Konde boy anabonge la laana kutoka kwa babake simba. Ni mchawi ama chizi ndiye anaweza mdharau mtu Allah amekutumia kwa iyi dunia kukupigania na kubadilisha maisha yako. Konde anaweza Fanya kubwa zaidi ya comasava na akuwe ndie msani wa tz mukubwa ila adi amalize na diamond awachane na mashabiki na kulewa umahurufu
@EdwinJohn-vo8uf2 ай бұрын
Diamond platnamz huu mwaka ni wake🎉❤
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign2 ай бұрын
Vraiment Diamond platnumz courage pour les œuvres déjà fait comment ça va nous fait souvent dancé chez nous au Congo RDC précisément à Kinshasa 🇨🇩
@john_1trader2 ай бұрын
Hiyo ya diamond kushindwa kumiliki kli kama komasava ni uongo..diamond amekuwa mtu pekee anaeweka marekodi na kuyavunja kutoka african beuty,shuu,time tu party,wah,leo komasava na hivi karubi ashaa jua wanataka nini sasa.mtauskia mgururu wa mwaba aliengatuka kwenye mtego
@ImaniMsafi2 ай бұрын
Kwl Kaka diamond platnumz anatuwakirisha
@bariouskisu26322 ай бұрын
Unasema ukweli bro , huuu ni ushauri mzuri sana , naongea nikiwa Sweden 🇸🇪 ....mzigo wa Koma sava wa machine ya mziki @diamond_platnumz unasumbuwa hanga hizi . Tunamsii sana afanye hit 2 kama hizi awe na consistency na level moja kama ya wakina Davido , wizkid , Rema , Fally ....naamini piya O2 Arena mapema sana tunajaza december....Amini hiyo.
@AminaAbdullah-ws3wy2 ай бұрын
, your absolutely right 👍. I really enjoy watching you. You always have excellent advice
@tumainiinnocent83352 ай бұрын
100% Bro nimeyipenda hiyo fact yako 🔥🔥🔥🔥
@ZawadiRobati2 ай бұрын
Kweli kaka
@ramayonline22812 ай бұрын
True say 👏
@gabrielpatrick43512 ай бұрын
Kaka sio mbali soon tunazaja pale London
@JaydenJohn-x5nАй бұрын
🙏 diamond he is good artist
@MosesMzungu-v9j2 ай бұрын
Kondeeee boyyy yuko wappp jamaaaa
@EdmondNyirenda2 ай бұрын
Fact bro🔥🦁
@MansourKalokola2 ай бұрын
Kwa diamond fikiria tena huyu mwamba aliposema anaujua huu music alikuwa anamaanisha sitashangaa baada ya komasava akaja na hit kubwa tukaisahahu komasava diamind he’s blessed
@ISSACCECYTIN2 ай бұрын
Ndiiiiooo
@Vivannykizzy2 ай бұрын
Bhana nyie mulikuwa munasema kuwa hatotoa hit nyingine toka alipoimba jeje
@nishaabdula50152 ай бұрын
Kwel kbs na ata alipoyowa waa walisema ivi ivi nakeo komasava wnasema ivi ivi
@EdgaralbetoEdgr2 ай бұрын
Kalib wasafa kaka unajua sana
@JacksonFredrick-u3z2 ай бұрын
Mr kusisitiza 😂😂😂 haya
@MpembaHalisi2 ай бұрын
Mi nasema asiempenda diamond atafanya vidonda vya tumbo bure huyu jamaa anajua bwana
@HeriRamadhan-q7m2 ай бұрын
El madro unaongeaga fact bro.
@ElísioMadimba2 ай бұрын
Kkkkk O2 arena kujaza sio unavio fikiria kaka
@Myouwj2 ай бұрын
🔥🔥
@verbalverbal20192 ай бұрын
*ConsistenT
@HitimanaAbdillah2 ай бұрын
Simba anajua bro
@nishaabdula50152 ай бұрын
Hp kwa mnykyusa hp ndo utilie mkazo mana ss ibi anajifanya kuvimba eti yy ndo kafanya makubwa ktk u mziki yn ht mondi ampati mbwa yule alikiwa km mkata mkaa
@BarakaDaudi-x3d2 ай бұрын
Ww sikia af saiv 2tacha kukufatilia mshamba ww mondi anaweka lekod na anavunjaa âcha kujifanya kila k2 unajua
@HerokuPlatform2 ай бұрын
Mimi ata sikuping kaka unachotabiri vitu Mara nyingi huwa vinatokea tuta Jaza 02 arena mwakani🙏
@zanzibarboyzanzibar5092 ай бұрын
Show ya Spain ilikua Afro Branch
@emariusrush77042 ай бұрын
Afro branch Harafu msanii diamond pekee???
