Mbingu zikufunike boss wangu. I wish to ɓe part of your team kaka. Boss aliyenyooka khaswaaa
@DerickNgowi-mf5pe5 ай бұрын
Serikali ya samia imchukue huyu mama ana kitu kikubwa sana ....
@joycemwake46474 ай бұрын
May the Lord bless you honorable makonda ,for really you are helping people
@issaramadhaniathuman5 ай бұрын
Huyu mama nimemuelewa sana anajitmbu hanrrd pcnt ❤
@EmmanuelMashana5 ай бұрын
Hongera sana Mhe. Makonda Kwa kazi nzuri, Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akuzidishie siku za uhai wako ili uwasaidie wanyonge
@patrickmarwa50245 ай бұрын
Mwalimu uwezo wake wa elimu ni mkubwa pia akili nyingi sana anajua kujieleza pia .
@patrickmarwa50245 ай бұрын
Mkuu wa idara ajira yake ipo chini ya nani kama mkuu wa mkoa unaweza kufanya mabadiliko hapo hapo huyu mwalimu tunaomba awe mkuu wa idara
@zaliafahussein44515 ай бұрын
Ana kitu mwalimu
@freemansuleiman78475 ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana ww ndo umejua sisi wananchi tunataka nini baba mungu atakulipa usiogope kupigwa vita
@NoelaKetau5 ай бұрын
Waalimu wapewe heshima sanandio waliotufanya tupo tulipo.Makonda ubarikiwe sana baba
@thelalas92045 ай бұрын
Huyu mwalimu jamani mpeni kazi nyengine huko serekalini asimamie mambo ya wanarusha.yupo fiti sana mkakamavu
@DenizaChambala5 ай бұрын
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
@DenizaChambala5 ай бұрын
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
@DenizaChambala5 ай бұрын
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
@DenizaChambala5 ай бұрын
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
@DenizaChambala5 ай бұрын
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
@stephenkitururu55884 ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa Kwa kumsaidia huyo mwalimu
@SamwelManirakiza5 ай бұрын
Hongera sana mh makonda kwakunyosha mambo
@mbwafumabula47065 ай бұрын
Akija silaa hapo nyumba inabomolewa
@BarakaloishiyeLukumay3 ай бұрын
Mungu akusidishie san
@SeveriniTemu5 ай бұрын
Mkuu Makonda unazo hekama za mflme Selmani kwenye bibilya. Pambana mungu akuongeze hekima busara uchaji kipawa watanzania tuzidi kukutasimini mbele ya safari ndefu : nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko rushwa ni adui wa haki sitapoke na Wala sitatoa. !!!!*** Hayo ndiyo madhumuni ya chama yadumuuuu asanteee mkuuuu tupo pamoja
@unjuusalvatory53315 ай бұрын
Afu Maza huyo mwanasheria ana Cheka Cheka anadhani utani kwenye issue serious kama hyo asee. Nonsense
@JosefuRashid5 ай бұрын
Mam ana upiga mwing kazi iendelee kusimamia haki zawayonge mkuu makond vzr san
@OmaryBora23 ай бұрын
Asante mwanasheria
@komboko41435 ай бұрын
Nampenda mwalim bitris maana yupo full dose hadanganyiki yupo makini sana
@piusgadau63285 ай бұрын
Huyu teacher aliyeoa ana kazi ngumu sanaaaaa😂
@khaliphaabubakar94663 ай бұрын
Mme wake atakuwa na bahati kubwa kuwa na mke kama huyu teacher
@piusgadau63283 ай бұрын
@@khaliphaabubakar9466 huyo mama akili kubwa mnooo huenda mwamba asiinjoy
@DeborahMwampashi3 ай бұрын
Mungu akulinde makonda
@ImaniImanueli5 ай бұрын
Broather nakukubali sana ningependa u.gekuja hata mbeya usafishe madudu mengi na pia nakuombea uje uwe Raisi wetu wa tanzania ck zijazo.
@restitutakisamo76075 ай бұрын
Jamani b Bitrice class mate umeteseka sana,pole sana.pambana mpaka kieleweke,Ashira oyeeeeèe❤
@muhsiniissa81515 ай бұрын
Kumbe kasoma ashira,,nilikua nashangaa mbona ana uwezo mkubwa Sana kumbe alisoma kipaji
@adilimihinga78735 ай бұрын
Mh.ahsante sana kutetea haki za wanyonge!
