Kwa tunaoijua HIPHOP vizuri tumeelewa alichokisema Nikki Kwa wasiojua hawawezi kuelewa Heshima sana Unju ✊
@elisantemsumanje13813 жыл бұрын
Mtu ambaye sio smart hawezi kuelewa hi extremely important session
@djalminhagamari46423 жыл бұрын
Nikki mbishi watoto wengi wamekujua miaka ya 2019
@ayubdax39773 жыл бұрын
Nikk mbish, Aminia sana Unju, Kichwa Makini.
@mklarazaa7193 жыл бұрын
Tunamsikiliza roma sana kwa maana tuna mwelewe...na kuna kurap na kuna hip hop.Hip Hop ni maisha ya kila siku yenye kila aina ya changamoto hivyo
@gospelvibestv39143 жыл бұрын
agiza pepsi popote nitalipaa
@realnine..3 жыл бұрын
Umenena naaam umesema na ukaeleweka
@daudishabani15873 жыл бұрын
Dah umewaza kk
@yasirimavere77293 жыл бұрын
Unju for ever
@Junilito3 жыл бұрын
Rhymes Of Magic Attraction yuko juu
@hamisiizadini39383 жыл бұрын
Anaesema Nikki hana ngoma kali... Atafute kitu inaitwa jogoo atamjua Nikki ni nani?
@daviezaghalinho24803 жыл бұрын
Roma kabla ajatekwa alikua na ngoma Kali nyingi kapata tuzo kibao Ngoma kama mathematics all the best
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Kwel bob
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Huyu nikki saivi ana kinyongo sjui ana shda gan
@SIMULIZIZONE3 жыл бұрын
Nikki taarabu nyingi sana, umezeeka Sasa, jitahidi uwe na busara
@johnnabie54453 жыл бұрын
Mimi nilishamkubali Roma mkatoliki 🇰🇪🤜🤛🙏🔥
@denicemwitakabwere77263 жыл бұрын
Mm huyu ndo namskia leo.... Roma,,, Zimbabwe for life
@kombobomayee17453 жыл бұрын
Utakua chizi we Kama humjui unju
@OFFICIALMABY3 жыл бұрын
Sema jamaa anaongeaga fact sana
@alexmwalim97143 жыл бұрын
Roma yupo juu kwenye hip hop so ili ufkie level alofika Roma jitaidi ju saii bado sana Roma yupo juu mzee
@impeccable69743 жыл бұрын
Hivi unamjua Niki mbishi WEWE?
@sifatiiman3 жыл бұрын
@@impeccable6974 kwwnda huko hajui ku paform jukwaani anashushwa aende uko 😏😏😏
@tonianosoprano1173 жыл бұрын
Utakuwa umjui nikki mbishi ki mziki
@hkmeme54373 жыл бұрын
@@tonianosoprano117 nikki na roma ni wana hip hop wawili tofauti, roma rap style yake ni kama Eminem Nikk mbishi ni kama nas
@khojarobebebebebebebebe93293 жыл бұрын
@@sifatiiman pamoja mwana mtell huyo twampenda natwamkubari saaaana Roma tangu natangu
@bizbiz50233 жыл бұрын
Niki maku wew tena siyo kidogo sanaaaaa yaan maku kwel kweliiii
@emmympangala24113 жыл бұрын
Big up Dr. Unju ukweli unauma siku zte
@jihadjiha10173 жыл бұрын
Umesahau brand ya 26 life ndio iko juu than any brand
@danielkenedy43573 жыл бұрын
Tunakubali nikki lakini ukiendelea kwa Roma tunakuacha kweli make roma ni fire
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Kweli asee
@cosmoantonio56823 жыл бұрын
Unju!!!! 🔥🔥
@jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын
I love yu nikki
@taizmigo26493 жыл бұрын
Wengi hawajui industry ya hip hop ndo maana hawaelew anachoongelea Unju , Nikk kazungumza fact sn
@kombobomayee17453 жыл бұрын
Wengi mziki makelele ndomana
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Ata kama ila kwa roma anakaa angalia ata shoo za roma af ulinganishe na mbish ,,
@lughanojohn42113 жыл бұрын
@@arinestaanton9895 sisi atutaki show ambazo zinawatetea wapuuzi eti ndio dili ila sisi tunataka ujumbe wakutuelimisha kutoka studio tu inatosha sio lazima mpaka show, hiphop ni reality tunayoishi na sio Kiki na maigizo ya stage kuwa na akili
@saidymo83073 жыл бұрын
Niki nakukubali lakin kumsema roma daah sijapenda 🥺
@footballclips16173 жыл бұрын
Ukitaja marapa wanaoelimisha huwezi kumuacha roma
@sidemiela35973 жыл бұрын
Sawa sawa nakubali nashkuru kusikia hiyo mchane tu muimba taarifa za habari
@mashramadhani19893 жыл бұрын
Huyu jamaa mbishi sana ndicho kitu kinachofanya hasikiki kimuziki
@jorgettemwajuma54283 жыл бұрын
Mashallah
@salumjumah56483 жыл бұрын
Nikki mbishi jina la pili linamwarbu roma mkali zaidi yako roma alikuwa noma kabla ajatekwa
@mosesshelukindo64783 жыл бұрын
Nikki mbishi ni msanii mzuri sana wa hiphop TZ na ni kati ya wasanii bora sana wa hiphop... Ila kumdiss roma amezingua tena sanaaa, yani nikki anadiss wasanii wengi mara kawa diss weusi, mara p the mc sasa hv roma.. hawezi fika mbali kwa hiyo attitude japo kuwa anajua.
