Hii ni interview tuliyofanya na Godzilla January 17, 2019. Rest Easy Zilla
Пікірлер: 247
@isayangwahi92515 жыл бұрын
"labda maneno yangu wataelewa siku nikifa mi ni mfalme labda nahitaji queen strong ka latifa... machozi mashavuni pass a tissue...muda mwingine nachoka natamani ku run away natambua hawana mabawa so i gotta...STAY" REST EAZY KING #ZIZI 😭😭😭
@mic-keymichael66305 жыл бұрын
Isaya Ngwahi deep
@benardmwaibabile7762 жыл бұрын
Mtaan kuna sister duh ana bwana na mapene pia handsome tu
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Du pole sana sky polen watz wote mungu ailaze mahali pema pepon roho ya marehem king zilla
@idrisasalum80135 жыл бұрын
Usi subir ufe uombewe dua mtandaoni nduguzanguni kama amalizako mbovu dua hazita kusaidia tujitahid kufanya ibada ndio lengo tulioletewa hapa duniani
@Aaa-nh7gw5 жыл бұрын
Kabisaa my
@zaynsalma34665 жыл бұрын
Hakuna kitu nilichokuw nikkipenda na kukuangalia san ten san Kama Hilo jino lako lililokatik kipande 😭😭😭pumzik salam #Zilla# weeee Tutakukumbuk Daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@jacklinekatandula65345 жыл бұрын
Niliambiwagwa kuna cku 40 before kufa ya kumjua matendo ya marehemu mtarajiwa yy peke yake ndio anajua ilo na anahic lkn mdm haufunguki anakuwa muoga mpole uso unainama aibu akuangaliii moja kwa moja anakwepesha macho huyu jamaa alipoteza tyr nuru uson
@yusufumbwene89495 жыл бұрын
To be sincere, ,,,,this Zilla was a genius of freestyle maana hata Nikki hapa katagishwa . See you in a heaven broo!
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Eeh M'Mungu binaadam si chochote, Hakika kwako 2tarejea..
@ikopoaprospa99295 жыл бұрын
Pumzika kwa aman tutakumisi
@nasramnyambo96515 жыл бұрын
duh jaman kilanafs itaonja maut ka ndoto vile
@diamondplatnumznewsajm20535 жыл бұрын
REST IN PARADISE #GODZILLA May your Soul Rest in Peace 😥😥😥🙏
@diamondplatnumznewsajm20535 жыл бұрын
Tumempoteza Shujaa wa Rap
@fettamidu25035 жыл бұрын
R I p
@shedrackmussa59035 жыл бұрын
kwel d
@godfreymushi51255 жыл бұрын
Mbele yake Nyuma yetu
@zakariangese38265 жыл бұрын
@@diamondplatnumznewsajm2053 bro, na wewe nenda kimala b, kwa Bishop Paul BENDERA yule ni mwisho kk, mimi yule Bishop ndie alinisaidia acha kuishi kwa mateso na mashariti kibao, kwani hukuumbwa na shetani bali uliumbwa na Mungu, yule mzee atakutenga na free national, tena nendeni na lebo yako yote kk, ucijekuwa kama kanumba, maisha ni mafupi tena yenye laha sn, ila kilio chake bro, ciku ukikata, ndio utaona, nakupenda kaka nasibu ndio maana nimeamua kukuandikia na kukushauli ila ukiona vip potezea, ila one day itaukumbuka hii sms yangu poul Bendera yule ni mtumishi wa Mungu hata mimi kaniepusha bila chenga na jamaaa wakakata kabisa kuni fatilia, nasema hivo bro, kwani nawajua vizul ila kwa yule mtumishi ni moto bro, na wala cio utani na cijawai kukuandikia mahara, nakupenda na ndio maana nimeona ikupendeze kk nasibu
@rashidyrashidy39235 жыл бұрын
True....Give my roses when I'm still alive, tell me how much you love me now that I'm alive....Don't wait till i die and start saying how much u love me
@salmaothman1535 жыл бұрын
Tuishi kwa upendo duniani binadam tuko kama ua halikawii kudondoka 😢😢😢😢😢inalilah wainalilah rajium 🙏🙏🙏🙏
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Ana tungo za hapo na hapo. bila kupepesa..Allah akurehemu
@b12chomolla625 жыл бұрын
*Kiukweli nilipooiona taarifa ya kifo cha GODZILLA niliumia mnoo jamaa way back nikiwa shule nikizipenda kazi zake za mziki Mungu akuangazie mwanga wa milele ameni*
@baeastkephajr44295 жыл бұрын
Aisee yan jamaa kanigusa mpka moyon R.I.P king wa salasala
@claudialupimo44685 жыл бұрын
Alikua mcheshi.. Dah,udongo huu.. Mungu tuhurumie,alikua kijana bado,nguvu ya taifa
@kadejahoe65435 жыл бұрын
Mauti ni mlango bloo kila mmoja atapita kwa muda wake ukifika haigarishi una umri ganii
@claudialupimo44685 жыл бұрын
Mii sio bro
@kadejahoe65435 жыл бұрын
