Kuna busara fulani kubwa sana katika majibu yake.... He proves discipline and respect towards others japo wanamuongelea vibaya. Haya maisha tunapita, si sawa kujikweza, kujisikia, kujiona zaidi...natamani wote mnaosoma hii comment na kuangalia hii interview mjifunze from this, it has to be our wakeup call. Waongelee watu vizuri tu... Wenyewe wakikusema vibaya muachie Mungu. Mungu akulaze pema brother! We are coming that way too....!!!!
@andelherrera51375 жыл бұрын
Success Path kabisa
@chozishelimo92795 жыл бұрын
Success Path
@mwalimulee24935 жыл бұрын
Mungu ailaze mahali pema roho take..Ni kweli ndugu yangu
@willinjowritter2065 жыл бұрын
From Kenya:Rest in peace 👑
@KalamuYaGalana Жыл бұрын
RIP I loved your Freestyles. From Malindi Kenya
@kavishe20095 жыл бұрын
interview zako chache nilizoona umekuwa ukiongea kwa heshima na busara, hasa ukijua kuwa camera inakutazama. yaonyesha wazi ulipata malezi bora. Upumzike kwa amani wajina.
@purryselestine40005 жыл бұрын
😢😢😢😢uyu kaka kasoma kinge km chote R.I.P brooo
@maonezinyagalu93935 жыл бұрын
King Zilla ulifanya nikawa nadhani Salasala ni sehemu yenye fujo sana kutokana na ngoma yako ya Salasala. RIP bro, u have gone too early brother.
@angelinamhina39105 жыл бұрын
Hii interview sio ya muda ila ukimwangalia vizur km alikuwa anaumwa ndani kwa ndan au Mimi macho yangu Rest in peace Zilla
@bybensonlaban70685 жыл бұрын
angelina mhina ni kweli dada angu hata mm nmeona ivyo
@shekhekhandereizer5595 жыл бұрын
angelina mhina ilikuwa fiesta kilele chake juzi tu apo posta
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Kweli anaonekana km kavimba au alikua anasumbuliwa na mifupa vile
@adijaniyonkuru97315 жыл бұрын
Kweli
@zweramore83245 жыл бұрын
mgonjwa anaweza akacheza kikapu we vipi wewe c ungecoment RIP tu kama ungekuw huna cha kuongea
@upendorobert72985 жыл бұрын
lakini huyu nikimtizama kiafya hakuwa sawa siku nyingi, nikiangalia muonekano wake, yeye mwenyewe na ndugu zake ndo wanajua kilicho muua ni zaidi ya maralia nionavyo
@bitemimimi55025 жыл бұрын
Sukari ninhatari sana inatumaliza na Ngumu kugundua bila vipimo .dah R.I.P zilla sleep with peace bro
@latiphashaban65675 жыл бұрын
Mungu akulaze pema peponi zilla tuta kukumbuka daima
@BahatiJuma-m2i Жыл бұрын
King zila alikuwa anajua sana kaacha pengo bongo mungu amlaza mahali pema peponi
@rahisalovely96225 жыл бұрын
Wow Godzilla Legend hajui kununa hope ur in heaven
@zakeishengomaeward59185 жыл бұрын
R.I.P Golden ,,,wajina wangu da!
@clintonnyamwaya46305 жыл бұрын
Dah..... "I need one minute Mungu baba show me which way to go!" Nitakukumbuka daima milele ila ipo siku Mimi nawewe tutaonana kwa maulana... R.I.P Hip Hop legendary #GODZILA
@davidmussa5019 Жыл бұрын
napendaga mahojiano yake hadi kesho
@davidmihambo30515 жыл бұрын
RIP bro. Kisukari ni ugonjwa ambao wengi tunauchukulia poa ila ndio unaongoza kwa kusababisha vifo vya ghafla kwa watu wengi haswa vijana. Tupende kuchunguza afya zetu
@emmolgachristakay47775 жыл бұрын
His legacy will ever live.. Rest easyyy KING!!
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Hakika bwana kavuna ktk shamba lake. Mbele yake, nyuma yetu apumzike kwa amani 🙏🙏🙏
@stanleykagoa61905 жыл бұрын
Wenye Rap Zao Wote Wanaondoka Rest In Peace King Zilla forever u gonna be missed .