@allykiukala36933 жыл бұрын
Aja mdisi kajibu alichoulizw na ukweli upo apoo
@titus_maridhia3 жыл бұрын
The Last Man Stand
@idrisahussein66543 жыл бұрын
Unakomaa mwanangu Wewe kweli mbish
@maxcharles54363 жыл бұрын
Roma ni bora kuliko Nick kwa hip hop Roma ni namba moja
@warith..3 жыл бұрын
Hujuwi HIP HOP kaa pembeni
@kilayogeyejakobo66883 жыл бұрын
Hujui hip hop kaa kwa Kutulia
@changanataliforlife37603 жыл бұрын
Ujui ki2 kuhsu Hip Hop bro
@Burner_Acc3 жыл бұрын
#7 Nikki Mbishi chuki inammaliza, watu mtaani hawajui ngoma yake hata moja anaishia kuchukia wenzake ambao wanasikilizwa na kila rika.
@simonlukiko28503 жыл бұрын
WEWE USIE JUA MZIKI WA RAP NDO UMJUI
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Nikki n zaman za freestyle now n wivu amezdsha
@davidmbwilo4954 Жыл бұрын
Jamaa anaongea ukweli ndio maana anaonekana mkorofi
@geofreyukason3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni very genius... Salute kwako mbishi
@pawizo50063 жыл бұрын
Sema wasanii wa hip hop wanaaminigi wao miamba😂😂😂😂😂
@frankchamba88943 жыл бұрын
hii list ya uongo
@djumadjumbe69073 жыл бұрын
Acha kihere here ,roma kakushinda sana kaka
@kessykadema1803 жыл бұрын
Nilichogundua kwa huyu jamaa hamna kitu kabisa.. huwezi shindana na roma bro acha chuki
@samkitwima79333 жыл бұрын
Humjui Nikki wewe mjomba. Bora unyamaze.......kujimwambafai kwa wasanii ni kawaida ila Niki Mbishi ni level zingine. Sema umaarufu ishu nyingine.
@Michael_Msanzya3 жыл бұрын
Kwani bro Nikki umeimba nyimbo gani Mana za roma tunazijua
@shaurimtanda82853 ай бұрын
huwezi kuzijua kama unakaa Banda la uani Kwa mama kimbo
@daviezaghalinho24803 жыл бұрын
Roma anakuzidi kila kitu broo so toa hit song hata moja af ndio uongee
@chingychingy20663 жыл бұрын
ila we nikki unajikuta mgumu lkn mchumba tu huna lolote.....hiphop sio mziki kama unavofikiria ww kwa apa bongo hiphop ni maisha tu ambayo tunayaishi kitaa
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Uko sahihi
@richshayo49243 жыл бұрын
Hate won't make you succeed bruh umezingua kinoma
@ibrahimmsham10993 жыл бұрын
Nikki mbishi kumuongelea Roma ni HIP HOP...ila kwa wasioelewa industry ya music wanaweza wakamchukulia doctor UNJU miyeyusho...kawaongelea CHIDY na Q-CHILA yani anawakumbusha watu wawasikilize vizuri hao watu i mean wawafatilie vizuri hao watu..sema kama IQ yako ndogo...uwezi kung'amua kitu huyu mtu ni wa pekee
@kombobomayee17453 жыл бұрын
Sahh
@johnamos20503 жыл бұрын
Saaaan bro hauko makin q na chid wamezungumziwa kwenye swala la kuji brand naamepitisha kama kautam kuwa qchila alipo sema nipo geto naj brand ,,ndo nik akasema huwez kujibrand ukiwa geto toka kitaaa,, ss ww unachangany bro
@kisabihamadi75553 жыл бұрын
true 100 ujuaji unamponza
@benmbuya18143 жыл бұрын
Nikki acha wivu
@francomwacha22623 жыл бұрын
Kwa roma apo umezngua brother.. ata kabla ya tukio mbona mwamba ni mkali tuu..
