Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 315
@ShabaniNuru-o1y4 сағат бұрын
Kaka huu usomaji sidhani kama Kuna mtu wa kufanana na wewe kwenye tasnia ya habari❤
@KarieemWaewa-om5rc4 сағат бұрын
Kumbe nawewe umewaza Kama mimiehhhhh
@HasanKisome4 сағат бұрын
Taratibu mmesha Anza Kukubali Kwamba Iran Ni Kiboko yenu Mashoga Wote Duniani Na Wafuasi wenu Wote Mlioingiziwa Chip za Uzayuni kweñye MAKALIO Yenu na Kuishi Mkisifia Taifa La Mashoga DUNIANI Israeli Kwa Kisingizio Eti Taifa Teule
@deniccgabriel61532 сағат бұрын
Tuna jeshi imara😂😂
@jaymandy8136Сағат бұрын
Wapo tena wengi
@abdulrazack95777 сағат бұрын
Iran wanakua sana wamewekeza vzr
@aminaali7927 сағат бұрын
Kaka fedrik yaani wewe ni the best kwa habari 🙏🏽🙌🏾♥️
@rizikially95355 сағат бұрын
Sana the best 👌 😊
@yuscoramadhan84624 сағат бұрын
Dj Smaa alisema mkapinga oooh anaegemea upande kiko wap😮
@CashKassimСағат бұрын
Achana na mashoga wa magharibi ni washabiki wa Manchester wakaacha simba na yanga
@kibwetere14185 сағат бұрын
Iran amewekeza sana kwenye drones za aina tofauti tofauti
@festohaule9716Сағат бұрын
Yupo mbele sana aisee!!!! Afrika tupo tupo yaani .....
@mussamabawa29734 сағат бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA IRAN, NYIE NDO WATETEZ WA WANYONGE DUNIANI
@sundymolls96732 сағат бұрын
Mungu ibariki Israel 🇮🇱
@MohamedOmari-y1t14 минут бұрын
Mungu waangamize madhalimu@@sundymolls9673
@user-to6up4hg2w59 секунд бұрын
@@sundymolls9673 they don't know you even like you don't anything you must be fool
@goodlegacytv50685 сағат бұрын
Jamaa wanathibitishia tu kwamba wanawaweza vile hawajaamua tu ila wakichoka uchokozi wao hawato amini kitacho wakuta
@jimjam-xg7rv5 сағат бұрын
Safi mkuu❤
@AlliMohamed-q2y5 сағат бұрын
Yeye pia atauwawa tutafurahi warabu❤😂
@MgasaEmanoeli4 сағат бұрын
Nan kakwambia Iran ni waarabu?
@nasseralhatmi17623 сағат бұрын
@@MgasaEmanoelimkundu wako ndio in Umesema wakati Pakanyau Nyauuuuu anakufira
@daviddeus64373 сағат бұрын
Mjue warabu mtateketea Kama nzi Iran asije akajarbu watakufa vbya sana Israel si ya kuichezea
@fatumajuma94134 сағат бұрын
Huyu tunae na tunatamba nae hadi tumuue in shaa Allah
@sultanbakary42924 сағат бұрын
Dah 😂😂😂
@abdulyabdunuru14765 сағат бұрын
Daah dunia imebadilika sana yaani kakitu kadogo kamebadili sana dunia
@JeannetteManirambona-o6m6 сағат бұрын
Polepole kitaeleweka tu
@SadickMussa-g6h4 сағат бұрын
In shaa Allaah
@MuniraShughuli-kc7vj5 сағат бұрын
Alhamdhulillah Alaa kull haal 🤲
@NyirantokiZahara6 сағат бұрын
Nikibahatika ku zaa mtoto nitampa jina la SAYYAD
@JeannetteManirambona-o6m6 сағат бұрын
😂😂😂
@Uyumunsi-tv6 сағат бұрын
Nyirantoki we 😂
@josephmkindi82546 сағат бұрын
