RIP King Zilla: Hii ni interview ya mwisho na Godzilla, alikuwa na furaha kubwa

  Рет қаралды 117,234

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Hii ni interview tuliyofanya na Godzilla January 17, 2019. Rest Easy Zilla

Пікірлер: 247
@isayangwahi9251
@isayangwahi9251 5 жыл бұрын
"labda maneno yangu wataelewa siku nikifa mi ni mfalme labda nahitaji queen strong ka latifa... machozi mashavuni pass a tissue...muda mwingine nachoka natamani ku run away natambua hawana mabawa so i gotta...STAY" REST EAZY KING #ZIZI 😭😭😭
@mic-keymichael6630
@mic-keymichael6630 5 жыл бұрын
Isaya Ngwahi deep
@benardmwaibabile776
@benardmwaibabile776 2 жыл бұрын
Mtaan kuna sister duh ana bwana na mapene pia handsome tu
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 5 жыл бұрын
Du pole sana sky polen watz wote mungu ailaze mahali pema pepon roho ya marehem king zilla
@idrisasalum8013
@idrisasalum8013 5 жыл бұрын
Usi subir ufe uombewe dua mtandaoni nduguzanguni kama amalizako mbovu dua hazita kusaidia tujitahid kufanya ibada ndio lengo tulioletewa hapa duniani
@Aaa-nh7gw
@Aaa-nh7gw 5 жыл бұрын
Kabisaa my
@zaynsalma3466
@zaynsalma3466 5 жыл бұрын
Hakuna kitu nilichokuw nikkipenda na kukuangalia san ten san Kama Hilo jino lako lililokatik kipande 😭😭😭pumzik salam #Zilla# weeee Tutakukumbuk Daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@jacklinekatandula6534
@jacklinekatandula6534 5 жыл бұрын
Niliambiwagwa kuna cku 40 before kufa ya kumjua matendo ya marehemu mtarajiwa yy peke yake ndio anajua ilo na anahic lkn mdm haufunguki anakuwa muoga mpole uso unainama aibu akuangaliii moja kwa moja anakwepesha macho huyu jamaa alipoteza tyr nuru uson
@yusufumbwene8949
@yusufumbwene8949 5 жыл бұрын
To be sincere, ,,,,this Zilla was a genius of freestyle maana hata Nikki hapa katagishwa . See you in a heaven broo!
@hadijapazia684
@hadijapazia684 5 жыл бұрын
Eeh M'Mungu binaadam si chochote, Hakika kwako 2tarejea..
@ikopoaprospa9929
@ikopoaprospa9929 5 жыл бұрын
Pumzika kwa aman tutakumisi
@nasramnyambo9651
@nasramnyambo9651 5 жыл бұрын
duh jaman kilanafs itaonja maut ka ndoto vile
@diamondplatnumznewsajm2053
@diamondplatnumznewsajm2053 5 жыл бұрын
REST IN PARADISE #GODZILLA May your Soul Rest in Peace 😥😥😥🙏
@diamondplatnumznewsajm2053
@diamondplatnumznewsajm2053 5 жыл бұрын
Tumempoteza Shujaa wa Rap
@fettamidu2503
@fettamidu2503 5 жыл бұрын
R I p
@shedrackmussa5903
@shedrackmussa5903 5 жыл бұрын
kwel d
@godfreymushi5125
@godfreymushi5125 5 жыл бұрын
Mbele yake Nyuma yetu
@zakariangese3826
@zakariangese3826 5 жыл бұрын
@@diamondplatnumznewsajm2053 bro, na wewe nenda kimala b, kwa Bishop Paul BENDERA yule ni mwisho kk, mimi yule Bishop ndie alinisaidia acha kuishi kwa mateso na mashariti kibao, kwani hukuumbwa na shetani bali uliumbwa na Mungu, yule mzee atakutenga na free national, tena nendeni na lebo yako yote kk, ucijekuwa kama kanumba, maisha ni mafupi tena yenye laha sn, ila kilio chake bro, ciku ukikata, ndio utaona, nakupenda kaka nasibu ndio maana nimeamua kukuandikia na kukushauli ila ukiona vip potezea, ila one day itaukumbuka hii sms yangu poul Bendera yule ni mtumishi wa Mungu hata mimi kaniepusha bila chenga na jamaaa wakakata kabisa kuni fatilia, nasema hivo bro, kwani nawajua vizul ila kwa yule mtumishi ni moto bro, na wala cio utani na cijawai kukuandikia mahara, nakupenda na ndio maana nimeona ikupendeze kk nasibu
@rashidyrashidy3923
@rashidyrashidy3923 5 жыл бұрын
True....Give my roses when I'm still alive, tell me how much you love me now that I'm alive....Don't wait till i die and start saying how much u love me
