Magufuli kwenye mwili wa Makonda..... Eeh mungu tunakushukuru!!!!
@radhiambwana33536 ай бұрын
Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu Mwenez Ccm inogile
@user-qz7dk1tt2e5 ай бұрын
mungu akulinde siku zako zote
@jaylossiame30776 ай бұрын
Huyu mwamba 🎉🎉❤❤ Ungewai kuja hiki cheo walikuwa walikuwa wapi kukupatia. Mungu akupe uhai mrefu
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Uhakika hao wengine akina pole pole walikuwa wapiga mapambio
@KogaDenha-yy8lt6 ай бұрын
Mweshimiwa makonda mwenyezi mungu Akulinde Akukinge na Kila baya Akutunze uendelee kusaidia watanzania tunakuomba sana
@kosherasengasu50936 ай бұрын
Hongera Sana mheshimiwa Makonda Kwa utendaji wako uliotukuka.
@emmanuelnzaligo62626 ай бұрын
Safi kabisa Paul na mungu akutangulie.
@omaryjudasymwanga71726 ай бұрын
Kama ndivyo askari wako walikua wanamkamata diwani kwa lipi
@omaryjudasymwanga71726 ай бұрын
Au wanamuweka ndani au kumuita ili iweje
@MathewPhilip-cf4xw4 ай бұрын
@@omaryjudasymwanga7172❤❤❤❤❤❤❤❤
@MichaelJames-tp6co6 ай бұрын
Mh. Makonda hongera umakua matumaini tena kwa watanzania
@user-jn2qj5wf6c6 ай бұрын
Mh makonda nakupenda sana na siku nikikuona nitapambana nikushike mkono ata kwa kupigwa na walinzi wako💯💯
@QwaridaNadamassay5 ай бұрын
Hahahaaaa
@EmmanuelMwakyendenge-fd2mz6 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao
@user-hx3mq5fg7v6 ай бұрын
Cheo ulichonacho Ndg Makonda nahisi n kidogo na hakina meno. Nakuombea kwa Mungu upande zaid ya hapo hili utusaidie Watanzania.
@user-uz9kn3kv8t6 ай бұрын
Mh pomakonda nakupenda sana umenikumbusha mbalisanaa
@user-rd8cg7su6v6 ай бұрын
Kweli makonda anafanya nyayo za hayati magufuli
@dennishyera54486 ай бұрын
Duu! Tanzania tunakazi kuna mijitu haina upendo, Mh Makonda big up,kazi nzuri ila uko pekeyako. God bles you.
@ramsonramadhan41566 ай бұрын
Ww hayuko pekeake uyo ..kapewa kazi maalum na ana watu uyo..na Ujue watu walimbeza sana mwanzoni
Ni kweli kabisa wafanyakazi wa ardhi ndiyo chanzo cha migogolo na hata Mkoa wa Kagera mpaangalie kwa jicho la pili
@user-jf1sq7lk4g6 ай бұрын
Hongera sana mh. Makonda kazi yako ni nzuri sana Mungu akulinde usiku na mchana.
@dassustephen7316 ай бұрын
Huyu so Rais WA nchi Hana mamlaka yoyote.Hayo NI maigizo Tu Magufuli ndo aliweza hayo na alikuwa na mamlaka akiwa Rai's WA nchi
@saimonntani68316 ай бұрын
Sasa mazungumzo yanini wakati mnasema mwekezaji alifutiwa kweli bongo nyoso😂😢😅
@user-qq3fg3kq5j6 ай бұрын
Mh Rais tunashukuru Kwa kumteua Makonda ombi langu kama itakupendeza mteue na polepole washirikiane na huyu mwamba
@MwanneHussen5 ай бұрын
Safi sana Makonda wakomeshe watanyooka tu hao mungu akulinde❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kantategodwin6627Ай бұрын
Hongera sana Makonda ❤
@mbematv75885 ай бұрын
Good too! 🇹🇿
@SalimKombo-xo4pqАй бұрын
M.mungu atakubariki makonda
@njuka35156 ай бұрын
The coming presdent paul makonda❤
@deogratiusmgute59836 ай бұрын
Excellent Dc
@kulwaemmanuel28756 ай бұрын
Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.
@beatrice47806 ай бұрын
❤AMEN. Mungu azidi kumuinua.
@user-xh5ds2mb5w6 ай бұрын
Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.
