TAZAMA MKUU wa MKOA wa Dar Es Salaam Alivyowatuliza MACHINGA wa SIMU 2000 walioanzisha MGOMO

  Рет қаралды 19,041

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 60
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo 2 ай бұрын
RC hongerasana munguakubariki namuomba ALLAAH akupeumrimrefu nahekmazaidi nakherinyingi
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 2 ай бұрын
Machinga Wa Mawasiliano Mna Wasemaj Wazuri Hongereni Mkuu Wa Mkoa Heshima Kwako..🙏🙏🙏
@worldinfoswahili
@worldinfoswahili 3 ай бұрын
Likes za kutoshaaaa kwa jamaa aliyeongea mwanzo. Ametisha sanaaa. Wananchi wana uelewa sana. Hakuna vurugu, ni hoja tu!
@dizzboss7526
@dizzboss7526 3 ай бұрын
Yaani wanawazidi mpk walioajiriwa serikalini
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
​@@dizzboss7526yupo vizuri hadi raha aiseee,huyo utakuta ana degree yake na yupo MITAANI,bora hata ndo angekuwa mkuu WA wilaya aise.🙏🙏🙏
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
kwa kweli
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa mungu akuweke
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 ай бұрын
Mkuu wa mkoa 🔥🔥🔥🔥
@section8ight174
@section8ight174 3 ай бұрын
Love Tanzania, we don’t run around aimlessly destroying our own properties like Kenyans for weeks on end. We’ve got an issue, we convene a meeting immediately with the relevant authorities, air our grievances in public & have it resolved one way or the other. We are responsible & busy people!! Viva The MIGHTY Dar es salaam 🇹🇿
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 2 ай бұрын
Poor eduacton you dont now where you from.nor you go
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
@@godfreymushi6966 could you repeat that, in English this time 🙄
@MbatiaZakaria-ti5kt
@MbatiaZakaria-ti5kt 2 ай бұрын
Hiyo ni siasa TU lazima wataondolewa kinyemera nchi yetu bado sana siasa Bado
@gibsonsimburya5291
@gibsonsimburya5291 2 ай бұрын
Umi sawa sana bro
@adamsonmwasumbi4201
@adamsonmwasumbi4201 3 ай бұрын
Daaa kuna hao wanao itikia mkuu akiongea😂😂😂🙌
@dizzboss7526
@dizzboss7526 3 ай бұрын
Ni zaidi ya GEN Z hao sema tu kuna siku kitalipuka
@JumaMukhtar
@JumaMukhtar 3 ай бұрын
Mjiandae na janga la moto hapo figisu zishaanza😢
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 ай бұрын
Umesema kweli kabisa RC
@alfredbyangwamu9821
@alfredbyangwamu9821 2 ай бұрын
Hapa Mkuu wa Mkoa umenena!!! Kama mtawasaidia wafanya Biashara kwa jinsi hii waangaikaji! Ni vema!!!
@Mwachuomo
@Mwachuomo 2 ай бұрын
Safi sana mkuu wamkoa
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 3 ай бұрын
Hii ndiyo maana ya elimu
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 2 ай бұрын
Mmmmmmm kwaherini
@HamisLeo
@HamisLeo 3 ай бұрын
Serikali inaweza jenga soko km pale mbagara baada ya wiki akabomoa ikajenga standi . Hvyo srkl huwa haina hasara.
@joshuamwalusambo2391
@joshuamwalusambo2391 2 ай бұрын
Shida tunawasomi wengi ambaao hawajaelimika, hawajui kabisa maisha halisi ya wanaowaongoza
@jonasjonas8111
@jonasjonas8111 2 ай бұрын
Mkuu wa wilaya hana kosa kabisa, yeye alichofanya ni kutimiza alichoagizwa na mkuu wake na mkoa
@mussabendera1751
@mussabendera1751 2 ай бұрын
Mussa huyu ni mwanaharakati Tangu akiwa IFM.
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 ай бұрын
Yaani wananchi ni waelewa sana ni hoja kwa hoja hakuna vurugu wala kuchoma Mali za uma na za binafsi
@BossiLaizer
@BossiLaizer 2 ай бұрын
Mwanzo mzuri , itafika wakat uwelewa itachanganya afu tutajua mbeleni
@youngtone4333
@youngtone4333 2 ай бұрын
Hivi hilo ni shati la kitenge au silioni vizuri
@koladjulius9945
@koladjulius9945 2 ай бұрын
Umeanza kuzingua😂
@rizikiminga3010
@rizikiminga3010 2 ай бұрын
​@@koladjulius9945😂😂😂 ni kanga basi
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 2 ай бұрын
Moto utawaka apo soon tuu mpk muhame
@richkaja3317
@richkaja3317 2 ай бұрын
Chalamila anajua sanaa sema viongozi wa chini ndo jauu sanaa
@allykota8355
@allykota8355 2 ай бұрын
Uyo mkuu wa Mkoa mwenyewe simkubali
@HappyBabyOctopus-es2iy
@HappyBabyOctopus-es2iy 2 ай бұрын
Wivu tyu
@gracerichard8145
@gracerichard8145 2 ай бұрын
Yan alieongea mwanzo kanikosha ingekua makonda angekupandisha cheo🎉🎉
@robertedward1992
@robertedward1992 2 ай бұрын
Kama hawezikuwatatulia matatizo Yao,ila hafai.