Masha Allah❤
@georgekimasaofficial16295 сағат бұрын
Nyie kama mumeweza kuita watoto wenu majina ya Majini maajabu hayapo 😂😂😂😂
@abdullahchabukila66865 сағат бұрын
Amen 🙏
@abdallahkaskas61686 сағат бұрын
Huyu Kenge ipo siku yake ataingia tu kwenye 18 za wakulungwa
@fadhilngalanda75204 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 Na wakulungwa watamla supu bila Chapati
@FrankGavana-q6oСағат бұрын
Haiwezekani labda marekani wamkimbie😂😂😂😂
@fadhilngalanda752055 минут бұрын
@@FrankGavana-q6o we unaongea kana kwamba umepakatwa bila kilainishi kuna mtu aliitwa Falao yeye alijiita Mungu na siku yake ilivyofika alikufa NetaPaka ni nan sasa
@hemedjackson22616 сағат бұрын
Wewe huogopi kama Russia 🇷🇺ananunua drones na ziko efficiently ktk vita na NATO huko Ukraine, halafu kitaifa kidogo kama Israel kinabweka ovyo dhidi ya Iran 🇮🇷 ngoja tuone
@hassanmlawa-o6s4 сағат бұрын
Kinapewa kibuli na Marekan
@FredChaki-jb8zj56 минут бұрын
kweli kabisa kaka
@binseif22163 сағат бұрын
Allah alishawalaani hao israel kwakuuwa mitume wake watahangaika maisha yao yote
@RamlaMburi6 сағат бұрын
Tupo pamoja mpaka wamuue 😊😊
@braystuskibassa38426 сағат бұрын
Imepita katikati ya ndege wameshindwa kudungua wala kuizuia mbaka ikapenya Iran wako mbali mno saizi kwenye technolojia za kivita (electrical warfare) amazing 💪💪👍👏
@AnociathaChuwa-cb5nk6 сағат бұрын
Huu ni ufupi wa mawazo Hamuwezi kuona jema lolote au ushindi wowote kwa Israel kwa kuwa mnawachukia Na ndio maana MUNGU akamwepusha kuwaonyesha uweza wake Watu wabaya waliojaa chuki na uovu Chuki na uovu unawafanya badala ya kutumia peasa kuendeleza maisha ya watu wanatumia pesa kujenga mahandaki ya mabilion ili tu kupigana na Israel Wapumbavu wasiofikiri mbali Wa
@rehemahamza-l5u6 сағат бұрын
@@AnociathaChuwa-cb5nkwewe kafili tuu
@reej57155 сағат бұрын
@@AnociathaChuwa-cb5nk kichwa maji ww Israel inauziri gani imefanya jiulize kwanini miaka yote hiyo Tanzania hakukuwa na ubalozi wa Israel mpaka juzi tu magufuri ndo ameruhusu unataka kuniambia Baba wa Taifa Nyerere hakuona mazuri yake.
@salumabdallah29905 сағат бұрын
Hata hao viongozi wa kislam au viongozi wa maadaui wa israil waliwatafuta kwa miaka 30 hawakuapata ni muda wao kwaiyo na yeye itafika muda tu@@AnociathaChuwa-cb5nk
@SabihaibrahimRajabu5 сағат бұрын
Haya urefu ni kuwa haikupita basi wewe ndio mkweli@@AnociathaChuwa-cb5nk
@ShahMariry-rb1fq7 сағат бұрын
Mungu amchukue tu maana mikono yake inanuka damuuu
@allahisone63866 сағат бұрын
Amen
@christinewomanoffaith54796 сағат бұрын
Atawachukua wote waliopanga Oct 7 ila bibi watamuacha😂 Kuna wenye mikono yenye damu km hamas na hezibolah ambao mungu wao ndo anawaruhusi waue?
