Fatuma nakushauri tafuta kanisa la kiroho nenda kafanyiwe toba mpokee YESU kisha ingia kwenye maombi ya kufunga utapokea uponyaji, MUNGU ni mwaminifu kwao wote wamkimbilao hakuna Jambo gumu la kumshinda MUNGU Amini utapokea uponyaji
@gladnessedward85163 жыл бұрын
Kbsa
@monicadamiani45372 жыл бұрын
Ameen apokee uponyaji
@deborasajilo12053 жыл бұрын
Roho inaniumaaaaaaaa meneja kwann hakumuambia dada wa watu,kumuepusha tu na ukimwi hela sawa asingepata ila ukimwi kampa jmani na kamuachisha na kazi mzee ulaaniwe mara elfu kumi mshenzi ww na ukifa maiti yako iwe dana dana ya mchwa mshenzi mshenzi sasa amefurahia nn kumuharibia mwenzake maisha tena binti mdogo sana.meneja nae alaaniwe kwa kushiriki michezo michafu
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Mm nilishamtolea laana babu zamani
@jacklinetemba72283 жыл бұрын
Aisee pole mnoo fatuma mrudie Mungu akupe afya na amani maana umejeruhika isivyo kawaida ila asante sana kwa kushare nasi story yako tunaendelea kujifunza
@user-vf3qt3lb9x10 ай бұрын
Dah pole sanaa fatu😅😅
@hellenashely21673 жыл бұрын
Skuhiz familia chache sana ambazo hazina janga kama hilo siwez kumtaja hapa nlie muona amepona kama utakua na imani nenda kwa mwamposa na makanisa mengi tu yanayo hubiri wokovu me naamim utapona mpnz na miyaka yako yote iliyo liwa na nzige itarudisha uponyaji ni bure gharama iman yako nenda Dada utapona
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Kweli kabisa,Imani,kujikubari pia
@happyperson30163 жыл бұрын
The Bible says the heart of man is extremely wicked and only God knows how much wickedness man has
@estermjenga6823 жыл бұрын
Apo ndo utajua wanaume si watu wazuri kabisa
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Waa pole Sana Fatma, Wazee wengine jamani hawana huruma, tuned 🇰🇪 🇰🇪
@hopejohnson73522 жыл бұрын
Yaani wanaume wote ni sawa na kuhusu hili 2simlaum fa2ma😭😭😭😭
@treyvissy98542 жыл бұрын
Wee nawe akili huna ..
@hellenashely21673 жыл бұрын
Wanaume niwanyama sana lkn yeye alie kuleta kwenye hii dunia alisema hakuna asilo liweza hata huo ugonjwa anaponya na maisha anabadirisha pia imani yako itakuokoa nenda kwenye makanisa yawatumishi walio pewa kibali cha kugukuz mapepo kama hayo maan umaskini ni pepo na magonjwa pia ni pepo unapona bur bila gharama yeyote ile gharama iman yako ninasema hivi kwakua ninaushuhuda Dada
@lisangiadidja3423 жыл бұрын
Tatizo meneja ulikuwa nataka kiasi kikubwa sana kuliko muhusika
Maskini,kumbe tulimlaumu bure meneja,pole Fatuma lkn usijari futa machozi anza maisha mapya kila kitu kitakuwa sawa
@credomogela33493 жыл бұрын
Nyie wadada mnao penda pesa upo humu....oooh.. tuma na yakutolea..
@otiliahaule68673 жыл бұрын
Dah pole Sana Fatuma nimejifunza pia
@satwanthoogan67463 жыл бұрын
Tuko pamoja my dear Vero! 👍😍
@imagepower36413 жыл бұрын
imeisha hiyo😢😢😢steling kafia kwenye maua
@nancymushi46773 жыл бұрын
Nakupenda dada vero unasimulia vzr mnoo
@latifayusuphu88462 жыл бұрын
Pole fatuma,,,Uyo mzee Alaaniwe jmn Khan ata huruma ana loh???
@monicadamiani45372 жыл бұрын
Pole Sana Fatuma 😞Dahhh Pole Jamaniii
@satwanthoogan67463 жыл бұрын
Ama kweli, tamaa mbele mauti nyuma! 😭😭😭
@fatmasalim82933 жыл бұрын
Imekwisha au bado nasubiri jamani🥰😍🇴🇲
@hopejohnson73522 жыл бұрын
Hyu babu ni mshez jaman sijawahi kuona😰😰😰
@mwanaidihamisimtupa51263 жыл бұрын
Pole sana fatuma
@frankmtei30173 жыл бұрын
Alikua mkombozi feki,.. Pole sana..
@satwanthoogan67463 жыл бұрын
My god, 😭Pole sanaa Fatma!
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Mapenzi hayachagui mzee wala kijana
@saraasatenisanasimlizimixc92323 жыл бұрын
Ndah pole sana Fatma ila jipe moyo kuasilika sio mwisho wamaisha
@alimasially1093 жыл бұрын
Pole san fatum mungu yuko pamoja nawe
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Kabisa
@allytv17143 жыл бұрын
Pole sana ila kiukweli wanawake wengi mmeweka mbele tamaa kwenye mahusiano kuliko upendo ndo maana manatuua ss ambao atuna hatia
@lucyjoseph91423 жыл бұрын
Hapana unajua nikwasababu ya shida mbona yuda alikua mpenda pesa kwani yeye girl?
