Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!
@theonestinamutole85494 ай бұрын
❤ kabisaa kapumzika
@user-bt6tl9hn5u4 ай бұрын
Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G
@user-qd9vf6ud3f4 ай бұрын
Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .
@samsonmollel81474 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔
@vinenswilliam35344 ай бұрын
Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.
@rosegideon3364 ай бұрын
Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.
@mwikamwika48514 ай бұрын
Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G. Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde. Msalimie Ruge. Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu. Jahazi itakumis muda wote
@8pistons1944 ай бұрын
Huko hakuna kuonana
@beatricembunda61684 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
@stellaukovizurimtanku27444 ай бұрын
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha
@edmundphilemon30544 ай бұрын
Msalimie swaiba wako kibonde
@yasintaamoskatemi23874 ай бұрын
Wew @@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊
@DivinebabyDee4 ай бұрын
Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema
@HassanHassan-pe7kj4 ай бұрын
Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...
@stellahwilfred57624 ай бұрын
Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa.. Rest easy 💔 😢 🙏
@hassanmfaume45224 ай бұрын
Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!
@oscartalljembemgonya35284 ай бұрын
daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.
@Fadhilimwamlima4 ай бұрын
Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana
@salaita28294 ай бұрын
Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.
@fadhilmnyamwezi50374 ай бұрын
Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu
@mwanashehejumaaabdallah68644 ай бұрын
mbele yako nyuma yetu kalale salam
@user-jy6pm7px7y4 ай бұрын
inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr
Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends May his soul rest peacefully
@johnmuro99154 ай бұрын
huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama
@halimaallyazizi44434 ай бұрын
Mungu akupumzishe amen kaka
@Shadadihamis254 ай бұрын
Rest in peace Gardner Inasikitusha sana hii
@alidamgeni70514 ай бұрын
Rest in peace Gardner tutaonana baadae
@user-yb1mv2nx6m4 ай бұрын
Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭
@erickbarthazar93164 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.
@mmangaabas24164 ай бұрын
Rip mlipa Kodi mwenzangu
@neemakiula88844 ай бұрын
Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi
@CharlesLymo4 ай бұрын
Ni kweli
@user-eo4hd8xu6d4 ай бұрын
Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢
@enofrank18424 ай бұрын
Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
@user-pm7pj6zi6q4 ай бұрын
Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭
@eliamtani28404 ай бұрын
Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.
@emmanuelletema83854 ай бұрын
Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh
@leedsoldat41894 ай бұрын
Yah kasema ""Si chin ya 10""
@abdulhassan64824 ай бұрын
mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu
@rahabnkya82764 ай бұрын
Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.
@dulla91954 ай бұрын
Real man
@beautymushi61644 ай бұрын
Mungu ampumzishe pema
@lulumkongwe99874 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Legend.
@rehemaathhmani3574 ай бұрын
Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭
@Wendy-kz6cy4 ай бұрын
Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P
@silviaamos-pl5lk4 ай бұрын
Mungu ampuzishe kwa Aman
@DeTrinahx4 ай бұрын
He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏
@user-dt9iz2gq3s4 ай бұрын
Apumzike kwa aman
@collinsrutenge64494 ай бұрын
RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde
@alitoufik54774 ай бұрын
Innallillah wainna illah rajiun
@ommie_nyzer4 ай бұрын
Captain G habash 🕊️
@khadejakhadeja97134 ай бұрын
Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.
@nancyg86644 ай бұрын
Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain
@audaxmlowa99534 ай бұрын
Hatuko sawa kabisa wabongo
@nancyg86644 ай бұрын
@@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.
@joycekalago5324 ай бұрын
Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama
@nancyg86644 ай бұрын
@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.
@axmedcumar61964 ай бұрын
RIP Captain 😢
@Timoclement4 ай бұрын
RIp legend
@EvodiaMgunda4 ай бұрын
Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema
@davidnyitambe33994 ай бұрын
Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi
@Bettingreviewtz4 ай бұрын
29,000,000
@blessedaggie91594 ай бұрын
@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu
@leedsoldat41894 ай бұрын
Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""
@Bettingreviewtz4 ай бұрын
@@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa
@DavidDavidmaleko4 ай бұрын
R.i.p captain
@merrynancesimon15624 ай бұрын
Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤
@AdrianoStephen4 ай бұрын
Lazma Kuna kitu c bule
@sunwizy6084 ай бұрын
achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢
@teddymutani8564 ай бұрын
Daaah Gadnerrrr oooh jamniii
@edwardpeter85694 ай бұрын
Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini
@Thomcainda4 ай бұрын
Daaa maisha ya mwanadamu yamejaa taabu nauzuni tumkumbuke mungu siku za ujana wetu sisi ni wapitaji pumzka bro
@josephlorri4314 ай бұрын
Jamaa peace sana. RIP Kamanda
@user-eo4hd8xu6d4 ай бұрын
😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.
@Zainab-qg6xv4 ай бұрын
Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi
@annamakomele3394 ай бұрын
Aiseeeee😢😢😢
@janecolleter4 ай бұрын
Daah! May his soul rest in peace 💔
@kamulisamson8964 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢😢
@FaridaNassor-oj7tx4 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani bro
@FurahaNgomango-zr3bz4 ай бұрын
Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz4 ай бұрын
Rest in peace LEGEND
@noelbryson78404 ай бұрын
Pumzika salama kamanda wangu..😭
@shillachiumbo42414 ай бұрын
You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!
@junioremmanuel16954 ай бұрын
Really I'm speechless 😢
@JUU-lw2je4 ай бұрын
Jahazii
@AgripinaJosephMushi-hw2xw4 ай бұрын
Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri
@erastongussa23344 ай бұрын
Wameedit aisee
@leedsoldat41894 ай бұрын
Wameedit saut kipande Iko ila nmeangalia mdomo ni million 10
@leedsoldat41894 ай бұрын
Amesema SI chin ya 10
@user-hi8le2vb7z4 ай бұрын
MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??
@erickedward5814 ай бұрын
Rip Gardner we love u
@hamisiussiku11514 ай бұрын
Inna lillah waina Illah rajiun
@zamalisaide32094 ай бұрын
Rest in peace G h bshi
@mwasitimajid4 ай бұрын
Rest in peace gadner g🙏
@user-gv6ij2zt2h4 ай бұрын
Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka
@oscanyakunga4 ай бұрын
Polen wanahabari
@fortunatafelician56254 ай бұрын
RIP Legendary
@badmanno.16504 ай бұрын
Dunia 😢😢
@EVALINESILVIN-dp5kj4 ай бұрын
Moja Kati ya watangazi ninayempenda May your so rest in internal peace
@lilianmagori41894 ай бұрын
Dada j dee ndio kampa mwenzi magonjwa ya moyo angekuwa anampa mwenzie busy asubui angejisikia faraja
Ni mwislamu mpaka umwambie amjaalie kaul thabit, unajua maana ya kaul thabit au umeropokwa tu???
@subirajohn7284 ай бұрын
@@hanswan1 kwani huyo dini gani Mimi nilisikia kuwa muislam
@hanswan14 ай бұрын
Hata jina linajieleza, unasikilia wapi?? Tusome dini na tuwe na uhakika tunachoandika mitandaoni siku ya kiama itakua ushahidi hicho ulichoandika juu yake.
@subirajohn7284 ай бұрын
@@hanswan1 Ahsante! Nimekuelewa
@martinlulale36264 ай бұрын
Pumzika kwa amani mwamba
@mwajumanjama40234 ай бұрын
😢😢
@EliasElias-ee7wl4 ай бұрын
Rest in peace habash
@user-jl6uj4lf6q4 ай бұрын
Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..
@aminaaziz54514 ай бұрын
R.I.p
@teodorypeter66774 ай бұрын
R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭
@DivinebabyDee4 ай бұрын
Lala salama babu G
@happynelson11364 ай бұрын
Ni kweli waache kabisa kutuita walevi watuite walipa kodi, walevi ni wale wanaokunywa hawataki kufanya kazi, pumzika kwa amani
@davidsebastian6614 ай бұрын
Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢
@JulithaGasper4 ай бұрын
Woi woi woi kweli hii ndo tz mtu akifa ndo video au mahojiano yake yanaachiwa huru