Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
@abdulrauphaiy303215 күн бұрын
Naam.
@user-je7no7lq7d13 күн бұрын
exactly
@fredducaunt13 күн бұрын
Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
@user-bc2wd1sq3kАй бұрын
Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
@ramadhaninchimbi880724 күн бұрын
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
@abelwillium42866 күн бұрын
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
@user-pe1qv1sn5pАй бұрын
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
@Matunzo_Classic23 күн бұрын
1a
@user-rt5vq5vc3kАй бұрын
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
@Onchieku-cp8wd29 күн бұрын
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
@RamadhaniMsukumaАй бұрын
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@AbdulMikidadi-sl9gxАй бұрын
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
@user-kn8pw7vk4e29 күн бұрын
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
@user-yv3qi1yf3j9 күн бұрын
Swadakta
@user-yv3qi1yf3j9 күн бұрын
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
@ismailsoud3634Күн бұрын
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
@mohammedrutta49898 сағат бұрын
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
@yusuphibrahim-yq9mvАй бұрын
Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu
@nundabeАй бұрын
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
@softymoha5484Ай бұрын
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
@AlfredZacharia-of3je27 күн бұрын
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@fredducaunt13 күн бұрын
@@softymoha5484toka pepo
@jovinmancomedytzАй бұрын
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
@alianboori9734Ай бұрын
Mm pia namkubali
@allyally5124Ай бұрын
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
@omarmzaham724822 күн бұрын
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
@rashidbusanya5843Ай бұрын
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
@user-qw3fj1zw6p2 күн бұрын
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
@JumaHamisi-qh3lo28 күн бұрын
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
@hakizimanaselemani1995Ай бұрын
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
@trophywilson7211Ай бұрын
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
@Ostica..Omie..juniorАй бұрын
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
@abdallahmkali3251Ай бұрын
Mtangazaji amejikanyaga
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
@FridayMwassa28 күн бұрын
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
@hatibubalozi59226 күн бұрын
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
@maciaali369811 күн бұрын
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
@ismailsoud3634Ай бұрын
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
@LumolaStevenАй бұрын
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@ismailsoud3634Ай бұрын
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
@ismailsoud36342 күн бұрын
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
@rukaka_jr451410 күн бұрын
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
@abubakarahyan9515Ай бұрын
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
@SuleimanMsechu29 күн бұрын
Ulikutapeli je tuambie
@shamimnelly.8042Ай бұрын
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
@rashidkapileАй бұрын
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
@eliudieliya639427 күн бұрын
Huyu ostadhi anapatikana wap
@user-yd3me5rr2z22 күн бұрын
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
@amyassyassin7909Ай бұрын
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Swadakta
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
@FatmaayoubsuleymanSuleymanАй бұрын
(@@thabitimkufi7388
@8pistons19429 күн бұрын
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
@FridayMwassa28 күн бұрын
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
@kasichimoses686914 күн бұрын
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
@shamimnelly.8042Ай бұрын
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
@vijanawapendakherfoundatio5069Ай бұрын
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
@ala160815 күн бұрын
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
@albertpike6208Ай бұрын
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
@jumaa052Ай бұрын
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
@user-pl8pn7qb9e24 күн бұрын
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
@CKMO25 күн бұрын
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
@sadikiissa7756Ай бұрын
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
@jesusislord9190Ай бұрын
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
@jpmanotaofficial639Ай бұрын
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@jesusislord9190Ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
@mohamedmwatuwano5526Ай бұрын
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@fredducaunt13 күн бұрын
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
@vijanawapendakherfoundatio5069Ай бұрын
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
@abuarifhassan631627 күн бұрын
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
@luqmanjafari16 күн бұрын
Hakuna chchte hapo
@user-qw3fj1zw6p2 күн бұрын
Munguninuxuru nauyu hoxtdhi yukoxahihi
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
@saidishekalaghe3496Ай бұрын
SWADAKTA
@mpodilesefu3437Ай бұрын
😂Ni kweli kabsaaaaah
@joshuaandrew386Ай бұрын
Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.
@Anuarmustafa4128Ай бұрын
Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu
achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56
@user-ve3wu5jn1l28 күн бұрын
Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi
@OG_The_King27 күн бұрын
Amina, Hakika Yesu ni Bwana
@allykigatta7564Ай бұрын
....HAWA WOTE NO WAGANGA WA JADI KUMAAMAYE ZAO....HAKUNA SHEHE HAPO WALA USTAADHI...HAO WAPO KWA AJILI YA KUUKASHIFU UISLAM TU BASI.....SHEHE NA MAPETE NI WAPI NA WAPI....KUANZIA DR SULLE NA HUYO MBWA UNAYEMHOJI HAPO WOTE NI WAGANGA WA JADI KIMAAMAYE ZAO...
