Aliye sikia kama director wa ngoma ya ROMA anaitwa AB NABIL na ana asili ya Burundi,naomba like kama wewe umekubali kazi hii aliyotengeneza na mtu wetu wa Burundi
@Dailyminescommunity1 Жыл бұрын
KAMA UNAMKUBALI BROTHER YETU ROMA MKATOLIKI GONGA LIKE 10 TUMSOPORT BROTHER
@BADTOTBOY4 жыл бұрын
Hongera sana Stamina ukweli utabaki kuwa ukweli,na siku zote ukweli unahumiza
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
U.S.A. mwana kumekukubali sana safi sana jembe langu
@bosslilyg43904 жыл бұрын
We Roma mi nakupenda jamani mwee 💕💕💕
@chusecurrents43244 жыл бұрын
Daah naona tu wazungu wanakatisha mitaaa hadi rahaa
@godwinegacharo90014 жыл бұрын
This is Genius man
@marryyohana894 жыл бұрын
Nampenda huyu jama naomba ndoa yake idumu daima
@kaivumba73383 жыл бұрын
mambo
@rafeageefilan55444 жыл бұрын
Mwambieni yule dogo aliechezea club ya simba. Kutembea na demu wangu asijione ameshinda. Mi samaki mapenzi yana shombo
@mouradradmou76964 жыл бұрын
*Hiiii mstari noma Sana*
@princessshannia42154 жыл бұрын
Duuuh nkajua umeibiwa kweliii🙄
@SimuliziZaOscar4 жыл бұрын
Mnaona hizo ndinga lakini hakuna Toyota
@philomenasjohn90834 жыл бұрын
Roma your matured enough
@fatmasayid88954 жыл бұрын
Millard napenda interview zako ubarikiwe Roma unajuwa nakuelewa mkombozi wa wanyonge
@linnamlay36434 жыл бұрын
Roma msanii namba moja unaejitambua,dumu ktk ndoa mdogo wangu si kama baadhi ya wenzio kila kiatu kipya mwanamke mpya
@HassanMohamed-ym3cn4 жыл бұрын
Mwana arsenal mwenzangu
@yusuphusaimoni4182 Жыл бұрын
Me ni mchungaji ila ukweli kabisaa Huwa napenda Sanaa sanaa kusikiliza nyimbo zako hakika we ni msanii wa nyimbo za dunian unanibariki kaka
@samfelex79014 жыл бұрын
Rostam kubali sana watu wngu wanguvu
@jeanbosconibigira46373 жыл бұрын
Nakubali san Rom yani weninoma
@faithchacha2120 Жыл бұрын
Jamani Roma♥️
@theearth55814 жыл бұрын
Mwimbo wa stamina ni kali sana na alichokisema ni kweli tupu. Big up stamina Iyi ndo sababu wazungu sio washabaki wa ndoa ila child support ndo wanapenda sana
@prosper_assey4 жыл бұрын
😹😹 itabidi usapoti maana ishatoka
@superherotv17504 жыл бұрын
Na mlivyoambiwa wasimamiz wa ndoa msimamie ukuchaa mlijisikiaje😂😂
@SirasiFaraja2 ай бұрын
Namkubali San roma mast
@nabaodesigner94494 жыл бұрын
Oya yule jama asichukue mke wa mwenzie kama mpira wa corner. Kuna siku yata mkuta yeye pia.
@mouradradmou76964 жыл бұрын
*noma Sana hiii mstari*
@florabaruti80324 жыл бұрын
Melad baba lao nakupenda sana
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
Nyie ndio mnachochea ngono maswala ya kukaa mna juana mnatiana mimba ndio muoane kujuana mtajuana kwenye ndoa kushindana inatokea hata mmjuane miaka 10 ndio mfunge ndoa
@mrbuhwihwi41604 жыл бұрын
Nakukubali sana Roma na millard Ayo nawapenda wa tz natamani inchi yang ya Burundi iwekamatanzania iwe namastas kama roma na platnumz simba ambao wanasikika dunia nzima
@amedeusshio78364 жыл бұрын
mna achia lini ngoma rosta
@husseinabdallah33584 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aaaah eti labda ni laana ya kwenye mwajuma kaolewa.. #Stamina kamsema sana Mwajuma 😂😂😂nmecheka sana hapo 😁😂😂😂
@oscaroscar2555 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 laana iyo
@raphaelgadau27834 жыл бұрын
Naile suti nilivaa ya nini
@hafidhsleyum98614 жыл бұрын
Kaka upo vizuri unaongea point
@Harunery4 жыл бұрын
hayo magari yanayopita hapo nyuma.....!!
@nathannyabwari2583 Жыл бұрын
Ndoa ni noma
@raylugonda67284 жыл бұрын
Busala nyingi sana kwako brother
@braveliontv9354 жыл бұрын
The first one to watch this !!
@naamohamed99644 жыл бұрын
Dahhh ndoa
@egbertleonce55774 жыл бұрын
Ahaaaaa we jamaaaa noumaaaaa
@kamanda0074 жыл бұрын
First... gonga like hapa nisikie raha
@bakarimngazija66724 жыл бұрын
Kaka naomba uelewe kazi ya uandishi ni kudadisi na ndio maana waandishi wengi Tanzania wanawaogopa viongozi hata kama ukweli o wazi. Rukiweza kuwabana kwa masuali tutafika vinginevyo ni mtihani.
@a.8564 жыл бұрын
🙏🏻
@joshithomu4 жыл бұрын
Roma satuli kwako
@michaelmwaisenye50164 жыл бұрын
Saluut kwa Romaa
@moseykeys_tz Жыл бұрын
Yes🔥🔥🔥
@ujuzitechnology52344 жыл бұрын
✌👊👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@georgemwakyoma90344 жыл бұрын
Roma yupo vizuri
@denisimaliyaweni91834 жыл бұрын
International interview
@asumaathuman6094 Жыл бұрын
Inaoneka alimpenda sana mkewee
@kpetres28724 жыл бұрын
Mnakula upepo USA wahuni, dah😥😥
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
ROMA WW NAAMINI NIMSOMI NANIMTU UNAE JITAMBUA VP KTK DINI YENU AU MAANDIKO YA BIBLIA YANA KURUHUSU KUISHI NA MWANAMKE AU MWANAUME BILA NDOA??
@ireneassey36854 жыл бұрын
Kwani Roma ajaoaa we upo wapi kaoa zamani sana
@jackisongirani2453 жыл бұрын
Kaka Roma xhow xhow
@metaboy4386 Жыл бұрын
we roma njoo hom hip hop bila ww mbongo amna it
@chezarygeorge26664 жыл бұрын
gonga like kama ww ni arsenal kama mimi na roma
@chaksechaku28814 жыл бұрын
Kulia na ndoa yake Lol
@bigdaddy_faustinjumong4427 Жыл бұрын
Umemuonhelea #BABAZ wababaz #RIP😭😭
@rabsonchisumo66403 жыл бұрын
Marekani hapo kanenepa
@officialifruit_x75494 жыл бұрын
Wacha Aondoe Sumu Moyoni Bali Ya Ndani Yanatakiwa Yabaki Ndani Ila Sawa Ameshatoa Ya Moyoni Wacha Ibaki Ivo?
@godfreytide8244 жыл бұрын
Sjaona vitz na I ST ikipita
@hamzamadai64384 жыл бұрын
Kama kuna mtu amekiona kitambi cha Roma gonga like
@asantesangawe13664 жыл бұрын
Roma mjanja sana
@mikapmwalimu45554 жыл бұрын
Kuna Roma na mwana f a .ukiwasikiliza ni darasa tosha
@allydilunga96214 жыл бұрын
Pete nimerudisha sonara nimeshapata nusu asala
@jackisongirani2453 жыл бұрын
Kaka Roma me mxhabk wako no 1 pambana Kaka ra kaka
@ericknkonya5682 Жыл бұрын
imebidi nirudi kuitafuta nyimbo ya mwajuma kaolewa hahaha
@moodykitete94764 жыл бұрын
Roma nakuelewa sn
@etropiahjoram74623 жыл бұрын
Kitambi ndugu
@offcialtengeza2064 жыл бұрын
Kwani mchezaji wa simba gani uyo alitajwa humo
@rajmkonje71494 жыл бұрын
Roma ki muonekano haufananii na mwanamuziki unafanana mcheza mpira au basket ball 🏀
Hujamuelewa...ndugu..halafu zinaa...Ili mzaliane..ngono..haepukiki... Mzee..we mwenyewe ulizaliwa Kwa sababu ya ngono
@rambomchoraji19184 жыл бұрын
Ali kiba
@NeemaKmussa4 жыл бұрын
Hahaha et laana
@mgojalehao6984 жыл бұрын
Nambiee
@nahidhussein3604 жыл бұрын
Mkimbizi huyu usa
@christophertarimo3044 Жыл бұрын
Rudi home
@paskalkimarokimaro4992 Жыл бұрын
Roma ni mtuu mwingin anaetumia akilia xn namkubali xn
@mpingeally923 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@AbasErnert-oc9oi Жыл бұрын
Bsjejee
@danielymwakibolwa13234 жыл бұрын
Daa milady izo dinga znazopita apa moyo wang fyatu❤❤❤❤
@mgojalehao6984 жыл бұрын
Yanga same fulia
@AbasErnert-oc9oi Жыл бұрын
Jsjsnze
@enockchaula62924 жыл бұрын
Roma usizuge sema ukweli tuu uchaguzi mwaka huu? Sio wa jakaya ukiimba utumbo tuu ndani
@elizabethkapinga43774 жыл бұрын
Mo appriciated R0stam
@ahmedsultan26204 жыл бұрын
Roma usiwapotoshe watu mungu kasema ukimpenda mtu umuoe sio uzini nae km wewe mzinifu mkubwa umezini na mwanamke miaka 5 ata haya huna nipe andiko ktk msahafu au biblia isemayo kabla yakuoa uanze kuzini