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Nikki Mbishi umenena kweli ..Roma ni kuhelehele sana yule.
@stephanomosses37433 жыл бұрын
Boya ww
@erikimethod62463 жыл бұрын
# mbali na kutekwa
@mabaazizitigermnyama52543 жыл бұрын
Unjuu....!!!!🙌
@makangeofficialmediatz67153 жыл бұрын
Nikki anavuta sana bangi ndo mana,,bangi ni mbaya mno
@simonmlisa43113 жыл бұрын
Niki alikua yule wa Play boy na Friday feat Belle 9& Godzilla Kwa sasa kajaa chuki
@Dee_763 жыл бұрын
tatizo anaona yeye ndo anajua kila kitu
@makangeofficialmediatz67153 жыл бұрын
Yes,,zile nyimbo me mwenyew nnazo...zile sasa ndo kaimba!ila hzi blaa blaa za siku hizi Nikki naona ni bangi tu ndo zinamchanganya
@nikodemuschacha3 жыл бұрын
Na izo alibahatisha tu ndio maana hawezi kufanya kama vile tena.we unafikiri hapendi kufanya kama vile arudi mtaani 😀😀😀😀😀.
@arkamhamad50723 жыл бұрын
Kwani we umeimba nyimbo gani mana za Roma tunazijuwa
@stephanomosses37433 жыл бұрын
Hapo sasa
@omary32383 жыл бұрын
Mfatirie then Utajua unjuu nani..
@khojarobebebebebebebebe93293 жыл бұрын
HahHahahahahahah nimecheka sana mwana kumbe tuko wengi harijulikani hilooooooh si twamtambua ROMA natwamkubari saaaana
@Balogetv3 жыл бұрын
Nikki Watafta kiki Kwa Roma Eh Tatizo Bangi zakuchanganya Sana Kaka
@gospelvibestv39143 жыл бұрын
Kitu watu wanashindwa kuelewa ni kuwa KUNA SOFT HIP HOP NA HARDCORE HIP HOP.Nikki Mbishi anaimba Hardcore Hiphop Ndo maana hata audience inayomfuatilia ni chachee
@mimisir57172 жыл бұрын
Umeongea pumba
@fredysanura54123 жыл бұрын
Ila mbona nikki kaongea ukweli tu Mimi sioni kama ni ubaya Unju yupo real sana I respect him
@allykiukala36933 жыл бұрын
Roma mshamba anazinguwa 2.
@ibrahimkanuto35143 жыл бұрын
Umezingua
@lutusigaza21483 жыл бұрын
Wasio jua music wa hip hop hawawezi kumuelewa Nikki mbishi, mimi nawasikiliza wote roma na nikki mbishi ila nikki mbishi ni TANZANIAN MASHINE
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Ni kweli ila kwa roma anakaa
@lutusigaza21483 жыл бұрын
@@arinestaanton9895 sawa ila naheshimu sana mtazamo wako ila kila mtu anamtazamo wake
@stephanomosses37433 жыл бұрын
Mkatoliki kitambonino ANA WATU.
@mubaraqkhalid2053 жыл бұрын
Uyu jamaa smart sana mshamb aelew tunamtaka tena 😂😂😂
@ibrahimmakame53043 жыл бұрын
Unjuu lile disi ulopigwa p mc ni ukweli mipasho sana m mshabik wko unjuu sana ila ushindane na roma .
@salumuissa85013 жыл бұрын
Huwezi kua mkali kwa ku-strugle tu...eti kaptia BSS...ogopa sana mwanafunzi ambae hajaptia nursery na anafanya vizuri kuliko waliopitia...
@samwelikimati58632 жыл бұрын
we roma ni mkali tena mkali kwelikweli
@mathewdyzymaleyafrica91283 жыл бұрын
maneno mengi kimziki hata ngambo hujavuka unatabia za wanawake wakizamani 80s
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Ana kinyongo sana
@jenifersamwel89903 жыл бұрын
Af tatzoo la nikii n wivu na roho mbayaa
@nacebamr47222 жыл бұрын
Wajanja ndo tunaelewa hii interview ya nikky ila maakanyaboya yatamsapoti Roma
@realnine..3 жыл бұрын
Huyuuu jamaaa n mnafiki sana......eti mashabiki wa watu wa Hip Hop hawana smartphone 😀😀😀😀😂😂😂
@Kobe_2543 жыл бұрын
Mbaya sana.. ni fala wa WASAFI tunamwelewa!!