@JamalKanani6 сағат бұрын
Amiiin
@annasolomon98556 сағат бұрын
We unadhani NetaNyau atakuwa humo ndani 😅😅 akili za matope.. huyo ana makazi yake tofauti na hapo unadhani ni mjinga wa hivyo
@TeddyDickson-w5p6 сағат бұрын
Suala la muda tu
@AFRICA_D6697 сағат бұрын
Atauwawa huyo naomba mmac hii comment time will tell, muajemi sio mwarabu
@JamesJastin-bg1rx6 сағат бұрын
Tupo pamoja mkuu
@hatibumohamedi34716 сағат бұрын
❤❤❤
@allahisone63866 сағат бұрын
KUFA NI LAZIMA KWA KIL BINAADAM ILA NI WAKATI KWA KILA1
@christinewomanoffaith54796 сағат бұрын
Ndoto za alinacha Kufa bibi Bado sn Atawala vichwa wote waliopanga Oct 7 na ye atabaki
@daudimaniseli7596 сағат бұрын
Alie panga oktoba 7 niyule anae mwambia au WATU BILA KOSA Kwa uloho WA ardhi na MAFUTA@@christinewomanoffaith5479
@RichardMwaja5 сағат бұрын
Hii ni Ishara tosha mfumo wa anga wa Israel uko vzr lkn unawez kushambuliw vzr 💯
@DeusRobart4 сағат бұрын
😂😂😂
@swalehemusa45464 сағат бұрын
Hahahaha
@gihungaselemani87274 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@sultanbakary42924 сағат бұрын
😂😂😂
@Muhidinikibwana6 сағат бұрын
IRAN imeteuliwa na mungu ije kumshinda shetani ISRAEL
@FrenkMushi-i7f6 сағат бұрын
Ahaaaaaa wee ndo ujuwiii kituu
@christinewomanoffaith54796 сағат бұрын
😂😂😂😂uwiiiii mungu kumbe nilidhani Mungu Ngoja tuone ss ndo utajua Mungu wa Ibrahim isaka na Jacob(Israel) ni nani
@christinewomanoffaith54796 сағат бұрын
@@FrenkMushi-i7fhana analolijua 😂
@SabriGrizzOutdoors6 сағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479 katika watu hawanaaakili youtube nzima nadhani wewe ni namba moja akili zako bado changa sana
@AnociathaChuwa-cb5nk6 сағат бұрын
MUNGU YUPI NA WATASHINDA LINI NDIO MAWAZO YENU YALIVYO MAFUPI MMEONA HILO TUKIO MOJA TU LKN HAMUONI MAANGAMIZO YANAYOENDELEA GAZA NA LEBANON HAPA NDIO IRAN IMEJICHIMBIA HANDAKI MWISHO WAKE UKARIBU ANGUKO LAKE LI KARIBU MAGAIDI WAKUBWA WANALETA SHIDA DUNIA NZIMA HAINA AMANI
@SAYMOEKARIM6 сағат бұрын
hii ni maajabu kuona mtu mwenye vikwazo kibao alafu leo hii anatoa jasho marekani na nato CZ isreal hana uwezo wa kupigana na iran .
@mohamedaley56326 сағат бұрын
Hawez kupigana hata na Hamas ataiweza Iran
@sonnyr18996 сағат бұрын
Kama kuna kitu kinatulemaza afrika ni misaada ya ulaya na marekani. Tungewekewa vikwazo huenda tungevumbua mambo mengi sana.
@BarakaKusalula6 сағат бұрын
Marekani hawezi kushindwa kupiga Iran ila ni vile hakuna maslahi ya moja kwa moja anayoyapata kwenye hii vita tofauti na hapo Marekani akiamua au kama Kuna faida anayopata kwenye hiyo vita hajawahi kushindwa😂😂
@saleemsuleiman22206 сағат бұрын
@@BarakaKusalulaMbona Hao Houthi wanavopiga meli kila siku zenye maslahi wameshindwa kuwamaliza 😂
@sonnyr18996 сағат бұрын
@@BarakaKusalula Google wamarekani walivyo kimbiya Afghanistan mwaka 2021 😂😂😂 Walitoka nduki waliacha hadi computer zipo wazi. Iran inamafuta alafu ni eneo la kimkakati sana kutawala mashariki ya kati.
@HassanAbdallah-f6o4 сағат бұрын
Hapo mm naona iran inatoa taarifa kwa israel , mkijaribu kutupiga tutawapiga bila kujua mmepigwajwe na kwa kutumia nn . Israel hawezi kuipiga iran hata kama asaidiwe na marekani
@jumamussantuiche5 сағат бұрын
Sky upo vizur leo kimatangazo.marekani kabadilisha israel kuwa uwanja vita.juzi iron dom,scady leo azifai bora lraiza.israel amna kitu.tangaza kilicho tokea sio kutetea.
