Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 2

  Рет қаралды 94,490

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 220
@lowkeybongo
@lowkeybongo 3 жыл бұрын
“Baba alipofariki ilibidi niache shule ili kumtunza mama na kuhakikisha wadogo zng wanasoma” Sugu kwenye wimbo wa HAYAKUWA MAPENZI
@Burner_Acc
@Burner_Acc 3 жыл бұрын
Bonge ya track ile
@joshuanzunda5410
@joshuanzunda5410 3 жыл бұрын
Nawaza sana nna miaka 24 saiz lakini namiliki GPA tu. Lakin kuna ma genius waliishia form4 nawamefanya mambo makubwa kwa taifa. #respect kwa sugu #respect kwa salama
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 3 жыл бұрын
The time is not right, Always usikate tamaa. Believe in your self you will make it in life.
@gwanman1858
@gwanman1858 3 жыл бұрын
Shule sio kila kitu, fanya vitu unavopenda mwana kila kitu kitakaa kwenye mstari,
@franciswawino4051
@franciswawino4051 3 жыл бұрын
Hii interview nime-enjoy Sana....Unaelimika lakini at the same time unacheka...big up Sana kwa Sugu...THE LEGEND
@dicksonsumbo6007
@dicksonsumbo6007 3 жыл бұрын
Kiukweli tumepetezewa watu muhimu sana bungeni sababu ya ubabe wa kipuuzi kabisa.
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@oscarmills0819
@oscarmills0819 3 жыл бұрын
walimuibia kura na ubabe ulikua mwingi na askari
@fulgence34
@fulgence34 3 жыл бұрын
Mungu yupo ila ni matter of time
@geofreyhezron39
@geofreyhezron39 3 жыл бұрын
Katika watu magenius kwenye Nchi hii huyu jamaa Ni hatari sanaaaa
@salummhina4857
@salummhina4857 3 жыл бұрын
Duuu Sugu pole sana.Nakunukuu.nimejitahidi sana kutokufanya mambo yasiyo halali ili nisiende jela na bado nimefanya mambo halali na bado nimefungwa.Halafu kicheko hahahahaaaaa! Nimependa sana hiyo
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@prudencemushi6948
@prudencemushi6948 3 жыл бұрын
Imenichomaaaa sana hiiii
@prudencemushi6948
@prudencemushi6948 3 жыл бұрын
Nimekuwa mlinzi BP nikaacha uza madawa nisiende gerezani ingawa sasa hivi nafanya kitu legit na nimeenda gerezani Godamit
@jonathanicrisatijonathanic6708
@jonathanicrisatijonathanic6708 3 жыл бұрын
Mucheki jiva ana ngoma kali
@esterdanford5563
@esterdanford5563 3 жыл бұрын
Hakuna kama mama, wabarikiwe wamama wote kwa maombi yako,hakika yamekua baraka kwetu.Hata kama sie watoto hatuwaombei kama wao
@innocentmushi3036
@innocentmushi3036 3 жыл бұрын
Duh!! Hii interview ime nifurahisha na kunisikitisha sana kwa wakati mmoja. Btw one day yes CCM itaondoka na udhalimu wake woote.
@panjumitindo1135
@panjumitindo1135 3 жыл бұрын
Interview Hii Ni Elimu Tosha Never Give Up Mapambano Mpaka Dakika 90 Ikipidi Mpaka Extra Time Iliali Maisha Yawe Poa Never Lose Hope
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Nyie watangazaji chipukizi😀 salama ana maswali kwenye karatasi sio kwenye tablet mana inawezazima charge alaf akaanza kutoa maswali kichwan anayo kwenye karatasi na mali bila daftar huisha bila habari jifunzeni kuandika maswali sio mnauliza maswali kimihemuko yan unatoka home umepanga umuulize sugu swali hili ukimuona na miwan yake unasahau unamuuliza jingine kabisa jifunzeni kuandika. Lil ommy wakat yupo timez alikua anaandika interview zake zilikua zimetulia sikuiz tushampoteza tumebak na zamarad na salama basiiiii wote wanasoma maswali sio kujitia uchiz uchiz linalokuja ndo linatoka
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 жыл бұрын
Nimeangalia Sehemu Zote Kwanza Mpka Pili Hii Ni Interview Nzr Sana Na Yenye Mafunzo Kama Kpnd Chenyewe Kilivo Respect Sugu✌
@herrynico2062
@herrynico2062 3 жыл бұрын
Mwl ni mwl tu
@Lubinsha
@Lubinsha 3 жыл бұрын
I
@catherinelema6324
@catherinelema6324 3 жыл бұрын
Anyone who does everything from his heart is a hero, a creative generation with so much potential from interviews of this kind, Much appreciation to you Salama and thank you Sugu for life education. True education and civilization come from street life.
