RAIS MWINYI ATOBOA SIRI KUHUSU "TAXI BOAT" ANAZOTAKA KUZILETA ZANZIBAR

  Рет қаралды 35,637

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 77
@alibhaindaro9187
@alibhaindaro9187 8 ай бұрын
Maashallah muheshimiwa, Allah akulinde uzidi kuihimarisha zanzibar. ❤❤❤
@othmanawadh3964
@othmanawadh3964 8 ай бұрын
Amin . ALLAH azidi kutupa afya njema ili tuijenge nchi yetu
@ahmeidSeif
@ahmeidSeif 8 ай бұрын
Mashaallah
@jumamambo7471
@jumamambo7471 8 ай бұрын
Masha-alah alah akulinde kipenz cha wazanzbar
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 8 ай бұрын
Baraka Shamte salamu zimefikia omva radhi kwa Mhe Rais
@EvaristoMlowe-yp3pu
@EvaristoMlowe-yp3pu 8 ай бұрын
BIGUP SANA
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 7 ай бұрын
Mungu akusaidie
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 8 ай бұрын
Hongera kwa maendeleo Ahsante kwa maendeleo Zanzibar iwe dubai
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 8 ай бұрын
DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE
@AbdulRahimhoward
@AbdulRahimhoward 8 ай бұрын
Allah Akubariki Mimi sijawahi kukupinga ulichofanya sasa ivi wengine hawajafanya mpaka sasa ivi
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 8 ай бұрын
nakubali uko kibiashara zaid wazanzibar wenye vigari vyenu vya Abiria ambavyo ndio vinakupatieni riks jipangeni na kulima
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e 8 ай бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 8 ай бұрын
Safi sana mzee vijana tupo pamoja na wewe
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 ай бұрын
Jisemee ww
@kimsamir965
@kimsamir965 8 ай бұрын
Safi sana rais mwinyi nakukubali sana nani kama wewe ubarikiwe sana mungu akuweke
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 8 ай бұрын
Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.
@hijazhija316
@hijazhija316 8 ай бұрын
😂
@R10_Rajab
@R10_Rajab 8 ай бұрын
Hao Wageni pia tuna mpango wa kutembezwa kwa Mabus ya serikali mabus ya Garofa Moja ambayo juu yapo wazi ila msijali Serikali itaajiri madereva
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 8 ай бұрын
😂😂😂​@@R10_Rajab
@salehjuma935
@salehjuma935 8 ай бұрын
Mitano tena kwako raisi wetu mpendwa hayo ndio mambo tunayoyataka In Shaa Allah
@hamadabdullahkhamis977
@hamadabdullahkhamis977 8 ай бұрын
Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..
@hmedoggftherljih199
@hmedoggftherljih199 8 ай бұрын
Zanzibar ❤️💛💚
@kimsamir965
@kimsamir965 8 ай бұрын
Rais wa future huna mbaya endelea kuleta maendeleo ya Zanzibar
@nafisahalai5536
@nafisahalai5536 8 ай бұрын
God bless you President Mwinyi. We love you
@hijahamadi5793
@hijahamadi5793 8 ай бұрын
Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.
@mnahakikibwenihaji9563
@mnahakikibwenihaji9563 8 ай бұрын
hizo pesa za tax bot zikibaki njoni mutusaidie sare za watoto wetu huko skuli wanawazuiwa wasiende
@kahilissa1862
@kahilissa1862 8 ай бұрын
In sha Allah kheri
@SharifuMati
@SharifuMati 8 ай бұрын
Allah Akupe wepesi kwa hayo
@asmasalummohamed5564
@asmasalummohamed5564 5 ай бұрын
Let's go Mr president
@mohddelo
@mohddelo 8 ай бұрын
Hawana sera hao
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 8 ай бұрын
Na veep muheshimiwa kuhusu MV MAPINDUZI
@Asilimedia
@Asilimedia 8 ай бұрын
Ipo katika Hatua za mwisho kwenye matengenezo (ukarabati) unaofanyika.
