Gari aina ya Rolls Royce Wraith yenye thamani ya takriban shilingi milioni 760, iliyomuua Ginimbi haikuwa na bima, imefahamika.
Пікірлер: 45
@raimajimoto11223 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema inshallah..
@maryamm77653 жыл бұрын
Dah Mungu atupe mwisho mwema
@susanruo80873 жыл бұрын
Duh 😭😭
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Subhannallah, mtihan Kwakweli
@user-ij5ig4uu1y3 жыл бұрын
😭😭😭😭Daaaah
@josephatjordan21503 жыл бұрын
Wamwisho Jaman
@zainbomary39703 жыл бұрын
Wangemzka tu jamn daah kwa nn wazuie mazshi
@eliaschigugu95903 жыл бұрын
Ila Jamaa angu unafaa kuja usafini kbs kweny the story book
@juxjemc57683 жыл бұрын
Hata uwe na magar ya kifahar ila tunaokuzika ni cc maskin
@freduallughano23013 жыл бұрын
ajabu kweli sisi wenye uchumi wa kati gari hizi adimu kweli na ukiliona la miaka kenda!
@Cyper2553 жыл бұрын
Makosa hayo
@jefenggg34423 жыл бұрын
Dhaaa wanamukoseya marehemu kwakweli😭😭😭 dhaaa
@issayahanthony56813 жыл бұрын
Polen sana
@rehemashafi48093 жыл бұрын
Punzikeni kwa Amani wote mliotangulia mbele za haki
@ashuuuaisha91223 жыл бұрын
Hatari aiseeee 760 .haya wapumnzike salama
@winifrdaerias26933 жыл бұрын
Lilikuwa likitembeaje bila bima na kuna trafic au la 760 du hata kuuliza bima unarihusu tu au iliungua pale
@asinathasinath50903 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@sadiyakb84983 жыл бұрын
Wakwanza
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Wapumzishe tu jamani
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
Dah familia kugombania marehemu n ushamba jmn ebu wampumzishe kwa amani😭
@hassanisadiki8243 жыл бұрын
Huwezi kujua athari yk siku ya hukumu ndio maana wasema hvy
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
@@hassanisadiki824 wewe unaijua?
@hassanisadiki8243 жыл бұрын
@@lilianjeremia1024 Alhamdulilah kwa kila muislm anajua
@hanifaally46943 жыл бұрын
Ya ALLAH tupe mwisho mwema sasa billionaire anatembeaje na gari haina bima inamaana anamagari mengi ya gharama hvy halaf alikuwa hayakatii bima kweli?
@amanimanase87993 жыл бұрын
Mbona apa usa waislamu wanazika nasanduku, wenyewe wazike kivyovyote harudi tena.
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Yaani, sasa ilo joka la Ginimbi wanalosema limemeza watu wengi, lenyewe liko api muda huu? Afu Moana si aliungua kabisa wapumzishe mabaki yake kwa amani tu jamani
@zabibunduwimana46123 жыл бұрын
Wamuhache marehemu apumuzike kwa amani😭😭
@mastaplan3 жыл бұрын
Adhabu ya kabuli hakuna pumziko...
@latriciah01augustino673 жыл бұрын
Kifo kikifika hakuna wa kuzuia.... Najiuliza kwanini wasingetumia mlango aliotolewa ginimbi mpaka wakaungua beyond recognizition😩 Allahuallam nawaza tu kibinaadamu
@ashuuuaisha91223 жыл бұрын
Wanadai hawa walibanwa sana. Na milango ya gari ilikuwa na lock .sasa walipomtoa mmoja dk chache tu gari ikawaka
@hanifaally46943 жыл бұрын
Hizo gari ni nzur lkn mlango ya kutokea iko mbele tu nyuma hakuna Milang design yk ilivyo then dakika chache baada yakutolewa ginimbi ikalipuka hakuna mtu angeweza kusogea au wao kutoka yaan ukisngalia video yao hao wadada wanavyolia aisee huwez taman chchte yaan ALLAH atupe mwisho mwema
@Excuvation043 жыл бұрын
@@hanifaally4694 hio video yao inapatikana wap
@hanifaally46943 жыл бұрын
@@Excuvation04 kwa tempestitouslyracheltemu Instagram dear lkn mpk umfollow maana yu private
@Excuvation043 жыл бұрын
@@hanifaally4694 sawa
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Binaadam Tunamatatiz Huy Ata Akizikwa kislam Habitamusaidia Kituchochot Wanajidanganyat! Kafilinikafilit!
@shifaaal-baity45033 жыл бұрын
Kwa nini unasema hivo?
@ashuraussein75823 жыл бұрын
Kila ginimbi akitajwa naskia ucungu 😢allah ampekauli njema
@tajjudinihaji27763 жыл бұрын
Allah awezi kumpa kauli njema wakati yeye alimkataa wakati yu hai.watu wasijiongopee km ujakubari allah ni mmoja mtume ni mmoja. Wewe auna salama
@kassimrajabu78053 жыл бұрын
@@tajjudinihaji2776 kweli kabisa
@lailachaka53343 жыл бұрын
Amiin
@hassanisadiki8243 жыл бұрын
Futaa hiiii kauli yako ni haramu kusema hivyo
@ashuraussein75823 жыл бұрын
@@tajjudinihaji2776 atawe pia ujakamilika kwaiyo usiukumu 👌