Рет қаралды 5,124
SAFARI YA DKT. TULIA ACKSON KUTOKA KUTOFAHAMIKA MPAKA KUWA SPIKA WA BUNGE..
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu ndiye spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Ameshinda kwa asilimia 100 ya kura 376 zilizopigwa na wabunge Februari Mosi, 2022 baada ya nafasi hiyo kuwa wazi kutokana na aliyekuwa spika, Job Ndugai kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022.
Mchakato wa kumpata spika mpya baada ya Ndugai kujiuzulu, ulianza ndani ya chama chake cha CCM ambacho kilimpitisha kwa kauli moja chini ya mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...