@@claudialupimo4468 oky claudia sorry nikajua mwaumee
@ashamreu18195 жыл бұрын
Ishi ulaumiwe kufa usifiwe
@sharifaabdullah68255 жыл бұрын
Yaallah tujalie mwisho mwema
@raymondkazungu62615 жыл бұрын
kusema kwel Nik humuez Godzilla kwa kuchana we ata unaanza kufikiria mwenzao anatiriria kama maji mtoni R.I.P KING GODZILL
@yasirdahasra31865 жыл бұрын
Raymond Kazungu Unazungumzia freestyle au Kuandika?? be specific Nikki sio mtu wa mchezo mchezo kama unavofikiria
@timothmwakakusyu45635 жыл бұрын
Raymond Kazungu sio kwasababu kafa ndo tumpe sifa. zila mkali Ila niki kichwa kingine balaa huyo ni real hardcore mc
@yasirdahasra31865 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu Aise ni bora Umwambie huyo mdau nazani current situation ndio inamfanya aseme hivo sidhani kama ana uhakika na ushahidi kutoka moyoni kuwa Zila alikua bora kuliko Nikki all in all R. I. P Godzilla umetutoka jembe kwenye tasnia ya Hip Hop na bongo Fleva kiujumla
@timothmwakakusyu45635 жыл бұрын
Yasir Emcee ukweli haufichiki mkuu, maana mi mwnyw nawakubali wote ila niki hayumbishwi na commercial kabaki na msingi wa ueMC kwa muda mrefu mpaka sasa. kama ni marekani basi niki ningemfananisha na nas escoba katika misingi ya kihiphop
@yasirdahasra31865 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu na hicho ndio kitu pekee kinachomtofautisha Nikki na wasanii wengine Kwakweli yupo kwenye misingi Sana na katika uandishi kwa sasa ndio sioni kabisa Kwakweli ukiacha kizazi cha wakina Hashim dogo na wakina Saigon kwa sasa bhana Nikki sitokosea nikisema ndio rapper bora wa muda wote kikubwa kwamba Wenda wapo wengi bora rakini Nikki hayumbishwi na mainstream kama plastic Mcz wengine tunaowaona
@4a9tr-msigwa5 жыл бұрын
R.I.P #ZILLA THOSE GUYS WALIKUWA CHARMING SANA
@hyasintakundy3695 жыл бұрын
He was strong man hata hapo anaonekana hakua sawa but alikua anajikaza na kujitahidi kuonyesha furaha daah maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni mafupi tupendane rest in peace zilla see you again
@wemakalam94155 жыл бұрын
Duuu mweenyezi mungu atujalie mwisho mwema yarrab.🙏 🙏 🙏 allahuma ammeen
@elizasingano84825 жыл бұрын
Poleni sana mama muzazi kiukweli inauma sana kipezi wetu
@gb-one64355 жыл бұрын
R. I. P bro nilikua naku kubali sana kitambo nilikua nashawishika sana kuwa mzee wa freestyle kama ww Pumzika kwa amani brother 😭😭
@berthalutifrid5155 жыл бұрын
GB- One
@gb-one64355 жыл бұрын
Yes Betha
@fallymetoo1915 жыл бұрын
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun
@aminaabdallah36445 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti bro Ameen 🙏🏿
@streetkidonline47775 жыл бұрын
Dah huyu jamaa alikuwa na plan kubwa sana juu ya Hip Hop Music... Jamaa alikuwa mcheshi sana yan. Dah #NikkiWaPili yuko too stressed,dah Godzilla.... Jamaa alikuwa anajua sana but walimbania kinoma yan
@hildaedson70545 жыл бұрын
I loved this guy.rest easy KING
@DennyMathematic5 жыл бұрын
Duuuh shikamoo pombe....shikamoo bangi...shikamoo hip hop 🙌
@officialsquizy Жыл бұрын
daaaah kizaz saana 2023 sa hii
@Bigboy-nx3nc5 жыл бұрын
R. I. P the best freestyler in East Africa
@ashab25375 жыл бұрын
Usoni aonysha kama alikuwa aumwa, jamaniii poleni sana
@janesuma21935 жыл бұрын
Asha b hata mim nimeona hakua mzima uyu kaka aonyesha kabisa akua mzima
@nurathabduly4355 жыл бұрын
Uso unaonesha umejaa itakuwa ugonjwa ulikuwa unamtafuna uku anatembea jaman
@janesuma21935 жыл бұрын
Nurath Abduly kabisa kabisa bt nazani alikua anajua anaumwa sema ndio kuvumilia tu nakutafuta maisha
@fredmankaingu41725 жыл бұрын
Apo kweli hakua mia mia
@nurathabduly4355 жыл бұрын
Jane suma wote umaskini uhu jaman na tukizingatia maneno ya wahenga #MASKINI_AUGUI mtu unajituma mpaka dakika ya mwisho r.i.p goden Jacob mbunda mbele yako nyuma yetu. Allahmdulilaih allah atupe mwisho mwema in shaa allah
@royemceewamichano53425 жыл бұрын
Zizi mic you master kng zz
@jescamakyao94655 жыл бұрын
Kwa kweli kifo ni kibaya Sana hakina huruma kabisa.