@Abuunuwayra6 сағат бұрын
Hawa Jamaa Ni waongo Sana Yani Shambulio Likitokea kwao wansma Hakuna Mauaji Wala Hakuna majeruhi Sasa hiyo Nyumba Ilio shambuliwa kama Wanasema Hakuna Mauaji wlaa majeruhi hiyo Nyumba Ilikua Inaishi Majini
@MsAggie56 сағат бұрын
Nyumba za Israel nyingi zina mahandaki (za watu WA kawaida) sasa kwenye vita kama hivi Kwa vyovyote mtu kama huyo Bibi hawezi kulala kwenye mjengo lazima atakuwa analala ndani ya handaki kwani yeye mjinga anajua lazima wanamuwinda kumuua kama yeye anavyoua viongozi WA oppositions wake
@Majambo_Duniani_Tv6 сағат бұрын
Labda utuambie wewe maana hapo ni nyumbani kwa Netanyahu, kafa au yupo hai???
Kila nikimtizama Nyetanyau ninaona malaika wa kifo wamemzunguka ni muda tu ndio tunasuburia
@aminaali7927 сағат бұрын
😂🙏🏽Allahuma barik 🤲🏽🤲🏽🤲🏽🤲🏽
@NyirantokiZahara7 сағат бұрын
Hio mbwa eti ni nyau ameishauwa watu wengi na watoto wasiokuwa na hatia, malipoyake ni kifo kama anavyoua wengine
@NyirantokiZahara7 сағат бұрын
Mtoto ambae nita zaa nitampa jina la SAYYAD
@SarhaSaid6 сағат бұрын
Inshaallah @@NyirantokiZahara
@Muhidinikibwana6 сағат бұрын
Amiin inshallah
@festohaule9716Сағат бұрын
Sasa Hezbollah walikuaje makazi ya kiongozi . Netanyau !!! Inamaana na wao wanamajusi hatari vile vile!!! Maana inaonyesha wasiwasi kwa Viongozi Wengine kufatiliwa hatari!!! Pongezi kwa Irani.....
@mohamedaley56326 сағат бұрын
Hii imeenda... bado tutawanyoosha wote adui wa ubinadam na haki zao..
@muhitira6 сағат бұрын
Ahh!! IRAN Iko sawa kaKA
@AnociathaChuwa-cb5nk6 сағат бұрын
BENJAMIN NETANYAHU A MIGHTY MAN OF VALER!!!! KING DAVID OF OUR GENERATION!!! SUPER HERO OF OUR GENERATION!!! BILA YEYE MUNGU KUMTUMIA MAGAIDI IRAN NA MAWAKALA WAKE WANGESHAFIKIA MALENGO YAO!!! ASHUKURIWE MUNGU AMBAYE HAJARUHUSU HILO ISAIAH 54:17 PSALM 124 ISRAEL THE NATION OF GOD ALMIGHTY WILL NEVER FALL WILL NEVER BE DEFEATED
@Bahati475 сағат бұрын
U hero wakupewa silaha na wanaume wenzie?😂😂 Huyu bila msaada ni shoga tu
@MarthaStephen-m3m2 сағат бұрын
Amen
@AliNassor-qt6fm5 сағат бұрын
Nchi ya ahadi tangu ianzishwe haijawahi kukaa kwa amani😂😂😂 kila siku ni vurugu na wanamgambo
@nick1o7bang177 сағат бұрын
Bado awajasema
@kitangalicashewnutslimited4 сағат бұрын
Atakufa hakuna kisicho na mwisho, ila ninachoamini nétanyahu muoga sana wa kufa na hili tukio tayari atakuwà hana uhakika tena na maisha yake, coz kama si kutókuwepo ndani, basi maombolezo yangetangazwa
@frankkimaro46965 сағат бұрын
Okay okay let's wait the feed back 😅
@UbaidaYussuf7 сағат бұрын
Mambo bdo yanapamba moto
@muhammedwakif62166 сағат бұрын
Israel 🇮🇱 mshikuru sana America 🇺🇸 ila ungeipata vzr sana jeuri ingekwisha kwako
@SabastianRaymond5 сағат бұрын
Sahau Israel BILA MAREKANI inaweza tu. Rudi kwenye historia
@awadhsalum87695 сағат бұрын
@@SabastianRaymond historia gn usdangany awa waasi waio historia
@hamadsobo3046 сағат бұрын
Huyo bibi sikuzake zinahesabika maana hajielewi.