@agnessraphael25505 жыл бұрын
RIP mungu akupe kauli thabiti upumzike kwa amani
@peterjohn87455 жыл бұрын
pumzika kwa amani kakaetu! mwenywezi mungu umpunguzie mateso ya kaburi
@magrethkimambi80075 жыл бұрын
Pole sana familia ya godzilla R.I.p godzilla mungu amuweke mahala Pema peponu
@danielsonbobi24285 жыл бұрын
Daaah Godzilla amefariki dunia rip Mombasa tutakosa Sana
@emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын
kiukweli inauma sana kweli Duniani tuna pita tu niki tizama hiclipu na hisi bado upo hayi brodher Zilla R.l.p pumzika kwa amani 🕯🕯🕯🙏🙏🙏
@muditelela77205 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akunusulu na Adhabu
@ericklibaba11985 жыл бұрын
Daaah brother alikua na plan nyingi na zilikua mzur tu... Ila ndio hvyo Tena. RIP
@giftwhiteson16675 жыл бұрын
Rest in paradise Golden
@kadyuwegeyetv53105 жыл бұрын
Miss Sana golden
@ashurausseinashuraussein72755 жыл бұрын
Mceshi kweli allah akupe kauli tabiti kaka wataifa amin
@wemakalam94155 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu atujalie mwisho mwema yarrab.🙏
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Amina hilo dio la kuomba
@shedrack01ilomo68 Жыл бұрын
Basketball na hip hop 🥰🥰
@moodyzanzibar43365 жыл бұрын
Cha kukisoma na mkikumbuke kuugua sio kifo hata asiyeumwa ana weza kufa cha kuzingatia nikila mara tumtangulize Mungu mbele tunapoulizwa mambo kadhaa tujibu tutafanya tukijaaliwa na Mungu tusijipe garantii kwa sababu mwenye garantii ni Mungu tuuu,sasa wengi wetu tunajisahau tunapo fanya mahojiano tunakua tunajiwekea malengo ya muda mrefu kumbe garantii yetu hata ya dakika mbili mbele hatuna . Tuwe makini ni mazingatio hayo mauti tunatembea nayo
@elidadnyalema37995 жыл бұрын
Daaa,,, REST IN PEACE my brother tangulia nasi tupo njian tunanjoo,,kwa wale wenzangu mloguswa weka like tumuombee kaka etu kipenzi
@veeseven81385 жыл бұрын
dah r.i.p king zillah...bahati mbaya sana nimemjua zilla halisi baada ya kifo chake..ulikua mtu poa sana
@carolinendasala9355 жыл бұрын
Oh so sad..My condolences to the family
@raphaelamour385 Жыл бұрын
Staaaaaaay king zilla
@johnnykallaghe7705 жыл бұрын
Rest In Paradise Brother.. Mchanga Unatumeza 😰😰😰
@filberthabashi33665 жыл бұрын
Jamaa alkuwa na vibe saaana,, then he was real always! Rip broh
@yohanavicent68245 жыл бұрын
Rip kingi zilla
@zaharaaliy66585 жыл бұрын
Jamn nimelia jmn mungu ni mwemam
@hawaaomar1705 жыл бұрын
RIP bro
@jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын
RIP
@judyngara76585 жыл бұрын
R.I.p broo
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
Lakunchumpa😘 duh.... Sawa langu laja..sitabaki kama nilivyo hakika.
@ericaerick41975 жыл бұрын
Salehe Innocent
@lamarcalif5 жыл бұрын
rest easy king
@mwanaishakingomkono27475 жыл бұрын
Rip king zilla
@ibrahimzuberi10295 жыл бұрын
daaah the living dead aixee km utani vile,tufanyien mambo tupate iyo documentary rip inadvance my best rapper ever
@isackmhala13735 жыл бұрын
I LOVE YOU
@norascombedule10575 жыл бұрын
Rip zillah
@ammarmaher38565 жыл бұрын
RIP brother
@ivankivinge29872 жыл бұрын
3 yrs still here
@lumulimwamwimbe54455 жыл бұрын
Rest In Peace brother Godzilla
@kelvinmasika5 жыл бұрын
RIP Zilla, at least ametuachia documentary. Hopefully familia yake itaitoa.
@duncanotema2 жыл бұрын
Was a very talented rapper.
@victoryhhayummar62355 жыл бұрын
R.I.P brother Godzilla 🙏
@derrickmbaku47685 жыл бұрын
Jamaa amefariki kwa maumivu makali sana, R.I.P
@chullakoi36085 жыл бұрын
Easy rest King🔱
@ummyameir2665 жыл бұрын
anaonekana alikuwa anaumwa tena maradhi mazito ila ilijipa faraja sana maskini ila ukimtulizia vyema kumuangalia utagundua ana tatizo
@yussuphkazumar62295 жыл бұрын
Ummy Ameir really ummy
@abinarisy10805 жыл бұрын
Nakubari, #ukitulia kumuangalia vizuri.