@nishaabdula50152 ай бұрын
Km. Aivyo towaga waa ikamsumbuwa kupata et
@kasereka-vy3mw2 ай бұрын
ray awekeze sionyimbo ajifunze kutokeya mond wambo moja unaweka matayifa ine kama yamoto bend
@AugustinMuswabantu2 ай бұрын
Sasa mnaitaja inasumbua Duniani mbona vituo vikubwa avipigi huu wimbo
@Ibrahim-ne3in2 ай бұрын
Tumewachoka na nyie
@AmisiIddi-w7d2 ай бұрын
Wa kwanz nipeni like zangu please
@BahatiPascal-t6i2 ай бұрын
Acha ushamba 😂
@mrenobishoo11182 ай бұрын
Hakuna msani wa bongo atakaye kuja kujaza 02 Arena labda baada ya miaka 20
@spjr83812 ай бұрын
ww kama nani xaxa?
@mbezzoprince94622 ай бұрын
Panajazwa na Simba tena baada ya miezi kadhaa ata sio mwaka tunza hii comment mbwa wew
@johnmwasilu70872 ай бұрын
Marioo
@JohnVicenti2 ай бұрын
Tuombe uzima na kaul yako usiije ikataaa
@ramayonline22812 ай бұрын
Nmejkuta nakucheka kwa dharau 😂😂😂😂
@mnyampaa_kisasa2 ай бұрын
Sasa ajichanganye aende 02 arena ndio atajua hajui atajaza wafanyakaz wake tu wa wasfi media😂😂
@DouglasMassop2 ай бұрын
Chuki
@priscahkerubo69172 ай бұрын
You are diamond's fun, when Harmonize deed well you didnt congratulate him, but am kenyan thoo.
@DouglasMassop2 ай бұрын
Harmonize ni mtoto wa diamond kimuziki. Sasa wew unatak mtoto amzidi baba? Tulia wew😂
@VitusEmmanuel-pe3yi2 ай бұрын
Acha uxhamba ww mond Hana maajabu sema Nini anabebwa na collabo
@sulleymernmannarah79302 ай бұрын
Korosho unafnya nn huku
@priscahkerubo69172 ай бұрын
Wewe huna fareness, unapendelea sana diamond wako, lakini unamponda sana Harmo, wacha kumupakua mwenzenu bwana.
@RamamambosuperRama2 ай бұрын
Sasa baba mbona mwambino hayimbi solo artist ayimbe yemweye
@bariouskisu26322 ай бұрын
Kaimbe na baba yako na wewe ...😂😂😂😂😂.. Ni mangoma mengi aliimba kama artist solo , kwa mfano Jeje, Ntampata wapi , sikomi , Baba lao , Baila , lala salama , Zuwena , Yatapita ziko nyingi sana bro....Sasa acheni wivu , Mondi yuko ki biashara wewe nyoko
@john_1trader2 ай бұрын
Bro mziki hauujui kaka dalaja kwanza lazima ijengwe ili magari makubwa kwa madogo na hata wavuka mguu iwasaidie kwanza tujulikane vyema kisa kuyaangushe wenyewe
@rashidingole15882 ай бұрын
Kaimbe ww
@nishaabdula50152 ай бұрын
Kaimbe ww mbwa ww kuna msani gn anaefanya shoo anaimba pekrake bila kueka ngoma jwa dj
@mbezzoprince94622 ай бұрын
Hao wasanii wote unaowajua wew kua niwakubwa huko Naijeria nyimbo zao zilizotoboa zote ni kolabo
@NicholausKalolo2 ай бұрын
wewe jamaaa sikuelwagi kabisa mara kimataifa harmo mara ray mara mond fala na chaneli yako kimaaaaaa wewe