@margaretkato51785 ай бұрын
Hata mimi machozi yamenitoka
@LalasalamaBBАй бұрын
Mungu akulinde makonda sio rahisi kazi unayoifanya maadui wko.kma ungekuwa kwetu Kenya ungekuwa zaidi ya ruto
@ndayizigasamson6655 ай бұрын
Aise mweshimiwa Makonda MUNGU akupemaisha marefu yakuwasaidia wananchi. Mwenyewe nimeipenda.
@costantinejohn-xn6lw5 ай бұрын
Duuuuuh kwenye kazi Kuna kazi
@khadejakhadeja97136 ай бұрын
Diwaani pita hapa Safiiii..mh MAKONDA.❤❤❤❤
@mistahkeytvkenya4211Ай бұрын
Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani
@user-cu3dg8xd7q6 ай бұрын
Makinda amebadilika sana utoto umemtoka amekua sasa anajua majukumu . Kudoss to his mentor hayati magufuli😢
@BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын
Diwan naomba apande cheo
@margaretkato51785 ай бұрын
Diwani anafaa sana, anaongea vyema..bigup....na kijana Makonda you are doing wonders.
@user-th4fv9ro2v6 күн бұрын
Namkubali sana diwani,
@atugonzalugemalila51424 ай бұрын
Hii kazi ilipendeza aifanye waziri mkuu ila ccm mjitafakari muda ni mrefu miaka zaidi ya 60 hatukupashwa kuyasikia haya ya enzi za ukoloni
@user-kd3ky8tb4v5 ай бұрын
Hapa kwa makonda nakiona kiatu alichokua akikivaa magufuli taar kimepat mrithi . Mungu akulinde mh makonda
@annejacobilkiuyoni29716 ай бұрын
Mungu akulinde🙏
@hassanyohna61216 ай бұрын
Makonda Ukuje na kwetu Kunamajizi hatareee
@touches4lifeonlinetv466 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubariki na akulinde saana 🎉❤paul makonda
@ev.manassehbayori85604 ай бұрын
Kwa kwerli mzimu wa Magu umerudi katika nafsi ya Makonda
@alphoncekagezi49506 ай бұрын
Watalaam wengi ni biashara binafsi.Wanamezwa na,kwenye ukwasi Kuishi eneo moja kwa miaka mingi mtumishi mtalaam nalo nitatizo.
@bonifacemushijoseph9382Ай бұрын
Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine
@misembe6 ай бұрын
Safi sana makonda
@Pastorsteverotali6 ай бұрын
MAKONDA UNASTAHILI KABISA KUONGOZA HII NCHI NA WATU WAKANYOOSHWA KAMA ALIVYO WANYOOSHA MAGUFULI
HONGERA SANA MHESHIMIWA MAKONDA. MTU KAZI. HUNA MBA MBA MBA. TUPO NYUMA YAKO. KAZI IENDELEE
@juliusntandu43025 ай бұрын
Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen
@mussakashinje873311 күн бұрын
mikoa mingine hazifanyi kazi only mkonda baba fanyakazi
@DenisRamadhani-mg1gu3 ай бұрын
wakisema unakiherehere bora uwajibu nawatengenezea nchi nzuri watoto na kizazi endelevu waishi kwa haki na furaha na kuichukia tamaa"
@gloriamichael79356 ай бұрын
Kazi ipo sana
@neemanziku54036 ай бұрын
Hii nchi haki haipo yan kuna uozo sana wananchi wanalia
@Juniorbaraka215 ай бұрын
Diwani upo sawa sana nice one
@robertmbuji19036 ай бұрын
Kidum chama chetu hicho chuma sasa, Mungu akujalie
@user-ho7er6en5x6 ай бұрын
Mungu akulinde makonda namimi nimezurumiwa ardhi namwanangu
@Aisha-lj8buАй бұрын
Sasa mwana kakudhulum au kachukuwa cha mzee wake
@florencemeza65406 ай бұрын
Wananchi wanateseka saana leo hii mtu kama Rostam anawekwa ni tajiri Africa kupitia uwekezaji wa ajabu
@henrykanyumi68825 ай бұрын
Mungu aifariji family na watanzania wote
@tanzaniamycountry93086 ай бұрын
Jiwe walilolikataa wash @Makonda Mwenyez Mungu akutie nguvu ndugu yangu
@MichaelRobert-ot9zh6 ай бұрын
Uko vizuri Sana mueshimiwa makonda
@user-vf6qm9ek7r6 ай бұрын
Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana
@alvinsafi27334 ай бұрын
Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂
@estherkibajiro3480Ай бұрын
Namimi pia❤
@user-yr1cb2ql1h6 ай бұрын
No ya mheshimiwa makonda inapatikana
@user-pz9by1ml2x6 ай бұрын
Yani nchi hii watu kama Makonda yatakiwa muwe kama mia mbili ndo mtaiweza hii nchi
@chalespamagila47836 ай бұрын
Makonda ipo siku mungu utaongoza hii inchi
@tumainimwaifunga38846 ай бұрын
Haya ndio tunayataks,
@alphoncekagezi49506 ай бұрын
Mh Mwenezi kuna box limefungwa la siri(Ebu wasaidie wananchi hao na diwani wao box hilo lifunguliwe.