@tanzaniaoman64233 жыл бұрын
Asante sana kwa funzo
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
No 1
@muniraally25293 жыл бұрын
Pole sana fatma
@joviaajuna23863 жыл бұрын
Duh shilingi Maua Pole Fatuma
@sadabahla71203 жыл бұрын
Daaa pole Sana fatuma
@pricillahningah5582 Жыл бұрын
Poleh Sana Fatma😭😭
@maryumamapunda19893 жыл бұрын
Daah...Pole fatuma
@yonayoh37363 жыл бұрын
Mnapo ambiwa tamaa mbaya muwe .mnaelewa hasa nyie kina dada😆
@sadabahla71203 жыл бұрын
Na nyie nae mnatamaa mbona mnawapenda mjimama mnataka mini kule kama sio tamaa
@yonayoh37363 жыл бұрын
@@sadabahla7120 lakin mm sipend hayo majimama😆
@sophiasophia69453 жыл бұрын
We acha tu
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Hata nyie sikuhizi mnatamaa ya pesa kuliko wanawake
@yonayoh37363 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 sis hapana bhana 😆
@zainammary56763 жыл бұрын
Jaman wanaume n washenz sana na ndo.
@allytv17143 жыл бұрын
Acha kulamu wanaume siyo jila mwanaume ni mshenzii nyie tamaa mmeweka mbele sana kuliko upendo
@aishayunusu65503 жыл бұрын
Daaa pole fatuma
@samsonalossi12703 жыл бұрын
Pole aisee dah😭
@frankmtei30173 жыл бұрын
Acheni kumlaumu, wengi mtapita humo humo
@mwanahawayunus36533 жыл бұрын
Sorry but remember karma is shupening his nail..atajuta huyo Mzee Na gawadi be wake
@khadijarajabu7613 жыл бұрын
Jaman kwann lakin kamfanyia ivo
@joviaajuna23863 жыл бұрын
So meneja sio Babu wote wauaji tu
@maguga3 жыл бұрын
Wakwanza .wenyewe
@febostanyika64643 жыл бұрын
Dah jamn
@sarahisanzu21233 жыл бұрын
Kama vile namuona Fatma
@felisteralias44053 жыл бұрын
🥺🥺😭
@imagepower36413 жыл бұрын
duh😢😢😢😢
@jemamhando81723 жыл бұрын
Dha!
@felisteralias44053 жыл бұрын
😒😒
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Nilisem meme Ukimwi Utapata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Nime jifunza Asante sana veronica
@vailetadam33663 жыл бұрын
Sasa unacheka nn?
@vailetadam33663 жыл бұрын
Unaijua kesho ya watoto wako??
@shaniasuleimanchamchuashan4263 жыл бұрын
@@vailetadam3366 me pia nmemshangaa
@tausisaid19913 жыл бұрын
@@vailetadam3366 ndo Hawa wanafurahia mabaya ya wenzao jaman cjui yukoje
@samsonalossi12703 жыл бұрын
Unacheka Nini sasa 😏
@didaher70873 жыл бұрын
20 percent alivoimba "CHUNGA TAMAA MBAYA" hakukosea jmn daaah inasikitisha kwakwel pole fatma KAZA ROHO Mungu yupo yeye ndo mtoa riziki na sio shortcut hizi.... asee
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Fatuma aumizwa na mapenzi na sipesa moyo haezi kumkosa mzee
@didaher70873 жыл бұрын
@@ftimaramadan4748 na pia pesa ndo ilimfanya azidi kuvutiwa na babu bila pesa hata acngefika naye huko SAD TRUTH HAYA NDO MAISHA YA UKWELI YA SASA TAMAA ...
@lulukamanga69453 жыл бұрын
Ni 20 percent 🤣🤣🤣
@didaher70873 жыл бұрын
@@lulukamanga6945 asante nilikua nahuzuni jmn🤣🤣🤣🤣🤣sio Kwa sele boy
@elisifamsengi91963 жыл бұрын
Jamani cyo pesa ni vishawishi2
@marynyella28883 жыл бұрын
Pole sana fatuma
@fredrickedward98323 жыл бұрын
Mm pia kuna m babu ananiitaji ila namchega chega sana kwan ananiaminisha yuko salama kisa wanapimwa kwenda nchi za nje kumbe ndivyo walivyo
@alimasially1093 жыл бұрын
Hahahaha jarb nawew tuna subr simuliz yako
@shaniasuleimanchamchuashan4263 жыл бұрын
@@alimasially109 🤣🤣🤣 jmn
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
@@alimasially109 hahaha
@fredrickedward98323 жыл бұрын
@@shaniasuleimanchamchuashan426 hapana ananingangania ila siwezi
@fredrickedward98323 жыл бұрын
@@ftimaramadan4748 due nimejifunza kitu babu Leo yupo ulaya kanada namchega akija na zawadi namwambya mpe boda aniletee tena sio nyumban naogopa