@user-ez2gv6tg8b
@user-ez2gv6tg8b 11 ай бұрын
Nakubakaka
@elishaadolph6768
@elishaadolph6768 3 жыл бұрын
Hela sio kila kitu ingawa ni muhimu sana... ~sugu 2020
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 3 жыл бұрын
100% true
@kennedymwagambo7197
@kennedymwagambo7197 3 жыл бұрын
This guy is an icon, he should be writing songs to current artists !
@farijimwangosi8202
@farijimwangosi8202 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa AFYA imara kaka JONGWE(SUGU),Ni imani yangu kuwa wee bado ni "JIWE lile walilolikataa wahashi lakini ndio likaja kuwa JIWE kuu la MSINGI"
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 3 жыл бұрын
Salama nakupenda sana kutoka Burundi✌kipindi cako hakinipitagi naokotaga mawili matatu yakujifunza ubarikiwe kipenzi👍💃
@fulgence34
@fulgence34 3 жыл бұрын
hiv burundi mnaongea Kiswahili au wewe ni mbongo
@kelvinmaagi2120
@kelvinmaagi2120 3 жыл бұрын
Bonge la interview. 🔥🔥 next time aje professor jay.
@joejosca7594
@joejosca7594 3 жыл бұрын
Safi sana da salama na mweshimiwa wetu wa kudumu J Sugu, Mungu awabariki sana
@catalanink174
@catalanink174 3 жыл бұрын
Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 3 жыл бұрын
Mr. humble again humble papa sasha
@mackjr5291
@mackjr5291 3 жыл бұрын
Dada mkuu naomba utuletee Adili chapakazi tafadhari sana nakuomba
@gavanashy3197
@gavanashy3197 3 жыл бұрын
Nakukubali sana kamanda Mr.2 (sUGU)
@carlosmzena548
@carlosmzena548 3 жыл бұрын
After JK interview Hii 💥 Salama you the best my sister
@fulgence34
@fulgence34 3 жыл бұрын
Sugu Mungu akubariki na kukutunza pamoja na familia yako mpk kizazi chako cha 4
@juliusjustice9170
@juliusjustice9170 3 жыл бұрын
Like serious hii ni miongoni mwa interview bora zaidi mwiongoni mwa interview nilizobahatika kuzitama jah bless you people 🔥🔥🔥
@teddyklex6618
@teddyklex6618 3 жыл бұрын
This is superb🗣️💪💪💪Keep good job alive Sugu; You're the best man
@josephvenus3259
@josephvenus3259 3 жыл бұрын
Bonge la interview na master of bongo fleva. Majina ya Joseph ukiyatazama kwa jicho la ndani zaidi utaona Hua yanavitu very special. Most of them are hard workers. Nimejifunza mengi ila pendekezo langu umlete pr J
@kitovasaidi6753
@kitovasaidi6753 3 жыл бұрын
Du inafikirisha sana,Hongera sana bro.Salma hongera sana kwa kipindi kizuri.
@eliudeliakayela9598
@eliudeliakayela9598 3 жыл бұрын
Salute bro miaka buku from Mbalizi
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@wallesgeorge9854
@wallesgeorge9854 3 жыл бұрын
salute you my role model
@jubilatemanase9050
@jubilatemanase9050 3 жыл бұрын
Sugu nakuelewa Sana👏
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
No retreat,No surrender""among the best interview in 2021""suguuuuuu
@mackjr5291
@mackjr5291 3 жыл бұрын
No retreat ✅
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
@@mackjr5291 bravooo
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
@@mackjr5291 typing error with our phones
@victoreleonardmdee9158
@victoreleonardmdee9158 3 жыл бұрын
Daaaah Madini kama yote
@hamisisalum2218
@hamisisalum2218 3 жыл бұрын
Katika interview nilizoangalia this one was incredibly interesting I loved it the most, those are gud but this was so sweet Nafurahia kazi yako mungu akuweke uzidi kutuletea vizuri zaidi
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@fadhilikasegese9379
@fadhilikasegese9379 3 жыл бұрын
Kabisa Mr Mono, jamaa mwamba sana huyu
@danielmwanga5231
@danielmwanga5231 3 жыл бұрын
Sugu nampata Sana brother yko vzr
@apolnarymelkiory9534
@apolnarymelkiory9534 3 жыл бұрын
Nakubali
@rabielulomi8607
@rabielulomi8607 3 жыл бұрын
Sugu uko vizuri sana.