@freddylucas11323 жыл бұрын
Nikk Mbish ni GOAT,,don’t and never compare him with Roma...let we be serious
@cathbertkilingo44723 жыл бұрын
Nilimkubali Niki mbishi kwenye Playboy Fanya blayboy2 bro
@duniawadunia48243 жыл бұрын
Nakubali bro fanya weweeee fanya wewe la-la-la-la-la-laaah Nouma sana kikosi kazi kazini
@emmympangala24113 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😁😁😁😀😀😀😀 #acha #kiherehere #roma 😀😁😀😀😀
@aramamisamatime31833 жыл бұрын
Unju arakati kweli..achana nae uyo Mtoto Roma's.. habari zake tunazo... fanya hip hop unasomeka sana
@dullahbatuf92233 жыл бұрын
Unaweza sema ana chuki. lkn ukweli hua haupendezi masikioni mwa watu. Good nikki
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Amna ukwel wowote apo roma yuko juu ww wivu tu umezid ndo maana anachukia wasanii wenzake kila siku bifu yaani ameachana na weusi anakuja kwa roma wakati roma sio levo yake,, anataka kujulikana kwa beef kama anaona kutekwa kwa roma ni kiki atekwe nayeye
@lughanojohn42113 жыл бұрын
@@arinestaanton9895 tupe mfano kamchukia nani sisi tu kujibu sasa maana naona kama wewe ndio hujitambui
@krazywizzy47363 жыл бұрын
Jamaa yupo ndumu yupo stimu nomaaa
@unclepwechnov13813 жыл бұрын
Ganja on fleek.
@krazywizzy47363 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 nomaaa
@davieed14273 жыл бұрын
yuko Dawai
@eliaminishembazi68043 жыл бұрын
Achakumsema mwana kwa ubaya mzee .wewe jitahidi ili uweze kumfikia mzee.
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Nikki ndipo napomzaraugi anakuwa na kinyongo cha kijinga
@georgeludakulo68483 жыл бұрын
Kumbe unachuki bro
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Sasa hujui huyu n baba wa kinyongo.hamna msanii aliewah kumsifu labda kwa unafki..nikki fala tu
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Lazima tuendeleze hippop tz
@calvinmaimu33663 жыл бұрын
Huna maajabu Nikki acha kumdis Roma aisee
@dinyoabeli90283 жыл бұрын
Achen majungu Roma Ni Bora kulko ww ndio Mana vtu vngi kakupta
@tonytrustworth50143 жыл бұрын
Ni aibu Sana kwa mwana hip hop kulingia subscribers tf ..romas going soft tbh
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Roma teacher wacha awesome she wenye chuki
@asantesangawe13663 жыл бұрын
Kwel roma ilikua nikiki yakutekwa
@petroladslaus5633 жыл бұрын
Nilijuaga huyu jamaa AMEKUFA kumbe bado yupo?, duh! ni kufulia tu😁😁😁😁😁😁achana na Roma
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Mshamba anaangaika na roma bdala awaze life yake
@dullahsimbaulanga64723 жыл бұрын
>>>Mbishi 🙌
@emmanuelmasemba76123 жыл бұрын
Nataka bidhaa za unju napataje
@mhogomchungu78823 жыл бұрын
Huyu nikki mbishi ndo vitu gani??😂😂😂 embu atuachie bongo hiphop yetu ...ye bado sana
@anytime56853 жыл бұрын
Bado sema hujafatilia hip hop wakina roma wanaijua hip hop kweli au mazingila ya siasa yanawabeba
@giverment57713 жыл бұрын
Kiherehere kiherehere, acha kiwe kiherehere!
@shekhally57413 жыл бұрын
Niki umezingua roma yupo juu na huwezi mshusha kwa maneno coz watu ndio washamuelewa
@captaindunga.58493 жыл бұрын
Chuki inakutafuna broo wee pambana na muziki wako naamini utafanikiwa... ila ukumbuke roma ni mkali kuliko wewe na roma tunamjua kitambo usituambie alijulikana baada ya kutekwa acha wivu niga
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Kweli roma tunamjuatangia kitambo na yuko juu chuki na wivu sio ishu
@shingwahemed52903 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa n bogus sijapata kuona 😁😁
@denismvula67133 жыл бұрын
Was Kwanzaa😂😂😂
@zackypapla55113 жыл бұрын
Upupuuu
@antonychristian13693 жыл бұрын
Na wewe katekweee😂😂😂
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
@cassianclement343 жыл бұрын
Uyu jamaa anafaa kuimba tarabu bwege sana
@alfoncemalamsha4553 жыл бұрын
Limekuwa la ajabu sana kaz majungu tu bdal liwaze yake
@joebanda54753 жыл бұрын
Akili nyingi
@averynusrwebangila41193 жыл бұрын
Huu mda wa kuja kuongea ukovid si bora ukae studio
@josephdonald61993 жыл бұрын
Jux na Jackline wolper hawajuani na Nash emcee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sefoo80843 жыл бұрын
Niki ujuaji mwingi utabaki na ubishi wako km jina lako