@zeldakahitwa75094 ай бұрын
Shukrani mkatoe kanisani
@OmaryBora23 ай бұрын
Tenda haki kaka Mungu atakupa na atakulinda
@MshamuKazumali5 ай бұрын
Bg up magufuli mdogo,chapa kazi mkuu.
@RashidiHamisi-uv7sd5 ай бұрын
Big Up Mh. Makonda kwakazi nziru. Huko mkoani arusha.
@nkweefrank20304 ай бұрын
Mama yuko vzur sanaaaa❤
@irenesanga88094 ай бұрын
Beatrice umetisha mama
@danielchaulema16705 ай бұрын
Hongera Sana makonda
@dicksondkaganga12904 ай бұрын
Duh!
@JacksonMtambo-xb9rl4 ай бұрын
Fanya kazi mzee
@geraldgedi46575 ай бұрын
Beatrice mwl na mwanangu umenibeba mabegani kwa umedhihirisha kuwa mwalimu si wa kubezwa na kutweza utu wake.
@CharlesKiyenze5 ай бұрын
Saf Sana teacher uko vzur makonda hongra San hatuna viongoz weny kufany kam makonda
@peterkerenge92075 ай бұрын
"Mpeni beatrice akae mtoni"😅 mheshimiwa umeniua
@zaitunirashidi55325 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@beatrice47805 ай бұрын
Udumu Mwana! Wanaokuchukia ni wenye vijiba vya roho, mawivu tuuuu
@irenesanga88094 ай бұрын
Makonda kwa kweli nimekupenda bureeeee.malipo kwa Mungu
@hidayaswai31194 ай бұрын
Kwn hawa watumishi wanatokea familia zipi ambazo hawathamini watu. Mimi nadhani ikigundulika mtu kadhulumika wabomolewe na waliohusika washughulikiwe effectively
@stellakivuyo44114 ай бұрын
my madame
@RashidiHamisi-uv7sd5 ай бұрын
Makonda big up
@susananyasani65265 ай бұрын
Katika Dunia nzima Wananchi hawaruhusiwi kuishi sehemu ya Mto kwa sababu sehemu hizo ni Kitanda cha Maji 😂 asante
Hupendwi kwa sbb unatenda haki,,mtenda haki daima hapendwi
@RamadhaniOmary-z3p5 ай бұрын
Huyo mama anasema ukweli ndo maana hana wasiwasi anasema ulweli
@sharafisaidi79995 ай бұрын
Ingekuwa wakati wa jpm huyu mwalimu angepewa ukuu wa wilaya
@Blasius-yz7pb5 ай бұрын
Jiandae kukaria kiti cha urais kamanda mungu AKULINDE
@saitotisimon48424 ай бұрын
Natamani kuingia kwenye siasa❤️
@GraceMbungu-hn7oi4 ай бұрын
Daaa! Mama huyu anajiamini Hadi raha
@rahmaomar91375 ай бұрын
Hongera mwl
@KajiruSele5 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@bonifacedanielmwakisunga96385 ай бұрын
Huyo afisa utumishi afai kabisa kwanini wanakuwa waongi watumishu wa umma kwani akifukuzwa kazi huyo mama wao wanapata Nini no laana ya vizazi vyao fukuza shule zao Nina wasiwasi sana
Njoo nakwetu lukwa baba uwe mkuu wa mkoa tumekupenda sana
@emanuelleopod39495 ай бұрын
Kiwanja kimeingia mtoni hahaha dah nimecheka kifala sana
@bukharyally5 ай бұрын
Ndio maana nakupenda makonda unacho sema nikama ninavyo wanza mm safi sana kaka
@romanilyimo5 ай бұрын
Wacha uongo bana amuweziwaza sawa na makonda ndg kila mtu ana nafsi yake 😂😂😂
@stephenkitururu55884 ай бұрын
Huyu mwana Sheria namkubali sana kwanza anajibu Kwa mujibu wa Sheria pasipo Kona Kona ... Kama unamkubali kama Mimi gonga like hapo chini tufahamiane 😂😂❤
@emanuelleopod39495 ай бұрын
Hapo kama namuona Slaa vile waziri wa ardhi yaani akiiona hii mmeishaa
@AlHamra-k4u5 ай бұрын
Makonda 🔥🔥🔥
@LilianKisumbi5 ай бұрын
Hivi kwa Nini watu hawana hofu ya mungu
@Ndekya5 ай бұрын
Hivi mmegundua huyu mwalimu beatrice ana utulivu sana
@EllyAyo-uq6ol5 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI MKUU WA MKOA WA ARUSHA,NAOMBA MHE.RAISI WETU AKUTUME NA HUKU KIBAHA,NI KAMA VILE HATUNA HATA MBUNGE
@SamaGane5 ай бұрын
Uko vzr
@sagangohe.bukombe1315 ай бұрын
Good
@Itarusii5 ай бұрын
Kazi kweli kweli!
