@florakeneth6083
@florakeneth6083 6 жыл бұрын
Hata mm machozi yamenitoka
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Watu wananyang'anya wengine ardhi utadhani wao wataishi humo milele,kumbe nao ni wa kufa tu.Huyo ni masikini kuliko huyo mama kipofu.
@anithamwenda7725
@anithamwenda7725 5 жыл бұрын
@@SafeHaven_TV nmeliaa piaa dH
@abubakarrujugiro4415
@abubakarrujugiro4415 5 жыл бұрын
i love u from Rwanda you are so generous and kind
@alisaalis9218
@alisaalis9218 6 жыл бұрын
Nimelia aki huyu prezo ndo anatakikana katika dunia hii,Mwenyezi mungu akubariki sana Rais
@binsora5897
@binsora5897 5 жыл бұрын
Though am from Kenya I love the way jpm is handling his pple
@shawaribakari1226
@shawaribakari1226 6 жыл бұрын
Sina mpango wakuchagua rais mwingine tofautii mzee maguful
@mlelisbl6185
@mlelisbl6185 6 жыл бұрын
Mzee nakuelewa sana.....tangu uanze hii ziara yako safi sana...ukweli kutoka moyoni nimekukubali ukiendelea kutetea wanyonge hv naweza kuunga mkono juhudi zako.
@kizimkazi3443
@kizimkazi3443 6 жыл бұрын
JOHN POMBE MAGUFULI.
@ngokositta4001
@ngokositta4001 6 жыл бұрын
Magufuli mkoa wasimiyu
@ngokositta4001
@ngokositta4001 6 жыл бұрын
Magufuli
@alexdougly82
@alexdougly82 6 жыл бұрын
Mpka nimetoa machozi kwahuo msaada wa pesa...umemuinua sana huyo Mama sana sana hasa kwamaisha ya kijijini...siku yangu imerud kuwa nzuri kwasabab yahili tikio...🙏🏻🙏🏻
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
😭😭😭😭💔💔💔
@davidwambura5915
@davidwambura5915 6 жыл бұрын
awamu hii mtapata tabu sana, hizi sio zama za jakaya viongozi badirikini
@greciousnewgeness3170
@greciousnewgeness3170 6 жыл бұрын
the beauty full one is born!! viva honorable president MAGUFULI !
@gbbuku4714
@gbbuku4714 6 жыл бұрын
Wallah mungu akupe umri mrefu hii sio tu kwasababu ni rais utapata thawabu mzee wang john
@abdubaadan9300
@abdubaadan9300 5 жыл бұрын
This is true leadership,one in a million, God bless you abundantly.
@mariamhadija7236
@mariamhadija7236 6 жыл бұрын
Hongera rais wangu kumbe kura yangu haijapote 😂😂😂😂😂😂
@praxedadominic6892
@praxedadominic6892 6 жыл бұрын
Nisamehe magufuli sikukupa kura yng sikujua km ww ndie rais niliekuwa namtafuta nakupenda magufuli wewe ndie rais wangu
@mariuscyprian7561
@mariuscyprian7561 6 жыл бұрын
Hata mimi kura yangu haikupotea huyu mzee baba namkubali zaidi ya maelezo
@salomepeter7475
@salomepeter7475 5 жыл бұрын
Mungu mkuu, kamleta ancle mangu kwetu
@xxxtxandaniel699
@xxxtxandaniel699 5 жыл бұрын
Mariam Hadija vp
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 5 жыл бұрын
Kweli@Mariam Hadija, kura yako haikupotea.
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Jamani rais magufuli . Mungu asikilize sala zetu
@martinkariuki551
@martinkariuki551 2 жыл бұрын
Hayati makufuri na mkupuka mara kwa mara ni rais alikifanya kile alixaguliwa mungu amweke pema
@martinkariuki551
@martinkariuki551 2 жыл бұрын
Am kenyan but I love makufuri xanar
@mishijuma6326
@mishijuma6326 6 жыл бұрын
Magufuli. Magufuli. Magufuli the best African leader so far
@alsadymateke8695
@alsadymateke8695 6 жыл бұрын
Tz ss tume pata Raisi tuacheni unafki tujenge nchi jamani
@rechosoi2517
@rechosoi2517 6 жыл бұрын
Nzur
@davidbarnaba2013
@davidbarnaba2013 6 жыл бұрын
tena.mungu.amuache..miaka.mia
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 6 жыл бұрын
Chozi limenitoka.JPM Oyeeee mwenyezi mungu akupe uzima zaidi kuwasaidia taifa letu pia wanyonge nk
@annkim2690
@annkim2690 5 жыл бұрын
Tukopesheni huku kenya
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Huyu ameletwa na Mungu,rais Magufuli angepewa fursa atawale tu muda mrefu,kwani katiba ni nini jamani,si inabadilishwa tu?