@salmaothman153
@salmaothman153 5 жыл бұрын
Tuishi kwa upendo duniani binadam tuko kama ua halikawii kudondoka 😢😢😢😢😢inalilah wainalilah rajium 🙏🙏🙏🙏
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
Ana tungo za hapo na hapo. bila kupepesa..Allah akurehemu
@b12chomolla62
@b12chomolla62 5 жыл бұрын
*Kiukweli nilipooiona taarifa ya kifo cha GODZILLA niliumia mnoo jamaa way back nikiwa shule nikizipenda kazi zake za mziki Mungu akuangazie mwanga wa milele ameni*
@baeastkephajr4429
@baeastkephajr4429 5 жыл бұрын
Aisee yan jamaa kanigusa mpka moyon R.I.P king wa salasala
@claudialupimo4468
@claudialupimo4468 5 жыл бұрын
Alikua mcheshi.. Dah,udongo huu.. Mungu tuhurumie,alikua kijana bado,nguvu ya taifa
@kadejahoe6543
@kadejahoe6543 5 жыл бұрын
Mauti ni mlango bloo kila mmoja atapita kwa muda wake ukifika haigarishi una umri ganii
@claudialupimo4468
@claudialupimo4468 5 жыл бұрын
Mii sio bro
@kadejahoe6543
@kadejahoe6543 5 жыл бұрын
@@claudialupimo4468 oky claudia sorry nikajua mwaumee
@ashamreu1819
@ashamreu1819 5 жыл бұрын
Ishi ulaumiwe kufa usifiwe
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 5 жыл бұрын
Yaallah tujalie mwisho mwema
@raymondkazungu6261
@raymondkazungu6261 5 жыл бұрын
kusema kwel Nik humuez Godzilla kwa kuchana we ata unaanza kufikiria mwenzao anatiriria kama maji mtoni R.I.P KING GODZILL
@yasirdahasra3186
@yasirdahasra3186 5 жыл бұрын
Raymond Kazungu Unazungumzia freestyle au Kuandika?? be specific Nikki sio mtu wa mchezo mchezo kama unavofikiria
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 5 жыл бұрын
Raymond Kazungu sio kwasababu kafa ndo tumpe sifa. zila mkali Ila niki kichwa kingine balaa huyo ni real hardcore mc
@yasirdahasra3186
@yasirdahasra3186 5 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu Aise ni bora Umwambie huyo mdau nazani current situation ndio inamfanya aseme hivo sidhani kama ana uhakika na ushahidi kutoka moyoni kuwa Zila alikua bora kuliko Nikki all in all R. I. P Godzilla umetutoka jembe kwenye tasnia ya Hip Hop na bongo Fleva kiujumla
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 5 жыл бұрын
Yasir Emcee ukweli haufichiki mkuu, maana mi mwnyw nawakubali wote ila niki hayumbishwi na commercial kabaki na msingi wa ueMC kwa muda mrefu mpaka sasa. kama ni marekani basi niki ningemfananisha na nas escoba katika misingi ya kihiphop
@yasirdahasra3186
@yasirdahasra3186 5 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu na hicho ndio kitu pekee kinachomtofautisha Nikki na wasanii wengine Kwakweli yupo kwenye misingi Sana na katika uandishi kwa sasa ndio sioni kabisa Kwakweli ukiacha kizazi cha wakina Hashim dogo na wakina Saigon kwa sasa bhana Nikki sitokosea nikisema ndio rapper bora wa muda wote kikubwa kwamba Wenda wapo wengi bora rakini Nikki hayumbishwi na mainstream kama plastic Mcz wengine tunaowaona
@4a9tr-msigwa
@4a9tr-msigwa 5 жыл бұрын
R.I.P #ZILLA THOSE GUYS WALIKUWA CHARMING SANA
@hyasintakundy369
@hyasintakundy369 5 жыл бұрын
He was strong man hata hapo anaonekana hakua sawa but alikua anajikaza na kujitahidi kuonyesha furaha daah maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni mafupi tupendane rest in peace zilla see you again
@wemakalam9415
@wemakalam9415 5 жыл бұрын
Duuu mweenyezi mungu atujalie mwisho mwema yarrab.🙏 🙏 🙏 allahuma ammeen
@elizasingano8482
@elizasingano8482 5 жыл бұрын
Poleni sana mama muzazi kiukweli inauma sana kipezi wetu
@gb-one6435
@gb-one6435 5 жыл бұрын
R. I. P bro nilikua naku kubali sana kitambo nilikua nashawishika sana kuwa mzee wa freestyle kama ww Pumzika kwa amani brother 😭😭
