Samia awajibishwe sababu watu wake wa usalama wa Taifa ndiyo walofanya huo ujinga
@xaixaiobrigado48463 ай бұрын
Hiz0 gereji,aambiwe rais mama ABDUL.hivi rais akimwambia igp kuwa SITAKI KUSIKIA HIZO GEREJI,Itatokea tena? Anazipenda
@reginas18323 ай бұрын
Mraji wa samia kufunga vijana mdomo. Gen Z where are you??
@rizikiminga30103 ай бұрын
@@reginas1832we are here ready for liberation my sister😢
@gaspercharles22443 ай бұрын
Walisema Rais Magufuli alikuwa anateka watu Leo amefufuka tena au mlikuwa mnamsingizia? Na kama mlikuwa mnamsingizia msafisheni hata pamoja na kwamba hayupo maana imedhihirika wazi kuwa sio yeye.
@juliuskitaluka12063 ай бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@reginas18323 ай бұрын
Kwani nini kimebadika. Mvinyo ni ule ule wamabadilisha tu chupaaa. Iko siku
@SmilingCityMap-xb9md3 ай бұрын
Wakuu tuambieni hapo mwenda zake kahusika ? Ukweli ndio uhulu wetu pasipo ukweli hakuna uhulu
@DaheerK2 ай бұрын
😂😂😂siyo nacheka mazur chura kiziwi
@kisinza60772 ай бұрын
Shida hii Nchi watu wameruthishana UCHAWA, ni hatari sana Kwa wenye mambo Yao na family zao tu.
@NickmbeckNkinda-z3g2 ай бұрын
Ccm wanajichimbia kaburi sativa hajazaliwa Uganda ana nduguzake Wana ccm kibao hawajitambui
@mwombekiflorian52032 ай бұрын
Exactly mmesema .Sasa ninyi ni viongozi ,tunafanya nini kukomesha ukatili huu wa kuteka ,kujeruhi na kuua watanzania . 3:03
@xaixaiobrigado48463 ай бұрын
Wamsafishe nani? Yaani kutekwa watu kufanyike chini ya mamaAbdul,af umsafishe Jiwe kwamba alisingiziwa? Unazo za kutosha darini?
@JamesSiame-d4o3 ай бұрын
Halinimba kiukweli tx mama angejaribu kuwamoto kwa watumishi wote wapuuzi ilivyo sawa inatufanya tuwaze kuondoka mchumi kwetu