Ni kweli kabisa, hakuna uganga wala uchawi juu ya Israel.❤❤❤
@Baddlah201110 ай бұрын
Nilijua mwisho wa mateso ya Esau ni pale tu atakapopata nafasi ya kumjua Mungu, Glory To God 🙏🙏🙏Tuwe na imani tumjue Mungu wetu 🙏🙏🙏💝Amina
@AgnesAgathon-bc8ht10 ай бұрын
Ohooo jamani hii simulizi mwishoni mbona kama ni Mimi kabisa 🤔 Nilikuwa naota ndoto za kutisha nikapewa Rosary na maji ya Baraka na Padre na Kila kitu kiliishia hapo Mungu ni mwema
@GODFREY-je9xq10 ай бұрын
Angalia ,Nenda kanisani,mda unaluhusu, Ni MUNGU TU
@rhodalucas518710 ай бұрын
Nasadiki kwa Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume 🙏 Hongera sana Essau kwa kuwa na mwisho mwema. Asante Dada Vero, sifa na utukufu ni kwa Mungu.
@foncetecelectricalandelect349 ай бұрын
Imani yako iweke kwa Mungu sio kanisa, ubarikiwe
@naimamalekela81210 ай бұрын
hakika hakuna kinacho shindikan mbele zake mungu dada vero simulizi zako zimenitoa sehem nyingine mungu akubariki sana
@dafrosamsonge200710 ай бұрын
Watu hawaamin Catholic but this testimony ikawabadilishe dhehebu lolote ukimwamini Mungu wa kweli unapona , Nguvu ya Mama Maria mpaka nmelia
@reginaringo516710 ай бұрын
Ndio maana nampenda sana Huyu MUNGU, Ana mambo makuu sana
@victoriamathew68609 ай бұрын
Mungu atanaki kua Mungu milele YOTE💪💪💪
@ivethakalya-ne7lb3 ай бұрын
Mungu wetu ni mwema kila wakti
@SarahTete10 ай бұрын
🙏🙏ila uwe unawahi kutupostia dada etu, tunasubiri kwa ham kweli❤❤❤Mungu akutunze
@Jabu41510 ай бұрын
Kabisa
@jacklinemassawe902810 ай бұрын
Mungu ndo kila kitu kwenye maisha yetu alisema tu muombe lolote kupitia jina lake nae atatupa amen
@dorcaskidoti24910 ай бұрын
Amen Amen! Mungu nimwema atuokoe nakila maovu, Ahsantee sana Da Veronica amanii ya Bwana Yesu iwe nawe kila wakati 😊😊!!! Pia msalimie ESSAU
@user-ii2fg7zr3u10 ай бұрын
Pole sana essau pia hongera sana kwa kupambana dada Vero Asante kwa elimu mungu akubariki sana
@esnajuma354310 ай бұрын
Mara nyingi watu hufikir mapadri hawaombei lkn ukiwa ndani ya imani ndo unaujua ukweli, hakika Mungu ni mkuu kwa kila gumu unalolipitia hapa duniani, Bwana ufanya mlango wa kutokea.
@sperabais10 ай бұрын
Wow!ameyashinda Mungu ni mwema kila wakati
@christinaabelmwaipungu-572710 ай бұрын
Daah! Kumbe wanaosikiliza Moja kwa Moja radioni wanapata sinulizi kamili!! Maana hapa imekatishwakatishwa sana!!
@user-ei2ud7gh5h8 ай бұрын
YA RABBY ALIHAMNDULILLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-kp9ll1qu5n10 ай бұрын
Kweli Ile nguvu wanganga walikuwa wakizunguzis Iko ndani Yako ilikuwa ya mungu
@user-nc8oc1uy2y10 ай бұрын
Mungu yupo mahali popote, inategemea unamtazama nani. Ukiimtazama Mungu ktk uhitaji wako kwa imani atakujibu
@AzizaFirozi10 ай бұрын
Jamani da Vero umejua kututeka khaa😂😂😂. Asante dada Wakwanza
@joyniabella59858 ай бұрын
Yaaaan na mm nmeanz kuota ndot kam za esau za shule mara nmechelew mtiihan nikachwekwa teeen baad ya sku kadhaaa hap sjajua ni kwakua hii story nilihiweka kichwan au
@felisterseverin429110 ай бұрын
Ahsante uwezo wa Mungu ni mkuu kuliko binadamu
@mwangechojohn379210 ай бұрын
Asante sana dada veronika mungu akutunze love from kenya
@lauraalex740910 ай бұрын
Woooh Hatimaye Tumemtafuta Padre 🙏🙏🙏
@ireneherman7610 ай бұрын
Sikutegemea kuish friday I thought next week 😅😅😅 Our God is able ohoo😊
@ConsoPal10 ай бұрын
Asante Mungu kwa Matendo Makuu
@dayana5513story10 ай бұрын
Sis vero Asante kwakuakilisha story hii...Hakika wakati wa Mungu ndo wakati sahii tumuani yeye akuna kinacho mshida Essau ubarikiwe
@rithamgaya146610 ай бұрын
Ubarikiwe Sana dada Vero kwa kweli tunajifunza sana
@NeemaKatoto-un6ic10 ай бұрын
Asante dada tunajifunza mengi sana 🙏mungu akupatie siku njema tukutane juma tatu
@menahallie530110 ай бұрын
❤🎉 Tunajifunza mengi da vero, mengine yanatokea katika maisha yetu, japo hatujakufikishia lakini wanaoleta story hapo wanatuwakilisha kabisa 😢😢 Mungu ni mwema 🙏
@carolinemtey971510 ай бұрын
Natamani nami nipate hivyo vitabu
@fallymetoo19110 ай бұрын
Yees da veronika pamoja sana ni wakwanza kwa leo
@nancygitonga328210 ай бұрын
True victory is from God. Bwana apewe sifa
@GODFREY-je9xq10 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@zahrababygarl156810 ай бұрын
Pole sana esau na pole kwa yote huyu padri atakuwa ni mwamposa 😅davero ubarikiwe sana dada
@treyvissy985410 ай бұрын
Mwamposa anakuwaje padri sasa ?