@mdsaid45625 жыл бұрын
Nikki mbish na zilla walikuw ma Best freinds
@smartmussadozen35355 жыл бұрын
R.I.P Zilla mlikuwa mnazinguana fresh sana
@fatmaramadan9955 жыл бұрын
Diamond mrudie baba yk unaona wenzako wanavyokufa ipo.siku utajutia
@mohagyaruben91935 жыл бұрын
we umeisha mrudia au unajiona wee mkamilifu kuliko wenzako
@nellymatalanga50335 жыл бұрын
Walazimisha wenzako kuishi utakavyo .do you know what people go through with their families ndio wafike kutowaongelesha, wachekesha sana if u got two parents walikulea vizuri shukuru n mind ur own biz pambana na hali yako. Sasa chanzo chake kufa ilikuwa baba???
@latifaabdulla14295 жыл бұрын
R,I,P mungu akupe kauli thabiti
@shedrack01ilomo68 Жыл бұрын
Zillah hapo , alisha anza kuona njia ya akhera
@mussaagrey56795 жыл бұрын
ndo hivyo 🙏
@zaharaaliy66585 жыл бұрын
Nakumbuka had my brother anaitwa God but akamalizia Godzilla Kwa jili yako mungu akupokee Kwa khery
@lujobilz74825 жыл бұрын
Da nimeumia sana fleva za huyu jamaa paradise wata enjoy kibabe
@johnsonmichael7888 Жыл бұрын
Pumzika mwamba 🙏
@munaahmed84995 жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajiun Allah akupe kauli thabiti mbele yake amina yarabi allamina
@princehancesam98925 жыл бұрын
daaah mmeandika historia
@francisndillah84095 жыл бұрын
R.I.P Zilla u live with us....!!!!
@lujobilz74825 жыл бұрын
Ulimwengu huu zila mimi nipo na wewe sababu sikuwahi kuwa pamoja na wewe paradise pia nikija nahisi itakuwa hivi show zaidi ya huko zaidi ya huku
@b.k.ymusic555 жыл бұрын
Dah siamin kabsa
@neema_mollel5 жыл бұрын
We are savaiva We pass like a shadow Rip Nigga
@ezeckielobed44295 жыл бұрын
Rip king zillah
@AminaAmina-ul3cp5 жыл бұрын
Nashindwa hata niandike nini jamani mungu wangu weeee 😅😅😅
@zaharadaffa68515 жыл бұрын
Rest in peace Zilla
@themanwithnoname58245 жыл бұрын
Nataka kabuli langu liwekatikati ya ngwea na Zizi.. Nile freestyle kwa pepo
@davidamukowa24285 жыл бұрын
😂😂😂itatimia
@kassimrajabu78055 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@lujobilz74825 жыл бұрын
God zila amezila kunipokea under ground music niliwaza kumfikia sasa nasikia hivyo sawa nitamfukuzia pia nikienda paradise
@msatibongonyuzi145 жыл бұрын
Kila wakati mungu ni mwema
@magangakayola41755 жыл бұрын
Am gangster ninja am solder daah inauma sna MUNGU akulaze mahala pema peponi kingzillah wasalasala.
@rahmakhassani41485 жыл бұрын
Yani kama.si alikufa yani daaah
@swalhaprettyswalha71545 жыл бұрын
Jamani tuishini kwakupendana kwani duniani nikama mapito2 inalilahi winalihi rajiuni mungu katoa na mungu katwaa
@jescamakyao94655 жыл бұрын
kwa kweli hatuna namba ya kukimbia kifo tusubiri tu kwa uvumilivu mpaka hapo mungu atakapoondoa kifo milele.
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi
@faudhiaramadhani46755 жыл бұрын
Inalilah waina ilayhi rajiun
@semanasitv83035 жыл бұрын
kutoka new school nakirusha bruck hewani gengstar🙏🙏#ripkingzila
@shaadenshaduni77555 жыл бұрын
😥😥😥inna lillahi wa inna ilaih rajiun. kumbe alikuwa mcheshi namna hiyo
@teclaaidan7555 жыл бұрын
R I p bro we will always remember you.
