Alaaniwe yeye amtumainiye mwanadamu. Mi nilikuwa namuelewa sana yule mtu alie wasaidia ushauri wake ulikuwa mzuri mno
@omarfauz187711 ай бұрын
Mambo stelaa
@asias872411 ай бұрын
Usiseme ivo sababu hata hospital si watu wanakutibu sema M/Mungu atuepushe na mitihani mibaya kwenye dunia hii
@stellabugingo407111 ай бұрын
Hospital unategemea dawa huku unamuomba Mungu kwa waganga ni nimizimu na majini ambayo hayana uwezo wa kumshinda Muumbaji wetu. Amtumainie Bwana ni kama mlima sayuni sijui unanielewa?
@janethkomba448511 ай бұрын
@@asias8724Ayajamfika uyooo yakimfika mbona ataongoza yeye mwenyewe kwamganga,nakupa kastory tu kafupi mimi nililazwa namwanangu akiwa kidato cha 2 muhimbili wod yamatatizo yaakili 😢mbona niliambiwa naawo madocta mama km unaweza mtowe mwanao kaangaike kwenye miti shamba uko hoo ,sio siri nikaweka sahin nikatoka nabint yangu nikazunguka makanisa yahapa dar,nikaelekezwa kunakanisa lipo mbeya ilo nikibokoo mchungaji anaingia waumini tunageuka kuangariy anakotokea mch yani tunampa mgongo uku tumefumba macho😢lakin wapiii ikanibid sasa niende zangu tu kwawaganga vijijini ndani ukoo nafika yule mgaga yupo mochwar😢tukaelekezwa kungine uko tulikaa ndani yamyez km 3 bint yangu akawa safii nikshukur Mungu tukarud nyumbani akaendelea namasomo na mwakajana kaaza kz sasa awo wanaosema tulaaniwe waendelee tu kuskia 😢
@asias872411 ай бұрын
@@stellabugingo4071 ukikutwa na jambo huwa akili zinahama unaweza fanya chochote ukajua ni sahihi zaidi tuombe M/Mungu atuepushe na mitihani mibaya na zaidi sisi wanawake tunapitia misukosuko tunaamini tukipata wanaume wenye hela matatizo yanaisha kumbe ndo mitihani sana hata wanaume wapo wanapita mitihani kwa wanawake zao
@monicambuva52911 ай бұрын
Pacha amefariki kwasababu pia alishakufaga huyo, nguvu za giza zilikwepo kwa miaka mingi na hao wadogo zako...wote huo ni uchawi wa bibi wa Kenya,...watoto ungewapeleka kwa kanisa la kweli na ukaamini YESU ni mokozi wa maisha yenu leo hii wadog zako wot wangekwepo na amani ingekwepo mpk hii leo.....YESU ni mwema sana
@christinaabelmwaipungu-572711 ай бұрын
Hii inatufundisha kumtegemea Mungu pekee.! Inafundisha sana!!
@jacklinegodifrey860711 ай бұрын
Kwetu wanawake tunaotafuta ndoa plss tumuombe Mungu sana atupe wenza sahihi jaman
@vumi837111 ай бұрын
Amina
@zahrababygarl156811 ай бұрын
Inshallah
@neemamtemela11 ай бұрын
Da veroca hii simulizi Ina sikitisha mnoo Mohammed kapitia mazito mno na uko vizuri Sana kuisimulia, najivunia kua na Dada angu mrembo kutoka njombe ndo nyumban kwetu pia
@zahrababygarl156811 ай бұрын
Kwani Vero ni wa njombe
@davibphilipo542511 ай бұрын
Mungu ni mkuu.
@hijamwinyi323311 ай бұрын
Waah mungu atulinde na tumtegeme mungu tu mtihani poleeni sana mohamed
@thumnathumna594611 ай бұрын
pole sana.Mungu angekufungua macho mapema ili umrudie Mungu
@tinnahagustinolyelu424711 ай бұрын
Jamani mngeenda siku zile kwenye maombi mngekuwa Salama lakini waganga hapana Mungu ndio Kila kitu
@jacklinemassawe902811 ай бұрын
Asante mpenzi tunajifunza mambo mengi
@ftimaramadan474811 ай бұрын
😊😊😊 muha wanifurahisha waomba dua kwa mganga 😊😊😊 usha ji kojolea dua gani ifike kwa mungu
@janethkomba448511 ай бұрын
Daaaah😢pole sana muhamed kwachangamoto ulizopitia😢 bora ipotee hilizi kuriko mganga afe😢
@wanyendakuta891210 ай бұрын
😅
@aishasalumu975211 ай бұрын
Pole sana Mohammed
@user-om9wi8ho5p6 ай бұрын
Emungu baba 😢
@christinaabelmwaipungu-572711 ай бұрын
Ivii hii kusema wa kwanza, wa pili mara watatu, ndio Nini!! Kama ushamba vile!!
@zumajacobo904811 ай бұрын
Noma sana
@maryumamapunda891011 ай бұрын
Asante da vero ❤
@PETERWILLIUM-we1uy11 ай бұрын
Nice
@neemahashim552411 ай бұрын
Polenii Mohamed
@GODFREY-je9xq11 ай бұрын
MUNGU NI MWEMA SANA,SHETANI NI MASHAKA MAKUBWA NA GIZA NENE LENYE MWISHO MBAYA.
@user-vf3qt3lb9x11 ай бұрын
Da Veronica ❤ shukran kwko🎉
@jessicamwasandube94411 ай бұрын
Ooh inasikitisha sana
@user-yp9vo4js9f11 ай бұрын
Dada Vero tunaomba mrekebishe kitu hapo studio maana Kuna wakati huwa hatusikii mara inakoroma tunaomba mlitendee Hilo kazi
@erastonzogela14059 ай бұрын
Pamoja na madhambi yetu, lakini tukumbuke kumrejea Muumba wetu
@emmanuelshegesha290011 ай бұрын
Mtandao unasumbua sana uku
@ftimaramadan474811 ай бұрын
Ushapata 10 nirushie
@fatmahamadi892811 ай бұрын
Dah asiye jaman tusiwaamin waganga
@JudithGeorge-mw7fe11 ай бұрын
Da Vero mbona me naogopa mwili unanisisimka
@greidajonathan487111 ай бұрын
Soma neno utakua sawa.zaburi ya 51,zaburi 35 yote, na 91 na yohana mtktf yote..then endelea kusoma neno na kumuomba Mungu maisha yako yote.
@stamilabel617611 ай бұрын
Mimi nilijua mtarudi kwa Mungu baada ya mganga kufariki.
@reyone687011 ай бұрын
Wa kwanza leo😅😊😊😊
@happyyohana988111 ай бұрын
😢😢
@user-co4nt3il7v11 ай бұрын
Mpe pole
@maulidihaji497911 ай бұрын
Mm nasikiliza too maana Kuna mapito yanatisha
@ftimaramadan474811 ай бұрын
😊😊😊
@christerChriss-jn7vm11 ай бұрын
Watatu😅😅😅
@luckiesum977311 ай бұрын
Mohamed uliyataka lait ungemsikiliza yule rafiki wa mamaako yote haya yasingekuwepo