Рет қаралды 5,262
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Rais Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za uteuzi wa Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha huku akieleza anachokitegemea katika utendaji wake mkoani humo.
Rais Samia amesema hayo leo Aprili 4, 2024 kwenye uapisho wa viongozi wateule, Ikulu jijini Dar es Salaam.