Ukoloni mambo leo upo Tanzania bado na viongozi wazembe wamezidi kuwapa nafasi ndio maana kuna matatizo na wameshindwa kusimama na urusi Sababu nyerere alijaribu kuendeleza mpaka Africa yote Ila ukoloni wa kisultan wa kioman bado upo na wamejitandaza sana Na wengine wageni kuoewa nafasi katika nyanza za elimu,dini,na hata serikali kuu kuwapa nafasi kama wenza wahusika na rafiki sio adui