@nassercurtis9579Ай бұрын
Sasa matusi ya nini, au kuitana aina ya wanyama? Umekosea sana sana, umefika mahala pabaya mno kumtukana mtu asiehusika ni sawa ? Omba msamaha hata kimoyomoyo si jambo la kheri kumtukana mama au kuitana majina ya wanyama
@allahisone6386Ай бұрын
UPEW ULINZ WAKUTOSH
@yusufkishiwa-wr3jnАй бұрын
Mtume Muhammad Aliwauluza ma swahaba mufilusi Ni mtu wa Aina gani? Ma swahaba wakajubu Ni mtu aliyefirisika Kisha Muhammad akasema mmekosa Mufilisi Ni yule mtu anayewatukana wazazi wake wawili mfano unapomtukania mwengine wazazi wake hapo Ni sawa na kuwatukana wazazi wako
@faridahalwaily85Ай бұрын
Anaeeee Linda ni mwenyezimngu tuuu hakuna zaidyyyyy yakeeeee.
@aishathabit3732Ай бұрын
Swadakta
@Zaharaamiri28 күн бұрын
Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam
@swahilitherapytv3846Ай бұрын
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
@alianboori9734Ай бұрын
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Sahihi
@SaeedMughayyar-jv8et14 күн бұрын
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
@halimamohamed4842Ай бұрын
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
@rashidabasi794016 күн бұрын
Watu wengi wanaingia kwenye ushirikina kuamin ktk majin ni watu twariqa, wanakumbwa sana na mtihan huu.
@user-ei9rh7vh7e14 күн бұрын
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
@issahajjiira5411Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Sahihi
@meckmussa1840Ай бұрын
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
@alijuma675Ай бұрын
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
@salumuledisalum803829 күн бұрын
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
@aziziatumanially42420 күн бұрын
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
@muhammadmbaraka451517 күн бұрын
ALLAAH akuongoze
@noors70303 күн бұрын
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
@mwatumsaidi5104Ай бұрын
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
@omarbinjaa2801Ай бұрын
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
@kaundemtangaАй бұрын
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
@gideonjohn8912Ай бұрын
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
@hamisiiddi7340Ай бұрын
Tunaomba namba
@GoodDeeds-JesusАй бұрын
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
@fredducaunt13 күн бұрын
Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu
@azizabuyonde8368Ай бұрын
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
@maciaali369811 күн бұрын
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
@user-ih7nl5nv3cАй бұрын
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
@hamzarangi7989Ай бұрын
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
@OmarMohamed-zf8dp29 күн бұрын
Mm nimmoja wa watuambao nimekutana na mambo mengisana ya kidunia ambayo sijaomba wala kutafuta ispokuwa ulimwengu ndio ulinifanya iweivo baadakuwa napigwa vita na wanadamu tena wandani ya familia sasa majini nilokuwa natupiwa kwaajili ya kuzulumiwa sasa mungu hajawa tayari kuwa mm mjawake kufa sasa majini waliamuwa kubadilika ndio wakaja kwangu naniukweli wamehitaji mm nifanye kazi ya utibabu na utafanya vip utibabu bila kukutana na hawaviumbe lazima uwaite tena anakuja na mnaongea na kiukweli hata wachawi iliuchawi wao utumike jini na quani na miti ifanyekazi tofauti na mti na quani mti unaroho iriji toka umeubwa ila quani mpaka uisadifu hayomambo nimakubwa sana
@bare-gj2mu2 күн бұрын
Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?
@AishouSamanthaАй бұрын
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
@user-hq9wo6id8r27 күн бұрын
Naomba namba zako Sadi
@quanahmad339327 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-rh6jd2zh6z26 күн бұрын
Naomba namba yako sher
@mohammedjabir612824 күн бұрын
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
1.Mhoji na mhojiwa ni washirikina. 2.Hakuna kanisa la Kristo linaloshirikiana na majini.
@user-ly2tv5og1n29 күн бұрын
Soma vizuri kuhusu kuundwa kwa Freemason utapata ukweli.
@triuneapologeticsevangelis591229 күн бұрын
😂😂😂hata maswala Yako kwa Quran na waislamu lakini kwa unafiki wanajifanya yanafanika makanisanai... Ignorance 😂😂😂
@abuudachi398616 күн бұрын
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
@EliaMwangobeАй бұрын
Ko hilo neno la kiarabu la kuitia majini linasemwaga kansani ???? Acha uongo mwamba umeyatimba
@FadhilKassim-qj8tc18 күн бұрын
Huyo na Dr sule wamoja
@saidjuma454721 күн бұрын
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
@sophiabaraka760Ай бұрын
Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe, Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.
@sadathashimu223Ай бұрын
Huu ni ushirikina mtupu namuomba ALLAH mtukufu atuongoze sote maana Hawa ndo wachafuzi wa uislam kwa elim zao za kitaoeli za kutafutia ugali
@swahilitherapytv3846Ай бұрын
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu ya shiriki.
@raymondmunis355319 күн бұрын
Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu
@masoudjongo17 күн бұрын
Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo
@musapfute6608Ай бұрын
Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha
@user-jh1vr1vt2kАй бұрын
Tatizo duniya hii mtu akiongea ukweli anaonekana nimpotoshi yeye hajasena hivoo lakin
@memorataedson789516 күн бұрын
Wakristo ukiwa na Yesu ty huitaji mti pete majini au kitu chochote ni Yesu tu anatosha
@rahmasuleiman788817 күн бұрын
Washirikina hawa wajivisha ushekhe wapotosha watu bila ilmu
@DeoMalunguАй бұрын
Asante Mungu mimi kwakuwa mkristo
@abdoumadiousseni4835Ай бұрын
Kkkk
@joshuaandrew386Ай бұрын
Hakika ukristo Raha na ukweli usio na unafiki YESU NDIYE NJIA PEKEE KWELI NA UZIMA.Aasante na namshukuru MUNGU kuwa mkristo.
@bakarithegeoinformatician740629 күн бұрын
Kwahio hapo kuna muislam unavyoona? Hao washirikina wote kuvaa kanzu haimaanishi kuwa wewe ni muislam. Kwahio hii kesi ya mchungaji kubaka inamaana kuwa wakristo wote wamebaka au wanabaka? Ni tabia ya mtu tu
@jaaffarabuu675028 күн бұрын
Ww huna din nahuyo pia sio muisilam ndugu soma kumjua mungu wahak
@AlfredZacharia-of3je27 күн бұрын
Huo ndio uislam maana majini walisilim wakawa waislam
@amidanibimenya9692Ай бұрын
Yani wewe unajaribu ili ujuwe mungu akulinde .yani wa somi poleni .sis wamungu mungu atazidi kutulinda
@qariuzzamaantanzania707423 күн бұрын
Tuna mashehe wengiiiii wa mitandaoni. Mojawapo ya dalili za qiyama Ukiona wasiokuwa na darsa la watu mbele yao, kw maana angalau wanafunzi watatu tu, akifundisha Qur'an fiqihi tauwid nk. Yupo mitandaoni tu ama mihadhara ambayo mwisho wake ziuzwe dawa na michango kw ajili ya matumbo yao.....
@abdulfatahumarsaideazamo265429 күн бұрын
Hapa Hakuna tcha ushekhe wala wislam safi. Huyu hana dhihirisha kuwa ni mshirikina na hana ijua shirk tena vizuri sana
@MeenaHassan-fd9vvАй бұрын
Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu
@SAIDNYUNGU4 сағат бұрын
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda
@mbarakassa434724 күн бұрын
Amakweli sikuhizi Kuna wachawi watoto kamahuyu anaye zungumza aibu,hana Acheni ushirikina kaeni kitako musome wacheni njaaa
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
@samorajama883318 күн бұрын
WOOOÒTE HAWA NA WANAOFANANA NA HAWA WOTE NI WASHIRIKINA NA KILLA ANAEITIKADI HAYA HAWAPO NDANI YA UISLAAM SOMENI KITABU CHA LAAAA ILAAAHA ILLAA LLAAH VITENGUZI VYA UISLAAM
@tahirnephessalum367815 күн бұрын
kiebrania ndo lugha aliyozungumza yesu...
