Safi sana Rais wetu tunajivunia kuongozwa nawe 🇹🇿🌾
@Maryc2G29 күн бұрын
Muheshimiwa Rais, Mama yetu Samia asante kwa speech yako nzuri
@molenicharles910728 күн бұрын
Duuuu!....hapa tuliingizwa Chaka watz!...let me still remembering comred JPM...🎉🎉😭😭
@sultansallah877228 күн бұрын
Endelea kuota
@fredynyandoro426628 күн бұрын
Well done. Hongera Harmonize Hongera Mama yetu Dkt Samia. Hongera sana kwa wanawake wote.
@OmegaNelson-ho1no29 күн бұрын
😢😢hii ndio 🇹🇿 yetu
@kalebphilip342628 күн бұрын
Sku ya kilele cha wafanyakaz hukuwepo ulikwepa leo upo hapa kwenye mambo ambayo hayana tja kabsa,hii ni ajabu kwakwel
@BRM202528 күн бұрын
Acheni makasiriko watanzania, ukiona hakuja Kuna jambo la mhimu alulokua nalo hawezi acha kuja bila sababu yoyote
@user-ii1gz2it4c29 күн бұрын
Safi sana konde umewafunika🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤
@jamesloshilunye41429 күн бұрын
Yaani 😭😭😭😭😭😭sijui nisemeje mimi ila Mungu atukumbuke Tanzania kiukweli tumebaki wenyewe
@AbuuThabiti29 күн бұрын
Subuhana yarabi tunusuru wajawako nautupe mwisho mwema wa maishayetu
@user-qr7et3vl5z28 күн бұрын
Acha ujinga ww huyu Ni rasi was kila mtu muislamu mkiristo asie na dini wanamuziki waigizaji nakula mtu anahaki kwabhuyu mama
@DenisKoi-gs4rp29 күн бұрын
Huyu ndo Rais huyu
@kelchas_music_store29 күн бұрын
Mungu atubaliki
@user-mc4bk9uz1i29 күн бұрын
Yaani kuzindua albam mpaka raisi
@Brunn-mh2bq29 күн бұрын
Ulitaka nani awepo. Katibu kata au?😊
@TamuzaKale29 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq Ha ha ha... sasa ndo umjibu hivyo? hehehe
@yordanyona123429 күн бұрын
huu ujinga bandarini upambavu unaendelea mama anaendelea kupita kwenye mipasho ya wasanii na kwenda ulaya... hii nchi Rais aingie kwenye ukaguzi ...
@dorcaskidoti24928 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq😂😂😂mbona katibu kkata ebu heshimu vyeo vya watu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@priscamrekoni345128 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq😂😂😂😂😂
@innocentkanyata992328 күн бұрын
Asante mama kwa kujali mamb ya kijamii.. Najua una majukum mengi lakini umetoa mda wako.
@judithgodfrey650329 күн бұрын
Mh raisi mimi sina jina wala sina jinsi yotote ya wewe kunifahamu. Ila nina jambo la kuigwa na wengine. Unapowakumbuka wengine wenye majina na connection kama hutajali unione na mimi. Asante🙏
@DavisEnglishTv29 күн бұрын
Mama na mimi hapa ni msanii naimba Singeli, next montn nitazindua album yangu..Nilitaka nikuulize Mama vp utakuja? Usipokuja utakuwa umezingua sana. Ila jamani mama sami enzi zake alikuwa bonge la pisi. Kama hapo tuu hiv amependeza kinoma je wakat wake alikuwaje? Wongo zambi our president is so beautiful. Tumpe 🎉🎉 yake
@user-qo7ks7dy2s28 күн бұрын
Kwann uanzee na rayvanny jamani😂😂😂😂
@p.kasongot97928 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ nampenda uyu mama jamani 🙏🙏❤️
@RajaaRajaa-id5wx28 күн бұрын
Huyu mama hafai kuakiongoz wanch jamn
@deusgulamiwa748928 күн бұрын
Rais mwema na mwenye upendo👏
@ndukulusudikucho_28 күн бұрын
Bora umeenda kusikiliza Konde gang kuliko kuwa Ikulu ya Marekani kipindi hichi cha vita, sellout na puppet wote hujulikana kipindi cha vita, tuko pamoja SSH na ubarikiwe
@ibramayno844728 күн бұрын
Sijui hata nataka niongee nini wallah
@AbubakariKisuju29 күн бұрын
Rip magufuli
@AlexMbijima29 күн бұрын
Where album
@mangareentertainment.29 күн бұрын
We Acha tuu, yaani uzinduzi wa albamu ila nyimbo, zinaimbwa za zamani, daaaah,
@HamadaZubeirTahir27 күн бұрын
Jamani naomba naombaaa nataka nionane na mama jamani mamaangu Mh Samia
@ibraagwanda468328 күн бұрын
Kazi ipo
@HamadaZubeirTahir27 күн бұрын
Mwanao mama nataka nionane na wewe mamaaa
@mozejcs916028 күн бұрын
Huyu mama jamani miaka aliyokaa inamtosha! Hapa hamna kiongozi
@andrewdukho879528 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@user-fy3cf1ri8m29 күн бұрын
Naombeni like zenu wakuu🎉
@solomonadams633729 күн бұрын
don't give up,never give up
@hamisndusu362528 күн бұрын
Nyie mnaponda kosa liko wap rais anaishi ndani ya jamii samtime lazima ajichanye na mambo ya kijamii.
