RIPOTI YA LEO MOHAMED VOLUME 09

  Рет қаралды 13,523

SHARE & HEAL

SHARE & HEAL

Күн бұрын

Пікірлер: 55
@stellabugingo4071
@stellabugingo4071 11 ай бұрын
Alaaniwe yeye amtumainiye mwanadamu. Mi nilikuwa namuelewa sana yule mtu alie wasaidia ushauri wake ulikuwa mzuri mno
@omarfauz1877
@omarfauz1877 11 ай бұрын
Mambo stelaa
@asias8724
@asias8724 11 ай бұрын
Usiseme ivo sababu hata hospital si watu wanakutibu sema M/Mungu atuepushe na mitihani mibaya kwenye dunia hii
@stellabugingo4071
@stellabugingo4071 11 ай бұрын
Hospital unategemea dawa huku unamuomba Mungu kwa waganga ni nimizimu na majini ambayo hayana uwezo wa kumshinda Muumbaji wetu. Amtumainie Bwana ni kama mlima sayuni sijui unanielewa?
@janethkomba4485
@janethkomba4485 11 ай бұрын
​@@asias8724Ayajamfika uyooo yakimfika mbona ataongoza yeye mwenyewe kwamganga,nakupa kastory tu kafupi mimi nililazwa namwanangu akiwa kidato cha 2 muhimbili wod yamatatizo yaakili 😢mbona niliambiwa naawo madocta mama km unaweza mtowe mwanao kaangaike kwenye miti shamba uko hoo ,sio siri nikaweka sahin nikatoka nabint yangu nikazunguka makanisa yahapa dar,nikaelekezwa kunakanisa lipo mbeya ilo nikibokoo mchungaji anaingia waumini tunageuka kuangariy anakotokea mch yani tunampa mgongo uku tumefumba macho😢lakin wapiii ikanibid sasa niende zangu tu kwawaganga vijijini ndani ukoo nafika yule mgaga yupo mochwar😢tukaelekezwa kungine uko tulikaa ndani yamyez km 3 bint yangu akawa safii nikshukur Mungu tukarud nyumbani akaendelea namasomo na mwakajana kaaza kz sasa awo wanaosema tulaaniwe waendelee tu kuskia 😢
@asias8724
@asias8724 11 ай бұрын
@@stellabugingo4071 ukikutwa na jambo huwa akili zinahama unaweza fanya chochote ukajua ni sahihi zaidi tuombe M/Mungu atuepushe na mitihani mibaya na zaidi sisi wanawake tunapitia misukosuko tunaamini tukipata wanaume wenye hela matatizo yanaisha kumbe ndo mitihani sana hata wanaume wapo wanapita mitihani kwa wanawake zao
@monicambuva529
@monicambuva529 11 ай бұрын
Pacha amefariki kwasababu pia alishakufaga huyo, nguvu za giza zilikwepo kwa miaka mingi na hao wadogo zako...wote huo ni uchawi wa bibi wa Kenya,...watoto ungewapeleka kwa kanisa la kweli na ukaamini YESU ni mokozi wa maisha yenu leo hii wadog zako wot wangekwepo na amani ingekwepo mpk hii leo.....YESU ni mwema sana
@christinaabelmwaipungu-5727
@christinaabelmwaipungu-5727 11 ай бұрын
Hii inatufundisha kumtegemea Mungu pekee.! Inafundisha sana!!
@jacklinegodifrey8607
@jacklinegodifrey8607 11 ай бұрын
Kwetu wanawake tunaotafuta ndoa plss tumuombe Mungu sana atupe wenza sahihi jaman
@vumi8371
@vumi8371 11 ай бұрын
Amina
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 11 ай бұрын
Inshallah
@neemamtemela
@neemamtemela 11 ай бұрын
Da veroca hii simulizi Ina sikitisha mnoo Mohammed kapitia mazito mno na uko vizuri Sana kuisimulia, najivunia kua na Dada angu mrembo kutoka njombe ndo nyumban kwetu pia
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 11 ай бұрын
Kwani Vero ni wa njombe
@davibphilipo5425
@davibphilipo5425 11 ай бұрын
Mungu ni mkuu.
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 11 ай бұрын
Waah mungu atulinde na tumtegeme mungu tu mtihani poleeni sana mohamed
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 11 ай бұрын
pole sana.Mungu angekufungua macho mapema ili umrudie Mungu
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 11 ай бұрын
Jamani mngeenda siku zile kwenye maombi mngekuwa Salama lakini waganga hapana Mungu ndio Kila kitu
@jacklinemassawe9028
@jacklinemassawe9028 11 ай бұрын
Asante mpenzi tunajifunza mambo mengi
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 11 ай бұрын
😊😊😊 muha wanifurahisha waomba dua kwa mganga 😊😊😊 usha ji kojolea dua gani ifike kwa mungu