@AnoliasiKope2 ай бұрын
Mungu nimwema
@allyfutto87636 ай бұрын
Big up to makonda watu wabadirike wawache Ufisadi 🇹🇿💪🏿
@nelsonnyamle6 ай бұрын
Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge
@akidabakary91986 ай бұрын
Semaa,usiogope semaa
@HamadSwaleh-f9iАй бұрын
Next president bila kupingwa
@FelgusShija6 ай бұрын
Wanazingua
@user-ff4wo9lx6t6 ай бұрын
Mmh jmn Tanzania
@sharafisaidi79996 ай бұрын
Kazi hii pia ingefanywa na wazili ofisi ya rais temisemi tukupe hongera
@dorcusnkwao57146 ай бұрын
Big up katibu mwenezi
@user-kf6gy9tc9v5 ай бұрын
Siasa weee nakukubari mzee siasa
@user-yc1tm4hp4n4 ай бұрын
Mh. Mungu akulinde kwa kila baya. Na hao wanaokushutumu Mungu awalani. Mh.Makonda Tanga umepita lakini hukusikiliza kero. Tanga kumeoza ofisi ya ardhi ndio chanzo kikubwa cha migogoro. Lugha zisizo ridhisha. Mh. Kuhamisha sio suluhu yeyote ahusikae na tatizo awajibishwe ili iwe funzo kwa wengine. Kwani huwa wanafubwa macho na wanazibwa masikio na wenye hela na kushikiana na baadhi ya wenyeviti ambao husema umechelewa Magufuli amekufa. Hii sijui inamanisha nini.
@npiperito19Ай бұрын
Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AbdilahiMririАй бұрын
Kihalali kabisa sioni haja kuwapora Wananchi Mali zao zozote hasa hata haya mashamba, thamani ni mwenye shamba auze shamba lake kwa anaemtaka, au kwa anaowataka.
nyoosha mzeee usiwe na huruma kwa wasiotenda haki " usiogope kulogwa wala kufa maana kufa kupo tuu" piga kazi kaka
@an-noormedia28816 ай бұрын
Dc mzuri saana maashallah
@ElizabethFesto-fv2ku6 ай бұрын
Hao ndiyo wanao haribu sifa ya serikali yetu
@ev.manassehbayori85604 ай бұрын
Makonda umenifurahisha kwa kweli naona utendaji kazi wa Magufuli
@maigarasamwel84414 ай бұрын
Huyu ndo diwani sasa👏
@user-sy3qw2zk1b6 ай бұрын
Msaidie mama kuondoa madudu haya makonda.!!!
@fidahusseinkassim97786 ай бұрын
Huyu si ndo yule fisadi
@user-on2ob2jf1x6 ай бұрын
Kimeumana
@jumaigoti75416 ай бұрын
Pole sana diwani wewe nimsema kweli
@zakayomasingoti92386 ай бұрын
😅yaan mtathimin anajistaki mwenyewe
@user-bv4mi2wo8o6 ай бұрын
Safi sana makonda wanyoshe sana
@rosehaule67655 ай бұрын
Nakuombea Mungu akutie nguvu makonda
@alphoncekagezi49506 ай бұрын
Jibu ndio au hapana sio maelezo.
@ikajiissa65565 ай бұрын
Makonda mungu akulinde wewenimwamba
@bosssyedmund87856 ай бұрын
Inaonesha kias gn matatzo mengi hayafanyiwi kaz
@iddiabdallah73526 ай бұрын
Ona mzee anavyowanyoosha viongozi kwamba uongozi haupo vizuri kwenye maamuzi
@omaryjudasymwanga71726 ай бұрын
Kuna wakati hizo zinakua ni deal za watu na zinakuaga na maelekezo kwamba iweje so hao wanajigongagonga lakini wanajua kisanga hapo ni nani wa kumvisha paka kengele