@Muzmuayubu26 күн бұрын
Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina
@AbuuNuraiyah900918 күн бұрын
Hiyo sio elimu bali ni uchawi.acheni kudanganya watu
@fatimahirakoze7311Ай бұрын
Kumbe washirikina mnajificha ndani ya dini ya Allah Na Allah atawaumbua
@josephdogani3419Ай бұрын
Si kwamba wanatumia dini k si kwamba wanatumia dini kufanya ushirikina bali koloani nzima no uchawi tosha ksbiss
@bassambashirou4604Ай бұрын
Wapi Quran imefundisha hayo unayoyasema ?? Acha ubabaifu wewe yaani makafiri ufahamu ni tatizo yaani unashindwa kujua kama Hawa ni washirikina ??? Mashonde yanskusumbua 😂😂😂
@kahenatz3594Ай бұрын
Majina uliyo yataja ya majini ndio majina ya maraika waasi kwa mujibu wa kitabu cha henoko
@mohamediliyei5879Ай бұрын
Watu wengi wasiokuwa na elimu hutumia mihemko kufikisha yao unajua elimu hizi zipo nyingi Watu wamezama kwenye elimu mbali mbali ndio maana wazungu baada ya kuona wenye vyao akili zao ni kukopy na kupest bila kufuatilia mambo wenzetu wazungu wanavichukua na kuvitumia na kufanikiwa maeneo mengi sana lakini kwa hawa Watu waliojaliwa kubishana na kutukana mitandaoni ukiwachunguza kwa undani hawana elimu wasoma tabbatiada zao tu wameanza kujifunga viremba tu hata vyanzo na maana yake hawajui tusome elimu jamani tuzame kwenye vitabu msome msikalie matusi tu mnajichoresha tu
@HafidhKhamis-ph8qgАй бұрын
Hakuna malaika alieasi acha kufru wewe
@user-ux8gk9xq5qАй бұрын
Allah tusamehe yarabi Hawa watu Jamani wanakudhihaki yarabii masufii hawafai wanaleta mambo ambayo kwenye dini hayatakiwi kwani kusoma diniyenu vizuri hamuwezi anasema mwana wachuoni ibnusirin hakika hii elim yadini angalieni nikwanani mnaichukuwa) ndohivi mnapeleka kusoma uganga alafu mnauchafua uislam namnaita niuislam sio subirieni subirieni. Adhabu ya Allah matwaghuti nyiye siwapendi masufi hawana akili ya kuijua haki Sunna ndo haki masalafi ndo wakokatika haki sikuzote
@MathayoAugustinoАй бұрын
Mnamtania Mungu
@hassanmohammed622929 күн бұрын
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
@zuberhamza785229 күн бұрын
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
@OmarMohamed-zf8dp29 күн бұрын
Elimu ya nyota kiukweli ni elimu ila utakapo ijuwa lazima utaingiandani na utashikishatuu na maustadhi wengi pete wanazo waulizwe kwa nn wanavaa pete tena tofaut tofaut na petelazim iwena wenyewe
@hussenihamisi286217 күн бұрын
Achani kutukana uislamu kwa mambo yanu ya ushurikina uislima nidini anayo pingana na mambo hayo
@user-lr6ri8bx2f29 күн бұрын
Innalillah Wainailayhi rajiun
@mRpLaN0074Ай бұрын
Huyo huwenda akawa mkweli sehem nyingine, lakini anaposema Waebrania ni waarabu anakosea. Ebrania ni lugha inayotumika Jerusalem (Jewish) ambayo kwa kizungu ndio inaitwa Hebrew. Ndio maana waisrael wenyewe kiarabu wamekigusa kidogo na lugha yao matamshi yake ni kama kiarabu. Akasome vitabu vizuri inaonekana yeye amekaririshwa vibaya asije akapoteza na wengine kwa kukariri kwake. Allah mjuzi zaidi.
@user-hf3sf7rh5m28 күн бұрын
Huyu kijana yuko vizuri kabisa ! Kumbe kwa wa islamu piya kuna wanao fafanua mambo kwa ukweli ?
@joventjohansenmushwaimi1988Ай бұрын
Ndg Sheikh mm naomba contact zako Kuna mazungumzo na ww ndg yangu kama unasoma pls weka contact
@ramadhanimtetu3656Ай бұрын
Kwa Tuliosoma CUBA tunajua Huyu Na mwenzie Wote mfano wa huyo Ni wachumia tumbo Ndio wale wale Waganga wa KIENYEJI hao Hizo kanzu ni Za kupigia tu Mjini Hapa