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 3 жыл бұрын
Akili kubwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 3 жыл бұрын
Akili 💯 asili💯
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@nammanjeanafi9002
@nammanjeanafi9002 3 жыл бұрын
Dada ramla
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 3 жыл бұрын
@@nammanjeanafi9002 dada yako Kwa nani 🤔🤔
@nammanjeanafi9002
@nammanjeanafi9002 3 жыл бұрын
Hahahha,
@joelinko6632
@joelinko6632 3 жыл бұрын
Dah maneno yako zaidi ya madini
@gloxmax8388
@gloxmax8388 3 жыл бұрын
Naumia saana kuwakosa awa katika mchango wamawazo yakuongoza nchi naumia saana hawa watu muhimu saana japo kuwa kila mmoja anaumuhimu wake ila hawa watu nimuhimu katika nchi
@semdoweallyamiri6758
@semdoweallyamiri6758 3 жыл бұрын
Salute 💪
@iviejustified8109
@iviejustified8109 3 жыл бұрын
That's is it brother.... Pave the way!
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Rudi kwenye game Mr Sugu
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 3 жыл бұрын
Hii kubwa kuliko
@travellahmsafirihiphop5325
@travellahmsafirihiphop5325 3 жыл бұрын
Dah wanambeya mmeporwa mbunge dah
@admaumsengi4230
@admaumsengi4230 3 жыл бұрын
Pamoja kamanda sugu
@JastoLeleJnr
@JastoLeleJnr 3 жыл бұрын
successful with that gangsta like lifestyle gademit...so inspiring!🔥🔥
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana sugu
@davidheche839
@davidheche839 3 жыл бұрын
Sugu Asante sana.... madini tupu
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@MrSABYY
@MrSABYY 3 жыл бұрын
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com Instagram@mr_sabyy 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
@alex2ngaraza
@alex2ngaraza 3 жыл бұрын
The guy looks like Bobby Brown
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
NASKIA RAP TU, MR SUGUUU 🙌🙌
@isayaashangai1081
@isayaashangai1081 3 жыл бұрын
dah nimedaka hiyo unafanya vitu halali bado unaenda jela 😃😂😄
@mozasaid3869
@mozasaid3869 3 жыл бұрын
Sugu km Sugu big up❤❤❤
@defxtro
@defxtro 3 жыл бұрын
Respect to #Jongwe the OG
@zaburiminyali1627
@zaburiminyali1627 3 жыл бұрын
Salama nakubali sana the way your hamble, this show always make youngs as i do to realize that every husling has its beggin ...no matter how many challenges we pass through we expect the best ahead ..by role models
@zaburiminyali1627
@zaburiminyali1627 3 жыл бұрын
Wakati mwingne unaweza kuepuka kutenda maovu usiishie gerezani ila mwisho wasiku ukawekwa gerezani kwa kinyume na haki
@aronemmanuel6049
@aronemmanuel6049 3 жыл бұрын
Show mzur
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Salama congratulations for your job👍salute
@kukujuma1743
@kukujuma1743 3 жыл бұрын
Nimependa sana brother nimemuelewa, sister Salama iko poa sanasana kabisa
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@huseinlymo2520
@huseinlymo2520 3 жыл бұрын
Kubwa sana hii😁
@pabloescober6709
@pabloescober6709 3 жыл бұрын
👑
@nyotamy3678
@nyotamy3678 3 жыл бұрын
🙌
@mosessimkoko9364
@mosessimkoko9364 3 жыл бұрын
Nouma sana bonge la interview
@ronniebertin3563
@ronniebertin3563 Жыл бұрын
Salama unaongea na gangsta rap
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Wazaz anzeni kufundisha watoto plan b shule sio maisha wafanye nin yan jitu lina masters hata kopo lachoon halina yan anangoja kiinua mgongo miaka 60
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@amosgerald7763
@amosgerald7763 3 жыл бұрын
Hongera kamanda Sugu
@deogratiusclemencesimpito6052
@deogratiusclemencesimpito6052 3 жыл бұрын
Sugu.
@a.856
@a.856 3 жыл бұрын
👍
@johnmgohele2606
@johnmgohele2606 3 жыл бұрын
Safi salama
@kastorymalila1109
@kastorymalila1109 3 жыл бұрын
Father of hip hop
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 3 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia hii interview
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@josephatmadama9433
@josephatmadama9433 3 жыл бұрын
Ukiwa na Black label mezani unajibu asante
@radhidimasambiro4620
@radhidimasambiro4620 3 жыл бұрын
Sauti ya simbaaa respect
@fredrickstephano304
@fredrickstephano304 3 жыл бұрын
Real life
@rafiki-wa-kweli2553
@rafiki-wa-kweli2553 3 жыл бұрын
Respect brother. Got you..
