Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
@eliasgama-mo2ss6 ай бұрын
wewe ni nooma Sana hakuna tena kama wewe unachambua Mambo ya MTU vilivyo
@SAIDIMUHAMI6 ай бұрын
Ni kweli nabii ni kiboko ya wachawi
@TABWEAlyne5 ай бұрын
wewe koma mchawi
@KhadijaHasani-xy9hb5 ай бұрын
Tuwe tunachunguza na familia pia.@@eliasgama-mo2ss
@DoreenThomas-uq7cm4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwa hayo unayoyafanya hakika kwa Hali hiiwachawi waliobakia wajiandae kufa
@YasminaMkali9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi. Hakika utaokoa wengi wanao ONEWA. ❤
@mosesmasanja82954 ай бұрын
BWANA YESU atutuzwe. Nimetiwa umasikini kila ninachofanya sifanikiwi. Naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU pastor Dominic.
@NeemaPierson8 ай бұрын
Tuna Kila sababu kumshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi. Mungu azidi kukubariki.
@kaayaester97396 ай бұрын
Ubarikiwe Nabii kiboko ya wachawi kazi yako ni njema Mungu Azidi kukuinua
@SalhaNaser-wq4mz4 ай бұрын
Baba kiboko ya uchawi ubarikiwe sana
@furahaabonga66426 ай бұрын
Uyo mdada mjinga kweli unamwibia mamako hela unamuonga mwanaume,uyo mama amlipe uyo mfanyakazi wake fidia na pesa alizotowa kwa dhamana
@kabujeasukile54626 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@HawaOman20 күн бұрын
Ahsante mungu kwa ajili ya mtumishe wako
@lukaschakupewa2 ай бұрын
Asante yesu kwa roho yako kuwa ndani ya watumishi waminifu amen
@edgercyprian9644 ай бұрын
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
@jenifercynthiakazimoto53925 ай бұрын
Hii ni kiboko aiseee safi Sanaa nabiii! Endelea kuweka mambo hadharani hvyo hvyoooo
@BMDESIGNZ10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji kututeteya sisi wanyonge
@adelinavernus98146 ай бұрын
Daah😢😢😢 nilikuwa siamini nimeanza kuamini
@masellemaziku10967 ай бұрын
Mungu ni mwema. Ahsante kwa Utumishi wako Mwema.
@neemaneychricious64938 ай бұрын
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
@magekimei46762 ай бұрын
Mungu akulinde nabii
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
Nasema ttena Msiwaguse Manabii wa Bwana. Angalia hapo sasa. Wewe unaebisha unasemaje Tuwaombee Manabii!!
@elishamafulu1068 ай бұрын
AMEN AMEN BABA
@MeshackEliah-sr4eq23 күн бұрын
Ubarikiwe na Mungu 🙏
@yonazimpombe11603 ай бұрын
NABII TAJIRI ANAITWA KISYER CHAMBILI AMENIDHURUMU MILLIONI 5 ya mishahara yangu naomba YESU ANISAIDIE
@EmmanuelCharo-to4ij2 ай бұрын
Jamani mm na toka kenya naomba number ya uyo paster jamani mwenye anaweza ako karibu na uyo anisaidie kumpata
@ashurakodd15898 ай бұрын
Mungu ameona nchi ya Tanzania Ina uonevu sana ndio maana ameachilia manabii wakuona Mungu ni mwema
@JanethEmmanuel-mr5le3 ай бұрын
Mwenyenzi mungu akupe maisha marefu mtume wa mungu tuombee na sisii
@SilasBaligila5 ай бұрын
Naitwa baligila Silas, baba naomba unitabilie hatima ya maisha yangu
@ArnoldAbraham-yo5zg10 ай бұрын
yaan mungu anakuona wee dada !!
