Ruto must apologize before Kenyans for calling us criminals 😅
@Alicemsafiri5 күн бұрын
Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani
@user-ik3fb9ic7s4 күн бұрын
I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.
@elshadaiuniforms11969 күн бұрын
You pastors you are BRIBED
@adenyussuf53448 күн бұрын
A wise man senses his threat. I believe you are wise mr. president
@CasleyamadiAbdallah9 күн бұрын
Unaongea vizuri Raisi Ruto
@capitalshymes9 күн бұрын
true let us respect our kenya let us respect our president And let us repect our seif plz kenya ni yetu na itabaki kuwa yetu tushikaneni mikono tuijenge pamoja God bless kenya
@saimonlaizer27326 күн бұрын
Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.
@fredyambrose75629 күн бұрын
Mr president you are going to cause cheos in your country, if you looking to deal with one to another things Wil be worse
@richkaja33176 күн бұрын
Mbn umekua mpole sanaa ruto fanya kazi
@abubkrxyz-bh32529 күн бұрын
Address the issues and solve them achana na hao vijana
Hao wabunge wote walipiga yes hatutaki kuwaona tena bungeni
@user-wh9zj7kf7h5 күн бұрын
MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.
@SabihaRajab9 күн бұрын
Huyu baba hakubahatika
@JumaAllyhussein9 күн бұрын
Mbona alivyokuwa anaomba kura alisema utakuwa pamoja na masikini leo wamekuwa wabaya tena
@GeorgeJoram-im1ss4 күн бұрын
Umeshindwa kazi
@naomikrause17629 күн бұрын
NDIO RUTO WASHULIKIE👏👏👏👏👏👏
@teresakarugu99329 күн бұрын
Kuwashughulikia😢
@worldelectro27877 күн бұрын
He is wise as leader
@MohamedNoormohamed-lc4rg9 күн бұрын
Umetenge ngapi hio bunge😊😊😊😊😊😊😊😊
@elshadaiuniforms11969 күн бұрын
You PASTORS YOU are defiling the church...REMOVE POLITICS IN CHURCH.
@JokhaJoko4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-gv8yn9lg1i6 күн бұрын
Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima
@SaidIssa-tq3yv9 күн бұрын
Waombe Israel wakusaidie silaha uwamalize vijana wa Kenya.❤
@Sheba46517 күн бұрын
Mhhh
@mabondolawrence18125 күн бұрын
Ruto is very wise real wise!
@davidc.o.gitanga34034 күн бұрын
All these will end if you leave office.
@SalemBafaqer9 күн бұрын
Eti breakfast nahastler wamelala njaaa
@user-xb6tc4bb3z9 күн бұрын
Zakayo bado anakiburi ilikuwa acalm down but bado anakiburi
@user-ms1xg1fp4v4 күн бұрын
Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje
@fgfvgggf6993Күн бұрын
Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko
@JokhaJoko4 күн бұрын
Rutonakupenda sana
@user-ek6sl4px7z6 күн бұрын
Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu
@HamisMghuna-fj3vz5 күн бұрын
Kiler Ruto, mtajiju w Kenya
@noahpaulo38455 күн бұрын
ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa
@user-xo4qc2hk4j8 күн бұрын
Ruto mast go
@rosemarykirubi31679 күн бұрын
Wale vijana waliuliwa na police, onaona je Mr Ruto???
@PeterNgige-tw4ey5 күн бұрын
Walipata mshahara
@PeterNgige-tw4ey5 күн бұрын
Ni wezi
@JosephNdungu-fe8rr9 күн бұрын
We have a PLAN for them .Tuko na MPANGO.Mbure kabisa.Resign
@davidc.o.gitanga34034 күн бұрын
Hiyo waja office and all this will come to a halt.
@naomikrause17629 күн бұрын
SASA VIJANA MUTASHUULIKIWA
@higahassib66149 күн бұрын
Vijana wamechoka kudanganywa na hawakutaki
@user-si5wk9gq1e5 күн бұрын
Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu
@user-xo4qc2hk4j8 күн бұрын
Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe
Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii
@ShubilaKingi5 күн бұрын
Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki
@user-zs8kz2ub5t9 күн бұрын
so unaelelea wapi
@AminaShabani-uq9ok6 күн бұрын
Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna
@fgfvgggf6993Күн бұрын
Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu
@monicachacha4555 күн бұрын
shinda nini😂😂😂😂😂
@emanuelkidali97336 күн бұрын
Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki
@digitalinvestment86479 күн бұрын
Wacha uongo
@user-om2ur5by9n9 күн бұрын
Na ww mungu atakushughulikiaa
@godfreymushi69669 күн бұрын
Hhaahaa which plan ???
@higahassib66149 күн бұрын
Yuko na mpango kila mkutano the same word
@allyhussein46256 күн бұрын
Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo
@femidayahaya92937 күн бұрын
Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda
@allyhussein46256 күн бұрын
Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia
@ClementJacob-sd8lf6 күн бұрын
Mpaka tikufundishe wumechemuka
@danielgadiye79838 күн бұрын
Vijana wa kenya mumekosea bunge pamoja na mamlaka mliyoipa kazi mgesubiri muda ufike mfanya mnavyotaka so kuchoma bunge na uharibifu mwingine mwingi so akili
@edwardndege78509 күн бұрын
Kupigana na ufisadi Harambee zipiwe marufu
@AbuuAli-nf4fb7 күн бұрын
Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?
@amirjuma93959 күн бұрын
Wakenya komaa huyu hawezi kuwadharau kiasi hicho
@josephjulio61125 күн бұрын
Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa
@OmarAme-hd3fd9 күн бұрын
Bora tuu ukaembali watu wamekuchoka
@user-db3hf6ug7u9 күн бұрын
Ruto ni umbwaaa mda wa kuongea uliisha enda sogoi you must go
@WillisAli9 күн бұрын
Akishuka plan ni gani?
@masachihorticultureunitcol7116 күн бұрын
Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya
@simonmdune90665 күн бұрын
Kundu wako sawa
@MeMe-xi6tx9 күн бұрын
We enda tu
@alimau79399 күн бұрын
Zakayo ushuke tu
@ClementJacob-sd8lf6 күн бұрын
They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono
@idrissamustafabukenya61108 күн бұрын
Utawashughilikiya kivipi? Utawawuwa one by one? Ruto ulisema you stand with Israel wakiwuwa wa Palestinians. Even you killing machine. Ruto tukupenda kumbe nawewe nimuwuwaji wa roho mbaya alafu unajifanya pastor