@mwikali4382
@mwikali4382 6 жыл бұрын
Mimi mkenya bt naumia nikiona wale maskini wanateswa sina chochote bt sisi wanyonge tuna aki ya kuishi duniani
@mussamaduka2828
@mussamaduka2828 6 жыл бұрын
Usiseme huna la kusema. Ikiwa Mungu kakupa uhai na pumzi. Basi unatakiwa umwambie Mungu hitaji la moyo wako kama ilivyo andikwa kwenye kitabu cha mathayo 6:5-8 . pia kumbuka Mungu amesema umkumbushe hitaji lako na msemezane nae ili apate kukupa hitaji lako. Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na hekima
@frankkimaro5069
@frankkimaro5069 6 жыл бұрын
Mama anakonda ww unanenepa hahahahahahhaha
@shaibumahanda6501
@shaibumahanda6501 6 жыл бұрын
Frank Kimaro 😀😀😀😀
@saadachara943
@saadachara943 6 жыл бұрын
Yaan ane sema magufuli kakaza mungu anamuona chapa kazi baba naomba mungu anipe mtoto mwenye akili kama zako
@keyjoh2971
@keyjoh2971 4 жыл бұрын
Na jitumbo
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON 6 жыл бұрын
Kweli tutakukumbuka Sana unafanya kutoka rohoni
@adamkondo4162
@adamkondo4162 5 жыл бұрын
Mimi Baba Rais huyu wangekuwa kuwa watanzania wana weza kunisikiliza Mimi sio mshabiki nikiongea nimejilizisha Sana Sana kweli Rais makufuli tumemupata tayali Mwenye uhusiano na Tanzania na wa Tanzania tumemupata kazikwetu kumulinda kumutuza Sana Sana kweli Rais nimekuelewa Sana Sana sijawahi ona Kama wewe Tanzania hii 0753462727 kukulinda nitatumia kinywa tuu ili utufikishe sehemu
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
💔💔💔😭😭
@HenriHSP
@HenriHSP 6 жыл бұрын
Huyu ndiye angelikuwa Rais was Africa nzima.
@mmlove9127
@mmlove9127 6 жыл бұрын
Mimi najiuliza sana hawa viongozi wengine wanafanya nini kama raisi ndio anafanya kila kitu
@fashiryjumanne3568
@fashiryjumanne3568 6 жыл бұрын
yapo 2
@hassanjumaa7390
@hassanjumaa7390 6 жыл бұрын
Kweli viongozi wanamuangusha magufuli. .kila kitu afanye yeye tu. ....viongozi wajitolee wafanye kazi kama raisi afanyavyo
@teddymeela2791
@teddymeela2791 6 жыл бұрын
Delegation of power is needed
@andreajeremia436
@andreajeremia436 6 жыл бұрын
Mizigo,walizoea kubweteka,na kutumikiwa badala ya kutumika
@mwikali4382
@mwikali4382 6 жыл бұрын
Mungu akubariki makufiri kwa kujali wanaonewa na matajiri
@mussamaduka2828
@mussamaduka2828 6 жыл бұрын
Ila andika jina vizuri la Rais wetu. Usiandike kama asiyejua
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
💔💔💔💔😭😭😭😭
@rehemareubeni5783
@rehemareubeni5783 6 жыл бұрын
hakika Mungu akulinde dady
@bablee9752
@bablee9752 5 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu kwa kazi yako nzuri kuwasaidia wanyonge🤝
@mpendaedward9578
@mpendaedward9578 6 жыл бұрын
Nilikuwa sikuekewi Mr President but now nakuelewa sana nakuomba tuma watuwako kwenye makampuni ya ulinzi kuna manyanyaso sana hakuna haki tafazali sana Raisi wetu
@andreajeremia436
@andreajeremia436 6 жыл бұрын
Asante sana kama umeanza kumuelewa Rais wetu,ni Rsis Wa kipekee
@masaimbuyu7996
@masaimbuyu7996 5 жыл бұрын
Mpenda Edward atakae. bisha. makufuli.hafanyi.kazi.yule.sio.mwelewa
@denniskatiku9051
@denniskatiku9051 6 жыл бұрын
If only we could have atleast 10 presidents like HH.JPM..walai Afrca ingekua mbali tena sana...👑👑👍👍👐👐.HONGERA RAIS MWESHIMIWA JPM...Denno here frm kenya
@abdiyoochannel585
@abdiyoochannel585 4 жыл бұрын
Magufuli ni rais mzuri sana na mwenye anatetea haki
@kimrodgers7809
@kimrodgers7809 5 жыл бұрын
Tanzania you've got a visionary president,,#magufuli fan from Australia
@abdulseif4093
@abdulseif4093 6 жыл бұрын
Sijawai kumuelewa huyu Rais ila kwa anayoyafanya mungu akuweke miaka mia 5 mbele ameen
@jumamasaka9162
@jumamasaka9162 6 жыл бұрын
kazi nzur rais wetu, hongela xana
@ummimohammed6137
@ummimohammed6137 5 жыл бұрын
Allah akubariki na akuziishie imani ktk kazi zako. Nakupenda sana natamani ubakie ktk uraisi miaka yote kwa hali hii...
@gabriellydaud5411
@gabriellydaud5411 6 жыл бұрын
Mungu akuzidishie moyo wa upendo mheshimiwa raisi
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 6 жыл бұрын
NAKUPENDA mnooo Rais wangu!MUNGU akulinde your the best baba
@Ansel.
@Ansel. 6 жыл бұрын
Ubarikiwe sana jPM mtumishi Wa Mungu aliye hai......it's so touching kwa kweli....I LUV U MY PRESIDENT
@winfridashango6481
@winfridashango6481 5 жыл бұрын
Makufuri nakupenda nalala usingizi mzuri japo nipo kwenye nyumba ya kupanga
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 6 жыл бұрын
Daaah mungu akupe nguvu na maisha marefu
@terrycherono4767
@terrycherono4767 5 жыл бұрын
Wakenya we Need Such President. Raisi wa watu,Raisi wa Maskini,Live Long Mr President Nakupenda For Real.
@raymondshilatu2495
@raymondshilatu2495 6 жыл бұрын
Ni raisi pekee unayefanya ziara za ndani na kushughulikia matatizo ya watu wako moja kwa moja. inapendeza sana. Mungu akutie nguvu
@christophermwema9867
@christophermwema9867 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima hatutoacha kukulilia tutalia sana kila tunapoangalia clip hz😭😭😭😭 R.I.P mtetezi wa wanyonge
@Saniamunguatujaliyemwishomwema
@Saniamunguatujaliyemwishomwema 6 жыл бұрын
Musaidie amegusah isia zawegi sana adi machozi mbona munatudhalilisha sisi wanyonge
@abasidaniel1809
@abasidaniel1809 5 жыл бұрын
Huwaga napenda kukushuru Sana Mara nikisiliza hii habar karibu Tena Mara
@goodluckygalbon1585
@goodluckygalbon1585 6 жыл бұрын
Daaah kwa kitendo hichi nakupa hongera kubwa kubwa xan maan imenigusa mnoo, ipo cku nam nitafny ktyu kwaajl ya taif lng
@patiipatii1931
@patiipatii1931 5 жыл бұрын
Goodlucky Galbon sass tv
@hashakatv8618
@hashakatv8618 4 жыл бұрын
Hongera magufuli. Rais wetu wa Jamhuri ya Kenya anapaswa kuchukua mfano wako kutumikia wakenya
@elizabethmwandu9899
@elizabethmwandu9899 6 жыл бұрын
Hongera sana Mh Rais kwa moyo wako wa huruma, moyo wa kujitoa kwa ajili ya wengine Mungu wetu wa mbinguni azidi kukuongoza vyema ktk utendaji wako wa kazi.
@liznimo5917
@liznimo5917 3 жыл бұрын
For real watanzania wamepoteza mtetezi wa wanyonge rest in peace legend 😥😥😥
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Akika mungu ali mleta uyu baba kwa makusudi malumu akuna kiongozi mwingine mwenye moyo mweupe kama kaka yetu magufuli
@eddyajode8921
@eddyajode8921 6 жыл бұрын
Mm niko kenya bt nampenda Magu sana kwa utenda kazi wake.
@thabujohn1256
@thabujohn1256 6 жыл бұрын
Asante Raisi wetu kweli unasaidia wanyonge Mungu akupe maisha marefu yenye heri na fanaka
@rahelmasiga1503
@rahelmasiga1503 5 жыл бұрын
Kweli maghufuli Raisi wa wanyonge huu Ni mfano wa kuigwa kwa hata atakaekuja awamu ya sita .big up Mzee wa hapa kazi tu
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 6 жыл бұрын
Hakika watanzania tumepata rais kama unamkubali magufuri gonga like
@serianjamal8254
@serianjamal8254 5 жыл бұрын
Nimelia mimi jamani Mungu akupe wepesi wa kazi zako Rais wetu mpendwa mtetezi wetu Ameen
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Alhamndulillah 😭😭mpk nimelia jmn huyo mam rais wetu Mungu akulinde
@yohanamsafii3404
@yohanamsafii3404 6 жыл бұрын
Haki ya mngu ww ni rais wa wanyonge kwl
@anwaradam1794
@anwaradam1794 5 жыл бұрын
Baba magufuli wewe ni mwingi wa rehema
@edinakalole9853
@edinakalole9853 6 жыл бұрын
Kweli wewe ni Raisi wawanyonge mungu akubariki endelea kutawala miaka 1000
@mussamaduka2828
@mussamaduka2828 6 жыл бұрын
Endelea kumuunga mkono
@salimalriyami7779
@salimalriyami7779 6 жыл бұрын
Magufuli the greatest ever 😍😍😍
@noronhacompanylimited5370
@noronhacompanylimited5370 5 жыл бұрын
Naomba Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio Msahafu Ibadilishwe!!!!!!
@rosesamwelitenga4648
@rosesamwelitenga4648 5 жыл бұрын
Naskia hivo hairuhusiwi
@bensonmusyoka5104
@bensonmusyoka5104 5 жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini watanzania mko rais magufuli hoyeeeeee
@daudfyedrack1851
@daudfyedrack1851 6 жыл бұрын
Rais wetu magufuli mungu akubaliki Sana kwa kazi nzur unayo fanya
@tumaindocta4525
@tumaindocta4525 6 жыл бұрын
Mungu akujalie Miaka mingi rais wangu nakuomba ututembelee Mara kwa Mara mkoa wangu unamatatizo mengi na hayo machache!!!!!
@olivabazololivabazol4479
@olivabazololivabazol4479 6 жыл бұрын
Akika ww ni baba
@akramhajji4893
@akramhajji4893 4 жыл бұрын
The only honest President I have ever seen,for real...
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Nakupenda sana baba , kura yangu 2020 tena no Yako nitakuwa nisharudi tz kwetu
@gemeryne4298
@gemeryne4298 5 жыл бұрын
Love from Kigali .tunakupenda tena sana baba
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 6 жыл бұрын
Subhana allah so sad ma sha allah magufuli big up nakupenda raisi magufuli ftom kenya
@abdisalansharif26
@abdisalansharif26 6 жыл бұрын
We really need PRESIDENT like this in all African nations hakiya mungu ni binaadamu ya mungu
@jjwalennylenny7943
@jjwalennylenny7943 6 жыл бұрын
Woii haki huyu rais wa TZ nampenda tu kabisa, siukuje huku kwetu kenya aki
@joycekatamba3206
@joycekatamba3206 5 жыл бұрын
Aisee nazidi kubarikiwa ....