@hawasalum87355 жыл бұрын
Niki una msiba mkubwa!!! Pole Sana broo r I p king zilla
@aminamgaya75115 жыл бұрын
Dahhhh mungu yupo jamani rest in peace bro
@leylaally32915 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani
@andrewmmbaga16655 жыл бұрын
zizi alikua genius yan nterviews zake hazifany uchoke kisikiliza paw na nikki mbish meanwhile jamaa angekua tv presenter hakuna ambaye angemshinda coz alikua open charming na kingne alikua anakwepa unafiki! r.i.p zz
@sadakhamis12615 жыл бұрын
Alikua ana penda utaani... Rip
@hamzaselemanlikananowe2175 жыл бұрын
kaz yake mola ainaga makosa zilla tangulia tutakuta kesho ulisema kila wakati mungu ni mwema kwaiyo mungu ametimiza wema wake
@ashminhaabdullah49635 жыл бұрын
Hata uso ulikua kama mgonjwa R.I.P. yng broo
@brigitanicetas32015 жыл бұрын
Ashminha Abdullah true
@ahmedgascan92975 жыл бұрын
Yeah kuna kitu nakiona siongei kilamtamtu amuangalie kwa makini
@stevemelodiaz75745 жыл бұрын
uso huo uso upi wewe au kuna uso mwingine??
@alinebenja39255 жыл бұрын
REST IN PEACE
@marydamian19675 жыл бұрын
Alafu hapo km vile maji ya ilala yalikuwa kwa kichwa, yani burudan RIP
@mohamedathman33105 жыл бұрын
R.I.P JIBABA MBELE YAKO NYUMA YETU 🙏🙏
@barakajpilly69005 жыл бұрын
REST EASY ZILLA
@nusaibahassan58425 жыл бұрын
Inna lilahi Wainna Ilahi Rajiun 😭😭😭
@Amishjuma5 жыл бұрын
R.I.P bro Zilla
@irenejohn69093 жыл бұрын
😬😬😬😬😬😬😗😬Brooo miss u
@pascleshayo25125 жыл бұрын
mlkuwa mnaendana sana ase mlitiaha rip zillah
@hamismbekae30505 жыл бұрын
Pombe sio chai either way you are in a better place now. RIP
@faridahmustafa38665 жыл бұрын
😭😭
@DiCulture5 жыл бұрын
Mond,God knows him,we the next.pray pray
@jeyadam8335 жыл бұрын
Salasala won't be the same again...RIP king Zilla..
@TeamKRX5 жыл бұрын
anaonesha alikiwa mgojwa jamani aliweka maradhi yake itakuwa huyu bila ya kushuhulika hospital duu nimelia
@marymusa35795 жыл бұрын
Poleni sana let her rest in peace hero
@sadasaid44085 жыл бұрын
Duh kweli kama yupo vile
@tumajuma69175 жыл бұрын
R.I.p Godzilla😭.innalillah wainaillahi rajiun.
@algmobai21835 жыл бұрын
r.i.p mungu akulaze pali pema ...
@mourinenekesah40025 жыл бұрын
RIP Godyzila Waah
@sethstiven33935 жыл бұрын
Daaa pumzika kwa aman godzilla
@totolqabu19675 жыл бұрын
Nimeamini kifo twatembea nacho mungu tujalie mwisho mwema
@youngloyclassic31735 жыл бұрын
R i p blood Zila najua umetangulia Nyuma yako tunasogea kwa Mola tutarejea
@ashurausseinashuraussein72755 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajiun
@blantonnatembea4254 Жыл бұрын
Zila was the real g men
@thomasmwaijande72785 жыл бұрын
R.i.p bro
@manjalejuniorlg70245 жыл бұрын
RIP bro
@salumanadsalumanad59005 жыл бұрын
zilla akuwa sawa kama kadata hivi OK any way r.i.p
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Inalillah waiina Ilayhi rajiun hakika njia yetu wote ni moja
@hassanjabdallah17725 жыл бұрын
Nick mbishi utakua mbishi ukibishana na late kingzyllar alikua ni fullstailer kukuzidi wewe Nick mbishi 😭R.I.P ziz wa salasala
@gfrank87505 жыл бұрын
Jama kama hakua sawa yani kachangamka kupita kiasi
@fyumagwasuleiman17295 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaah kuma make kweli duniaan tunapita
@joycelameck59905 жыл бұрын
R.I,P bro
@leocardiafipeko11045 жыл бұрын
Rest peace
@j6tz655 жыл бұрын
Rest in peace king
@jumakajimba78965 жыл бұрын
Inauma xana ila ndo mipango ya mola R .I.P KING ZILLA