Hakika hekma ni kheriii kubwa I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi kipenzi chetu
@skjjsj18892 жыл бұрын
Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera Allah akuhifadhi
@abdulkarimmavuo6459 ай бұрын
Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
@makolokatanda44566 ай бұрын
Acha ushabiki kwe masuhara ya dini
@alhajrahassan892 жыл бұрын
Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
@idrissajuma73082 жыл бұрын
Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻
@OusWildChannel2 жыл бұрын
Allahumma ameen, sote pia
@khadijaali21732 жыл бұрын
amin
@LuqmanAndrew-nu9rx6 ай бұрын
Allahumma Amiina
@GabharSing7 ай бұрын
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
@salimaljahwari1 Жыл бұрын
Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.
@hemedali49102 жыл бұрын
moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....
@SHOMARYHIMIRY15 күн бұрын
Yupo vzur sana
@sheykhansheykhan Жыл бұрын
Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.
@marrowog89752 жыл бұрын
Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*
@MakameSilima-y4f10 күн бұрын
Allah anasema "humpa hekima amtakiae natakaepew hikma basi hiyo ndio amepewa kheri nyingi" Mashaa allah sheikh wetu umepewa hikma allah akuzidishie
@gonasaidjuma27002 жыл бұрын
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
@adilhabib89882 жыл бұрын
Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu
@basakimnguuchannel34022 жыл бұрын
Mashaallah shekhe mselem
@ibugharib3892 жыл бұрын
MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus
@tumajunior60802 жыл бұрын
Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah
@kanaanrajab11022 жыл бұрын
Fact ukhty
@ababukarlinus9355 Жыл бұрын
Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.
@makerebul36504 ай бұрын
Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.
@shamimnassor61922 жыл бұрын
Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@shamimnassor61922 жыл бұрын
@@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.
@shamimnassor61922 жыл бұрын
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
@nurasalimu2403 Жыл бұрын
Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe
@gyeong5972 Жыл бұрын
Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally
@suleimankhalid5978 Жыл бұрын
Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah
@salmaalisalim24622 жыл бұрын
Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera
@jamalmohamed34002 жыл бұрын
Jazakllahu khairan... Sheikh
@abasmuniru1422 жыл бұрын
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira, Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :- وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. Pili hadithi ya mtume والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " . Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia. Pia ANASEMA :- وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم. Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni. Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
@mouzamohmad87432 жыл бұрын
Sahihi 👌
@mouzamohmad87432 жыл бұрын
Sahihi 👍
@mohamedmkami7017 Жыл бұрын
Nasubilia majibu ya hii comment.
@LuqmanAndrew-nu9rx6 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏
@nuramoboy2 жыл бұрын
Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa
@YudaJuma-n5e5 ай бұрын
ALLAH akuhufadh shekh
@abasmadodo99642 жыл бұрын
Allah akupe pepo inshaallah
@twalibuabdallah62437 ай бұрын
❤❤❤aamin
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
@ashrafseif94602 жыл бұрын
Swadakta
@Jadidatz2 жыл бұрын
Wanataka followers kwa kivuli cha dini
@kimedyrashad92712 жыл бұрын
Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
@kindi4926 Жыл бұрын
Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.
@abdullahmasakata1707 ай бұрын
@@kindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
@omarkhamis15392 жыл бұрын
Maashallah
@tumajunior60802 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli
@mohamedkhamishamad6 ай бұрын
Masha Allah shekhe
@takdirmahmoud2 жыл бұрын
Shukran Sheikh
@cashewnutboardtz7325 Жыл бұрын
Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally
@hawahassan16232 жыл бұрын
Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana
@khamishamad50442 жыл бұрын
Pocho
@willajr95132 жыл бұрын
@@khamishamad5044 pocho ni nini? 🤣
@salummazurui32702 жыл бұрын
Mashaallah sheikh
@Kimochatv6 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe
@ابومعاذاحمدناصر2 жыл бұрын
Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa
@ayoubsadi51862 жыл бұрын
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
@DreamGirl-xn7ce2 жыл бұрын
👍
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Uko sawa sheikh
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Shekh mselem sema kwel japo kua chungu
@ramadhankheir47932 жыл бұрын
Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia
@husnamohamed94482 жыл бұрын
Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa
@ramadhankheir47932 жыл бұрын
@@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an. Qur-an 3:199
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Qur-an 6:21 Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Qur-an 6:22 Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?
@DreamGirl-xn7ce2 жыл бұрын
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). .. 3.199
@shabaniali98252 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 ahsante sn
@loveofficial742 жыл бұрын
Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.
@nassirali74992 жыл бұрын
Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri
@yussufsaid6542 жыл бұрын
Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116] Na Allaah Anajua zaidi
@alindaro79782 жыл бұрын
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
@mahirkombo5352 жыл бұрын
Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar
@ziadamtebwa37122 жыл бұрын
Allah akulipe hakika umefikisha.
@shaabanmrishoshaaban19452 жыл бұрын
Halafu we uliounganisha HIZ picha kwenye video hii we ni mtu ulioubeba FITNA dhidi ya UISLAMU Chuki zako na mtu unazifungamanisha na mtu ambae kazungumza tu hakumtaja mtu Kisha we kwa chuki zako unafanya makosa haya Usiwe hivyo unakosea FITNA ni mbaya kuliko KUUA
@hawahassan16232 жыл бұрын
Kabisa yaani. Angalia hata heading zake
@saidmaulid44782 жыл бұрын
MashaAllah
@yussufsaid6542 жыл бұрын
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
@JumaaChaurembo8 ай бұрын
Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.
@murshydali29532 жыл бұрын
Mashallah Bora uambie ukweli Mana dini no moja ila wameifanya ziwe dini nyingi
@selemankishema57802 жыл бұрын
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
@khadijasaidi4834 Жыл бұрын
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
@mussaathumani9814 Жыл бұрын
Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako
@abdulrahimsalim88092 жыл бұрын
Alhamdu lillah
@suleymansalim57322 жыл бұрын
Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya
@jumaabdurahmani27336 ай бұрын
Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati
@ابومعاذاحمدناصر2 жыл бұрын
We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka
@fadhilimussa50672 жыл бұрын
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo Samahan kwa usumbufu
@alisalimhamad35502 жыл бұрын
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
@abumussabnassor61412 жыл бұрын
Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao
@khatibrashid172 Жыл бұрын
Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut
@abdullahalbalushi38562 жыл бұрын
💯 💯 sheikh
@abumussabnassor61412 жыл бұрын
Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%
@شيخنيف2 жыл бұрын
Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu
@abdullahalbalushi38562 жыл бұрын
@@شيخنيف Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu
@شيخنيف2 жыл бұрын
@@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida
@allysuleiman5172 жыл бұрын
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
@mohdhaji21862 жыл бұрын
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
@mchajuma42712 жыл бұрын
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
@allysuleiman5172 жыл бұрын
Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke
@jumahamadomar91242 жыл бұрын
Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha
@abdulhamidhaji5056 Жыл бұрын
@@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti
@abusumayyah23382 жыл бұрын
Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij
@tibakisunnahnaasili62502 жыл бұрын
Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂
@burhanhaji7692 жыл бұрын
Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?
@helefkdk51256 ай бұрын
Sawa kabisa
@salmasalim3525 Жыл бұрын
MashaAllah
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu
@يحيىاحمد-ت9ض2 жыл бұрын
HIVI WALE WASIO KUWA WAISLAMU AMBAO WANAMINI MUNGU PAMOJA NA KULIPWA SIKU YA MWISHO NAO WATAINGIA PEPONI????
@ahmadayub31972 жыл бұрын
Alie kua c muislam haingii pepon ata amin kias gan mpaka akubal kuslim awe muislam na atende mema
@mmn5952 жыл бұрын
hata mm najiuliz hili swali
@abdul-azizabbas69912 жыл бұрын
Qur-an sura 40 aya ya 40 inaeleza vizuri ilo swali, lkn ndo mungu anajua zaidi
@شيخنيف2 жыл бұрын
"3:85" Qur-an , Jipu lipo hapa
@abdul-azizabbas69912 жыл бұрын
Pia Qur-an 43:67-70 inaeleza vizuri tu, M. Mungu anajua zaidi
@youssouphsalum7862 жыл бұрын
Allah humma amin
@uledihassan60652 жыл бұрын
Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu
@ابومعاذاحمدناصر2 жыл бұрын
Wewe je hahhaahaah
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
Ni kweli ndg yangu Uledi, wanaojiita salaf ni hovyo tu.
@hafanabdallah31122 жыл бұрын
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
@harithnyara19482 жыл бұрын
Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu.. Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..
@mansoormannix1753 Жыл бұрын
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe. Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
@sharriffcharo19152 жыл бұрын
Kwa hili huyu sheikh sija muelewa
@khaalidal-esry22112 жыл бұрын
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu. Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
@adamnguvu10202 жыл бұрын
*HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*
@AliHassan-oe8sy2 жыл бұрын
Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu
@nassirali74992 жыл бұрын
Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments
@coyancodavao4004 Жыл бұрын
@@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka
@yussufsaid6542 жыл бұрын
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
@AbdullBakari Жыл бұрын
mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa
@saadmohammed36402 жыл бұрын
Darsa za sheikh msellem inakua ni wapi na muda gan ?? Naomba niambiwe
@mustamimmushajara89922 жыл бұрын
Kabla hajaekwa mahabusu ilkua jumatatu masjid nour ila kwa sasa sielewi
@ridhwaniyassir35792 жыл бұрын
Allah atuhifadh
@ahmadsayyeed79102 жыл бұрын
Shaikh mselem nimependa ulivyomjibu huyu kijana mana hatuna amani hatujui tufanye nini mana anatuambia kila kitu kimekosewa mwanae bachu mpuuzi mkubwa
@shafikakrabi84902 жыл бұрын
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
@أبوفيصل-د3ش2 жыл бұрын
Anachozungumza Ni Talbisi. Bado Hajarud ktk Kufuata Sunna. Kama Mtume Alisema Yatatokea Makundi 73 Ktk huu uislam.Leo hii utalikataa vip hili na wakat ni Waaqii kabisaaa. Kuna Mashia,Maibadhwi,Makadiyani,Masufi na Twariqa zao,Makhawaariji na Makundi yao,.....Halafu wakataa eti waislam hawana Makundi
@أبوسليمان-د6ه2 жыл бұрын
Mwalimu akishatoa mtihani basi anaesahihisha ni mwalimu na sio m.fnz mwenyewe kujisahihishia . In case you dont know
@salamanyale22262 жыл бұрын
Hujamuelewa shekh
@أبوفيصل-د3ش2 жыл бұрын
@@salamanyale2226 Ww umemuelewa haya twambie
@fadhilimusa97323 ай бұрын
Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia
@fatmamudy45082 жыл бұрын
Mashaallah
@babaajnaty86292 жыл бұрын
Hujmb ww
@leonardmbonea41172 жыл бұрын
salafi wanawakosesha usingizi wagonjwa nyie. alafu mnajifanya mnajitetea kwa kudanganya kwamba mmeambiwa nini ni watu wa motoni . Ninyi ni watu wa bidaa waambie watu wa kawaida watu wa bidaa maana yake ni nini, msipindishe mada
@ahmadmadaai13572 жыл бұрын
Povu
@binaamour3182 жыл бұрын
Mgonjwa mkubwa ni ww uciejua unaloongea hii cio mpira was siasa
@ابومعاذاحمدناصر2 жыл бұрын
@@ahmadmadaai1357 limekuuma lkn
@nduguviongozi65842 жыл бұрын
Tutakufa na mtoa hukumu yupo na hakuna shaka katika hilo. Kila mmoja ajiangalie kwa umakini sana badala ya kusemana
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam
@yababuluku6852 жыл бұрын
Shekh mserem umeeleweka uliobaki ni ubishi tu hamna lolote
@sadahgullam82282 жыл бұрын
Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi