Sabaya Mungu anakupenda alitaka utambue ukuu wake wakati wa Shida na Raha Barikiwa.
@upendooffice23422 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana sabaya mtu wa Mungu na hakika maajabu makubwa Mungu ametenda na ataendelea kutenda muijiza juu ya sabaya🙏🏾
@evalinemgendi24182 жыл бұрын
Tumshauri tuu awaombee maadui zake na awasamehe
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Nashukulu mungu sana kiukweli sabaya Alikuwa ananipa mawazo sana. Nashuku mahakama na mmsamia pia.sabaya mungu akulinde usiku na mchana
@MaaneML2 жыл бұрын
Mungu ndiye hakimu wa kweli. Kama ulitendea watu mabaya utakutana nayo katika lango la Mbinguni. Ukatubu na utubu Sana. Huruma imepita tu hapo na usijidai kuwa umeshinda. Mshukuru Sana Mh. Rais kwa huruma yake. Ukimtaja Mungu mtaje kwa ukweli Pasi Shaka. Tafakari Sana ndugu Sabaya.
@modetheo51822 жыл бұрын
kwani wewe ni mkamilifu acha Mungu amefanya kazi yake.
@andrewmachibya31702 жыл бұрын
jee wewe nj mungu jee wewe mkamilifuuu jeee unauhakika na hayo ni kweli aliyatenda ama hakutendaa
@devothangondy43222 жыл бұрын
Nakuombea kaka angu sabaya Mungu akuponye na uwo uvimbe kichwani
@rosemongi52732 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sana siku zote na njia zake hazichunguziki,usiogope Sabaya mtumain mungu na mkabizi njia zako zote yeye atafanya,usimwache mungu nakusihi hata upitie magumu yanayo tisha wewe simama na mungu tu.
@mosesmacha10802 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki Sana Sabaya
@fraviansweetberty88192 жыл бұрын
Da!!!!!!!!!! Mungu Ahsante kwa kumfunguli Sabaya njia
@odethadismas14102 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu kwa neema yake, hadi viongozi hawa kuachiwa huru kupitia mahakimu wenye hofu ya Mungu iliyowaongoza kutenda haki kwa viongozi hawa, ndugu zangu watanzania hakuna mwanadamu aliyekamilika siku zote tutubu na kumrudia Mungu.Tusiwe wenye visasi,kisasi ni cha Mungu pekee, sabaya mshukuru Mungu kwa mema aliyokutendea na usimwache kamwe.
@felixmsale92442 жыл бұрын
Hivi ungekua ni yule aliyekatwa masílkio ungejisikiaje??? Ungesamehe tu uendelee na maisha bila masikio?au mke wako amebakwa au wewe mwenyewe ulibakwa ungesamehe tu na maisha yaendelee?
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
@@felixmsale9244 acha unafiki nasema acha unafiki mbona waliyo muua braitoni huku WAMEJIVALIA UNIFORMS ZA CHAMA CHAO MAISHA YAO YA NAENDELEA NA UNAJISIFIA VIZURI? CHUKI TU ZIME KUJAA KUTAFAKARI DHAMBI ZA ADUI YAKO
@felixmsale92442 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Hata hilio sio sahihi .Nachosema mimi dhambi inasamehewa na kitubio.na Dunia ya maendeleo inatawaliwa kwa HAKI NA SHERIA hivyo DHAMBI yyte inasamehewa na KITUBIO .hata kwenye vitabu vya Dini vinasema Hivyo.hivyo sidhani kama unatumia Lugha sahihi kuongelea juu ya Unafiki .Hakuna binadamu anayestahili fadhila /Ubora /heshima kuliko mwingine.Binadamu wote wameumbwa kwa Nyama na Damu.na wana Utashi na Hisia Hivyo tunachapashwa kupigania ni Utawala wa SHERIA na HAKI .ktk Ujenzi wa Jumuia bora Kila siku ikuchayo sio kosa wala unafiki binadamu kua Na mawazo tofauti.
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana Rais wangu Samia mungu akubali sana umekuwa na Moyo wa Huruma na kuwatoa watu hawa,akina Mboe uliwatoa na leo hawa.Akuzidishie Samia.👍👍👍❤❤👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
na uwamsho tuu pia kawatoa yule jinamizi Magufuli aliwafunga mpk Samia amefanya ubinadamu mn wale ndo walikua hawana makosa haswaaa
@TamuzaKale2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 Jamani, UAMSHO walifungwa na JK na si JPM. Ilikuwa 2013, rais alikuwa nani?
@devothangondy43222 жыл бұрын
Kama kweli haukuwa na makosa Mungu akulipie kisasi kwa adui zako wote ktk mashabiki wako pamoja na mimi nakukubali sana, niliumia sana lakini Mungu ametenda muujiza
@suzymasawe86662 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilimtetea sana mtaan kwetu mimi n wa hai sikuamin kilichomtokea mungu awalipie
@fanuelykitambule55422 жыл бұрын
🙈🙈🙈
@marcokaroje89802 жыл бұрын
@@suzymasawe8666 alikuwa anafikia kwake na kumulekeza wabaya wako wanakoishi ili wasurubiwe na were second degree offender pamoja na kuachiwa kwa rafiki kiaina
@luciamsabi11312 жыл бұрын
Tunamshukru Mungu kwa hatua hiyo,ni is ishara njema,kijana wetu,SHIKAMANA SANA NA MUNGU,na Mungu atakuonekania
@kissamwamunyange10182 жыл бұрын
Nyie watanzania😭😭😭😭😭asante MUNGU kwaajili ya Sabaya
@ynyynyyny2 жыл бұрын
Pole Sabaya, kijana mdogo sana imeniuma
@nursechunga44702 жыл бұрын
Asante kwa Mungu🙏 ametenda yalikua ni maaombi yangu, Mungu aingilie kati kuhusu huyu Kaka, hakuna mkamilifu duniani
@shinipapaya8462 жыл бұрын
Haya ndugu zetu na chama chenu kipya ni UMOJA Party haraka sana chukueni kadi zenu mapema kimya kimya #tukutane2025
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Hebu rejea
@salamanhonya96772 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa Amàni ya Tanzania. Mama Yetu, Raisi Wetu Endelea kusimamia Haki Tanzania. I love you MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. Mama Mpenda Haki na Amani. MUNGU IBARIKI Tanzania MUNGU IBARIKI Afrika
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Amshukuru rais kwa kumuonea huruma hakuna Cha mahakama
@tato89792 жыл бұрын
Mungu ni mwema 🙏🙏
@joackimondara45652 жыл бұрын
Mungu anakupenda sana,,Sasa ukamtumikie Mungu ikibidi hata use Mchungaji.
@bashiruamri21672 жыл бұрын
Sabaya sabaya sabaya,nimekuita Mara tatu nataka nikwambie kuachiwa kwako nimachozi na maombi ya watu kwa mungu Mimi naishi mkoa kagera lakini pamoja nakuchafuliwa kwako watu tulikuwa hatuamini Asante mungu
@humphreysangito30992 жыл бұрын
Umeshinda na unaendelea kushinda.Mungu akubariki mnoo
@mercypeter1622 жыл бұрын
Hallelujah MUNGU ametenda nenda ukawe thahabu safi kwa jamii Na watanzania tunawapenda
@ruqaiamohammed3452 жыл бұрын
Mungu kasimama na sabaya na wenzio🤲🤲🤲
@lilianhigilo25272 жыл бұрын
Mungu ni Mwema.Nimefurahi sana
@salamanhonya96772 жыл бұрын
Pole kaka. Endelea Kumtumainia MUNGU.
@valenakomba92182 жыл бұрын
AMINAAA SANAA.
@ezekielkiduge87302 жыл бұрын
Kama mashitaka sabaya wenzake yalikuwa ya ni ya uongo ,basi haki imetendeka lakini kama mashitaka hayo yalikuwa ya kweli MUNGU ni mhukumu wa haki.
@helenarhobi12502 жыл бұрын
Kongore Sana kijana Sabaya, wahurumie wote waliokuumiza.
@brigmtafutanjia45612 жыл бұрын
Hakika Mungu unastahili !
@harunarashid64042 жыл бұрын
Ahsante🙏🏿 mungu
@SaidCannal Жыл бұрын
Kwa maelezo yao nami pia naunga hoja kumshukuru sana Rais kusimamia haki , wakati wa ukuu wa wilaya nilimfuatilia sana Sabaya alikua KIONGOZI mzuri wa kufuatilia shida za watu na kuwabana wakwepa kodi , nadhani ni Fitina za wahujumu nchi waliobanwa na Sabaya ndio hawakumpenda, lakini Mungu ameona na sharia imeona ndio maana mahakama ukiacha ya kwanza zilizofuata Mungu amezielekeza , Sabaya ni kada mzuri aliyefanya kazi Bila woga,
@salomeyuvenali37002 жыл бұрын
Mungu mbariki kijana wetu🇹🇿🙏
@bernadette62662 жыл бұрын
Thank you so much God is good
@blandinalukole55352 жыл бұрын
Sabaya sikufaham ila Mungu wangu wa mbinguni anajua furaha yangu kwa kutoka kwako. Mtegemee Mungu siku zote za maisha yako
@johasaeed3912 жыл бұрын
Kwani alifanya nini huyo jamaa
@dominickndomba4474 Жыл бұрын
Pole saaaaana SABAYA hayo ni mapito tu AMANI KWAKO
Weeeh weeeh Nancy weweee!!! Jifunze kufua chupi zako ukimaliza kutombwa!!! Coz wewe unakojolewa ukitombwa then unaendelea kuvaa chupi yako wiki nzima! Unanuka bwaaaNa!!! Then Acha kujitia vidole kwenye Kuma na kuinusa nyau weyee!!!
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Jmn wametoka kweli? Dah wamesota Sana Sana polen sana
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante mungu wa haki umewatetea watu wako,🙏🙏
@husseinkhaji8952 жыл бұрын
Kama ulifanya hayo ukome maana duniani tunapita cheo ni dhamana
@mamapeace67302 жыл бұрын
Poreni kaka zangu mungu ni mwaminifu mungu ni wawote siku zote
@ameirdarueshi25932 жыл бұрын
Sasa Apo ndo mjifunze kua ukipata matatizo wanao kuja kulia ni masikini na siyo tajili viongozi muajali sana wananchi jeshi la wananchi ni kubwa one love
@salamaseif41832 жыл бұрын
Nilikuwa naumia Sana huyu yaani Sisi tuliyozaa watoto wakiume tunachangamoto kubwa sana
@johnonkoba7402 жыл бұрын
I'm soo much happy too
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭😭dunia ina watu wabaya sana , sabaya Mungu ni mwema
@mahonameshack41962 жыл бұрын
Asante MUNGU
@edwarddaniel56832 жыл бұрын
Mkatende mema sasa Looks like Rais amehusika kutoka kwenu sina hakika hizi shukrani kwa Rais zinasemwa tu Moyoni mwenu mnajua mlichokifanya kipindi cha utawala
@adamsanga0622 жыл бұрын
Sabaya anajua Hindi alivyo umiza watu kwa kunivunja yupo mungu mtu
@aminamnega17782 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Magufuli alimponza Sabaya.. Hizi kinga mnazoweka kwa rais alafu wanaotumwa wao hawana kinga. Sabaya ubabe uache na kama hutajifunza basi utakua sikio la kufa.
@muhammedsuleyman65012 жыл бұрын
Si alijua atakaa milele madarakani
@wardw30222 жыл бұрын
Hii kesi ilibidhi ishe ikiwa ya mbowe iliisha hii nayo pia ilfika kikomo
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
huyu jamaa enzi za Magufuli alijiona mfalme sana akiwatesa sana wapinzani kupitia ukuu wake wa wilaya
@prosperitymaarifa13362 жыл бұрын
Acha hizo na wewe..