@miriduds360
@miriduds360 5 жыл бұрын
I wish Kenya we can a president like him. He is a real preso 😘😘
@mussambilu229
@mussambilu229 6 жыл бұрын
mungu akupe afyanjema mzee mimi naamini unajua unachokifanya tuko nyumayako huwezi kupendwa nawatu wote lakini hata mitume hawakupendwa nawatu wote mzee kazinje sjui ntakuja kukuona lini live nenda lushoto vijijini ujionee vioja mzee natamani ufike maeneo yamlola na vitongoji vyake utayaona madudu kiukweli ninakupenda sanA mzee huwezi kupendwa nawatu wote wewe sio pesa nabila maadui huwezi kujua unakosea wapi mimi nkutakie kazinjema mzee wetu niko tangaa mjini
@immaculeensabimana2097
@immaculeensabimana2097 4 жыл бұрын
Mungu akuweke baba John pombe magufuri wewe nibana wawanyonge kabisa ❤️
@rafiahamadi9787
@rafiahamadi9787 5 жыл бұрын
Wanazarau masikini ccm oyeee minomba mungu uongoze mpaka mwisho wa maisha yako tunakupenda raisi wetu
@faridkhamid1358
@faridkhamid1358 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu rais magufuli
@hapynesmabula7348
@hapynesmabula7348 6 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kutupa rais mweny huruma
@maryawino4166
@maryawino4166 6 жыл бұрын
waa nimelia na mm ni mkenya uhuru must see bthis
@thomasmwitah1885
@thomasmwitah1885 6 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Rais kutembea kwingi ndo kuona mengi .Umetembea Tz na umejiona jinsi kulivyo na maovu mengi.Endelea kutembea nchini ili ujue zaidi.Ulichaguliwa Tz na ziara zk kwel ni za haki ni za ndani ya nchi tu...Big up rais wangu.
@ottaoscar689
@ottaoscar689 6 жыл бұрын
MUNGU kaonesha Upendo wa dhamani sana kutuletea uyu Rais, MUNGU akupe nguvu siku zote mheshimiwa JPM, kiukweli nimetokea kumkubari sana Rais wetu!
@agnessjoseph3199
@agnessjoseph3199 5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu rais wangu
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 жыл бұрын
Magufuli moyo wangu hautulii kwaajili yako nakupenda Sana mungu anajua
@bahatimatiku4294
@bahatimatiku4294 6 жыл бұрын
Asante Sana Rais wangu kiukwel we ni kiongoz wa watanzania wote NAKUPENDA SANA mheshmiwa
@bernardomondi2632
@bernardomondi2632 6 жыл бұрын
Rais magufuli Mwenyezi Mungu akulinde siku zote na akupe maisha marefu pamoja na familia na watanzania wote,
@mtumbadkrish2474
@mtumbadkrish2474 3 жыл бұрын
Mungu ailaze Roho take Mahali pema peponi
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 6 жыл бұрын
Wasio mkubali mjomba magu watapata tabu sana ila ss tunampenda na tuna muelewa 😘😘 kuna watu awaoni juudi za mtu mpaka akiwa ayupo ndio utasikia alikuwa kipenzi chetu penda mjomba magu
@mussamaduka2828
@mussamaduka2828 6 жыл бұрын
Hongera na uwe mbunifu sasa ili siku bahati ikikufikia uweze kuinuliwa nawe kama mama huyo alivyo pata bahati ya Mungu
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Kabisa
@pascalchacha139
@pascalchacha139 6 жыл бұрын
wapinzani watasubiri sana
@antiyekamaleki3790
@antiyekamaleki3790 4 жыл бұрын
Magufuli hoyeee
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
Na ndio maana wanafurahi vile magufuli atuko naye Tena Eee ewe mwenyezi Mungu okoa kodoo zako zilizo achwa njia panda 💔💔💔💔😭😭😭😭
@24habari
@24habari 6 жыл бұрын
Acha wanaoenda ughaibuni, waende tu. Tulio Tanzania mafanikio tutayavuna hapa hapa. Maombi yangu kwa Mungu yanaambatana na kumwombea Rais Wangu. For sure Magufuli we love you.
@emmanuellawrence2434
@emmanuellawrence2434 6 жыл бұрын
Inauma sanaaa...Mr president unatukosha moyo watanzania...God bless you..
@zainalarssonHotel
@zainalarssonHotel 5 жыл бұрын
🥰🥰🥰🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾ASANTEEEE SANA BABA YETU.WEWE NI MTU KATIKA WATU, UBARIKIWE . AMINA
AGIZO LA JPM: Kuhusu Mwanamke alieangua kilio mbele yake
8:28
Millard Ayo
Рет қаралды 256 М.
"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
8:41
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,7 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,8 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
MAPOKEZI YA ALI KAMWE MZINGA YATIKISA
4:49
SDK_Media
Рет қаралды 3
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,7 МЛН