@berthalutifrid515
@berthalutifrid515 5 жыл бұрын
GB- One
@gb-one6435
@gb-one6435 5 жыл бұрын
Yes Betha
@fallymetoo191
@fallymetoo191 5 жыл бұрын
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 5 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti bro Ameen 🙏🏿
@streetkidonline4777
@streetkidonline4777 5 жыл бұрын
Dah huyu jamaa alikuwa na plan kubwa sana juu ya Hip Hop Music... Jamaa alikuwa mcheshi sana yan. Dah #NikkiWaPili yuko too stressed,dah Godzilla.... Jamaa alikuwa anajua sana but walimbania kinoma yan
@hildaedson7054
@hildaedson7054 5 жыл бұрын
I loved this guy.rest easy KING
@DennyMathematic
@DennyMathematic 5 жыл бұрын
Duuuh shikamoo pombe....shikamoo bangi...shikamoo hip hop 🙌
@officialsquizy
@officialsquizy Жыл бұрын
daaaah kizaz saana 2023 sa hii
@Bigboy-nx3nc
@Bigboy-nx3nc 5 жыл бұрын
R. I. P the best freestyler in East Africa
@ashab2537
@ashab2537 5 жыл бұрын
Usoni aonysha kama alikuwa aumwa, jamaniii poleni sana
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
Asha b hata mim nimeona hakua mzima uyu kaka aonyesha kabisa akua mzima
@nurathabduly435
@nurathabduly435 5 жыл бұрын
Uso unaonesha umejaa itakuwa ugonjwa ulikuwa unamtafuna uku anatembea jaman
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
Nurath Abduly kabisa kabisa bt nazani alikua anajua anaumwa sema ndio kuvumilia tu nakutafuta maisha
@fredmankaingu4172
@fredmankaingu4172 5 жыл бұрын
Apo kweli hakua mia mia
@nurathabduly435
@nurathabduly435 5 жыл бұрын
Jane suma wote umaskini uhu jaman na tukizingatia maneno ya wahenga #MASKINI_AUGUI mtu unajituma mpaka dakika ya mwisho r.i.p goden Jacob mbunda mbele yako nyuma yetu. Allahmdulilaih allah atupe mwisho mwema in shaa allah
@royemceewamichano5342
@royemceewamichano5342 5 жыл бұрын
Zizi mic you master kng zz
@jescamakyao9465
@jescamakyao9465 5 жыл бұрын
Kwa kweli kifo ni kibaya Sana hakina huruma kabisa.
@mdsaid4562
@mdsaid4562 5 жыл бұрын
Nikki mbish na zilla walikuw ma Best freinds
@smartmussadozen3535
@smartmussadozen3535 5 жыл бұрын
R.I.P Zilla mlikuwa mnazinguana fresh sana
@fatmaramadan995
@fatmaramadan995 5 жыл бұрын
Diamond mrudie baba yk unaona wenzako wanavyokufa ipo.siku utajutia
@mohagyaruben9193
@mohagyaruben9193 5 жыл бұрын
we umeisha mrudia au unajiona wee mkamilifu kuliko wenzako
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 5 жыл бұрын
Walazimisha wenzako kuishi utakavyo .do you know what people go through with their families ndio wafike kutowaongelesha, wachekesha sana if u got two parents walikulea vizuri shukuru n mind ur own biz pambana na hali yako. Sasa chanzo chake kufa ilikuwa baba???
@latifaabdulla1429
@latifaabdulla1429 5 жыл бұрын
R,I,P mungu akupe kauli thabiti
@shedrack01ilomo68
@shedrack01ilomo68 Жыл бұрын
Zillah hapo , alisha anza kuona njia ya akhera
@mussaagrey5679
@mussaagrey5679 5 жыл бұрын
ndo hivyo 🙏
@zaharaaliy6658
@zaharaaliy6658 5 жыл бұрын
Nakumbuka had my brother anaitwa God but akamalizia Godzilla Kwa jili yako mungu akupokee Kwa khery
@lujobilz7482
@lujobilz7482 5 жыл бұрын
Da nimeumia sana fleva za huyu jamaa paradise wata enjoy kibabe
@johnsonmichael7888
@johnsonmichael7888 Жыл бұрын
Pumzika mwamba 🙏
@munaahmed8499
@munaahmed8499 5 жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajiun Allah akupe kauli thabiti mbele yake amina yarabi allamina
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 жыл бұрын
daaah mmeandika historia
@francisndillah8409
@francisndillah8409 5 жыл бұрын
R.I.P Zilla u live with us....!!!!