@oscarchia4596
@oscarchia4596 3 жыл бұрын
Madini mengi sana🤟
@kudrachristopher5622
@kudrachristopher5622 3 жыл бұрын
Mbunge wa mbeya mjini 😘
@imanimangwala4563
@imanimangwala4563 3 жыл бұрын
Ni bora pia
@deomlope1648
@deomlope1648 3 жыл бұрын
baba alivuta kamba😄😄😄😄😄😄
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 жыл бұрын
Jongweeeee
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 жыл бұрын
Kwa heshima ya Kipindi cha LEO SIJASKIP TANGAZO HATA MOJA KIPINDI KIZUR MTU MAKINI MWENYE INSPIRATION
@dennismwai8922
@dennismwai8922 3 жыл бұрын
Nazani hii ndio show kari zaidi tukiacha na ile ya mhe JK
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Yah nzur sana hata ya idris ilikua nzur
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
#TAITA#SUGU
@methodjm
@methodjm 3 жыл бұрын
I always appreciate u broo
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@esiliarthurmwaisango9146
@esiliarthurmwaisango9146 3 жыл бұрын
I like this...
@luganonipokee7932
@luganonipokee7932 3 жыл бұрын
conscious jongwe
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 жыл бұрын
Tuletee MASOUD KIPANYA
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Haswaaa
@andrewmwangonda6704
@andrewmwangonda6704 3 жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@leahmcharo7306
@leahmcharo7306 3 жыл бұрын
Next time tunamwomba Mbowe
@oscarmills0819
@oscarmills0819 3 жыл бұрын
sugu alitoboa tena 2020 walituibia kura
@boscomfundo7953
@boscomfundo7953 3 жыл бұрын
Kaka Mkubwa, Big up sana Mkuu
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@sesyurio7609
@sesyurio7609 3 жыл бұрын
Hatuon part one kulikon
@rulamwanamvua9669
@rulamwanamvua9669 3 жыл бұрын
Enjoy this one, Salama has a smile Matata
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
Ipo sana angalia vzr kwenye ukurasa wao au ukiwa watizama hii tu ya kwanza lazma utaiyona
@msaflijemus3318
@msaflijemus3318 3 жыл бұрын
Ukosawa sugu
@christophercolombe8857
@christophercolombe8857 3 жыл бұрын
Nice
@anastaziamduda1803
@anastaziamduda1803 3 жыл бұрын
daaah mungu akupe maisha malefu suguuu
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 3 жыл бұрын
marefu sio malefu
@jumarichard9588
@jumarichard9588 3 жыл бұрын
Tuletee Pro Jay
@gilbertmkaro8004
@gilbertmkaro8004 3 жыл бұрын
Nime Enjoy knyama
@salehemakunja1445
@salehemakunja1445 3 жыл бұрын
Akili nyingi sanaaa kaka
@lucasmasai2303
@lucasmasai2303 3 жыл бұрын
Nakupenda sana sana sugu
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 жыл бұрын
Nasubir kabila LA sugu lkn pengne lmetajwa part 2
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 3 жыл бұрын
Mkinga
@nurukagina334
@nurukagina334 3 жыл бұрын
Pia jua na hii kama ulikuwa bado , kzbin.info/www/bejne/gJrZqql4eJVkmZo
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Mbilinyi ni kinga
@boscojulius1278
@boscojulius1278 3 жыл бұрын
Joseph Mbilinyi ni mkinga toka iringa japo kazaliwa mbeya mjini
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 жыл бұрын
@@boscojulius1278 iringa hakuna wakinga bro wakinga tunatoka njombe makete
@beberulambegu660
@beberulambegu660 3 жыл бұрын
Embu naomba mtafute Vitali Maembe, atupe zile mbanga zake za kupigwa kisa mziki wake wa ukombozi
@asueddy1465
@asueddy1465 3 жыл бұрын
Salama is female Larry King
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 no she is hellen de generes
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 3 жыл бұрын
She is almost getting there, Larry is a legend RIP
@asueddy1465
@asueddy1465 3 жыл бұрын
@@tanzaniatouristsattraction1622 probably
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
YahStoneTown
Рет қаралды 110 М.
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
33:07
YahStoneTown
Рет қаралды 310 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 44 МЛН
Alat yang Membersihkan Kaki dalam Hitungan Detik 🦶🫧
00:24
Poly Holy Yow Indonesia
Рет қаралды 11 МЛН
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 6 МЛН
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 11 МЛН
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 88 М.
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
YahStoneTown
Рет қаралды 470 М.
SUGU   MIKONONI MWA POLISI
4:03
Sugu
Рет қаралды 12 М.
WAWILI WAFARIKI BAADA YA WANANCHI KUVAMIA KITUO CHA POLISI GEITA
4:16
WABONGO UGHAIBUNI MEDIA PRODUCTION LIMITED WU®
Рет қаралды 173
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
YahStoneTown
Рет қаралды 116 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 44 МЛН