Brother nakushkr saaana , nimekuwa mdau wako kwa takriban mwaka mmoja , nashkr saaana kwa msaaada juu ya elimu Bora uitoayo mungu akubrki saaana mtumishi
@JulianaOlambo4 ай бұрын
Nafatilia kutoka Lindi barikiwa sana
@zainabusaidi81613 ай бұрын
Mtumishi kwakweli nakukubali Sana nakufuatilia kutoka mozambic
@drpriscaantony78255 ай бұрын
My favorite mentor may God bless you
@DeoSukambi5 ай бұрын
Woow..am so humbled
@victoriandalahwa-sm6hq5 ай бұрын
Natokea MWANZA. Ni.mafundisho. mazuri na ya muhimu Sana kwa kipindi tunachoishi leo
@DeoSukambi5 ай бұрын
Barikiwa sana Victoria
@jenipherkavusha166111 ай бұрын
Amina baba mtumishi wa Mungu nimekuelewa sana, nitaweza kubadirika sasa na mahusiano yangu yatasimama, ubarikiwe sana baba
@DeoSukambi11 ай бұрын
Amen Jenipher..karibu
@user-sk8me7um8c6 ай бұрын
Ndio papa nikweli
@omary90910 ай бұрын
Asanteee kwa somo zuri
@anitamwamini264611 ай бұрын
Asante mchungaji
@carolinetoto870610 ай бұрын
mimi kwamajina ni Carolina nawafatilia nikiwa saundia🙏🏻🙏🏻
@user-fy8te1wo8q10 ай бұрын
Amina mtumishi lakin mim ninachangamoto hii unakutana na mwanaume anasema atanioa lakin huwa hawatimiz ahadi huwa wanapotea alfu ukianza mahusiano mengine yule wamwanzo analudi pia hawez kufanya chochote shida nin nateseka na hili tatizo mtu akitamka kuowana inaishia hewani
@jenipherkavusha166111 ай бұрын
Ntaendelea kukufatilia kila siku tunapitia migogoro mingi isiyo na sbb ni kwa kuwa hatujielewi sisi ni nani ni kweli
@gloriosehakizimana378910 ай бұрын
Ninawata zama kutoka Nederland uraya nani nawasikia vizuli sana Mubarikiwe sana
@user-sk8hw5bx1v7 ай бұрын
Natizama kutoka Arusha napenda sana mafunzo yako
@FloraTobias-sl2eo8 ай бұрын
Nafuatalia kutoka kigoma
@DeoSukambi8 ай бұрын
Asante Flora
@carolinetoto870610 ай бұрын
Nikweli sana😢
@tantinebettynduwimana38011 ай бұрын
mtumishi hivi mwanaume mkiwa kwenye uchumba unampigia simu mara nyingi hapokei na yuko online alafu akipiga simu namuuliza mbona hukupokea simu alafu anakua mkali anafoka kwa hasira hii inamanisha nini?
@DeoSukambi11 ай бұрын
Inamaanisha hakutaki kwenye maisha yake ila wewe huelewi na unamjengea mazingira ya kuendelea kuwa na wewe