@lujobilz7482
@lujobilz7482 5 жыл бұрын
Ulimwengu huu zila mimi nipo na wewe sababu sikuwahi kuwa pamoja na wewe paradise pia nikija nahisi itakuwa hivi show zaidi ya huko zaidi ya huku
@b.k.ymusic55
@b.k.ymusic55 5 жыл бұрын
Dah siamin kabsa
@neema_mollel
@neema_mollel 5 жыл бұрын
We are savaiva We pass like a shadow Rip Nigga
@ezeckielobed4429
@ezeckielobed4429 5 жыл бұрын
Rip king zillah
@AminaAmina-ul3cp
@AminaAmina-ul3cp 5 жыл бұрын
Nashindwa hata niandike nini jamani mungu wangu weeee 😅😅😅
@zaharadaffa6851
@zaharadaffa6851 5 жыл бұрын
Rest in peace Zilla
@themanwithnoname5824
@themanwithnoname5824 5 жыл бұрын
Nataka kabuli langu liwekatikati ya ngwea na Zizi.. Nile freestyle kwa pepo
@davidamukowa2428
@davidamukowa2428 5 жыл бұрын
😂😂😂itatimia
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@lujobilz7482
@lujobilz7482 5 жыл бұрын
God zila amezila kunipokea under ground music niliwaza kumfikia sasa nasikia hivyo sawa nitamfukuzia pia nikienda paradise
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 5 жыл бұрын
Kila wakati mungu ni mwema
@magangakayola4175
@magangakayola4175 5 жыл бұрын
Am gangster ninja am solder daah inauma sna MUNGU akulaze mahala pema peponi kingzillah wasalasala.
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 5 жыл бұрын
Yani kama.si alikufa yani daaah
@swalhaprettyswalha7154
@swalhaprettyswalha7154 5 жыл бұрын
Jamani tuishini kwakupendana kwani duniani nikama mapito2 inalilahi winalihi rajiuni mungu katoa na mungu katwaa
@jescamakyao9465
@jescamakyao9465 5 жыл бұрын
kwa kweli hatuna namba ya kukimbia kifo tusubiri tu kwa uvumilivu mpaka hapo mungu atakapoondoa kifo milele.
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi
@faudhiaramadhani4675
@faudhiaramadhani4675 5 жыл бұрын
Inalilah waina ilayhi rajiun
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 жыл бұрын
kutoka new school nakirusha bruck hewani gengstar🙏🙏#ripkingzila
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 5 жыл бұрын
😥😥😥inna lillahi wa inna ilaih rajiun. kumbe alikuwa mcheshi namna hiyo
@teclaaidan755
@teclaaidan755 5 жыл бұрын
R I p bro we will always remember you.
@hawasalum8735
@hawasalum8735 5 жыл бұрын
Niki una msiba mkubwa!!! Pole Sana broo r I p king zilla
@aminamgaya7511
@aminamgaya7511 5 жыл бұрын
Dahhhh mungu yupo jamani rest in peace bro
@leylaally3291
@leylaally3291 5 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 5 жыл бұрын
zizi alikua genius yan nterviews zake hazifany uchoke kisikiliza paw na nikki mbish meanwhile jamaa angekua tv presenter hakuna ambaye angemshinda coz alikua open charming na kingne alikua anakwepa unafiki! r.i.p zz
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 5 жыл бұрын
Alikua ana penda utaani... Rip
@hamzaselemanlikananowe217
@hamzaselemanlikananowe217 5 жыл бұрын
kaz yake mola ainaga makosa zilla tangulia tutakuta kesho ulisema kila wakati mungu ni mwema kwaiyo mungu ametimiza wema wake
@ashminhaabdullah4963
@ashminhaabdullah4963 5 жыл бұрын
Hata uso ulikua kama mgonjwa R.I.P. yng broo
@brigitanicetas3201
@brigitanicetas3201 5 жыл бұрын
Ashminha Abdullah true
@ahmedgascan9297
@ahmedgascan9297 5 жыл бұрын
Yeah kuna kitu nakiona siongei kilamtamtu amuangalie kwa makini
@stevemelodiaz7574
@stevemelodiaz7574 5 жыл бұрын
uso huo uso upi wewe au kuna uso mwingine??