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 8 ай бұрын
Nitaileta mpya msijali
@bakarikombo6279
@bakarikombo6279 8 ай бұрын
Mitano x4 itafaa akipewa huyu mzee baba Zanzibar kama dubai
@abdul-halimhafidh642
@abdul-halimhafidh642 8 ай бұрын
Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 8 ай бұрын
Hatufamu hayo ss tutaka zanzibar yenye malaka kamili bila ya kungiliwa na wabara
@alhajrahassan89
@alhajrahassan89 8 ай бұрын
Hakika wewe ndio rais tulokuwa tunakutaka Allah atuweke inshallah tiweze kuja kuona Zanzibar yetu mpya inshallah Ameen 🤲🤲🤲
@allyvuai9762
@allyvuai9762 8 ай бұрын
Mitano tena dkt Mwinyi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 8 ай бұрын
Maendeleo ni sacrifice lazma kuna upande uumie kwa muda ili badae vitu vikae sawa
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 8 ай бұрын
Ndo walivo kila kitu wanasema hatuwezi Sasa wataona
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 2 ай бұрын
Raisi mwinyi tunakupenda sana lakini mkuu wa wilaya wa kati sadifa anatunyanyasa anatutukana tumemchoka please hatumtak
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 8 ай бұрын
Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao. Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi. Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi. Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki. Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 8 ай бұрын
Au sio Insha Allah kheri tupu
@alihaji215
@alihaji215 8 ай бұрын
Tutajitawala wenye msitutowe kwenyenjia ya reli
@afropanorama4730
@afropanorama4730 8 ай бұрын
Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu
@htx1873
@htx1873 8 ай бұрын
The MWINYI’S Never disappoint.❤
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 8 ай бұрын
Umeme bado kero zito
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 8 ай бұрын
Pesa imetumika kuhamisha taka so mchezo
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 8 ай бұрын
Napia huku shumba mjini hii bandari bado imeganda hatujuwi lini itakwamuka
@yassirmabuku7832
@yassirmabuku7832 8 ай бұрын
Dr Mwinyi tumuongezee miaka kama wenzetu wa china tumpe miaka 20 hadi 30
@saidyussufmzee4548
@saidyussufmzee4548 8 ай бұрын
😂😂 Mzee..
@yassirmabuku7832
@yassirmabuku7832 8 ай бұрын
😂 mbali na mipango ya dr Mwinyi kunikosa na Dj nae kanikosha
@Daawa-l8s
@Daawa-l8s 8 ай бұрын
Mipasho ila mda ndio jaji mkuu.
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 7 ай бұрын
Haya sasa
@zainarashid1024
@zainarashid1024 8 ай бұрын
Wambie hao wapinga maendeleo wapuuzi wengine walikuwemo serikalini hawakufanya lolote
@AidaniJohnKomba
@AidaniJohnKomba 3 ай бұрын
mwinyi namkubali sana hapepesi maneno
@zaeexplore
@zaeexplore 8 ай бұрын
oyaaa mwinyi mitano tenaaaa
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 8 ай бұрын
Na walodhumiwa vi inua mgongo wasaidia 😢
@pajebeachtoys
@pajebeachtoys 3 ай бұрын
Water tax
@RamadhanHussein-u6n
@RamadhanHussein-u6n 4 ай бұрын
Mh Mwinyi jenga nchi tunakukubali
@Asilimedia
@Asilimedia 8 ай бұрын
Huyu Raisi mitano tena Ikiwezekana tena na Tena
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 8 ай бұрын
Tnataka maendeleo Yazidi kuongezeka na Pemba uijenge iwe na maendeleo Hususan Bandari ya Wete Pemba
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 ай бұрын
Mwinyi ushashiba aloooo
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 8 ай бұрын
Kisima watu M2 hawafiki kila kitu aaah haiwezekani Siasa za Chuki na ujinga zimeekwa mbele ilikua ujinga mtupu
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 8 ай бұрын
Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini
@amirmohamed2729
@amirmohamed2729 7 ай бұрын
Sasa wataka kuzamisha watu
@InnocentMbwago-f9f
@InnocentMbwago-f9f 8 ай бұрын
Mihezo
@abdallahkassim8600
@abdallahkassim8600 8 ай бұрын
Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 8 ай бұрын
Huyu jamaa Ana uwa kazi za wananchi ma beachBoy wakae juu anapiga deal
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 8 ай бұрын
Unaharibu utatuharibia na Sisi brooo
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 8 ай бұрын
Kushinda kuchukua tu umeshinda wapi sema ukweli punzi isikuhadae amani yuko wapi sefu ali iddi yuko wapi salimini yuko wapi
@TahilaRamadhan-hz3pd
@TahilaRamadhan-hz3pd 8 ай бұрын
Na sefsharif yukowapii
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
Wahakutokea wa kumkamata ndio kushinda huko huko.
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 8 ай бұрын
@@TahilaRamadhan-hz3pd sefu ametanguli mbele yy muliokuwa hamutokufa mutakaa duniani milele endeleeni kuzulumu tu
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 8 ай бұрын
@@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu
@allyvuai9762
@allyvuai9762 8 ай бұрын
Wacha ufala kaka mwacheni Rais afanye kwa maslahi mapana ya taifa letu
PEMBA' YABAINIKA INA MADINI MAZITO, UTAJIRI NJE NJE, RIPOTI INASEMA
6:12
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 65 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 21 МЛН
KUMEKUCHA HII NDIO KAULI YA DKT MWINYI
11:33
Tifu Tv
Рет қаралды 10 М.
MAJIBU YA DKT.MWINYI KWA ACT
26:50
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 9 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН