SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA

  Рет қаралды 142,431

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Пікірлер: 188
@kibito8339
@kibito8339 4 ай бұрын
Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 4 ай бұрын
❤ kabisaa kapumzika
@user-bt6tl9hn5u
@user-bt6tl9hn5u 4 ай бұрын
Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G
@user-qd9vf6ud3f
@user-qd9vf6ud3f 4 ай бұрын
Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .
@samsonmollel8147
@samsonmollel8147 4 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 ай бұрын
Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 4 ай бұрын
Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.
@rosegideon336
@rosegideon336 4 ай бұрын
Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 ай бұрын
Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G. Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde. Msalimie Ruge. Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu. Jahazi itakumis muda wote
@8pistons194
@8pistons194 4 ай бұрын
Huko hakuna kuonana
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 4 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
@stellaukovizurimtanku2744
@stellaukovizurimtanku2744 4 ай бұрын
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 4 ай бұрын
Msalimie swaiba wako kibonde
@yasintaamoskatemi2387
@yasintaamoskatemi2387 4 ай бұрын
Wew ​@@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊
@DivinebabyDee
@DivinebabyDee 4 ай бұрын
Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema
@HassanHassan-pe7kj
@HassanHassan-pe7kj 4 ай бұрын
Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 4 ай бұрын
Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa.. Rest easy 💔 😢 🙏
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 ай бұрын
Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!
@oscartalljembemgonya3528
@oscartalljembemgonya3528 4 ай бұрын
daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.
@Fadhilimwamlima
@Fadhilimwamlima 4 ай бұрын
Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana
@salaita2829
@salaita2829 4 ай бұрын
Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.
@fadhilmnyamwezi5037
@fadhilmnyamwezi5037 4 ай бұрын
Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu
@mwanashehejumaaabdallah6864
@mwanashehejumaaabdallah6864 4 ай бұрын
mbele yako nyuma yetu kalale salam
@user-jy6pm7px7y
@user-jy6pm7px7y 4 ай бұрын
inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr
@elizabethlukoo4662
@elizabethlukoo4662 4 ай бұрын
R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢
@maryjoseph926
@maryjoseph926 4 ай бұрын
Rest in peace 😢 broo
@albertmalenge-cs6zy
@albertmalenge-cs6zy 4 ай бұрын
Anayehoji yuko vizuri pia
@salminasalim5630
@salminasalim5630 4 ай бұрын
Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 ай бұрын
Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends May his soul rest peacefully
@johnmuro9915
@johnmuro9915 4 ай бұрын
huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama
@halimaallyazizi4443
@halimaallyazizi4443 4 ай бұрын
Mungu akupumzishe amen kaka
@Shadadihamis25
@Shadadihamis25 4 ай бұрын
Rest in peace Gardner Inasikitusha sana hii
@alidamgeni7051
@alidamgeni7051 4 ай бұрын
Rest in peace Gardner tutaonana baadae
@user-yb1mv2nx6m
@user-yb1mv2nx6m 4 ай бұрын
Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭
@erickbarthazar9316
@erickbarthazar9316 4 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.
@mmangaabas2416
@mmangaabas2416 4 ай бұрын
Rip mlipa Kodi mwenzangu
@neemakiula8884
@neemakiula8884 4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi
@CharlesLymo
@CharlesLymo 4 ай бұрын
Ni kweli
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 4 ай бұрын
Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢
@enofrank1842
@enofrank1842 4 ай бұрын
Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
@user-pm7pj6zi6q
@user-pm7pj6zi6q 4 ай бұрын
Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭
@eliamtani2840
@eliamtani2840 4 ай бұрын
Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.
@emmanuelletema8385
@emmanuelletema8385 4 ай бұрын
Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 4 ай бұрын
Yah kasema ""Si chin ya 10""
@abdulhassan6482
@abdulhassan6482 4 ай бұрын
mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 4 ай бұрын
Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.
@dulla9195
@dulla9195 4 ай бұрын
Real man
@beautymushi6164
@beautymushi6164 4 ай бұрын
Mungu ampumzishe pema
@lulumkongwe9987
@lulumkongwe9987 4 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Legend.
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 4 ай бұрын
Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭
@Wendy-kz6cy
@Wendy-kz6cy 4 ай бұрын
Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 ай бұрын
Mungu ampuzishe kwa Aman
@DeTrinahx
@DeTrinahx 4 ай бұрын
He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏
@user-dt9iz2gq3s
@user-dt9iz2gq3s 4 ай бұрын
Apumzike kwa aman
@collinsrutenge6449
@collinsrutenge6449 4 ай бұрын
RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde
@alitoufik5477
@alitoufik5477 4 ай бұрын
Innallillah wainna illah rajiun
@ommie_nyzer
@ommie_nyzer 4 ай бұрын
Captain G habash 🕊️
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 4 ай бұрын
Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain
@audaxmlowa9953
@audaxmlowa9953 4 ай бұрын
Hatuko sawa kabisa wabongo
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
@@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.
@joycekalago532
@joycekalago532 4 ай бұрын
Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
​@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 4 ай бұрын
RIP Captain 😢
@Timoclement
@Timoclement 4 ай бұрын
RIp legend
@EvodiaMgunda
@EvodiaMgunda 4 ай бұрын
Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema
@davidnyitambe3399
@davidnyitambe3399 4 ай бұрын
Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi
@Bettingreviewtz
@Bettingreviewtz 4 ай бұрын
29,000,000
@blessedaggie9159
@blessedaggie9159 4 ай бұрын
​@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 4 ай бұрын
Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""
@Bettingreviewtz
@Bettingreviewtz 4 ай бұрын
@@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa
@DavidDavidmaleko
@DavidDavidmaleko 4 ай бұрын
R.i.p captain
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤
@AdrianoStephen
@AdrianoStephen 4 ай бұрын
Lazma Kuna kitu c bule
@sunwizy608
@sunwizy608 4 ай бұрын
achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢
@teddymutani856
@teddymutani856 4 ай бұрын
Daaah Gadnerrrr oooh jamniii
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 4 ай бұрын
Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini
@Thomcainda
@Thomcainda 4 ай бұрын
Daaa maisha ya mwanadamu yamejaa taabu nauzuni tumkumbuke mungu siku za ujana wetu sisi ni wapitaji pumzka bro
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
Jamaa peace sana. RIP Kamanda
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 4 ай бұрын
😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.
@Zainab-qg6xv
@Zainab-qg6xv 4 ай бұрын
Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi
@annamakomele339
@annamakomele339 4 ай бұрын
Aiseeeee😢😢😢
@janecolleter
@janecolleter 4 ай бұрын
Daah! May his soul rest in peace 💔
@kamulisamson896
@kamulisamson896 4 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢😢
@FaridaNassor-oj7tx
@FaridaNassor-oj7tx 4 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani bro
@FurahaNgomango-zr3bz
@FurahaNgomango-zr3bz 4 ай бұрын
Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz 4 ай бұрын
Rest in peace LEGEND
@noelbryson7840
@noelbryson7840 4 ай бұрын
Pumzika salama kamanda wangu..😭
@shillachiumbo4241
@shillachiumbo4241 4 ай бұрын
You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 4 ай бұрын
Really I'm speechless 😢
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 4 ай бұрын
Jahazii
@AgripinaJosephMushi-hw2xw
@AgripinaJosephMushi-hw2xw 4 ай бұрын
Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri
@erastongussa2334
@erastongussa2334 4 ай бұрын
Wameedit aisee
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 4 ай бұрын
Wameedit saut kipande Iko ila nmeangalia mdomo ni million 10
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 4 ай бұрын
Amesema SI chin ya 10
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 4 ай бұрын
MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??
@erickedward581
@erickedward581 4 ай бұрын
Rip Gardner we love u
@hamisiussiku1151
@hamisiussiku1151 4 ай бұрын
Inna lillah waina Illah rajiun
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 4 ай бұрын
Rest in peace G h bshi
@mwasitimajid
@mwasitimajid 4 ай бұрын
Rest in peace gadner g🙏
@user-gv6ij2zt2h
@user-gv6ij2zt2h 4 ай бұрын
Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka
@oscanyakunga
@oscanyakunga 4 ай бұрын
Polen wanahabari
@fortunatafelician5625
@fortunatafelician5625 4 ай бұрын
RIP Legendary
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 ай бұрын
Dunia 😢😢
@EVALINESILVIN-dp5kj
@EVALINESILVIN-dp5kj 4 ай бұрын
Moja Kati ya watangazi ninayempenda May your so rest in internal peace
@lilianmagori4189
@lilianmagori4189 4 ай бұрын
Dada j dee ndio kampa mwenzi magonjwa ya moyo angekuwa anampa mwenzie busy asubui angejisikia faraja
@TVT4888
@TVT4888 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@levinabyamungu8453
@levinabyamungu8453 4 ай бұрын
Rup capten
@imanimwakinga4934
@imanimwakinga4934 4 ай бұрын
Apumzike kwa amani
@leaherasto929
@leaherasto929 4 ай бұрын
Pumzika kwaamani Captain
@OmaryJuma-lo1kw
@OmaryJuma-lo1kw 4 ай бұрын
Rest easy G
@abdalamhamed3586
@abdalamhamed3586 4 ай бұрын
Daaaaaaa
@patrokilgeofrey
@patrokilgeofrey 4 ай бұрын
Pumzika kwa amani..captain
@rehemadossa8154
@rehemadossa8154 4 ай бұрын
Inalilah wainaillah rajiuun 😢😢
@subirajohn728
@subirajohn728 4 ай бұрын
Innalilah wainna ililayh rajiuun! Mwenyezimungu akujalie kauli thabit
@hanswan1
@hanswan1 4 ай бұрын
Ni mwislamu mpaka umwambie amjaalie kaul thabit, unajua maana ya kaul thabit au umeropokwa tu???
@subirajohn728
@subirajohn728 4 ай бұрын
@@hanswan1 kwani huyo dini gani Mimi nilisikia kuwa muislam
@hanswan1
@hanswan1 4 ай бұрын
Hata jina linajieleza, unasikilia wapi?? Tusome dini na tuwe na uhakika tunachoandika mitandaoni siku ya kiama itakua ushahidi hicho ulichoandika juu yake.
@subirajohn728
@subirajohn728 4 ай бұрын
@@hanswan1 Ahsante! Nimekuelewa
@martinlulale3626
@martinlulale3626 4 ай бұрын
Pumzika kwa amani mwamba
@mwajumanjama4023
@mwajumanjama4023 4 ай бұрын
😢😢
@EliasElias-ee7wl
@EliasElias-ee7wl 4 ай бұрын
Rest in peace habash
@user-jl6uj4lf6q
@user-jl6uj4lf6q 4 ай бұрын
Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..
@aminaaziz5451
@aminaaziz5451 4 ай бұрын
R.I.p
@teodorypeter6677
@teodorypeter6677 4 ай бұрын
R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭
@DivinebabyDee
@DivinebabyDee 4 ай бұрын
Lala salama babu G
@happynelson1136
@happynelson1136 4 ай бұрын
Ni kweli waache kabisa kutuita walevi watuite walipa kodi, walevi ni wale wanaokunywa hawataki kufanya kazi, pumzika kwa amani
@davidsebastian661
@davidsebastian661 4 ай бұрын
Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢
@JulithaGasper
@JulithaGasper 4 ай бұрын
Woi woi woi kweli hii ndo tz mtu akifa ndo video au mahojiano yake yanaachiwa huru
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 4 ай бұрын
Innalillahi Wainnailaihi Rajiun
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 4 ай бұрын
Innalilah wainallh rajiun
@anithamuttassa8981
@anithamuttassa8981 4 ай бұрын
R.i.p Brother
@zulaikasalum3568
@zulaikasalum3568 4 ай бұрын
Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,5 М.
Mkasi | SO9E16 With Gadna : Extended Version
42:50
MkasiTV
Рет қаралды 61 М.
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 9 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 1 МЛН
MWANAMAPINDUZI: "TUTAWAPOTEZA, POLISI MSIWATAFUTE..." amtaja spika tulia
13:56
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 9 МЛН