@Uchukhan_5 минут бұрын
Sasa hapo Wamefika kwenye Nyumba ya shoga yenye ulinzi Mkubw ila utasikia ajafa m2 naipenda iyo
@HarounRashid-rh6jr7 сағат бұрын
Nasikia mwanae amefariki...
@salminisaleh92496 сағат бұрын
Hii Habari Ni Ya Kweli Bro Hebu Niambie?
@thelonewolf44296 сағат бұрын
Hawawezi wakaweka Habari hii wazi hata kama ni kweli wanazoea uwongo
@JeannetteManirambona-o6m6 сағат бұрын
Weeee acha😮
@Awatee6 сағат бұрын
Hakuna anae furahi majanga Ikiwa kweli basi acha ahisi maumivu kdg kama wengine
@HarounRashid-rh6jr6 сағат бұрын
@@salminisaleh9249 Jamaa wanaitwa Wlla hebrew website... Nanukuu; Netanyau son Yair. The little one in caesarea and the knesset call a meeting...
@nsabimanasuleyman20084 сағат бұрын
Huyo Bibi Nyau tunampa Muda tu Ila Israël ikijichanganya kwa Iran ndio mwisho wake kwenye mgongo wa Ardhi hii ya Allah.
@MustaphaManole3 сағат бұрын
Aya sasa irone dome thaad zilikuwa wapi?
@MarthaStephen-m3m2 сағат бұрын
Imeua wangapi
@trendz_25486 сағат бұрын
😂😂😂😂hii ni hatarii kwa kweli 😂😂😂😂
@MarckMasaki5 сағат бұрын
Ngoja nikavute Bangi kwanza ,ninao siamini netanyau anasemaje kuhusu kichapo hicho
@mimibusarachibu3 сағат бұрын
Sky, Kuna nyingine inaongozwa na mfumo wa laser mechanism;hatari sana,Israel awe makini sana
@pesaspy_tv5 сағат бұрын
Masubi alisema haiwezi kupenya iron Dodoma
@NsanzimanaPita4 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤
@awadhsalum87695 сағат бұрын
Msichofaham ni kwamb ktk aya maish amn mshindi wa miaka yot tok enzi Na enzy zilzopit nyum Leo akishinda huyu kesho Yule ndo maan empire ngpy zenye nguv Na zilidondok Mung Mwenyew ndio anaepanga kupanda Na kudondok kw mataifa ili isiwe kw taifa moja pekee bdae likishaanza udhalimu huamur likaanguka kwn waisrael walipoasi amri za Mungu waliachwa Mar ngpy wakiwa hopeless au mnadhan hatoachwa ten
@MichaelKavavila4 сағат бұрын
Atakapo Anza kuminywa mwiirani........mtasema
@LastdayJesu41533 сағат бұрын
Eeeh itakuwa mungu akaamia kwa Hezzbola😅
@KingsMoha-l9wСағат бұрын
Ipo siku moja dhuruma haidumu siku zote
@Golanh47865 сағат бұрын
ELIMU BAHARI
@msodokidasilva67394 сағат бұрын
Hii tunaita mdogo mdogo ndiyo mwendo tutaelewana
@Mtumakini3 сағат бұрын
ISRAEL FOREVER😂😂😂 UA HAO MAJANGIRI MPKA WAJITATHMINI NA BADO
@Kaida_Cut254Сағат бұрын
Yaani habari zako zote za vita ya hawa wawili unaupande wako unatetea kila siku habari zako zinasifia tu Iran . Weka sawa habari sio kujiewekea upande wako mwenyew kujiturahisha na kutaka kuonekanisha wengine kuwa hawafai. 😢😢😢😢
@subrynerysegerow1323Сағат бұрын
Huo ndo ukweli
@Uchukhan_Минут бұрын
Aya tuoneshe ya israel anayo mlipua iran ili aisemeee
@MaurusMpinga6 сағат бұрын
Endelea kuwasifu
@hajjiomary23834 сағат бұрын
Allah afanye wepesi wampate
@MankaTansaniya14 минут бұрын
Angefanya wepesi kwanza waliouawa wasiuawe.. baadaye ndio afanye wepesi Netanyahu wampate
@mgolozicrispin5126Сағат бұрын
Vita vemebadilika asa hv akuna underdog kama mpira vile
@Daniel-g2f6v4 сағат бұрын
Juzi niliwaambia watu Iran Ina uwezo mkubwa nikasema Israel inatakiwa itambue Iran sio iraq