@gaudencemhagama721628 күн бұрын
sasa hiki ni nini mbona kwenye mambo ya msingi huonekani na kutoa neno la msingi lakini kwenye haya mambo ya duniani unaongea vzr sana tunahitaji maisha bora sio siasa hizo
Ukisema hivyo maisha ni magumu kwako hii nchi watu wana maisha mazuri ni wachoyo
@OmmyJames-xn7ji28 күн бұрын
MAGU ALISEMA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢
@fdizzo29 күн бұрын
Yaani uyu Rais watanzania tumepigwa kwakweli hakuna kitu apa
@awadhsalim268029 күн бұрын
Utakufa na roho mbaya yako. Ss tunaupiga mwingi
@yordanyona123429 күн бұрын
kwenye musiki na ulaya...zima data tu
@GibsonNtamamilo28 күн бұрын
Hamia nchi nyingine ziko wazi, uende hata hapo Burundi tu.
@OmmyJames-xn7ji28 күн бұрын
Usijali DR SLAA ATAKUWA RAISI 2060 😢😢😢😢😢
@user-gr9px4pi2w28 күн бұрын
Ongera sana mh, Rais upo vizuri sana .
@yordanyona123429 күн бұрын
mtaalamu wa sanaa
@JunokizzyTz-ph2ck29 күн бұрын
Hakika huyu ni Mama wataifa
@JunokizzyTz-ph2ck29 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@AbubakariKisuju29 күн бұрын
Hii nchi yetu inaelekea wapi?yaani rais wa nchi"anazindua album na waziri muhusika yupo!
@user-qr7et3vl5z28 күн бұрын
Kwani Kuna ubaya gani mamako kumletea chakula mkeoo na wakati wewe upo
@zakazakazi-fn6zy28 күн бұрын
Hakuna raisi hapa mm nionavyo
@AbubakariKisuju29 күн бұрын
Allahuakbar x100
@ibraagwanda468328 күн бұрын
Too low
@PatrickMwamba28928 күн бұрын
Harmonize na Jini lake la Mzee Popo ameamua kua mchawi...kuroga youtube accounts za Wasanii wa WCB..AIBU Tanzania 🇹🇿 😅😅😅😅😅😅😅
@yasiniSwedi-qg5oc28 күн бұрын
Jpm alifanya mikutano ya kuzindua miladi sasa hzi hanasa znazofanya sasa nahuyu mama zandani ya nchi nanje daa nashindwa nianzie wapi mungu iangalie tz aaaaaaaaaaaaaaMin
@HildaAkili-wt3sd27 күн бұрын
Kwan raisi anakazi gan kwenye nchi ?inamaana raisi ni WA mirad tu huku hausiki achen hzo bhana🤣🤣🤣
@NasraMazoya-ot2cw29 күн бұрын
Nice
@winnesakara695728 күн бұрын
❤
@PembeseHerman26 күн бұрын
Hahhahahahahaaaaaaaaa, mamaaaaaaaa!! Kazi iendereee
@joelkampaine4316 күн бұрын
Super woman♥️
@NassorEL-jahadhmy26 күн бұрын
Mama na Sisi madereva wa malori hebu tunaomba huruma zako utuzungumzie km unavyowazubgumzia wasanii wa muziki na Sisi tunamoyo tunaumia tunadhoofika tunateseka tunakufa na masumu lakini pia ndio sababu serekali kukusanya mapato
@abubakarali636329 күн бұрын
Umeuza bandari usijizime data,
@ramaspain502428 күн бұрын
Unajua unachokisema?
@user-qr7et3vl5z28 күн бұрын
Acha kukejeli rasi sisi tunampenda kumuheshimu na ktakia kazi njema
@abubakarali636328 күн бұрын
Tusipangiane chakusema, na mapenzi hayalazimishwi, kama mnampenda ni nyinyi usilazimishe unachopenda ww wengine wakipende, urais ni taasisi na si mtu, kama mkataba wa bandari ni mzuri na hao dp world kwa nn usipelekwe na bandari za Zanzibar? Ongezeko la kutoa kontena bandarini unajua linaathiri vipi maisha ya mwananchi wa Hali ya chini? Usichojua mfanyabiashara haumii popote yy ni mkusanyaji wa kodi kwa niaba ya serikali atakachofanya ni kuongeza tu fedha kwenye bei na atakaebeba huo msalaba ni sisi wananchi wa Hali ya chini, hivyo mkimpenda mpendeni na wanaomchukia pia acha wamchukie
@LESLABOY28 күн бұрын
Never🎉🎉
@ImanSaid-ox3po28 күн бұрын
Aliye ongonzwa na Allah hakuna wakumpoteza na ALIYE POTEZWA HAKUNA WA KUMUONGOZA. TUNAMUOMBA ALLAH ATUTHIBITISHE KTK DINI, NA ASITUFANYE KAMA ALIVYO MFANYA MTU FULANI ALIKUWA NA MUONEKANO MZURI KTK DINI MARA AKAPOLOMOKA KABISA.
@ponsianomnyaru914029 күн бұрын
Nenda na ww ukaimbe taarabu na kina adijakopa Ili tukusifiye
@ponsianomnyaru914029 күн бұрын
Mama Ile royal tour vp Sasa HIV hutaki kujgeuza rambo