@eshyndibalema15295 ай бұрын
Mwalimu yupo vizuri amekataa ku sign mpaka wakubaliane kisheria hapapariki na pesa
@hidayaswai31194 ай бұрын
Hivi kwnn wanaodanganya serikali wasifukuzwe na kufungwa. Kùkosa hofu ya Mungu na kudharau viongozi tena mbele ya umma. Huu ni ubadhirifu wa madaraka. Kaka i mean i wish kufanya kazi na wewe na naahidi kuwatumikia wananchi wako
@youthmediatv15 ай бұрын
Huyo mama kamuajili
@emanuelleopod39495 ай бұрын
Ila nyie watumishi wa hii nchi bhana, yaani mtoni ambako Beatrice hapamfai kapewa mtu ambae anaishi hapo hapo mtoni dah😂
@fatumasaidimmependezamjeng89945 ай бұрын
❤
@njamusenga55515 ай бұрын
Gombea uraisi mkuu
@adilimihinga78735 ай бұрын
BILA hivi mh.hatutoboi!
@AlbertShayo-i6v5 ай бұрын
Haya ni marmtatizo ya kitaifa kwanini wakuu wa mikoa wengine wasimsaidie Rais kama anavyofanya mkuu wa mkoa Arusha ?
@danielchaulema16705 ай бұрын
Asiyempenda makonda nifisadi
@chikusangalala77595 ай бұрын
Huyu mama serekali mchukuwe anakitu kikubwa
@OmanOman-hz1qm5 ай бұрын
MAKONDA WEWE NI SIMBA USIOGOPE KAMATA HUYO
@zeldakahitwa75094 ай бұрын
Arusha mkatoe sadaka ya shukrani kwa RC huyu Mungu amewakumbuka hapa kila aliyenyimwa haki yake ataipata
@sultanijuma35375 ай бұрын
😂😂😂😂daaah hatalii sana
@chusseboywcb28085 ай бұрын
Huyo msemaji wa jiji eti anachekacheka sasa unacheka kwa kuzurum haki ya mtu unaleta mapenzi kwenye ujinga
@Dorka12-n7b4 ай бұрын
Makonda mtetezi wa wanyonge ubarikiwe na kizazi chako
@sulemanmuyomba35245 ай бұрын
Yaaani
@African5115 ай бұрын
Nguvu ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI ndani ya PAUL CHRISTIAN MAKONDA, blue print ya JPM.
@youthmediatv15 ай бұрын
Chapa kazi
@IssaKulaifa-ft5us4 ай бұрын
Makonda pitanao haooo
@maimunakassim84135 ай бұрын
,😂😂😂😂😂hii nchi inawatumishi wajinga sana.mpeni mwl mto wake aupeleke chumbani
@brownnyagawa7055 ай бұрын
Ninatamani makonda Awe waziri
@nesenaibala19105 ай бұрын
Hakuna maeneo huko osmotic kule mashamba yote yana wenyewe
@hamudzakuwani41495 ай бұрын
Kwa kweli kinjwa ni kinjwa makondaa wewe ni taraolee mpya wa tz 230
@EmanueliWildausoni5 ай бұрын
Mwalim ni wa moto hatari
@josephwilliam97365 ай бұрын
Nasubiri apewe mto
@johnimboru20785 ай бұрын
Wakuu wa mikoa mengine waige hili jambo
@yahayaomedkingungalo21795 ай бұрын
Makonda mwamba. Mtetezi wa wanyonge
@EmanueliWildausoni5 ай бұрын
Mwalim beatress ww ni jembe unajua kujieleza balaa tatizo wakishakalia viti wanajiona wo wenyewe ndo wanaakili
@MahamudBampenja5 ай бұрын
Uyu mama anacheka cheka wakati watu wapo seriously