@joeloileoile47867 ай бұрын
Nabii unapomba niombee na mimi pia mambo yangu yako magumu asante amina
@angelsaid78699 ай бұрын
Yaan nimemwaga machozi kwa uchungu mungu akupe maisha marefu nabii
@NyiranezaWarda-bk1yn5 ай бұрын
Mutetezi wawanyonge God bless you 🥰🥰🥰💯 Amen amen amen 🙏
@kitangeellyabisai25472 ай бұрын
Bariwa mtumishi, Huyo kijana aache kazi kwa huyo mama.
@wizebiligetwaziri55407 ай бұрын
Akika mungu wamazabau hii ni yesu mwenyewe anaetenda mtumishi ubarikiwe sana tumeona wengi
@CuttyLushazy2 ай бұрын
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague babaa
@CuttyLushazy2 ай бұрын
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague baba
@BalbinaMassawe2 ай бұрын
Mwenyez mungu akulinde mtumish unatuokoa sana
@JoselyteSamuel10 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe baba,Mimi ni Joselyte nakuomba mambo Yako baba nateseka saana.chochote ninacho fanya hakifanikiwi.nisaidie baba
@JoselyteSamuel10 ай бұрын
Naomba maombi yako
@SifaMwashite-dg3bl9 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulinde baba
@sanchezcastro59764 ай бұрын
Mungu akubaliki sana.. Castro novatus ndege
@mercymusembei55753 ай бұрын
Amen nakataa umasikini
@FatumaMawona3 ай бұрын
Am speechless Ur amazing ❤❤
@nelsonnyamle3 ай бұрын
Eti mtumishi wa mungu jamani mungu simama piga mpinga kristo huyu katika jina la yesu kristo wa nazarethi
@davidapudo78865 ай бұрын
David Apudo watching from Kenya
@BrunoMakweta-dm5sb9 ай бұрын
Inauma ubalikiwe pastor baba angu anakifafa naomba umuombee
@marionntomola16864 ай бұрын
Yaani, so ndivyo ilivyo kwa Yehova. Inatisha.
@mwizanchuroeustace93025 ай бұрын
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
@jofreydaud2564 ай бұрын
Nabii mmewangu kipato kina yumba Sana na tulitamani tununuwe kiwanja tujenge mwakaa uu mambo mengi Sana kwenye family yangu baba nisaidie
@samyomondi9 ай бұрын
TOKKENNI BABELI JAMENI😢😢😢😢😢
@emmanuelmazengo35353 ай бұрын
Ma pastors wengi sana ila kiboko ya wachawi mmoja tu hapa tumepata nabii wakwel nakukubar sana pastor
@ElizaMolle6 ай бұрын
nabii mungu akulinde unawawokowa wengi nawomba unitabiriye na Mimi nani ananiaribiya maisha yangu
@snazzyally125510 ай бұрын
yesu akupe umri mrefu ili uendelee kutusaidia
@mwizanchuroeustace93025 ай бұрын
Kazi tatizo kwangu,marafiki wamenikimbia niliowasaidia wote wameenda naomba unisaidie kiukweli
@DemieCharles6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi miaka mingi kwako
@naseeralbishi47265 ай бұрын
Huyo mama amlipa siku zenye amekaa jela kwa uongo
@RoseJohn-sg2gx5 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe baba yangu mimi niko arusha
@NanaelyNdimbo5 ай бұрын
Mungu mlinde nabii ili siku moja nimuone uso kwa uso
@SesiliaNenula-d8t9 ай бұрын
Mungu akusaidie uishi miaka mingi sana
@MankaMasawe-k9e2 ай бұрын
nabinisaidi ye ❤
@joshuamecky18065 ай бұрын
Mmmm?? Mungu tusaidie.
@KirrinkolMeiyo4 ай бұрын
Nabii wa mungu mm natoka kenya natamani kuonana n ww lakini sijui chia nn atanelekeza
@marrykimaro97926 ай бұрын
Nabii eeee Ni kidume Cha Mungu wanaokusema vibaya hawajielewi
@LilianMushi-ho8qf4 ай бұрын
Shalom baba pindu pindu kata kata funua hivyo watu tupone