@alinebenja3925
@alinebenja3925 5 жыл бұрын
REST IN PEACE
@marydamian1967
@marydamian1967 5 жыл бұрын
Alafu hapo km vile maji ya ilala yalikuwa kwa kichwa, yani burudan RIP
@mohamedathman3310
@mohamedathman3310 5 жыл бұрын
R.I.P JIBABA MBELE YAKO NYUMA YETU 🙏🙏
@barakajpilly6900
@barakajpilly6900 5 жыл бұрын
REST EASY ZILLA
@nusaibahassan5842
@nusaibahassan5842 5 жыл бұрын
Inna lilahi Wainna Ilahi Rajiun 😭😭😭
@Amishjuma
@Amishjuma 5 жыл бұрын
R.I.P bro Zilla
@irenejohn6909
@irenejohn6909 3 жыл бұрын
😬😬😬😬😬😬😗😬Brooo miss u
@pascleshayo2512
@pascleshayo2512 5 жыл бұрын
mlkuwa mnaendana sana ase mlitiaha rip zillah
@hamismbekae3050
@hamismbekae3050 5 жыл бұрын
Pombe sio chai either way you are in a better place now. RIP
@faridahmustafa3866
@faridahmustafa3866 5 жыл бұрын
😭😭
@DiCulture
@DiCulture 5 жыл бұрын
Mond,God knows him,we the next.pray pray
@jeyadam833
@jeyadam833 5 жыл бұрын
Salasala won't be the same again...RIP king Zilla..
@TeamKRX
@TeamKRX 5 жыл бұрын
anaonesha alikiwa mgojwa jamani aliweka maradhi yake itakuwa huyu bila ya kushuhulika hospital duu nimelia
@marymusa3579
@marymusa3579 5 жыл бұрын
Poleni sana let her rest in peace hero
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 жыл бұрын
Duh kweli kama yupo vile
@tumajuma6917
@tumajuma6917 5 жыл бұрын
R.I.p Godzilla😭.innalillah wainaillahi rajiun.
@algmobai2183
@algmobai2183 5 жыл бұрын
r.i.p mungu akulaze pali pema ...
@mourinenekesah4002
@mourinenekesah4002 5 жыл бұрын
RIP Godyzila Waah
@sethstiven3393
@sethstiven3393 5 жыл бұрын
Daaa pumzika kwa aman godzilla
@totolqabu1967
@totolqabu1967 5 жыл бұрын
Nimeamini kifo twatembea nacho mungu tujalie mwisho mwema
@youngloyclassic3173
@youngloyclassic3173 5 жыл бұрын
R i p blood Zila najua umetangulia Nyuma yako tunasogea kwa Mola tutarejea
@ashurausseinashuraussein7275
@ashurausseinashuraussein7275 5 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajiun
@blantonnatembea4254
@blantonnatembea4254 Жыл бұрын
Zila was the real g men
@thomasmwaijande7278
@thomasmwaijande7278 5 жыл бұрын
R.i.p bro
@manjalejuniorlg7024
@manjalejuniorlg7024 5 жыл бұрын
RIP bro
@salumanadsalumanad5900
@salumanadsalumanad5900 5 жыл бұрын
zilla akuwa sawa kama kadata hivi OK any way r.i.p
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 5 жыл бұрын
Inalillah waiina Ilayhi rajiun hakika njia yetu wote ni moja
@hassanjabdallah1772
@hassanjabdallah1772 5 жыл бұрын
Nick mbishi utakua mbishi ukibishana na late kingzyllar alikua ni fullstailer kukuzidi wewe Nick mbishi 😭R.I.P ziz wa salasala
@gfrank8750
@gfrank8750 5 жыл бұрын
Jama kama hakua sawa yani kachangamka kupita kiasi
@fyumagwasuleiman1729
@fyumagwasuleiman1729 5 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaah kuma make kweli duniaan tunapita
@joycelameck5990
@joycelameck5990 5 жыл бұрын
R.I,P bro
@leocardiafipeko1104
@leocardiafipeko1104 5 жыл бұрын
Rest peace
@j6tz65
@j6tz65 5 жыл бұрын
Rest in peace king
@jumakajimba7896
@jumakajimba7896 5 жыл бұрын
Inauma xana ila ndo mipango ya mola R .I.P KING ZILLA
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 60 МЛН
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 23 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 30 МЛН
Godzilla kuhusu bifu na Billnas
2:22
Millard Ayo
Рет қаралды 47 М.
GODZILLA: Wasanii wanatumia PESA nyingi kufanya nyimbo MBOVU!
9:01
Dozen Selection
Рет қаралды 20 М.
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 60 МЛН