@abinarisy10805 жыл бұрын
Ni sukari tu, sizani kama kuna zaidi. #machoyake.
@ummyameir2665 жыл бұрын
@@abinarisy1080 umeona enh
@ummyameir2665 жыл бұрын
@@abinarisy1080 anhaaa kweli
@kombakomba79225 жыл бұрын
Golden alikuwa msomi,pia alikuwa na hekima,busara na nidhamu ya hali ya juu, r.I.p
@TeamKRX5 жыл бұрын
Mi muislam haifai kulia ila tunalia sana tu ila mmm nimelia Allah akusamehe wakosa mareh zila daa naumia utazani mwanangu heee jamani KIFO kusikia kweli tu ila hatar
@artandcraft27405 жыл бұрын
R.I.P bro
@p.kasongot9795 жыл бұрын
Hata ukiona sura yake kalikuwa mgonjwa ivi
@BarakaSanane5 жыл бұрын
rest easy bro
@mwinyimwimbe88425 жыл бұрын
R.I.P My brother
@nixnovember5 жыл бұрын
Rest in Peace Zizi!
@barnabamwai50775 жыл бұрын
rest in piece godzilla
@majaliwawangdagangdullanga7005 жыл бұрын
R I P zillah
@davidamukowa24285 жыл бұрын
Dah broo mapema hivi😭😭😭😭😭
@neemakulaya43455 жыл бұрын
man ni kma hupo my man rip godzl
@immadonkingdon42375 жыл бұрын
r.i.p King Zillah
@michaellimu23325 жыл бұрын
Rest in peace bro.
@mufasamufas60235 жыл бұрын
Kwa macho tu hapo ukimuangalia tayari afya yake haikua nzuri R.I.P. Godzilla
@mwanaally43564 жыл бұрын
Istoria ya dada yake unagunduwa alikuwa na malaria ikachelewa tiba ila kifo isibabu lazima innaa lillaahi......
@ibramsumi95525 жыл бұрын
R.I.p zilla
@ngendajumasimba54145 жыл бұрын
Pumzika kwa aman bro
@asmahduhkweliduniaimekwixh85635 жыл бұрын
duh mcheshi sana ata siamin
@elizabethchainer69465 жыл бұрын
Rest in peace brother
@marryjames63795 жыл бұрын
R I P jamani sikuoni tena kk yangu 😭😭😭😭😭😭
@Pomma-gu1qw5 жыл бұрын
😢😭😭
@marryjames63795 жыл бұрын
@@Pomma-gu1qw 🙏🙏
@rainamsigala3315 жыл бұрын
R.I.P brother zilla
@hawasalum87355 жыл бұрын
Daah zilla bhana km Upo hivi? ulale pema bro
@ramadhaniomary2135 жыл бұрын
r.i.p zila mbele yko nyuma yetu sisi
@evelynejuvenary26315 жыл бұрын
R. I. P Zilla
@ferdinandking5675 жыл бұрын
R. I. P zizi..
@josephzakaria44625 жыл бұрын
R. I .P KING ZILLA
@matindembaratani62215 жыл бұрын
R.I.P brother
@rehemagabriel57475 жыл бұрын
Pumzika kwa amani zilla
@ramadhaniathumanimlenge66415 жыл бұрын
R i p
@thadeusmahendeka4466 Жыл бұрын
Wapi documentary????
@asmahduhkweliduniaimekwixh85635 жыл бұрын
afadhali mtangazaji umechekanaye mala ya mwisho
@bujiiclassic19645 жыл бұрын
Pumnzika kwa Aman
@dangotesam98455 жыл бұрын
R.I.P KingZilla
@Cheche_Boy5 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani kaka 😢 😢 😢
@salimmohamed6945 жыл бұрын
Daaah😭😭😭😭
@makassyzakir35055 жыл бұрын
R.I.P zizi
@maxjofrey705 жыл бұрын
R. I. P Godzilla
@collinbiz94294 жыл бұрын
RIP🙏🙏
@yohansiwale8115 жыл бұрын
R.I.P zila
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
R.I.P
@issajohn89835 жыл бұрын
Maskini zillah maradhi yamuanza mapema k2 kama alikua anadata Fulani ivi duh! Rest in peace broo wanasemaga tuliumbwa kwaudongo na 2 taludi kwaudongo kikubwa nimuombee mwanao akuwa awatunze bibi na mama ake.