@swahilibrotherhood5 сағат бұрын
Sky himself
@papamukulu10456 сағат бұрын
Wao waendelee kutoma drone wao wana malizwa kwelikweli
@Bahati475 сағат бұрын
Hata wao kupiga waza weza lkn dini Ina wabana sana lkn tunakoelekea na wao wataweka dini pembeni watapigana kikafiri sasa
@SelemaniIssah-p2g5 сағат бұрын
Waisrael Wanaua raia wasiokua na hatia irani ingetaka hivyo mpaka sasahv wangebaki waisrael 2
@charlesboniphace22495 сағат бұрын
@@SelemaniIssah-p2gunaumwa akili, Gaza waliuwa watu wa kawaida wakiwa kwenye sherehe acha kujitoa ufahamu
@papamukulu10455 сағат бұрын
@@Bahati47 hapa weka dini pembeni
@SelemaniIssah-p2g5 сағат бұрын
@@charlesboniphace2249 we kiazi kabla ya lile shambulio israel washaua sana huku wakikalia maeneo yao kwa mabavu
@MahdouMomba6 сағат бұрын
Mmmmhhh, ulinzi wa kisasa gani tena kama kiumbe kimeweza kufika hadi makazi binafsi ya Bw. Nentanyahu na kufanya tukio pasina huo ulinzi wa kisasa kugundua chochote
@zuricakes68175 сағат бұрын
Makelele tu! Imeuwa watu wangapi? Tumeshawazoe. Sisi tunataka kuona mavidio 😊ndio tuamini.
@BongovillagexСағат бұрын
Akifariki huyu natanyahu kuna yule mwehu mkuu wa majeshi akimrithi anapenda vita
@georgekimasaofficial16295 сағат бұрын
Matokeo yake ni nini?
@hidayahidaya-vd3ze5 сағат бұрын
Hawatowii wanaona aibu lakini madhara yako na mkbwa wa majeshi amekufa wanaficha wanamuunganishiya vipande vyazamanii alipo kuwa hai lakini hawaongei ila kunambambo makubwa wanaficha
@kouswayisaidahamada99794 сағат бұрын
Mlishaambiwa msikaribu
@shebbylove31405 сағат бұрын
Iran wako good saana nibasi tuu hawa mayawudi wako na backup kubwa
@ronaldmatimbo96915 сағат бұрын
Ikipenya moja kuingia Israel,hii channel inaisifu sana. Ni kama Israel inagipewa sana😂😂😂
@cidewashington6705 сағат бұрын
Ujumbe wa Waajemi na Hezbollah umewafikia vizuri tu Israel na Marekani
@JoshuaMwizalubi6 сағат бұрын
Sasa mbona haijafanya maangamizi??!
@MohammedGabaye5 сағат бұрын
Uy auliwe familia yake aone uchung kumamake
@williammbuzimai57443 сағат бұрын
Hadi hapo napunguza machungu ya goli la kijifunga😂😂
@ayoublupande30075 сағат бұрын
Yn hiyo ni moja ya walio nazo wasizo zitegemea San yn hii ni taarifa kuwa hawataki TU kuuwa watu 😅
@Mtumakini3 сағат бұрын
Endeleeni tu kuwasifia kila siku tunawala vichwa viongozi wao huyo kamenei wa irani soon tunamla kichwa😂😂😂
@safarichui8551Сағат бұрын
Tuache UAV, ila VAR inatu coastal union kweli, mtu ushashinda kabeti kako afu VAR inakataa Goli ahh
@YohanaJoshua-h2j6 сағат бұрын
Mungu ibariki Israel
@DeusRobart4 сағат бұрын
Apo kwanza nicheke 😂😂😂
@MaulidAbdullah-nw9wu6 сағат бұрын
Atakufa siku sinyingi bwana atamtoa Kisha atamtwaa naombea waliue hili lipimbi
@JeremiahElfadhili5 сағат бұрын
Sasa wao wanashangaza dunia ila Israel wanaua viongozi yani Waarabu bhana 😂😂😂😂
@HurumaMwalyaje-hw1yk4 сағат бұрын
Kaka Nimekubali vita Sasa ni ya Kisayansi Unajua IRANI kwa Sasa inaongoza Duniani ya Watu Wenye Akili Ukiacha Marekan, Marekani Kwa Sababu ya Population!!!