@PeterNyanda-xe3gd
@PeterNyanda-xe3gd 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa nakukubali wa dar nakukubali
@annesmatemu4264
@annesmatemu4264 2 ай бұрын
Viongozi wenu wanaweza kujielezea kweli nawapa bgp
@Halidmohamed-n1d
@Halidmohamed-n1d 2 ай бұрын
Mama wakuu wa wilaya kama ao wanamualibia mama
@ShaibuMniwa
@ShaibuMniwa 2 ай бұрын
Mh mr chalamila liangaliye Na rakaliAa koo leo raiya Wanakahaa juwani wametol ewa miavulii yote lipanie Naili chalamila
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 2 ай бұрын
Jiji halina mipango. Kila mkuu ana mipango mfukoni ndiyo chanzo cha migongano
@JmMsukuma-c8l
@JmMsukuma-c8l 2 ай бұрын
Siasa tu ubabe utatumika kuondolewa hii nchi bwana
@hamismwangwale563
@hamismwangwale563 2 ай бұрын
Unapendwa kweli
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 3 ай бұрын
alitaka kuwabadilikia mka wahi na kelele,alipoaanza kumsifia mkuu wa wilaya,hii ndio bongo bhana hapo mtaondoka tu,
@RobinsonKilango
@RobinsonKilango 2 ай бұрын
Waende jangwani walipo iba fedha za benk ya dunia wakajenga njia ya. Maji waliwafukuza watu jangwani hii nchi yaajabu sana hawa sio viongozi wameuza standi ya mkoa. Sasa wana weweseka na ishu ya viwanja datt kuna mpango wa ruswa hii pran yao ni yao hakuwa kwenye fizibirite stad. Wao wana kurupuka. tu
@abdulyamiri3546
@abdulyamiri3546 2 ай бұрын
huyo jmaa wa mwnzo an point mnooo
@KisaMax
@KisaMax 3 ай бұрын
Wanaamixhwa aoo
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza 2 ай бұрын
h
@GaradiGaradi-zq1wf
@GaradiGaradi-zq1wf 2 ай бұрын
Mwaka huu watawaacha ili mchague mwakani mnahama
@gibsonsimburya5291
@gibsonsimburya5291 2 ай бұрын
Chalamila wee noma sanaaaa
@HenryReuben-w5m
@HenryReuben-w5m 2 ай бұрын
❤❤❤😂❤
@frankraphael7546
@frankraphael7546 2 ай бұрын
Mkuu wawilaya Bado nikijana lakni kachoka mbona au anaumwa
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 2 ай бұрын
Atakuwa Mlev😂😂😂
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 2 ай бұрын
Anajua haki ikowapi anatakiwa achukue maamuzi magumu malalamiko ya haki
@AlexSambai
@AlexSambai 2 ай бұрын
Faken
@yassinrajabu6511
@yassinrajabu6511 2 ай бұрын
fukuza hao wakalime 😂😂😂
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 2 ай бұрын
Acha Uchoko Unawashwa?
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 3 ай бұрын
Sasa kwann walimzomea mkuu wa wilaya?
@seifmohamed8725
@seifmohamed8725 3 ай бұрын
Chalamila una busara kijana
@MohamediOmari-nz4vv
@MohamediOmari-nz4vv 2 ай бұрын
Pale magufuli stand kuna eneo kubwa tu siwapeleke kule
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Topten Tv
Рет қаралды 119 М.
Nay wa mitego Akiwa mpanda katavi frank tv 2024
0:53
DIRECTOR FRANK PICTURE
Рет қаралды 30 М.
Vyumba Vimejaa part 1 (KING MAJUTO)
1:20:00
atimuabda
Рет қаралды 1,1 МЛН
路飞万万没有想到#海贼王 #路飞
0:10
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 6 МЛН
Save the duck!!🥹🥳#nico #smartnico #funny #cute #pets
0:11
Nico_thepomeranian
Рет қаралды 38 МЛН
Ее Интуиция Спасла Ее 😱
0:20
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
Худший командир на свете!😂
0:24
FilmBytes
Рет қаралды 6 МЛН
DAD REVEALS MY MAGIC TRICKS 😱🤣
0:37
Milaad K
Рет қаралды 124 МЛН