@janethkomba4485
@janethkomba4485 11 ай бұрын
Daaaah😢pole sana muhamed kwachangamoto ulizopitia😢 bora ipotee hilizi kuriko mganga afe😢
@wanyendakuta8912
@wanyendakuta8912 10 ай бұрын
😅
@aishasalumu9752
@aishasalumu9752 11 ай бұрын
Pole sana Mohammed
@user-om9wi8ho5p
@user-om9wi8ho5p 6 ай бұрын
Emungu baba 😢
@christinaabelmwaipungu-5727
@christinaabelmwaipungu-5727 11 ай бұрын
Ivii hii kusema wa kwanza, wa pili mara watatu, ndio Nini!! Kama ushamba vile!!
@zumajacobo9048
@zumajacobo9048 11 ай бұрын
Noma sana
@maryumamapunda8910
@maryumamapunda8910 11 ай бұрын
Asante da vero ❤
@PETERWILLIUM-we1uy
@PETERWILLIUM-we1uy 11 ай бұрын
Nice
@neemahashim5524
@neemahashim5524 11 ай бұрын
Polenii Mohamed
@GODFREY-je9xq
@GODFREY-je9xq 11 ай бұрын
MUNGU NI MWEMA SANA,SHETANI NI MASHAKA MAKUBWA NA GIZA NENE LENYE MWISHO MBAYA.
@user-vf3qt3lb9x
@user-vf3qt3lb9x 11 ай бұрын
Da Veronica ❤ shukran kwko🎉
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 11 ай бұрын
Ooh inasikitisha sana
@user-yp9vo4js9f
@user-yp9vo4js9f 11 ай бұрын
Dada Vero tunaomba mrekebishe kitu hapo studio maana Kuna wakati huwa hatusikii mara inakoroma tunaomba mlitendee Hilo kazi
@erastonzogela1405
@erastonzogela1405 9 ай бұрын
Pamoja na madhambi yetu, lakini tukumbuke kumrejea Muumba wetu
@emmanuelshegesha2900
@emmanuelshegesha2900 11 ай бұрын
Mtandao unasumbua sana uku
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 11 ай бұрын
Ushapata 10 nirushie
@fatmahamadi8928
@fatmahamadi8928 11 ай бұрын
Dah asiye jaman tusiwaamin waganga
@JudithGeorge-mw7fe
@JudithGeorge-mw7fe 11 ай бұрын
Da Vero mbona me naogopa mwili unanisisimka
@greidajonathan4871
@greidajonathan4871 11 ай бұрын
Soma neno utakua sawa.zaburi ya 51,zaburi 35 yote, na 91 na yohana mtktf yote..then endelea kusoma neno na kumuomba Mungu maisha yako yote.
@stamilabel6176
@stamilabel6176 11 ай бұрын
Mimi nilijua mtarudi kwa Mungu baada ya mganga kufariki.
@reyone6870
@reyone6870 11 ай бұрын
Wa kwanza leo😅😊😊😊
@happyyohana9881
@happyyohana9881 11 ай бұрын
😢😢
@user-co4nt3il7v
@user-co4nt3il7v 11 ай бұрын
Mpe pole
@maulidihaji4979
@maulidihaji4979 11 ай бұрын
Mm nasikiliza too maana Kuna mapito yanatisha
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 11 ай бұрын
😊😊😊
@christerChriss-jn7vm
@christerChriss-jn7vm 11 ай бұрын
Watatu😅😅😅
@luckiesum9773
@luckiesum9773 11 ай бұрын
Mohamed uliyataka lait ungemsikiliza yule rafiki wa mamaako yote haya yasingekuwepo
@winnierichard4265
@winnierichard4265 11 ай бұрын
Tunawaombea mpone
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 11 ай бұрын
Vero vp ya 10 mda ushaisha mbona u tube hamna
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 11 ай бұрын
Huyu Mohamed atakua anatoka mikoa yakusini mwatanzania,
@simonmaige7785
@simonmaige7785 11 ай бұрын
Adabla Kadabla!
@modricnoma3686
@modricnoma3686 11 ай бұрын
Haya njoeni nyie mnao wahi kuwa wakwanza
@user-gx8je4fp5b
@user-gx8je4fp5b 11 ай бұрын
😂
@luckiesum9773
@luckiesum9773 11 ай бұрын
😂😂
RIPOTI YA LEO MOHAMED VOLUME 10
34:12
SHARE & HEAL
Рет қаралды 12 М.
RIPOTI YA LEO  MUSSA VOLUME 02
42:10
SHARE & HEAL
Рет қаралды 12 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 10 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 13 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 25 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 13 МЛН
RIPOTI YA LEO  ESSAU VOLUME 05
39:37
SHARE & HEAL
Рет қаралды 12 М.
Fairy iliyopotea | The Lost Fairy Story in Swahili | Swahili Fairy Tales
14:35
Swahili Fairy Tales
Рет қаралды 1,3 МЛН
RIPOTI YA LEO  TABU VOLUME 02
42:11
SHARE & HEAL
Рет қаралды 9 М.
RIPOTI YA EO  ESSAU VOLUME 9:10 FINAL
59:46
SHARE & HEAL
Рет қаралды 16 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 10 МЛН