@muubaytz47546 сағат бұрын
Hawa jamaa walisema wana kombora zaidi ya nyuklia, tusiwabishie wanaweza kuja kutushangaza
@sadamissa5687Сағат бұрын
Kuna drone kijili ni hatari technology ya msimbazi😂😂😂
@Lolandmwantona6 сағат бұрын
Watu wanasema Iran inakuwa !!, sio Iran inakuwa Bali jua Iran ilishawai kuwa mbabe wa dunia enzi hizo inaitwa uhajemi ilikuwa ni leadership yenye nguvu na iliyo tikisa Dunia Kwa kipindi hicho jamaa walikuwa namateso makali kuliko falme zote zilizo wai tawara Dunia walikuwa na torturing hatari inaitwa slow death🙌
@unjuusalvatory53316 сағат бұрын
Wanatuma tu drone bila precision, wamemkosaje inaonekana Iran hana human intelligence. Ilibid watume drone wakiwa na uhakika kuwa Netanyahu yuko wapi. Otherwise ni show off tu, IDF wana intelligence robust sana
@Awezae-w8o6 сағат бұрын
Mbona atuoni chochote kilicho aribiwa
@Golanh47865 сағат бұрын
Lengo la kuzuia wanahabari ni nini?
@hajjiomary23834 сағат бұрын
Ujambazi
@Gulfnas12 сағат бұрын
Ni wazi kua watu tupunguze ushabiki na tulete facts, mbinu za jeshi zimebadilika duniani!! Hiyo hapo Israel inakiona cha mtema kuni!! Adui ni adui hata kma atakua mdogo kma sisimizi
@mohamedmarijani5 сағат бұрын
Wa tz tuko wapi ? Kutomana na Dunia inalekea?
@ankalmzito2546 сағат бұрын
huyu naye diku zake zinahesabika
@abukingkima0925 сағат бұрын
Mimi nyuma uko nilisema Muajemi ana zana za kivita zakutosha na za kila aina MUDA UTASEMA😂 ILA KIKUBWA MUNGU AULINDE HUU ULIMWENGU NA WATU WAKE
@bonifacewanyonyi35554 сағат бұрын
Hamna kitu apo watapikwa tu😂😂😂
@sylvestermhojaaron96594 сағат бұрын
MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
@subrynerysegerow1323Сағат бұрын
Utashangazwa soon huyo mungu hawezi kubariki watu wanaojiona bora kuliko kiumbe mwingine hasirani
@Sh_Taqee4 сағат бұрын
Israel ina Ulinzi upi wa kisasa ndugu mtangazaji kama sio unapotosha waziwazi?!
@MichaelKavavila4 сағат бұрын
Mrusi ndo anawasaidia........
@hajjiomary23834 сағат бұрын
Mrusi ndo amesaidiwa sana
@chrisostomruta-cw3zf4 сағат бұрын
Jipeni moyo tu kama mlivyojipa moyo kwa sadam,ghadafi na Osama.mtaelewa tu na mabaraghashia.
@ramadhanmwandambotuntufye59722 сағат бұрын
Zilimlenge huyu nyau huyu amua wapalestina wengi sana zaidi ya elfu 40, kafiri Mmoja mbaya sana huyu nyau. Eee mwenyezimungu jaalia nguvu kwa mujahidina wa hisbullah wamtandike huyu nyau afilie mbali
@BrownMwailunda4 сағат бұрын
Hiyo sio ya Iran ni ya Putin ndiye Anatengeza kule