@drvidah703010 ай бұрын
Mwamposa sio padri
@lilyrose798310 ай бұрын
Ndio nini kimetokea? Apostle kuna muujiza hapa 🤔🤗
@user-ot6nf4sn7s10 ай бұрын
Hakika stori ya Essau mm nimejifunza kumtegemea Mungu
@tinnahagustinolyelu424710 ай бұрын
Ndio maana wake waganga walisema kuna nguvu ndani yake maskini duuu Mungu mkubwa saana
@hadidjaissa915410 ай бұрын
❤dada imenivusha sana hii simulizi jaman ,mungu akubariki sana
@user-sv4kc4kb6t10 ай бұрын
Amina nimejifunza sana nitamtumikia Mungu siku zote hapa duniani
@GODFREY-je9xq10 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-wn1xt3ks3m10 ай бұрын
Love you mungu ❤❤❤❤❤ Allah ndokila kitu
@glorycharles10 ай бұрын
Jamani Veronica Kuna mda nasikiliza Hadi nahisi tupo live😅😅
@fora200910 ай бұрын
Dah sister vero hii dunia ni mtihani from Belgium
@ftimaramadan474810 ай бұрын
Mungu ni mwema na yuko karibu kuliko damu yetu
@AsmaAlly-xh9de10 ай бұрын
😢😢😢daaah hakika tunajifunza mengi sana
@lightnessmsangi314810 ай бұрын
Mkasa mzuri sana, Asanteeee sana.
@shaluuanthony183610 ай бұрын
Aiyeeeeee 😊😊😊barikiwa da vero
@edwardjoseph610010 ай бұрын
GLORY BE TO ALMIGHTY GOD 🙏🙏
@jessicamwasandube94410 ай бұрын
Glory to God,big up kwako Vero❤
@christinaabelmwaipungu-572710 ай бұрын
Mungu wetu ni mwema sana
@nancygitonga328210 ай бұрын
Asante dada Vero, may God bless you
@mariahamor177510 ай бұрын
Jamanii kama kuna siku nimehaha kama kuku anaetaka kutaga jinsi navochungulia
@FurahaNyanda-cg9nc10 ай бұрын
Asante Vero wng napenda saut yako💞💞
@user-nw6uq6xm2n10 ай бұрын
Mungu ni mwema
@petermillanzi96010 ай бұрын
Glory be to God 🙏🤲
@IbrahimMohamed-eq4ek9 ай бұрын
👊💯💯💯💯👊👊
@rosemilingi786010 ай бұрын
Mm mwenyewe ndoto zinatesa kwelikweli
@EliaMwaijumba10 ай бұрын
Shetani ana mikwara hana msaada bora alikataa angemtoa baba yake ingekuja zamu ya watoto wake
@rainadecompas521110 ай бұрын
Da Vero hili tatizo la kututumia hadithi siku ya 365 litaisha lini??😢😢😢.nilijua lamuda tu kumbe limekuwa la kudumu🤔
@wanyendakuta89128 ай бұрын
😢mmh
@doricehungu581710 ай бұрын
Thank you da Verooo
@gladnesskajela726310 ай бұрын
Hatimaee jaman
@naomicharles544410 ай бұрын
Finally mweeh
@GODFREY-je9xq10 ай бұрын
Hakuna mganga wakweli wote ni giza tu
@NasraTiffah10 ай бұрын
Nakupnd 🥰
@monicanzali10 ай бұрын
Mungu ana nguvu sana🙏🏿
@GODFREY-je9xq10 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@hijamwinyi323310 ай бұрын
Asantee dada da vero
@zeramohamed967210 ай бұрын
Ila sijaelewa maana ulisema amefika shuleni Sasa ilikuwaje ikarudia tena
@christinaabelmwaipungu-572710 ай бұрын
Imekatishwa hapo kati, nilisikuliza mojamoja alhamisi na ijumaa, hapa imekatishwa sana!
@VeronikaJerome-wr8yz10 ай бұрын
Simulizi nimsuri sana
@collinstemba604010 ай бұрын
Ewaaah essau karejea 😂
@luciabado247110 ай бұрын
Thank you GOD
@ibrahimkawina810010 ай бұрын
👏
@ashasingiye343810 ай бұрын
Jaman na mimi sasa nipo kama essau kwani nina tabia za ndoto nanikiota ndoto huwa zinakuwa za ukweli pia nakosa amani sio utani ninajifunza kitu hapa