SEHEMU YA (2) KIJANA ASHUTUMIWAE KUIBA MILIONI SABA (7) NABII KIBOKO YA WACHAWI AFICHUWA UKWELI

  Рет қаралды 67,300

PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI

PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI

Күн бұрын

Пікірлер: 222
@onesmombele2571
@onesmombele2571 7 ай бұрын
Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
@eliasgama-mo2ss
@eliasgama-mo2ss 6 ай бұрын
wewe ni nooma Sana hakuna tena kama wewe unachambua Mambo ya MTU vilivyo
@SAIDIMUHAMI
@SAIDIMUHAMI 6 ай бұрын
Ni kweli nabii ni kiboko ya wachawi
@TABWEAlyne
@TABWEAlyne 5 ай бұрын
wewe koma mchawi
@KhadijaHasani-xy9hb
@KhadijaHasani-xy9hb 5 ай бұрын
Tuwe tunachunguza na familia pia.​@@eliasgama-mo2ss
@DoreenThomas-uq7cm
@DoreenThomas-uq7cm 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwa hayo unayoyafanya hakika kwa Hali hiiwachawi waliobakia wajiandae kufa
@YasminaMkali
@YasminaMkali 9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi. Hakika utaokoa wengi wanao ONEWA. ❤
@mosesmasanja8295
@mosesmasanja8295 4 ай бұрын
BWANA YESU atutuzwe. Nimetiwa umasikini kila ninachofanya sifanikiwi. Naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU pastor Dominic.
@NeemaPierson
@NeemaPierson 8 ай бұрын
Tuna Kila sababu kumshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi. Mungu azidi kukubariki.
@kaayaester9739
@kaayaester9739 6 ай бұрын
Ubarikiwe Nabii kiboko ya wachawi kazi yako ni njema Mungu Azidi kukuinua
@SalhaNaser-wq4mz
@SalhaNaser-wq4mz 4 ай бұрын
Baba kiboko ya uchawi ubarikiwe sana
@furahaabonga6642
@furahaabonga6642 6 ай бұрын
Uyo mdada mjinga kweli unamwibia mamako hela unamuonga mwanaume,uyo mama amlipe uyo mfanyakazi wake fidia na pesa alizotowa kwa dhamana
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@HawaOman
@HawaOman 20 күн бұрын
Ahsante mungu kwa ajili ya mtumishe wako
@lukaschakupewa
@lukaschakupewa 2 ай бұрын
Asante yesu kwa roho yako kuwa ndani ya watumishi waminifu amen
@edgercyprian964
@edgercyprian964 4 ай бұрын
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
@jenifercynthiakazimoto5392
@jenifercynthiakazimoto5392 5 ай бұрын
Hii ni kiboko aiseee safi Sanaa nabiii! Endelea kuweka mambo hadharani hvyo hvyoooo
@BMDESIGNZ
@BMDESIGNZ 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji kututeteya sisi wanyonge
@adelinavernus9814
@adelinavernus9814 6 ай бұрын
Daah😢😢😢 nilikuwa siamini nimeanza kuamini
@masellemaziku1096
@masellemaziku1096 7 ай бұрын
Mungu ni mwema. Ahsante kwa Utumishi wako Mwema.
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 8 ай бұрын
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
@magekimei4676
@magekimei4676 2 ай бұрын
Mungu akulinde nabii
@HeppyRafaeli
@HeppyRafaeli 2 ай бұрын
Nasema ttena Msiwaguse Manabii wa Bwana. Angalia hapo sasa. Wewe unaebisha unasemaje Tuwaombee Manabii!!
@elishamafulu106
@elishamafulu106 8 ай бұрын
AMEN AMEN BABA
@MeshackEliah-sr4eq
@MeshackEliah-sr4eq 23 күн бұрын
Ubarikiwe na Mungu 🙏
@yonazimpombe1160
@yonazimpombe1160 3 ай бұрын
NABII TAJIRI ANAITWA KISYER CHAMBILI AMENIDHURUMU MILLIONI 5 ya mishahara yangu naomba YESU ANISAIDIE
@EmmanuelCharo-to4ij
@EmmanuelCharo-to4ij 2 ай бұрын
Jamani mm na toka kenya naomba number ya uyo paster jamani mwenye anaweza ako karibu na uyo anisaidie kumpata
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 8 ай бұрын
Mungu ameona nchi ya Tanzania Ina uonevu sana ndio maana ameachilia manabii wakuona Mungu ni mwema
@JanethEmmanuel-mr5le
@JanethEmmanuel-mr5le 3 ай бұрын
Mwenyenzi mungu akupe maisha marefu mtume wa mungu tuombee na sisii
@SilasBaligila
@SilasBaligila 5 ай бұрын
Naitwa baligila Silas, baba naomba unitabilie hatima ya maisha yangu
@ArnoldAbraham-yo5zg
@ArnoldAbraham-yo5zg 10 ай бұрын
yaan mungu anakuona wee dada !!
@joeloileoile4786
@joeloileoile4786 7 ай бұрын
Nabii unapomba niombee na mimi pia mambo yangu yako magumu asante amina
@angelsaid7869
@angelsaid7869 9 ай бұрын
Yaan nimemwaga machozi kwa uchungu mungu akupe maisha marefu nabii
@NyiranezaWarda-bk1yn
@NyiranezaWarda-bk1yn 5 ай бұрын
Mutetezi wawanyonge God bless you 🥰🥰🥰💯 Amen amen amen 🙏
@kitangeellyabisai2547
@kitangeellyabisai2547 2 ай бұрын
Bariwa mtumishi, Huyo kijana aache kazi kwa huyo mama.
@wizebiligetwaziri5540
@wizebiligetwaziri5540 7 ай бұрын
Akika mungu wamazabau hii ni yesu mwenyewe anaetenda mtumishi ubarikiwe sana tumeona wengi
@CuttyLushazy
@CuttyLushazy 2 ай бұрын
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague babaa
@CuttyLushazy
@CuttyLushazy 2 ай бұрын
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague baba
@BalbinaMassawe
@BalbinaMassawe 2 ай бұрын
Mwenyez mungu akulinde mtumish unatuokoa sana
@JoselyteSamuel
@JoselyteSamuel 10 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe baba,Mimi ni Joselyte nakuomba mambo Yako baba nateseka saana.chochote ninacho fanya hakifanikiwi.nisaidie baba
@JoselyteSamuel
@JoselyteSamuel 10 ай бұрын
Naomba maombi yako
@SifaMwashite-dg3bl
@SifaMwashite-dg3bl 9 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulinde baba
@sanchezcastro5976
@sanchezcastro5976 4 ай бұрын
Mungu akubaliki sana.. Castro novatus ndege
@mercymusembei5575
@mercymusembei5575 3 ай бұрын
Amen nakataa umasikini
@FatumaMawona
@FatumaMawona 3 ай бұрын
Am speechless Ur amazing ❤❤
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 ай бұрын
Eti mtumishi wa mungu jamani mungu simama piga mpinga kristo huyu katika jina la yesu kristo wa nazarethi
@davidapudo7886
@davidapudo7886 5 ай бұрын
David Apudo watching from Kenya
@BrunoMakweta-dm5sb
@BrunoMakweta-dm5sb 9 ай бұрын
Inauma ubalikiwe pastor baba angu anakifafa naomba umuombee
@marionntomola1686
@marionntomola1686 4 ай бұрын
Yaani, so ndivyo ilivyo kwa Yehova. Inatisha.
@mwizanchuroeustace9302
@mwizanchuroeustace9302 5 ай бұрын
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
@jofreydaud256
@jofreydaud256 4 ай бұрын
Nabii mmewangu kipato kina yumba Sana na tulitamani tununuwe kiwanja tujenge mwakaa uu mambo mengi Sana kwenye family yangu baba nisaidie
@samyomondi
@samyomondi 9 ай бұрын
TOKKENNI BABELI JAMENI😢😢😢😢😢
@emmanuelmazengo3535
@emmanuelmazengo3535 3 ай бұрын
Ma pastors wengi sana ila kiboko ya wachawi mmoja tu hapa tumepata nabii wakwel nakukubar sana pastor
@ElizaMolle
@ElizaMolle 6 ай бұрын
nabii mungu akulinde unawawokowa wengi nawomba unitabiriye na Mimi nani ananiaribiya maisha yangu
@snazzyally1255
@snazzyally1255 10 ай бұрын
yesu akupe umri mrefu ili uendelee kutusaidia
@mwizanchuroeustace9302
@mwizanchuroeustace9302 5 ай бұрын
Kazi tatizo kwangu,marafiki wamenikimbia niliowasaidia wote wameenda naomba unisaidie kiukweli
@DemieCharles
@DemieCharles 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi miaka mingi kwako
@naseeralbishi4726
@naseeralbishi4726 5 ай бұрын
Huyo mama amlipa siku zenye amekaa jela kwa uongo
@RoseJohn-sg2gx
@RoseJohn-sg2gx 5 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe baba yangu mimi niko arusha
@NanaelyNdimbo
@NanaelyNdimbo 5 ай бұрын
Mungu mlinde nabii ili siku moja nimuone uso kwa uso
@SesiliaNenula-d8t
@SesiliaNenula-d8t 9 ай бұрын
Mungu akusaidie uishi miaka mingi sana
@MankaMasawe-k9e
@MankaMasawe-k9e 2 ай бұрын
nabinisaidi ye ❤
@joshuamecky1806
@joshuamecky1806 5 ай бұрын
Mmmm?? Mungu tusaidie.
@KirrinkolMeiyo
@KirrinkolMeiyo 4 ай бұрын
Nabii wa mungu mm natoka kenya natamani kuonana n ww lakini sijui chia nn atanelekeza
@marrykimaro9792
@marrykimaro9792 6 ай бұрын
Nabii eeee Ni kidume Cha Mungu wanaokusema vibaya hawajielewi
@LilianMushi-ho8qf
@LilianMushi-ho8qf 4 ай бұрын
Shalom baba pindu pindu kata kata funua hivyo watu tupone
@elishaathumanathuman16
@elishaathumanathuman16 9 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LeahLaizer-v4n
@LeahLaizer-v4n 3 ай бұрын
Nabii bwana yesu asifiwe
@richardlaurent1651
@richardlaurent1651 5 ай бұрын
Baba barikiwa sana.Amina
@sikitugeorgette
@sikitugeorgette 4 ай бұрын
Amen Amen 🙏
@eunicekiilu7485
@eunicekiilu7485 8 ай бұрын
Mungu akubariki cna naomba uniomber nkipata pesa matayizo uwa mengi cna
@EllenMwangoka
@EllenMwangoka 7 ай бұрын
Daa kwaili mungu akuweke zaidi
@RahmaMohamed-rn5gq
@RahmaMohamed-rn5gq 5 ай бұрын
Barikiwa sana nabii
@JeniphaFredrick-hz5ll
@JeniphaFredrick-hz5ll 3 ай бұрын
Aisee Mungu kweli ni muaminifu
@EsterJohnson-br2ir
@EsterJohnson-br2ir 5 ай бұрын
Naomba yangalia na mm mtumishi wa Mungu
@EzekielMangu-hg1bl
@EzekielMangu-hg1bl 4 ай бұрын
Amen
@PetersamweliMollel
@PetersamweliMollel 10 ай бұрын
Bwana yesu asiviwe pasta me peter nakuomba uniombeye kwamaana Kila nikifanya kazi sioni ela inapita wapi please and please 🙏
@josephinekamluc1969
@josephinekamluc1969 10 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kipaji chako
@KondoJuma
@KondoJuma 4 ай бұрын
Nimeumia sana kwajili ya huyu kijana nabii
@YusterMichael
@YusterMichael 3 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana
@jastinmnyari8504
@jastinmnyari8504 6 ай бұрын
Amina baba naomba utabiri wako
@DanielKiberiti
@DanielKiberiti 4 ай бұрын
Ameni
@meekcollection6192
@meekcollection6192 10 ай бұрын
Naitwa Vivian baba ubarikiwe sana Naomba unabii wako
@TABWEAlyne
@TABWEAlyne 5 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@AlfredMtandi
@AlfredMtandi 3 ай бұрын
Nabii naomba maombi Yako yanifungue namimi
@edmundwillbrod4671
@edmundwillbrod4671 7 ай бұрын
Ee mungu umlinde uyu baba ili azidi kutusaidie.