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
@@prosperitymaarifa1336 ubabe wake ulikuwa huuoni? au kwakuwa ni mwana ndugu wa sabaya
Natumaini serikali itamulipa Sabaya kapsto yake Sabaya Kama alivyolipwa Tundu Lisdu na Gaudí Mbowe
@godsonlaizer19882 жыл бұрын
Si fedha Wala werevu wa mawakili Bali ni huruma tu ,namaadui walokufanyia hayo usiwahukumu kwa hayo ,Bali wasamehe na kuwaombea rehema ,kwa kufanya hivyo mungu atakuinua tena ,
@jamesswai65832 жыл бұрын
Hapo kwenye kichogo vp tena sabaya. Pole sana. Ata kama utatoka lakini unaujua ukwel.
@mussaissa67962 жыл бұрын
Hakuna lolote Hili jamaa leua watu wengi sana Na kubaka wake zao huku waume zao wakilazimishwa kuangalia Kama kwa sababu ya uccm mmeliachia Mungu hatoliachia Kabisaaaa
@devothangondy43222 жыл бұрын
Kwa kweli nimefurahi sana sana, Mungu alipe kisasi kwa adui zenu
@Chrishenryson-beats2 жыл бұрын
We Hujui hao walio umizwa walivyolia haki zao kudhulumiwa. Yani we unaona ni sawa?😃😃
@justinemico18712 жыл бұрын
Poleni Sana washtakiwa wa kisiasa Baada ya yote mkaishi Maisha mema. Vinginevyo viuno vyenu havitatumika nadhani mmeona wenyewe wakuu.
@ezekielmwadomba4675 Жыл бұрын
TEHEHEHEEEEEE😂!!!
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Hakuna Jina lingine Ila Jina lako YESU.,MUNGU upo na unaishi hujawahi kushindwa..
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Alhamdulillah
@einotikisivani94472 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@stevenkisinda29042 жыл бұрын
Mungu mtenda miujiza na azidi kushukuliwa
@AzabeOficial2 жыл бұрын
Nimefurahi sana Kuona Sabaya Amegunguriwa Jala siyo mahari pazuri
@alsonsemoka50192 жыл бұрын
Ashenalee
@jackmsuya68422 жыл бұрын
Asante mama samia
@hassanbilali16972 жыл бұрын
Mahakama imemaliza kesi lkn mbadilike na muombe toba kwa mwenyezi mungu
@ibrahimomari24582 жыл бұрын
Wamshukuru raisi alieamua watoke...lakini hukumu ya mungu inshaallah iko pale pale lazima waangaamie...sabaya alijifanya mungu mdogo...aliowaumiza lazima mungu awalipie
@shabidenis54242 жыл бұрын
Hukumu ya mungu haina nguvu, ila Mungu ndo kaamua waachiwe huru hivyo Mungu ni mkubwa kuliko mungu wako
@musasalum2873 Жыл бұрын
Chama kimemlinda n kumpa fundisho she kuongea na clouds
@hamadlucago89512 жыл бұрын
Mungu mwema ssna
@paschalpaul38622 жыл бұрын
Mungu ndiye anayejuwa
@abrahamkibona70382 жыл бұрын
Rais hatoi haki ila mahakama
@manasekabusha71802 жыл бұрын
asante tusie kujua ametenda tusio yajua
@priscambwambo10302 жыл бұрын
AMINA SABAI MSHUKURU MUNGU WAKO WA MBINGUNI NDIO KATENDA NI MUNGU KAKUTENDEA NAMI NAMSUKURU MUNGU ALIIEWATENDEA MUUJIZA.
@nursechunga44702 жыл бұрын
Ujumbe mtegemee Mungu kwa kila jambo, Mungu amekusamehe na amekukumbuka, usimwache, unapendwa na Mungu kaka
@Electri-ambi2 жыл бұрын
Hatua alizopitia huyu brother zinatosha kujua maisha ni ya namna gani na nni maana ya maisha
@husseinkhaji8952 жыл бұрын
Mwaka ni kidogo sana
@boscomwangosi10422 жыл бұрын
Ndio ujuie hata wale tunaowaamini kusimamia haki ni sehemu ya kutunga kesi za uongo na ngumu kwajili ya kuwafurahisha watu wenye pesa,lkn wanasahau kua MUNGU yupo anaishi
@yeunhiasrwetze83772 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏#sabaya kaupga mwing
@jacksongabriel4693 Жыл бұрын
Mungu mwema
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
Hukumu ya wanadamu na ya Mungu tofauti maana Mungu anajua kweli
@hildaeliapenda39382 жыл бұрын
Mungu Ametenda Muamini Mungu hakuna gumu lolote lile Asiloliweza
@robertkusena49022 жыл бұрын
Hakna haki hApo raisi amektoa sabaya ila Mungu anajua kwa upuuzi wako
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Lesson learned.
@shukurukihwelo30842 жыл бұрын
Safi sana
@christinenyagiro66622 жыл бұрын
Mungu mwema kuweza kuwezesha Sabaya kutoka ndani.kwani mtu anaheshimi kesho yake yule aliye muweka hayupo na wewe unawekwa ndani hii yote ni kuwa na KATIBA
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Naona kama naota sabaya kuachiwa hulu nolikuwa naumia jamani. Asante mahakama
@newmulendastudio99352 жыл бұрын
Hongera
@ntopangonyani69642 жыл бұрын
Yaani huyu jambazi anaachiwa huru kweli, huyu amebaka, amepora na kudhulumu. Ila Mungu yupo na hulipa hapahapa duniani, huyu amewabambikia watu kesi, ameharibu mali za Mbowe kwa hila leo hii anaachiwa.
@hassankatema25742 жыл бұрын
Toa ushahidi wewe fala sio unaropokaropoka tu kwa sababu una bando#mfu
@jellynesssemu94062 жыл бұрын
@@hassankatema2574 kabisa atoe ushaidi kama anajua. Mungu pekee ndo anatoa hukumu
@husseinmaula59602 жыл бұрын
Samia ni Raisi mzuri sana hata sisi tuliokua hatuipendi ccm tumekua wakereketwa kupitia yeye naamini hata wasiomuelewa watamuelewa taratibu kadri siku zinavyokwenda.
@194summer2 жыл бұрын
Mkishapaga shida ndio mnajuaga kuna Mungu
@malindisamwel76302 жыл бұрын
Ameeeee
@rebekamwambatata95122 жыл бұрын
Poreni.na.ongela.sana.kaka.zangu.mungu.awalinde.
@M7-Band2 жыл бұрын
Kwa style ulivokuwa unapambana na mawikili wa serikali,nilijua hapa hamna kitu,Ila nimekukubali Lengai
@sarahmgaya48702 жыл бұрын
Dah Mungu ni mwema kajibu maombi yenu
@selinamichael65042 жыл бұрын
Umkumbuke MUNGU mpaka utakapokufa na usimwache MUNGU kakangu na uwasaidie watu.MUNGU amekusaidia ukamtumikie tena.uwe mwaminifu kwake kwani tulikuombea kwa MUNGU msamaha Kam Kuna mahali ulikosea akusamehe na awasamehe wote na awakumbuke.nanyi pia msisahau kuombea wenzenu.nausifanye kisas kwa yeyote aliyekuudhi ukiwa katka kesi yako.na uwambie na wenzako Kwan MUNGU anaona.samehe wote na muwe na aman nao.kwan MUNGU anapenda anayesamehe nae anamsamehe kakangu.mbarikiwe!!!
@marwamaisa6592 жыл бұрын
Hilo nifundisho kwa viongozi ambalo linakuwa kama mfano kuwa hapa tz hakuna mtu ambayee yuko juu ya shelia leo kwako kesho kwangu viongozi wameona mfano hai.
@stanleymhozi75902 жыл бұрын
Nashukuru mungu
@salcle97022 жыл бұрын
Nyie kupitia hapo ni sehemu yenu ya maisha ilisha pagwa na mungu ili mjifunze kitu kwenye maisha na iwe funzo kwa wengine pia.mshukuruni mungu kwani bila yeye hiyo furaha msinge kuwa nayo leo