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 9 ай бұрын
Machozi yananitoka jamani huyu mungu niwamajaabu
@amosmutuvi
@amosmutuvi 6 ай бұрын
Mungu akubariki tu saaana
@SarahManyanda
@SarahManyanda 10 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie
@NanaelyNdimbo
@NanaelyNdimbo 5 ай бұрын
Nakuja sio muda mrefu nabii nakuja baba
@FelisterTebuye
@FelisterTebuye 9 ай бұрын
amina baba nimebarikiwa sana
@DottoFredrick
@DottoFredrick 8 ай бұрын
Amina, mashine ya kwa lulenge
@NyamuyaMunyancha
@NyamuyaMunyancha 8 ай бұрын
Hakika ninaguzwa na maubiri haya mungu akulinde uzidi kusaidia watu
@MwanaidiMzuri
@MwanaidiMzuri 5 ай бұрын
Barikiwa San baba
@MankaMasawe-k9e
@MankaMasawe-k9e 2 ай бұрын
niombeyebaba Mimi naitwa Manka nisaidiye baba
@FlorahKamayugi
@FlorahKamayugi 3 ай бұрын
Naitwa flora niko moshi nabii naomba unitabirie baba familiayetu upande wakwa baba atuelewani na kwa mama ni ivoivo baba nitabirie baba angu
@BatulMohammad-l4x
@BatulMohammad-l4x 5 ай бұрын
Ameen
@elishaathumanathuman16
@elishaathumanathuman16 9 ай бұрын
I receive I receive I receive I receive
@fatumakimaro3186
@fatumakimaro3186 7 ай бұрын
Nakataa umasikin
@hildarajab2891
@hildarajab2891 5 ай бұрын
Sasa huyo mtoto ndoanaangaliaje nalinavyo tafuna tuu eti anampndisha mamayke nakumshusha na mchungaji wawatu😢
@DmMh-kl4bz
@DmMh-kl4bz 4 ай бұрын
Kweri baba wasaidie wanyonge na mimi nitakuja kanisani siku moja kabla ya mwezi wa nane
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 7 ай бұрын
Mpaka machozi yamenitoka😢
@lucasmveyange3339
@lucasmveyange3339 4 ай бұрын
Lucas Anthony Mveyange naomba unifungue pastor
@KhadijaHakim-s7v
@KhadijaHakim-s7v 7 ай бұрын
Mtumishi baba
@KhadijaHakim-s7v
@KhadijaHakim-s7v 7 ай бұрын
Baba naomba unisaidie mim khadija
@KhadijaHakim-s7v
@KhadijaHakim-s7v 7 ай бұрын
Baba naomba unisaidie niolewe kila mtu ninaye kuwa naye kweny mahusiano n ahadi tu mim khadija
@sanchezcastro5976
@sanchezcastro5976 4 ай бұрын
Baba naomba unisaidie
@theobaldmkude8064
@theobaldmkude8064 10 ай бұрын
Nabii naomba tabili juu yangu
@lucasmveyange3339
@lucasmveyange3339 4 ай бұрын
Niokoe baba pastor Dominick kiboko ya wachawi
MAMA ALIYEFIWA NA BABA YAKE AFUFULIWA NA NABII KIBOKO YA WACHAWI/MAITI YAFUFUKA
13:27
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 72 М.
KIJANA ALIYE SHUTUMIWA KUIBA MILIONI SABA (7) KIBOKO YA WACHAWI AFICHUWA UKWELI
7:06
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 19 М.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 25 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 89 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 67 МЛН
MAMAALIYE TESEKA MIAKA MITATU (3) KWA KANSA APONA/ALIYEMSABABISHIA AFARIKI KWA PRESHA
17:41
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 24 М.
NABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA MSAADA GEREZA LA SEGEREA
4:46
JICHO LA HABARI
Рет қаралды 12 М.
MAAJABU YATENDEKA DADA MWENYE KANSA YA TITI APONYWA NA KIBOKO YA WACHAWI
25:10
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 29 М.
FAMILIA YENYE WAREMBO NA WENYE VIGEZO VYOTE VYA KUOLEWA LAKINI WAMEFUNGWA NA MADHABAO YA WACHAWI
16:47
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 25 МЛН